Karibuni katika chenel yetu hiii ya MASH TV, ambayo inaelimisha jamii kupitia filamu za maadili,qaswida na darsa mbalimbali pamoja na duwa na hata tiba za kisuna. Tunapatikana bububu kihinani unaweza kuwasiliana nasi kwa no +255717513191 au +255773950250
au kwa email madrasashoptv@gmail,com
tunapokea matangazo ya biashara yenye maadili katika dini yetu ya Kiislamu hivo karibuni sana na pia tembelea chanel yetu ingine ya madrasa shop tv online
Пікірлер
Maashaallah
Mashallah qaswid mzr
Mmmh ndoto gan mmetupiga na kitu kizito 😂😂😂
Ee jamani huyu Antii mbona hivyo hadi kero
Duuh ee mwenyezi Mungu tusaidie wafanyakazi wa ndani mitiani kama yote
Maashaallah
Sasa apo fanya maamuzi isiwe ndoto tena
Msiniambie mambo yote Yale ilikuwa ndoto
Kazizenu nizulisasa
Nimeipenda kaziyemu nizulisana
Mashallah mashallah Nzuri qaswida
mm sielewi hapo maan tayari alikuwa mke mdogo wa fahad lakin saiv n mfanyakaz
maashaallah Allah azidi kuwaongezea vipaji vyenu tuzidi kuriwahika❤
k
Mashallah ongereni qaswida nzur❤
Maa Shaa Allah Allahu Baarik
Mashaallah mashaallah Mashaallah mashaallah Mashaallah mashaallah
❤❤Maashallaah hii ni kali sana by: hassan hamid
Doooh mshafuzu nyie🙌
🙏🙏🙏🙏mashaallah
Mashaallah❤❤❤❤
Mashaallah mmependez saan
Mashaallah ❤❤
Maqam imetulia
Dooh Baaaaasss vittaaah
Dooh Baaaaasss vittaaah
Dooh Baaaaasss vittaaah
Maa shaa Allah Maa shaa Allah Jambo Adhwiima kabisa vijana wangu❤
mashaallah
MASHAALLAH
Masha'llah
Masha'llah
Masha'llah
Mashaallah Qaswida nzur sana
Mashallah qwaswid mzur
Na mm nina chaneli naitwa mr makame
Jmn NAOMBA sapoti na mm katika hili
Usijali
Jmn mbona mnaichelewesha sana mpk tunasahau
❤❤❤ hi iko good
Ndoto imepoteza uhondo wa hii filam sielew ata alaf nmnachelewesha 🤣
Hongereni Kwa kazi nzuri
Jaman nzur san inafurahisha sana
Shukran
Mashalllah.
Duh hata nilisahau coz kila saa nilikuwa nikifatilia episode 15yani leo kama bahati nimepata next but musicheleweshe tena rinnah kiboko ya samran😂😂😂😂😂😂nitampatia chakula shemegi kuna wewe
mungu akupewepesi
Good kaka nimependa
Nice
❤MashaAllah qaswida inatuhimiza ibaada
😮😮😮😮😮