ANTII NO : 11 : TAMTHILIA YA MAADILI | OFFICIAL HD VIDEO | MASH TV |MADRASA SHOP TV ONLINE
Ойын-сауық
HAKIKA MAISHA SIKU ZOTE HAYARUDI NYUMA BALI NI YENYE KWENDA MBELE HV KUWA MAKINI NA MUDA ULIOOPO ILI UFANYE MAAMUZI SAHIHI
KWANI UAMUZI WOWOTE HUENDA UKAWA IMA FURAHA KWAKO AU MAJONZI KWAKO
TAMTHILIA HII YA ANTII ITAKUPA SOMO ZURI UWEZE KUJIFUNZA
USISAHAU
SUBSCRIBE LIKE COMMENT SHARE
MASH TV
CONT:
+255773 950 250
255717 513 191
MKONO KWA MKONO MPAKA TSHIKAMANE
Пікірлер: 303
Abubakar salum kun mtu humu mmefanan kweli, naomb like kam unafatilia😃
Mwanamke huyo mmmmmhhhhh naomba like zenu jamanii
Asante sana kweli like 👍 zinaitajika I’m from USA 🇺🇸 nawapenda ❤
@madrasashoptvonline4175
Жыл бұрын
Ahsante Sana
Mashawah kaz nzr❤
Mnachelewesha sana mungu awabariki sana🙏🙏🤲❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Wa pili Leo jmn like zangu
@lightnessmsuya3170
Жыл бұрын
Mbona hukunishtua jmn ....
@afanalbahri7205
Жыл бұрын
@@lightnessmsuya3170 oooh my samahan niliimis htr sijakukumbuka
@user-wh4pr5hy7t
10 ай бұрын
Jamani tuwaombee Dua kwa allah
Aaah thubutu eti kumtia adabu mwanamke ni kumpiga mnajidanganya huwez kumfundisha adabu Kwa kumpiga,,,part 12 msicheleweshe nzuri sana
Aisee leo imezidi utamu..... Ila nimejifunza kitu kuhusu marafiki... Najua hapo mwisho kuna mmoja wapo anaota kati ya antii au salma sio real hiyo
Asante kwa iyo samahani tunawaomba mujitayidi kutupatiya iyi movie marapili mwaweek moja
Wow kazizenu n nzuri ak nawapenda sn
Good kazi nzuri sana kabisa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mwanandoa Kuna vitu vya kujifunza kupitia marafiki
@user-qs8bi1eq8j
3 ай бұрын
Kabisa yaan
Nawependa vyote mashalla
Hongereni snaa wapendwa.... Allah Azidi kuwapa kipaji zaid inshaAllah
@abubakaryusuph6555
Жыл бұрын
Allaahumma aamiin
Mashaallah mashaallah silaliii mpaka niangalie maana Kila nikiingia KZread tu lazima niangalie kama mambo tayariii😍😍😍😍
Very nice pamoja sanaa
I like this movie nimeacha Kila kitu I just follow it much love from Kenya 😍😍
Mashaallah filamu nzuri na ina mafundisho mazuri pia Mashaallah....ila rafiki kazidi ssa umbea looh🙄
Sheh mshika mbili Moja humponyoka
antii bora uondoke mzembe uyoo
Jaman nzur san inafurahisha sana
Hi tamthillia Tamu Sana kuliko hata unavyofikria afu inafundisha tatizo mnakaa sana mpaka tunawasahau
@swaumdodoma7591
Жыл бұрын
Wanasema hawana mdhamini
@auntmakochela4202
Жыл бұрын
Sana inachelewa mno miez had miez
@nasmamponde5737
Жыл бұрын
@@swaumdodoma7591 tamthilia za hovyo zinasapotiwa zinazofunsishwa hawana muda nazo nzuri Sana hii
Hawa wanawake n wazuri mashallah tena wote 😍😘😘😘
Natoka mbio, nimeipenda
Hee shoga mpk unakera sas,,😍☹️
Alihamdulillah leo nmewah
Hongereni nyoote naingoja
Aseeee mashoga sio wazuriii uwiiiiiiiii nimejifunza kitu🤔
Mashaallah asante kwa mafuzo mazur🥰🥰🥰🥰🥰
Ma Shaa Allah tamthilia nzuri sana na yenye mafunzo keep up the good work wapenzi
Subhanallahh fitna jamaninmbaya anenda kulikoroga huku na kule hii tabia sio nzuri kwakweli
@husna34562
Жыл бұрын
Yapo sana Allahu musta'an 😢
Antii leo kuamua kukinukisha had raha
Mwendelezo jmn
Mashallah naipend san hii
Mnachelewesha xana
Naipenda Sana jamani
Jaman msitucheoeweshe sana jaman 😥imemaliza pabaya jaman😔pls msituache mpk tukaiahiwa ni ham😊😥
Mashaallah huyu sio shoga sahihi nimgombanisha balaaa laki mungu awazidishiye kipaji chenu
Lazma amuoe c kila kitu antiiii
Antiii 🥰🥰🥰🥰 mashaallah
Nzuri sana na ina funzo
Mashaallah asanteni kwakutuletea tamthilia hii naipenda sana💖💖💖
Maashaa Allah Shukran sana kwa Ujumbe mzuri
Mm wakwaza leo
Asanten sana ALLAH awalipe jannatul firdausi
@abubakaryusuph6555
Жыл бұрын
Allaahumma aamiin
Antiiii na hicho kisu umemfanya nini kibonge mayeleee subhanallah 😱
@ukhtyreynahrahma1863
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃
Mnatuchelewesha bwana
Mnazungumza saana inamaliza party hujapata kitu chochote kilichokusudiwa jitahidini kupunguza maneno.
