Annoint Amani - Haina maana ( Official music video Album vol,10 )

Музыка

#hainamaana#annointamani#
Lengo la Mungu kubariki wengine ,yule alipata kidogo au kingi agawane na wengine,
Ukweli haina maana unafurahia maisha mwenzio anapata shida ,
Hata kama hufai kutoa vyote,lakini jitaidi angalau wenzio waionje furaha yako kulingana na uwezo ulio nao 🙏,
Annoint Amani
Song,Haina maana
language Swahili)
Tiktok ,Annoint Amani tz,
WhatsApp & call
👇
+255767240181 = +255755099942 )
👇
Video directed by Mr,
+255748262634 )
audio ,A.E.A tones studio prod by Meddy
+255748262634 )
Dar es Salaam Tanzania )

Пікірлер: 154

  • @swaibushemdoe2143
    @swaibushemdoe2143Ай бұрын

    Mm mwisilam lkn nakubari sana kaka nagombana na watu kwajiri yako hawataki nikisikiliza nyimbo zako

  • @estermachea3373

    @estermachea3373

    Ай бұрын

    Usiache kusikiliza unapata baraka sana kaka yangu

  • @annointamani3285

    @annointamani3285

    Ай бұрын

    WOOW NAMSHUKURU MUNGU KWA KIBARI , Asante sana kwa sapot yako rafiki yangu, Anae kuvutia kusikiliza nyimbo zote ni Yesu anaeimba ndani yangu 🙏,Karbu sana siku moja ntafurah tukiwa pamoja 🙏

  • @MargaretAtieno-xx7ys

    @MargaretAtieno-xx7ys

    Ай бұрын

    Woow barikiwa Sana mtumishi uko juu sana

  • @swaibushemdoe2143

    @swaibushemdoe2143

    Ай бұрын

    @@estermachea3373 Asante sana dada angu

  • @rynkenya3706

    @rynkenya3706

    Ай бұрын

    Washindwe devil is at work bt watatulia

  • @brianuniquecop943
    @brianuniquecop943Ай бұрын

    Wimbo tamu sana.. Pokea upendo toka Kenya ... Tuzidi kusifu mungu pamoja.

  • @leilaathumani3611
    @leilaathumani3611Ай бұрын

    Brother much love ❣️❣️❣️

  • @CosmasMaweu-vl4qk
    @CosmasMaweu-vl4qkАй бұрын

    Wimbo mzuri sana mungu akubariki sana azindi kukupa neema Kila wakati❤

  • @winfredwavinya4014
    @winfredwavinya4014Ай бұрын

    Nimekua nikisubiri kwa ham Sana HUU wimbo ee MUNGU unajua sababu MUEKE MTUMISHI WAKO AZIDI KUKUTUMIKIA BEST SONG EVER❤

  • @Madina-uw6ce
    @Madina-uw6ceАй бұрын

    Iam watching from Saudi but iam from kenya 🇸🇦 🇰🇪 ❤

  • @kwagalavkylydia7914
    @kwagalavkylydia7914Ай бұрын

    Katonda wange...Mukama wange.......Ugandans where are you? Nice song. Thanks Amani

  • @KomuhendoPeace

    @KomuhendoPeace

    Ай бұрын

    We are here for him more blessings 🙏🙏🙏

  • @kwagalavkylydia7914

    @kwagalavkylydia7914

    Ай бұрын

    @@KomuhendoPeace Thanks dear for the solidarity.

  • @Peninnah-hi1lx
    @Peninnah-hi1lxАй бұрын

    Watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wimbo mzuri sana mungu azidi kukuinua

  • @willbroadkaizirege4470
    @willbroadkaizirege4470Ай бұрын

    Omukama wange Booojo🤲🤲🤲

  • @user-rt6fh1wf3t
    @user-rt6fh1wf3tАй бұрын

    Kutoka kenya nakukubali my brother may God bless you ❤❤❤❤

  • @justerkamala3933
    @justerkamala3933Ай бұрын

    Katonda wangee..omkama wangee ,yooo tukumbukee,wow ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @willbroadkaizirege4470

    @willbroadkaizirege4470

    Ай бұрын

    Katonda waitu niwe mulinzi waitu ebilo byoona

  • @thekipandes
    @thekipandesАй бұрын

    Kali sanaaaaaaaaaaa

  • @NeemaMateleka
    @NeemaMatelekaАй бұрын

    Kaka mungu akubariki ujimbe wako unaendana na majanga ya mwaka huu wengine wanashelekea maisha wengine wanateseka mungu akubaliki sana tueaombee wezetu kiujumla

  • @Fol189
    @Fol189Ай бұрын

    If you Know you always be blessed with Songs from this our best Young musian Say God bless him by liking this comment 🙏🙏

