ANTII Pt: 4 : Tamthilia Ya Maadili | Official Video | Mash Tv | Madrasa Shop Tz
Ойын-сауық
Mke Bora ni yule anaemthamini mume wake na kuijali familia yake ...Mfanyakazi wa ndani ni mtu wa kukusaidia tu baadhi ya kazi na sio kla kazi ni yeye tu Tuwe waangalifu kwa hili enyi wanandoa wote
Endelea kufatilia chanel yetu hii kwa kupata faida tofauti xenye maaili
SUBSCRIBE ,LIKE SHARE COMMENTS
MASH TV
+255773950250
+255717513191
MKONO KWA MKONO MPAKA TUSHIKAMANE
Пікірлер: 354
Yaallah nijaalie niwe mke mwema pia nipate mume mwema
@abuuhafswamunsheedu5790
Жыл бұрын
Allahumma Aamiin yaa rabbal aalamiin
Wallah inshaaAllah hii siries nitaifuata mpka iishe maana ni lulu miongoni mwa lulu (ALLAH AWALIPE KILA LA KHERI), Nipo na ninyi mpka kwa du'aa
@sallysaidy685
3 жыл бұрын
Maasha Allah Maasha Allah Maasha Allah Aameen Allahumma Aameen Aameen Yarrabil A'lameen Aameen Thumma Aameen Aameen Aameen Aameen Jazzakka llah ghayr SHUKRAN SAANA MY DEAR
@rahmaayoub7519
3 жыл бұрын
Ameen Thumma Ameen
@rahimaaaaa5682
2 жыл бұрын
Amnia
Ataka mfukuza antii ataweza nayy kila kitu antii. Mlanisi huyu
Ubaya mnachelewa mpaka nnasahau kama ipo tena
Jmn mpk tuna sahau kabisa
Mashaallah tuliisubiri mda mrefu sana
Jamani Antii ata likua nimeisahau ila mpo vizurii
@tausially1377
3 жыл бұрын
Sio kwakutuma uko
Kipande kingine lini jmni tunasubirishwa saaanaaaa
Antiiii antiiii kazi unayo
@sakinat2527
3 жыл бұрын
Anayo kidogo
@sakinat2527
3 жыл бұрын
Mwanamke huyu duh, ila atakomeshwa hapo aunty akija kuwa mke mwenzake
Bora abaki tuh maan ata akiondoka mambo yashajipa💃💃💃💃
Nilimis hii kitu duuh ulituchewesha Sana mwaka huu tumwagieni tu wengini tupo oman .mwatufariji
Mpk juz nimetok kuitaft jmn nilijua mushasahau asanteni sanaa
@sallysaidy685
3 жыл бұрын
Shukran kwa Support.... endelea kuwa nasi Uburudike zaidi huku ukielimika
Bat mwanyamaza sana
Ni nzur lakn mnachelewexha Sana ad m2 unasaau mwanzo
@sallysaidy685
3 жыл бұрын
Tutajitahidi isikae saana ila tatizo ni Video Cameraman but Shukran Kwa kutizama
Masha Allah barakallahu fiik wajazakallahu khair ,I have learned alot in this series , I will learn how to take care of my man and love him endlessly
Msicheleweshe sana paka nilisaau yani. Good job
Ishallah tutajitahid Ila na nyinyi wadau mutupe sapoti zenu kwa Hali na mali
@nassoorg8832
3 жыл бұрын
Inshallah tuko pamoja sana
@aliyhemed5739
3 жыл бұрын
Inshallah lkn mnacherewa Sana mpk tunasahau ilipo ishia jitahidin inshallah
@m.mmarckus6298
3 жыл бұрын
Nilishaisahau jamni
@sharifamohammed6317
3 жыл бұрын
bidhiliniAllah tunajitaidi
@HalimaHalima-id2cb
3 жыл бұрын
Inshallah tuko pamoja
Mbona fupi ivi
mashallah allah azidi kuwapa nguvu naipenda san
@sallysaidy685
3 жыл бұрын
Aameen Allahumma Aameen Jazzakka llah ghayr
Assalam Alaikum mimi ombi langu musicheleweshe sana jaman munatukosesha Furaha za mioyo yetu
@sallysaidy685
3 жыл бұрын
Walaykum Salam Warrahmatullah Wabarakat Bi Idhn llah In Shaa Allah Tutajitahidi kulifanyia Kazi hili
alosikia zawadi wangu agonge like
@hanifaahmad8048