@abubakaryusuph6555
Жыл бұрын
Hebu zidi kuwaweka waz huko kupunguza maneno kivip
Mashallah mnaigiza vzur Ila nna ushaur kwa Antii N vzur zaid ungekua unajifunga vzur mtandio wako km vipande vya mwanzo Mana saiv shingo anabak waz sana
@rizikladyherson8451
Жыл бұрын
Antii kashatibuliwa n jirani😂😂😂😂
@hudhaifatabdi5517
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hyo dada anaboa kweli khaa
@daudbusanji2586
Жыл бұрын
Hayo mambo yapo lakini na tunayaona
@sophiaabdallah7821
Жыл бұрын
@@daudbusanji2586 haswaaa ndo maish yetu
Watching from saudi 🇸🇦 next plz 🤣🤣
@huaweiapphuaweiapp5197
Жыл бұрын
Same here to me 🤣🤣
Kimeumana duh mambo ni fire
Doohhh kweli mateso ya ndoa n urithi Kwa haya ninayo yaona hapa Kwann baadhi ya wanaume ss hatuna maamuzi
Mnaleta Lin muendelezo was anti kuanzia sehem ya 12
Dda si kwa umbea huoo looh!! 😜
Mashallah ila huyu fahad kazubaa ananiboa
Mashaallah mwendelezo jmn Ani tam htr😍😍
Mashaallah
Jamani musiwe munalaumu kwa sababu wanahitaji pesa na vile vile wanarekebisha tusiwe tunalaumu
Huyu mmbea noma kwel apewe Kaz ya usalama t
Nzuri sana sema mnacherewa sana
Mashaallah jaman tamthilia nzur sana
Kupiga co ushaur
Mmh imenoga nzuri sn
Mashaa Allah tabaraka Allah Ila mwachelewa kutuletea siku hizi
@zulfahussein6784
Жыл бұрын
Tatizo hawana wadhamani labda ndio maana yaani na Allaah awajalie sababu wanaelimisha jaamani
Yarabi.tulinde
❤mashaallah
Antiii😘😘😘😘
Leo mm wakumina 11
Mashaallah Allah awape kheri
Mashaallah ❤❤🔥🔥🔥🌹👌👌
@farajakandonga3994
Жыл бұрын
Number 12
MashaAllah
Mnachelewesha sana jamani
Muendelezo please 💖💖💖
Leo Maa sha Allah
Naipenda sn next plz
Mashallah
Kweli kuna watu wengine hawapendi kheri za watu daah
niliimic jaman♥️🤗🥰
Next episode please ❤️much love from 974 doha
@fatmaally9357
Жыл бұрын
Watu wa doha Kujeni uku tuko apa
@lamk-lt6dp
Жыл бұрын
Apa episode ya 12 mpaka miezi miwili iishe
@AsmaAsma-gd3mv
Жыл бұрын
@@fatmaally9357 sister uko pw
Mashaallah nikiikosa naumia yan
shukurani sana nawapenda wote
MASHAALLAH next plz
Mwenderezo naipenda muno❤️❤️❤️❤️
Unayataka mateso bro huyo mke unamuacha maisha yanaendelea
😂😂😂😂😂 nmecheka kwa saut jmn shoga mtu ana vtuko uyo 😅😅😅😅. MashaaAllah Allah kaz nzr Allah azd kuwapa kipaji mzd kutufunza maisha ya ukewenza najifunzaa meng kupitia tamthilia hii.
Watano Bora Leo
Napenda sana hij tamthiria
Mashallah Yani munajua kutuelimisha
Mashaallah shukran sana
ANTII : fanyeni japo kwa kila wiki moja itoke episode 1 bc
@m.mmarckus6298
Жыл бұрын
Nilishaisahau mir
@rahmamshana182
Жыл бұрын
Kabisaa
Mnachelewa jamani mashallah
Jaman mbona sipati ya 12 na mwwndelezo
Masha Allah ❤️❤️
Daah kuw n rafki mnafiki kam huyu ni tatz bora kutokuw n rafki kbsaa haaa mtu mnafiki tyuu hata hayaaa hanaa😏😏😏
@salwasuleiman3525
Жыл бұрын
Kweli marafiki wengine mtihan
Maashaallah ballaaaa
Mashaa allha
Anti antii antii mlaan shaitwan mama unaend fanya niniii jmn 😔😔😔
@sumaiyaabdallah9520
Жыл бұрын
Wee
@husna34562
Жыл бұрын
Hujambo Sofia wa juma 😄 🤣 😂 au kazola
@sophiaabdallah7821
Жыл бұрын
@@husna34562 🤣🤣🤣🤣🤣m Sophia w kazoraaaa
Hatari nyumba zote mbili zinaungua Moto kwa bi mkubwa moto kwa bi mdogo ndo hatar
@swaumdodoma7591
Жыл бұрын
Mwaume hana msimamo utakubaliji mwanamke akupande kichwani kiasi hizo si umurudishe ulikomtolea
Inachelewa jaman Mngepata wadhamin wazur tungefaid
@madrasashoptvonline4175
Жыл бұрын
Shukran ila mnayo nafac ya kututaftia wazamin