  • @manisobblowi8894
    @manisobblowi8894Ай бұрын

    Am watching from Saudi Arabia ila nmetoka kenya wow hapo sawa bro mungu kukupa nguvu za kumsifa yy tu❤❤❤🎉🎉😊😊😊

  • @BonifaceKimuli
    @BonifaceKimuliАй бұрын

    Congrats bro

  • @Mobilo-dv5yc
    @Mobilo-dv5ycАй бұрын

    Tuzid kumuomba mwenyez mungu bila yeye si sio kitu Asante yesu 🙏

  • @marynyanje3904
    @marynyanje3904Ай бұрын

    Amen mungu nkumbuke namm naukumbuke wengine

  • @lazarebama8876
    @lazarebama8876Ай бұрын

    bonsoir je vous suit depuis le Burkina Faso mais je comprends les paroles mais ça me touche que vous bénisse

  • @maurinekipkoech2354
    @maurinekipkoech2354Ай бұрын

    Amen 🙏🙏,tukumbuke,katonda wangee, listening 🎧 from KENYA 🇰🇪🇰🇪

  • @mbambujanet9362

    @mbambujanet9362

    Ай бұрын

    This is from Uganda ❤❤❤❤katonda Wenger means my God

  • @user-lf7ow5hd2d
    @user-lf7ow5hd2dАй бұрын

    Aki wembo u naupenda sana

  • @joshfaulu2156
    @joshfaulu2156Ай бұрын

    Kazi safi🎉🎉🎉

  • @user-mk1bl2fw6w
    @user-mk1bl2fw6wАй бұрын

    Nice song

  • @sheddywisdomofficial
    @sheddywisdomofficialАй бұрын

    This touches more, i feel it in my heart

  • @mtumbili
    @mtumbiliАй бұрын

    Lit 🇰🇪💪

  • @JulietKiyeng-ln9to
    @JulietKiyeng-ln9toАй бұрын

    I like the message may God continue blessing you in Jesus name 🙏

  • @fredmambo8500
    @fredmambo8500Ай бұрын

    Be blessed annoint amani amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @pendotv5110
    @pendotv5110Ай бұрын

    Atumbuke kabisa😢

  • @jeanmariesemahore8873
    @jeanmariesemahore8873Ай бұрын

    Napenda wimbo sana

  • @paulinanduku2748
    @paulinanduku2748Ай бұрын

    God as you bless me also bless others 🙏much love from❤🇰🇪

  • @kipchumbavincent2837
    @kipchumbavincent2837Ай бұрын

    Wow,

  • @swaibushemdoe2143
    @swaibushemdoe2143Ай бұрын

    Mtumishi wa mungu

  • @EvangelistJsolomonMkwata
    @EvangelistJsolomonMkwataАй бұрын

    ❤hii location nimeakumuka

  • @RaphaelOgol-gv8qq
    @RaphaelOgol-gv8qqАй бұрын

    Am blessed.thanks alot for the nice song ❤❤

  • @leilaathumani3611
    @leilaathumani3611Ай бұрын

    Amen 😢🙏🏽

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤nice soñg keep it up brother 😭😭😭🤲🤲🤲🇰🇪🇰🇪

  • @F.S.L.C.
    @F.S.L.C.Ай бұрын

    WOW - THIS IS NEW STYLE - AMAZING - THANKS GUYS.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464Ай бұрын

    Umetukumbusha maana ya DINI YA KWELI NI MATENDO mema SI majina yaliyosajiliwa kwenye mamlaka za dunia

  • @user-em8ir2qq8x
    @user-em8ir2qq8xАй бұрын

    kazi njema brother, nyimbo ya kubariki Mungu akuongezee uendelee kutumika

  • @juliusmusyoki78
    @juliusmusyoki78Ай бұрын

    Hongera Amani.. nyimbo nzuri sana

  • @margaretoajango-il7vy
    @margaretoajango-il7vyАй бұрын

    Napenda nyimbo zako keep it up

  • @user-dq1go7kd1z
    @user-dq1go7kd1zАй бұрын

    Congrats bro keep on

  • @santanabii5374
    @santanabii5374Ай бұрын

    Nashukuru tu kaka Annoint kwa nyimbo zako ,,,zinanitia nguvu kama yesu naomba miguu,,,,jitu la mbinguni ,,,,,wewe ni nani,,,ulichagua kunichukia na mengine natamani nikuzawadi kaka ukija kenya please 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @WemaNella
    @WemaNellaАй бұрын

