Annoint Amani - Haina maana ( Official music video Album vol,10 )
Музыка
#hainamaana#annointamani#
Lengo la Mungu kubariki wengine ,yule alipata kidogo au kingi agawane na wengine,
Ukweli haina maana unafurahia maisha mwenzio anapata shida ,
Hata kama hufai kutoa vyote,lakini jitaidi angalau wenzio waionje furaha yako kulingana na uwezo ulio nao 🙏,
Annoint Amani
Song,Haina maana
language Swahili)
Tiktok ,Annoint Amani tz,
WhatsApp & call
👇
+255767240181 = +255755099942 )
👇
Video directed by Mr,
+255748262634 )
audio ,A.E.A tones studio prod by Meddy
+255748262634 )
Dar es Salaam Tanzania )
Пікірлер: 154
Mm mwisilam lkn nakubari sana kaka nagombana na watu kwajiri yako hawataki nikisikiliza nyimbo zako
@estermachea3373
Ай бұрын
Usiache kusikiliza unapata baraka sana kaka yangu
@annointamani3285
Ай бұрын
WOOW NAMSHUKURU MUNGU KWA KIBARI , Asante sana kwa sapot yako rafiki yangu, Anae kuvutia kusikiliza nyimbo zote ni Yesu anaeimba ndani yangu 🙏,Karbu sana siku moja ntafurah tukiwa pamoja 🙏
@MargaretAtieno-xx7ys
Ай бұрын
Woow barikiwa Sana mtumishi uko juu sana
@swaibushemdoe2143
Ай бұрын
@@estermachea3373 Asante sana dada angu
@rynkenya3706
Ай бұрын
Washindwe devil is at work bt watatulia
Wimbo tamu sana.. Pokea upendo toka Kenya ... Tuzidi kusifu mungu pamoja.
Brother much love ❣️❣️❣️
Wimbo mzuri sana mungu akubariki sana azindi kukupa neema Kila wakati❤
Nimekua nikisubiri kwa ham Sana HUU wimbo ee MUNGU unajua sababu MUEKE MTUMISHI WAKO AZIDI KUKUTUMIKIA BEST SONG EVER❤
Iam watching from Saudi but iam from kenya 🇸🇦 🇰🇪 ❤
Katonda wange...Mukama wange.......Ugandans where are you? Nice song. Thanks Amani
@KomuhendoPeace
Ай бұрын
We are here for him more blessings 🙏🙏🙏
@kwagalavkylydia7914
Ай бұрын
@@KomuhendoPeace Thanks dear for the solidarity.
Watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wimbo mzuri sana mungu azidi kukuinua
Omukama wange Booojo🤲🤲🤲
Kutoka kenya nakukubali my brother may God bless you ❤❤❤❤
Katonda wangee..omkama wangee ,yooo tukumbukee,wow ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@willbroadkaizirege4470
Ай бұрын
Katonda waitu niwe mulinzi waitu ebilo byoona
Kali sanaaaaaaaaaaa
Kaka mungu akubariki ujimbe wako unaendana na majanga ya mwaka huu wengine wanashelekea maisha wengine wanateseka mungu akubaliki sana tueaombee wezetu kiujumla
If you Know you always be blessed with Songs from this our best Young musian Say God bless him by liking this comment 🙏🙏
Am watching from Saudi Arabia ila nmetoka kenya wow hapo sawa bro mungu kukupa nguvu za kumsifa yy tu❤❤❤🎉🎉😊😊😊
Congrats bro
Tuzid kumuomba mwenyez mungu bila yeye si sio kitu Asante yesu 🙏
Amen mungu nkumbuke namm naukumbuke wengine
bonsoir je vous suit depuis le Burkina Faso mais je comprends les paroles mais ça me touche que vous bénisse
Amen 🙏🙏,tukumbuke,katonda wangee, listening 🎧 from KENYA 🇰🇪🇰🇪
@mbambujanet9362
Ай бұрын
This is from Uganda ❤❤❤❤katonda Wenger means my God
Aki wembo u naupenda sana
Kazi safi🎉🎉🎉
Nice song
This touches more, i feel it in my heart
Lit 🇰🇪💪
I like the message may God continue blessing you in Jesus name 🙏
Be blessed annoint amani amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Atumbuke kabisa😢
Napenda wimbo sana
God as you bless me also bless others 🙏much love from❤🇰🇪
Wow,
Mtumishi wa mungu
❤hii location nimeakumuka
Am blessed.thanks alot for the nice song ❤❤
Amen 😢🙏🏽
❤❤❤❤❤nice soñg keep it up brother 😭😭😭🤲🤲🤲🇰🇪🇰🇪
WOW - THIS IS NEW STYLE - AMAZING - THANKS GUYS.