3 жыл бұрын
Nkajua nimemsikia peke angu
@abigailjoctan4830
3 жыл бұрын
😂😂
@deejaynahramadhani7484
3 жыл бұрын
Namm hap
Waoo niliisubiri kwa muda sana but imekuwa na muda fupi san msicheleweshe part5
Dah ujumbe kiukweli ni mzuri sana naomba muendelezo wake ili tupate kujifunza zaid
@husnamohd6081
2 жыл бұрын
Mashaallah
Nimengojea Episode hii sana
Mko vizuri ila mbona mwachelewesha utamu❤❤❤much respect from you ....coast flaver🌹🌹🌹
@amrualymsangazi2478
3 жыл бұрын
Mambo
Nilisubiri hadi nikasahau, imechelewa buh imefika pamoja sanaa
Mnachelewesha sana mwendelezo mpaka tunasahau ilipoishia
Shukran wote na twawapenda wote kwa kuwa pamoja nasi Tuanatamani tuitoe haraka Ila uwezo ndio unochangia Ila tunawajali sanna
@salehfakih4848
3 жыл бұрын
Mbona munakaaa mpaka twasahau iliishiajeee jitahidi mutoe haraka na muwe munatengeneza siries kama hizii kwa wingi tujifunze
@mamussi6872
3 жыл бұрын
@@salehfakih4848 wameshasema tatizo hawana wadhamini na fedha pia
@sadakhamis1261
3 жыл бұрын
Mungu atawasaidia atawapa nguvu kila penye zito pawe ma wepesi... Aamiin ksa sote
@bnussrahlimsantah3730
3 жыл бұрын
@@mamussi6872 ndovyo vilivyo hizi movie za maadili mazuri huwa hazifiki mbali na ndo zinamafunzo hizo za kibalaa balaa ndo zasonga kusambaa
@REY_KATUNI1
3 жыл бұрын
Tutasubiria inshaallah
Igizo zuri sana lakini mnacherewa sana muendelezo wake mnafundisha vizuri sana tuna subir hiyo harusi ya antiy na fahadi tumuone huyo mke mtu atajirekebisha aw atazidi jeuri
Maashaallah nilikuwa naisubili kwa hamu sana
Mnatusubirisha sana tupeni mwendelezo bas
Duuh! Mpaka nmesahau ilipoishia
@sallysaidy685
3 жыл бұрын
Jomonyyyyyy Usisahauuuuuuuu
Ukweli natamn usiishe huu mchezo ni mzur san san ila kipande kijacho naomba natamn kuona huyo bibi atakavyojuta kwa kumkosa mume lakn mume amrejee ili apate kujifunza kuish na mume maan jeur imezidi mnoo ..big up san
Akiondoka Antii Mume kapata urahisi wa kwenda kuongea nae na ndoa ileee haha
@mahamadabdullah451
3 жыл бұрын
Yakaribia
@momadesuali6683
3 жыл бұрын
@@mahamadabdullah451 jaman mwendelezo tunaomba
Mashallah ilikuw naisubiri kwa hamu
@hapnishazpeacegirls5628
3 жыл бұрын
Kwely
Leteniuhondo
Masha Allah ila mlichelewesha sana jmn mlikuwa wapi
Allhamdullilah nashukur tumeletewa jamani mm nilikua nimesahau mjue msitufanyie hivyo❤️❤️❤️❤️
Daaah jamani iko vzuli sana msicheleweshe mwendelenzo prs
Jamaan fahad Ana mtihan kwa mkeo
Kwa kweli najifunza mengi kupitia. Hii movei ,,mungu awabariki sana🙏
Shukran sana muendelezo tafadhali iko poa
Inafundisha jaman lkn munachelewa jaman
Hadi tulisahau yaan
tuleteeni nyengine baada ya mwaka mmoja au zaidi jitahidini eeeh
@yasminhafid5897
3 жыл бұрын
😅😅
Mashaa allah muendelezo jamani
Mwendelezo jamani nzuri sana
Muendelezo jamani twaipenda sana
Bos swaleh mnacherewa akaaaaaa
Mnacherewa sana jamni
Mashallahu kwakutuelmisha mungu awabarki kwan hayo yote yamo humu humu ktk jamii zetu
Mashallah,,ila part 5 cjui lini maana mimi part 4 mpk nikaenda kuona part 3 Ilipoishia maana nimesahau..