    God bless you♥

  • @Phoebenafula
    @PhoebenafulaАй бұрын

    Hongera sana mtumishi wa Mungu, Much love from 🇰🇪

  • @simonphabiano9050
    @simonphabiano9050Ай бұрын

    Kama Saida Kaloli🎉

  • @bensonmailu
    @bensonmailuАй бұрын

    Kazi safi kaka keep it up 🙏

  • @JuliusAtulo
    @JuliusAtuloАй бұрын

    Truth and facts, am blessed again to hear from you

  • @user-lp5fv1on9d
    @user-lp5fv1on9dАй бұрын

    Nyimbo zuri Sana kaka mimi na Familia yangu yote keep up love from Kenya ❤❤

  • @user-pw8ml6ts8r
    @user-pw8ml6ts8rАй бұрын

    Amina 🙏

  • @titusangore2912
    @titusangore2912Ай бұрын

    Watching from Kenya kazi nzuri sana brother keep it up

  • @catherineonyamo-vb3zd
    @catherineonyamo-vb3zdАй бұрын

    Amen,mungu anapokubariki atubariki na sisi wengine,wimbo mzuri sana

  • @mikejmusic254
    @mikejmusic254Ай бұрын

    God bless you brother keep going 🙏🏿

  • @emmacradamumo9828
    @emmacradamumo9828Ай бұрын

    Nice song🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jesikakamwabusila15
    @jesikakamwabusila15Ай бұрын

    Kwa kweli sisi tunaokufahamu umeimba uhalisia na matendo mema unayoyatenda,hongera Sana.

  • @JoshuaMenza
    @JoshuaMenzaАй бұрын

    Natamani niimbe na wewe ju sauti yako iko sawa na mm nimsanii chipukizi

  • @carenkimonge6374
    @carenkimonge6374Ай бұрын

    Wimbo wa maama sana.nilikuwa fan wako sana kutóka kenyà wakàti ulisema eti rúto alishinda basi nikakoma kusikiza zako nyimbo.lakini msamaha upo

  • @GospelSupporters
    @GospelSupportersАй бұрын

    Wow 💪

  • @lwzmangulu7532
    @lwzmangulu7532Ай бұрын

    Unajua kuimbaa Sana brooo mungu ibariki kazi ya ndugu yetuu Annoint kijana mwenzangu 🙏🙏🙏🙏❤️🇹🇿🇹🇿

  • @willbroadkaizirege4470

    @willbroadkaizirege4470

    Ай бұрын

    Mungu akazidi kumpandisha viwango vingine. Amina.

  • @user-gs6ks7ic1w
    @user-gs6ks7ic1wАй бұрын

    Glory be to GOD 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @emmahokore2531
    @emmahokore2531Ай бұрын

    wash and wear!!!God kindly help your people ,Katonda wange!!

  • @willbroadkaizirege4470

    @willbroadkaizirege4470

    Ай бұрын

    Katonda mulinzi wa boona

  • @DiminaMakuto
    @DiminaMakuto14 күн бұрын

    Lesson kubwa sana

  • @prayer254
    @prayer254Ай бұрын

    Amen 🙏

  • @EmmahMueni-ej5nq
    @EmmahMueni-ej5nqАй бұрын

    Hii wimbo naisikiza mara Tano daily naipenda sana juu ya massage yake

  • @EDWINCLEOPHACE52
    @EDWINCLEOPHACE52Ай бұрын

    Safi sana kaka Mungu azidi kukuongoza wa BUKOBA KAGERA TANZANIA naomba like zenu bc pls🙏

  • @willbroadkaizirege4470

    @willbroadkaizirege4470

    Ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @EDWINCLEOPHACE52

    @EDWINCLEOPHACE52

    Ай бұрын

    @@willbroadkaizirege4470 Ekyakushekya nikiiya waitu anga mashemelelwa?

  • @EDWINCLEOPHACE52

    @EDWINCLEOPHACE52

    Ай бұрын

    Mwenyewe nipo BUKOBA kabisa hadi sasa nipo hapa Hamgembe karibuni sana.

  • @sakinasampamba705
    @sakinasampamba705Ай бұрын

    Amina

  • @phyllisafandi9943
    @phyllisafandi9943Ай бұрын

    Amen

  • @JoshuaMenza
    @JoshuaMenzaАй бұрын

    Mm nimkenya ila nakubali kazi yako #wimbo mzuri sana

  • @JescahSimiyu-rm5qp
    @JescahSimiyu-rm5qpАй бұрын

    Wimbo huu unagusa sana,barikiwa sana Annoint

  • @willbroadkaizirege4470

    @willbroadkaizirege4470

    Ай бұрын

    Mungu na akabariki Kaka Annoint

  • @JoyNambuya-ge3et
    @JoyNambuya-ge3etАй бұрын

    Katonda remember us 🙏🙏🙏 indeed

  • @willbroadkaizirege4470

    @willbroadkaizirege4470

    Ай бұрын

    Ameen....!!!