Umetukumbusha maana ya DINI YA KWELI NI MATENDO mema SI majina yaliyosajiliwa kwenye mamlaka za dunia
kazi njema brother, nyimbo ya kubariki Mungu akuongezee uendelee kutumika
Hongera Amani.. nyimbo nzuri sana
Napenda nyimbo zako keep it up
Congrats bro keep on
Nashukuru tu kaka Annoint kwa nyimbo zako ,,,zinanitia nguvu kama yesu naomba miguu,,,,jitu la mbinguni ,,,,,wewe ni nani,,,ulichagua kunichukia na mengine natamani nikuzawadi kaka ukija kenya please 🙏🙏🙏🙏🙏
God bless you♥
Hongera sana mtumishi wa Mungu, Much love from 🇰🇪
Kama Saida Kaloli🎉
Kazi safi kaka keep it up 🙏
Truth and facts, am blessed again to hear from you
Nyimbo zuri Sana kaka mimi na Familia yangu yote keep up love from Kenya ❤❤
Amina 🙏
Watching from Kenya kazi nzuri sana brother keep it up
Amen,mungu anapokubariki atubariki na sisi wengine,wimbo mzuri sana
God bless you brother keep going 🙏🏿
Nice song🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa kweli sisi tunaokufahamu umeimba uhalisia na matendo mema unayoyatenda,hongera Sana.
Natamani niimbe na wewe ju sauti yako iko sawa na mm nimsanii chipukizi
Wimbo wa maama sana.nilikuwa fan wako sana kutóka kenyà wakàti ulisema eti rúto alishinda basi nikakoma kusikiza zako nyimbo.lakini msamaha upo
Wow 💪
Unajua kuimbaa Sana brooo mungu ibariki kazi ya ndugu yetuu Annoint kijana mwenzangu 🙏🙏🙏🙏❤️🇹🇿🇹🇿
@willbroadkaizirege4470
Ай бұрын
Mungu akazidi kumpandisha viwango vingine. Amina.
Glory be to GOD 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
wash and wear!!!God kindly help your people ,Katonda wange!!
@willbroadkaizirege4470
Ай бұрын
Katonda mulinzi wa boona
Lesson kubwa sana
Amen 🙏
Hii wimbo naisikiza mara Tano daily naipenda sana juu ya massage yake
Safi sana kaka Mungu azidi kukuongoza wa BUKOBA KAGERA TANZANIA naomba like zenu bc pls🙏
@willbroadkaizirege4470
Ай бұрын
😅😅😅😅
@EDWINCLEOPHACE52
Ай бұрын
@@willbroadkaizirege4470 Ekyakushekya nikiiya waitu anga mashemelelwa?
@EDWINCLEOPHACE52
Ай бұрын
Mwenyewe nipo BUKOBA kabisa hadi sasa nipo hapa Hamgembe karibuni sana.
Amina
Amen
Mm nimkenya ila nakubali kazi yako #wimbo mzuri sana
Wimbo huu unagusa sana,barikiwa sana Annoint
@willbroadkaizirege4470
Ай бұрын
Mungu na akabariki Kaka Annoint
Katonda remember us 🙏🙏🙏 indeed
@willbroadkaizirege4470
Ай бұрын
Ameen....!!!
Wow wow to God be the glory
@willbroadkaizirege4470
Ай бұрын
Ameen
Annoint, Annoint, nakuita mara nyingine Annoint, Mungu akupaishe utukufu hadi utukufu, duh, unaimba hadi mbingu zatikisika. ❤
@willbroadkaizirege4470
Ай бұрын
Amina.
Barikiwa Sana mtumishi
KAMA wewe umesha pitiya shida Nazani Wimbo uhuu umekubariki vya kutosha umaskini Nimateso sijuwi KAMA Nawewe unahamini ilo Analo Nisema Mtu wa Mungu Annoint Amani Omba Mungu Leho kupitiya Wimbo uhuu Akika Mungu Atakubariki Tupo DRC CONGO Lubumbashi Nakuombeya Neema Na Baraka wewe unaye sikiya Wimbo uhuu Naitwa NABII BIKEMWA Mtoto wa UVIRA
Satisfait
🙏🙏🙏Amina
Safi sana
Hallelujah big time to you brother, a smile on my Chick after hearing katonda wange wawoo and l was tortured mentally Amen watching from Saudi Arabia but Ugandan love my continent!!!
Jamani kaka umeimba, utukufu kwa Yesu
Ubarikiwe Sana yani
This one you winning it love sooooooooooo much keep moving and more blessing upon you
Wooow powerful song
❤❤
Amen God when you bless me also bless my neighbours keep it up bro love ❤ from Kenya 🇰🇪
@willbroadkaizirege4470
Ай бұрын
God is everything always.
Safi kabisa brathy
Thanks Brother Annoint for this wonderful message. God bless you keep you to bless us more
Haina maana nikifanikiwa peke yangu ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏
Be blessed ❤❤❤❤❤❤ mtumishi wa Mungu ♥️❤️♥️
wewe Ni jembe wa kristo Dady
Anointed man of God 🙏
Mungu mwema😂😂😂❤❤❤🇰🇪🇺🇬kweli🙏
This song is deep😢😢😢 Tuombeane Tukumbukane,🧘🙏
🙏🙏🙏🙏
I am watching from Europe I love so much your songs, May God continue blessing you 🥰🥰
Great amani keep it up
Haukosei kila nyimbo
Good song be blessed
Niliota io neno umeiba
True, God song
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏 love from Zambia