Appy - Dear Dingi (Official Lyric Video)
Музыка
Appy's Official Lyric Video for “Dear Dingi”
Listen to Appy
Spotify: open.spotify.com/track/43EczE...
Apple music:
/ album .
Itunes:
/ album .
Boomplay: www.boomplay.com/lyrics/11550...
Audiomack: audiomack.com/appy-28/song/mr...
Subscribe to the Official Appy KZread Channel:
• Appy - Watu Feki (Official Music Video)
Follow Appy
Instagram:
/ appy_tz
Threads: www.threads.net/@appy_tz
Tiktok:
/ appytzofficial
--------
Lyrics-
Dear dingi
Habari ya siku nyingi
Nyumba ili bomoka
Japo ulisoma shule ya msingi
Dear dingi
Toka uende kusuka shilingi
Kaka hakufunga ndoa
Alifungwa jela siku nyingi eeh
Mi ndio kitinda Mimba ulio nikataa
Tumefanana sana ondoa shaka
Mi sikupingi yeah yeah yeah
Oh dear dingi yeah yeah yeah
Kutwa kalaani
Ndio unamaanisha nini
Oh dear dingi yeah yeah yeah
Oh dear dingi yeah yeah yeah
Kwetu mama ndio baba
Alipambana ki single mother
(Oooh why oooh)
(Why ooh oooh ooh)
Tumekua kwa mipasho na misaada
Tukavuja jasho usawa unakaba
(Oooh why oooh)
(Why ooh oooh ooh)
Tumepambana toka tumboni mwa mama
Mpaka leo siku za Ujana heee
(Dear dingi yeah yeah yeah)
Mbele tukienda hatutorudi nyuma
Tutakumbuka siku za Ujana heee
(Oh dingi yeah yeah yeah)
Lah lah lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah lah lah lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah lah lah lah lah lah lah lah
Maisha yalisonga na mwiko
Japo hukutupa hata kijiko
Familia hatujui wewe uliko
Dada angu siku hizi anakaba
Na aliishia darasa la Saba
Hukutufunza jema Wala baya ooh baba
Dear dingi
Kwanini hukuandaa kesho yangu
Dear dingi
Ama nilikua bahati mbaya
Oh Dear dingi
Ulimtelekeza mama yangu
Ooh Dear dingi
Kama si wewe nani baba yangu eeeh
Mi ndio kitinda Mimba ulio nikataa
Tumefanana sana ondoa shaka
Mi sikupingi yeah yeah yeah
Oh dear dingi yeah yeah yeah
Kutwa kalaani
Ndio unamaanisha nini
Oh dear dingi yeah yeah yeah
Oh dear dingi yeah yeah yeah
Kwetu mama ndio baba
Alipambana ki single mother
(Oooh why oooh)
(Why ooh oooh ooh)
Tumekua kwa mipasho na misaada
Kutwa tulihustle kama hatuna baba
(Oooh why oooh)
(Why ooh oooh ooh)
Tumepambana toka tumboni mwa mama
Mpaka leo siku za Ujana heee
(Dear dingi yeah yeah yeah)
Mbele tukienda hatutorudi nyuma
Tutakumbuka siku za Ujana heee
(Oh dingi yeah yeah yeah)
Lah lah lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah lah lah lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah lah lah lah lah lah lah lah
#Dear #Dingi #tumepambana
Audio Produced by Ibrah Jacko
Gfx & Lyrics by Nol Daddy
Пікірлер: 244
Another Star Alway's on top 💯💥🔥
Unajua sana. Ila badili producer ili mdundo ubadilike kidogo. Beats zinafanana sana😊
First comment from Cameroon. 🇨🇲🇨🇲
🇨🇩 Lubumbashi tuna kupenda rianna wa Africa
Big up app tz
Ngoma Imebeba Ujumbe Makini kabisa, hakika sanaa imetulia uandishi umetulia, hongera kwako Appy Tz, dear dingi hii imeenda
Haki umeni dril vibaya sana mulembo kamahuyu anawasha firee african muzima nimekukubal sana🎉🎉🎉🎉🎉
We’ve missed songs with such meaning 🙏
Unajua na unajua Tena lakn ubadilishe producer tusikie ladha nyingine ya beat 🥰❤️
Hiii nyimbo inanigusa sana maixh niliyoixhi bila baba tuliteseka xana tulinyanyaswa xana na ndugu 😢😢r I p baba ulituacha kwenye moto
Wewe una madini makali mno mungu na awe juu yako daima tunakuombea 👏
DEAR DINGI ONE DAY YOU CAN UNDERSTAND ME😠 TUNAO PITIA HII CHANGAMOTO YA KUKATALIWA NA WAZAZI UKUBWANI LIKE HAPAA!!!! VERSE 2 "ME NDO KITINDA MIMBA ULIE NIKATAA TUMEFANANA SANA ONDOA SHAKHA🤞🙌 !AAHHH APPY APEWE MAUA YAKE🤒🙌
This is a Hit song! appy is a future star. Her style is catchy and unique.