  • @maryndindamutwii8906
    @maryndindamutwii8906Ай бұрын

    Wow wow to God be the glory

  • @willbroadkaizirege4470

    @willbroadkaizirege4470

    Ай бұрын

    Ameen

  • @estherlemburismollel5901
    @estherlemburismollel5901Ай бұрын

    Annoint, Annoint, nakuita mara nyingine Annoint, Mungu akupaishe utukufu hadi utukufu, duh, unaimba hadi mbingu zatikisika. ❤

  • @willbroadkaizirege4470

    @willbroadkaizirege4470

    Ай бұрын

    Amina.

  • @NurdinAbubakar-yd7qm
    @NurdinAbubakar-yd7qm13 күн бұрын

    Barikiwa Sana mtumishi

  • @nabiibikemwayowele
    @nabiibikemwayoweleАй бұрын

    KAMA wewe umesha pitiya shida Nazani Wimbo uhuu umekubariki vya kutosha umaskini Nimateso sijuwi KAMA Nawewe unahamini ilo Analo Nisema Mtu wa Mungu Annoint Amani Omba Mungu Leho kupitiya Wimbo uhuu Akika Mungu Atakubariki Tupo DRC CONGO Lubumbashi Nakuombeya Neema Na Baraka wewe unaye sikiya Wimbo uhuu Naitwa NABII BIKEMWA Mtoto wa UVIRA

  • @user-qo9ew5gl3y
    @user-qo9ew5gl3yАй бұрын

    Satisfait

  • @user-ok6gf2mq9g
    @user-ok6gf2mq9gАй бұрын

    🙏🙏🙏Amina

  • @apostleelisha2994
    @apostleelisha2994Ай бұрын

    Safi sana

  • @KakayiEsther-bv3lj
    @KakayiEsther-bv3ljАй бұрын

    Hallelujah big time to you brother, a smile on my Chick after hearing katonda wange wawoo and l was tortured mentally Amen watching from Saudi Arabia but Ugandan love my continent!!!

  • @Mkungajackson0098
    @Mkungajackson0098Ай бұрын

    Jamani kaka umeimba, utukufu kwa Yesu

  • @EsperancePendezaFidele
    @EsperancePendezaFideleАй бұрын

    Ubarikiwe Sana yani

  • @angelamalande4470
    @angelamalande4470Ай бұрын

    This one you winning it love sooooooooooo much keep moving and more blessing upon you

  • @nancycheby125
    @nancycheby125Ай бұрын

    Wooow powerful song

  • @anitahwanza2132
    @anitahwanza2132Ай бұрын

    ❤❤

  • @dorcahnyabo4713
    @dorcahnyabo4713Ай бұрын

    Amen God when you bless me also bless my neighbours keep it up bro love ❤ from Kenya 🇰🇪

  • @willbroadkaizirege4470

    @willbroadkaizirege4470

    Ай бұрын

    God is everything always.

  • @washkagunda864
    @washkagunda864Ай бұрын

    Safi kabisa brathy

  • @justinakitua3519
    @justinakitua3519Ай бұрын

    Thanks Brother Annoint for this wonderful message. God bless you keep you to bless us more

  • @chefjaji4225
    @chefjaji4225Ай бұрын

    Haina maana nikifanikiwa peke yangu ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏

  • @ZawadiRimba-gy4dn
    @ZawadiRimba-gy4dnАй бұрын

    Be blessed ❤❤❤❤❤❤ mtumishi wa Mungu ♥️❤️♥️

  • @bikemwatv.
    @bikemwatv.Ай бұрын

    wewe Ni jembe wa kristo Dady

  • @RosemaryMwanzia
    @RosemaryMwanziaАй бұрын

    Anointed man of God 🙏

  • @millicentakinyi5504
    @millicentakinyi5504Ай бұрын

    Mungu mwema😂😂😂❤❤❤🇰🇪🇺🇬kweli🙏

  • @esthermuia6074
    @esthermuia6074Ай бұрын

    This song is deep😢😢😢 Tuombeane Tukumbukane,🧘🙏

  • @mary-cm5je
    @mary-cm5jeАй бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @marthakoech5342
    @marthakoech5342Ай бұрын

    I am watching from Europe I love so much your songs, May God continue blessing you 🥰🥰

  • @denishotieno5460
    @denishotieno5460Ай бұрын

    Great amani keep it up

  • @davidsibejo4916
    @davidsibejo4916Ай бұрын

    Haukosei kila nyimbo

  • @kenndemwa4009
    @kenndemwa4009Ай бұрын

    Good song be blessed

  • @RosemaryMwanzia
    @RosemaryMwanziaАй бұрын

    Niliota io neno umeiba

  • @ajambowinfred1078
    @ajambowinfred1078Ай бұрын

    True, God song

  • @JustinaMambo-bs4fh
    @JustinaMambo-bs4fhАй бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏 love from Zambia

Келесі