@mohamedijuma3722
3 жыл бұрын
Hata mm aseh
@zamdabakari6372
3 жыл бұрын
Tuko wengi
Mashaa Allah mwendelezo jamani msiucheleweshe
episode 5 hatujaona
Anti mbona haolewi
Tunasubiria muenderezo msituchereweshee
Bwana kafurahi maana atakua na nafasi nzuri ya kumfuata auntii. Ndugu ya 5 musiicheleweshee
Nzuri sana mwendelezo plz
Alhamdulillah mumetuletea part 4 maana duuuh hatanilikuwa nishaanza kusahau 💞😘
Jaman nilikuwa naisubili kwa ham asante san
Mashallah nilikuwa naisubiri kwa amu hii party 4
Mkwe mpandishe cheo mwanangu Nmeridhia kiroho safi kabisaaaaa
wadau kutoa kipindi sio rahisi kunahitaji gharama nyingi ndio maana kina kawia kwa hio ili kipindi kije hara lazima pesa nayo iwe haraka ndio watufurahishe kwa hili lazima tuelewe.
Ni nzuri ila cha 5 adi 2030
Antiiiiiii anakufaaa
Mashaallah shukran.sana kwa hii series😊 Allah awafanyie wepesi kwa kila.jambo.
Shukuran sana
Mushatoa party ya 6 au bado
Mmh huyo mwanamke nishida saut juu
Nilikuwa naisubir sanaaaa
Mmechukua mda daha naipenda sana
Nilisubiri kwa hamu kubwa sana jamani msicheleweshe sana
mashaallah,, mscheleweshe saaana muendelezo
Kiukwel film ipo vzr alhamdullillah na inajenga jamii pia inagusa mioyo ya wlioweng wenye kuifatlia lakin wahusik mnachlew kulet mwendlezo wke mpka tunasahau kbsa jitahdin bs
Masha Allah. Jamn muna chelewesha mpka tuna sahau
Assalam alaikum warahmatullah muraligani nduguzetu mpowazima kwakweli twawapa hongera na asanteni sana kwamafuzo mazuri Allah atike LA afya na Allah azidikuwashindiya katika ndotozenu
Shukurani Ira mnacherewesha adi tunashau🙏🙏🙏❤️❤️😢😢
Masha Allah Hongereni sana Sana salma na fahad mmejua kuitendea haq
Mashallah Allah awalipe kwa mafundisho yenu nimefurah Sana haya mambo Yapo
, jamani msituchelewshee uhondo
@sallysaidy685
3 жыл бұрын
In Shaa Allah soon inakuja
Muandelezo ilaa lunaichelewesha sana😍😍
Move nzur sana
Ni nzuri ila mwachelewa kuleta mwendelezo mwambooo
Antiy pole saana
Hiyo sio dawa yakumfukuza anti kamwe umepeana nafac vzr bibie
@aishaabdallah4560
3 жыл бұрын
@Rukaiya Rukaiya umeonaee n mfano huo wapo dada zetu wenye style hiyo
Maa Shaa Allah,,,tunasubiri Antii part5 In Shaa Allah
@sallysaidy685
3 жыл бұрын
In Shaa Allah
Next episode please 🙏 mbona mwaka ujao lakini mtupe
Thanks my nilikuwa naisubiri kwa Hamm antiii
Muna tucerewesha sana kabisa😭😭hadi na liya
@sallysaidy685
3 жыл бұрын
Jomonyyyyyy usilieeee My dear Ndy Tunalifanyia kazi hilo swala Cameraman wasumbufu saana
Move safi sana Anti unastahiki kwa mke.
Hubby ni mwanaume na habibty ni mwanamke rekebisheni
@maherzain615
3 жыл бұрын
Hubby yatumika kote
Lakini muri kawiya san jaman turi wamisi sana hakuna zingine sinem zenu
Pt 5 pls jamaniii
@princess.s.r7446
3 жыл бұрын
Adi mwisho wa mwaka🙄🙄🙄
Mnachelewesha sana lakin jamani
MaashaAllah naufatilia sana huu mchezo mzur kweli tuleteeni muendelezo mnaukata patam hasa
@saumujabir7533
3 жыл бұрын
Mashaallah
Ndoa niuvumiliv lkn syo hii jamn Mwenyez Mungu niepishe jmn me nitakufa mapema duuuuh!!!
Mwendelezo mnachelewesha
Nzuri sana hongereni watunzi
Napenda sana
Mashallh