Naombeni likes nimekosa cha kuandika ngoma kali sana
Nakupenda sana appy pambana unaweza
dear dingi thanks fijo kwa kunipambania cjutii kuwa nawewe R.I.P DEAR DINGI
Ngoma kali ila msilaumug ma ding siri wanazo mama zenu
Vocal,song lyrics 🫰🏿👍🏿🫶🫶,instruments best, manze siezi boeka kusikiza ngoma zako.Love you 🎉🎉
Kumb uyu ndio shida mwenyew
@auntiemylee3157
7 ай бұрын
Nimekimbia mbio
Wimbo unalizaa huu jaman
Mbona kama kuna tawa humu Twambie nani kahusika kuandika
Sema sappti imekua ndogo sana ila anajua sana huyu dada❤❤🎉
Dada Huwa unanikosha sana much love for u 👏dear dingi
Kama kontawa vile 💯🔥🔥🔥🔥🔥 vibe❤️#love from Mombasa Kenya
Tawa on this one
Ooh yeah Dear Ding Iko on fire Appy lady
Miziki yote nakukubali♥♥♥♥♥♥♥
Pasipo kuliza uandishi wa tawa huu kontawa mtu mbadIiii sana
@officiallugano8991
7 ай бұрын
Kweliiii
@mwesigwamuhingo5660
7 ай бұрын
Kama umesikiliza story ya maisha yake Appy, this is her 100% true life with her Father. Hawezi kuwa kaandikiwa
@samiradamrajab5416
7 ай бұрын
Kweli kabisa Pacha jicho la tatu kwa kupepeleleza.....
@CletusVales
7 ай бұрын
Kontawa ajahusika ata kdg Kama umemfatilia Appy utakua kua huyu mdada ni genius jin #I do Appreciate
@9talieMusic-zc7cy
7 ай бұрын
Umeonaa ee au uyundio shidaa?
Uko vzr dada..
Huyu dada ni hatari...nyimbo zake ni nruri mno
Appy na kukubali sana..! Ngoma zako hujawai niangusha you are greater
Unajuwa saana❤❤❤
Nyimbo linaloguza ndani kabisa haswa kwa wale wamekipitia kimaisha, Historia hapa, Single Parent Life. Mungu awape utulivu wale wote wamepitia changamoto katika maisha. Kazi nzuri wimbo mzuri Appy.💗💯
@Truppac
7 ай бұрын
Ukweli
Ngoma kubwa dada anajua sana
Good job
Ooooooo my God nice voice 🥰🥰🥰🥰🥰😍😍🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Pambana dada Mungu yupo pamoja na ww.
Duhhhh nimelelewa na bab na mam ila umenigusa san mpak nime subscribe
Dada siku zote nasikiliza kazi Zako uko vizuri sana nakukubali mno good job 💯 dope 🔥
Amazing song..... #Appy ni fundi wa madini.....
World class tunes, sitashangaa kazi zako kuwepo kwenye filamu za kimataifa.......Mungu Yahu akupe hekima ya kuishi na mafaniko aliyokupa!!!
now you am pretty sure you deserve a Grammy for your songs
Napenda namna Ngoma inaanza ❤
Njia za mbele mtamuelewa tu ❤
Tawa mwenyewe katia pen hapa
ngoma Kali sana ❤
nakupnda sana appy lov uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@Official_bizedd
Ай бұрын
Nyooooooooooo demu wangu huyo
Appy na Kontawa inaweza tisha sana
Utafika mbali sana
Ngoma kali sanaaaaaaa
Namsikia kimtawa humu
Wafanye kolabo na kontawa itakuwa unyama
Hii nyimbo kaandikaa kontawaa
kontawa mwandishi umu
Video Itoke mapema Aisee
Unatufaa sana kwenye jamii yetu savi sana
Umeweza ukaweza tena. Nyimbo inagusa hii wengi tumepitia haya maisha. Dear Dingi..
Noma sana penda sana kazi zako mtoto mzuri ❤❤❤❤❤
KONTAWA
DAAAAH APPY UNA VOCAL YA KIPEKEE SANA
Content of the song looks like Zoe Wees song “Daddy’s eyes” but good thing ni kwamba both of you mna vocal balaaa
@RM_perfect..
7 ай бұрын
Sure mzeeeee
Appy bonge la msanii ❤❤❤🎉
kizuri kiongeee
She never disappoints this one.Keep doing this
Hit song 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
kontawa🎉
Awee, she knows ase..🙌🙌🙌
Kontawa Sound... Noma sana
nice song 🥰🥰🥰
Hapo umeniweza na kunikumbusha mbali,,, Am in Love soon much with your songs everyday
Big up sana my big sister 🙏🏿👊🏾👊🏾
Nakumbuka mbali San hii nyimbo Ina niusu mm kabisa yan 😢😢😢
Utafika siku moja❤❤❤
Unique
upo vizur we sister kwa idea
Nakuona mbali appy kwenye soko la mziki dunia keep pushing
Big up 👏
uimbaji wako nauelewa sana .. TALENTED
I love you Appy, na kama hiyo ni lifehistory yako pole sana, ❤❤ I LOVE YOU FROM KENYAA❤❤❤❤❤
Popote alipo dingi Mungu azidi kukupa uhia we are coming for u
Let's take this song to trending 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dingi kutoka kenya hapa
Noma sana hii kalii sana
Gold voice 😊🎉🎉🎉
My best women singer currently❤
noma sana
Dada apa umetisha make umenigusa mwaka uwe mwema sana fika mbali my sisiter apph
Sasa sisi madingi tutaongea nini sasa dah...!
Kaliiiii sanaaa huna jambo dogo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙌🏼🙌🏼🔥
Kontawaaaa nomaaaq
I always have no doubt with you appy.. #hit sound
When I hear this peace of mind I have to say all the best for all those who pass in this situation too one DAY YES keep going........
Dada Appy uko sawa saana! Congratulations na endelea hivyo hivyo. Utafika mbali. You are a star🌟 Much love from 🇰🇪 Mombasa.
Unaweza sana unanikosha kinyama
Alieandikaaa kaua sana na umeflow kinom
Keeping the good music alive
Kali
TALENTED❤🙌❤ DEAR GOD MUONE HUYU MTU ANAJUA MNOOOOO😢🙌😢
Appy unajua sana...keep it up!