Annoint Amani - Bila Roho Mtakatifu ( official music video )
Музыка
#bilarohomtakatifu#annointamani
Roho Mtakatifu ni nguvu ya Mungu tunayoishi nayo Duniani,
Roho mtakatifu anatusaidia kuzinda tabia za uovu ambazo kwa kawaida huwez kucha mwenyewe,pia Roho Mtakatifu ana tusaidia kuishi katika Mapenzi ya Mungu Duniani,
Roho mtakatifu ndo nguvu ya unyakuo kwa wateule hivyo bila Roho mtakatifu kwa kuishind Dhambi na huwez kumwona Mungu kamwe
👇
The Holy Spirit is the power of God with which we live on Earth, The Holy Spirit helps us to overcome evil habits that usually cannot be cured by ourselves, also the Holy Spirit helps us to live in God's Will on Earth, The Holy Spirit is the power of the rapture for the elect so without the Holy Spirit to overcome sin and you will never see God
Song,Bila Roho Mtakatifu
Album,We need you ( Vol,7 )
(Language Swahili)
Video,Directed by Meddy
A.E.A Tones Studio pro by Meddy
👇
Annoint Amani
Instagram, Annoint Amani tz.
Tiktok,Annoint Amani tz.
Whatsapp & call +255767240181=+255755099942
👇
Afrika,East Afrika Dar es Salaam Tanzania )
Пікірлер: 152
Mtumishi Kumbe Ulikua Utetemeshe East Africa Kwa Bonge La Wimbo Kama Huu.unanishangaza Manake Kwa wanaume Wote East Africa Yani sijaona kama wewe.sikulinganishi ila Umewazidi wote.Jamani Tanzania inafaa Ikupee award Ya Kipekee.Acha nimalize Kwa kukuita Jembe La Waimbaji A.K.A The King of Gospel Music East and Central Africa
@AdonisSifa
Жыл бұрын
kweli💯💯...
@vincentokothowino9291
Жыл бұрын
Continue blowing your candle good job
@cosmasmaweu-wx8nb
Жыл бұрын
Kweli kambisa
@sayunianania6183
Жыл бұрын
💯🙏🙏
@beatricemunyoki4771
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
Nakukubali sana kama naww wamukubali nipe like 5
Amina,ujumbe sahihi kwa wakati sahihi ubarikiwe jitu la mbinguni
Uzidishiwe neema kwa huu wimbo
Ameen kwa nyimbo suri 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Wow msiri wetu ROHO MTAKATIFU . nimebarikiwa na huu wimbo...hongera mtumishi wa Mungu kazi yako ni njema.
@onesmusmunga2458
6 ай бұрын
Piga hatua zaidi
Enyewe bila roho mtakatifu sisi ni bure kabisa ,Mungu tupe hekima
Uko na uimbaji urio ja neema ya kipeke kijana kire takushauri mwanangu uwe na unyenyekevu mwingi sana usitafute uma arufu wacha wanao kimbizana na uma arufu wakimbizane nao maana hata bwana yesu mwana wa mungu hakutafuta uma arufu ama arufu umewafanya waimbaji wengine wamwite bwana yesu jamaa wario Anza na roho wanamarizia na mwiri
Amina amani Mungu aendelee kukubariki. Roho Mtakatifu anafundisha kutafautisha mazuri na mabaya na kuyaepuka yalio mabaya.
BAlikiwa
Annoint Amani we ni mteule na jitu kuu la mbinguni barikiwa Sana nyimbo zako zote nazipenda @Nairobi
Kweli kabisa,kanisa bila ni mavumbi,Mngu baba utusadie kanisa
Anafanya vizuri huyu mugenzi Rangueil!
Kongole kaka annoint
Congratulations father Good Song
Waongo kweli pesa tu ndiyo wana tafuta Mungu atusaidie
Aki wimbo mzuri unabariki kweri kweri napenda
Mungu akubariki sana annoit nyimbo zako zinanifanya niwe na
Kabisaaaa,mtumishi tuache kuigiza na ku ungaunga lugha,umenena.
A very nice song ata nmetamani ata cku Moja nchape hit kama eo
Hongela mtumishi wa mungu Kwa wimbo wako mzuri
Hongela kwako mungu akulinde kwakutupa nyimbo zenye ujumbe wa kweri na mzuri
Kenya tulikumbali...unakibali..sawia na mtumishi wa mungu marehemu Angela ,,mungu azidi kukupa ufunuo,,..kiswahili imeisha🤣may God take you places bro
Unajua kaka ujumbe umefika naunaeleweka pia kwamwenyeiman huu wimbo nimahubiri kamili
Ukwelii. Nenno.siraici 😢mungu. Atuponye🙋🙋🙋🎸🎺
WIMBO MUKUBWA ƙwakweli BABA YANGU!
Annoit mungu alikuita ufanye kazi yake kweli.Nyimbo zako ua zinanibariki sana may God bless you.
Amen Amen mtumishi roho mtakatifu
All I want to say is stay blessed and move on. Thanks for letting us download
Nabarikiwa na nyimbo zako sana
Amen ni kweli
Aminaaaa sana Mungu awabariki sana ujumbe mzuri
Sio siri unasema ukweli hatujaamua kubadilika tumgukie Mungu tuhubirie tu kaka maana wengine tunakombolewa kwa moto
Asand mslaba mbele duniah nyuma
Twabarikiwa Dana
daa kaka hiinyimbo ipo vizuri
Hongera Mtumishi
Kweli nabarikiwa mno
Mungu wa mbinguni akubariki sana pokea shukrani kutoka kwa kenya
Amen ubarikiwe sana
Barikiwa sana mtumish wa Mungu
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤God
Congratulations Annoint,,,,,🙏🙏🙏🙏
Ameen😊😊😊🙏🙏🙏
Congratulations mtumishi
Amina msiri wetu roho wa Mungu ❤
Nice voice and good dancer
Nyimbo zinanguza,,,, hongera!
Dwdi
Mungu akutunzee akulindeee azidi kukuinua
Emeeeee❤❤
Nice voice and a g 2:23
Amina
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 can't get enough of this song, b blessed Amani
amen mtumishi kweli Mungu hanakupenda sana asante nimebarikiwa sana 🤣🤣🤣🤣👉👉👉👉🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪
Mungu akuinue zaidi
You are a blessing to many may God bless you always Amani
Amen
Amen 🙏
Mtumishi you are blessed , feeling blessed in Kenya
Talented
Amen 🙏🙏🙏
TV🎉🎉
Amen am blessed
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
That’s really nice song
Emen mungu azidi kukupa nguvu jamani
Ameni
So inspiring🙏🏿💯.May God fill us with the holy spirit
Mungu akubaliki sana 🙏🙏
Amen.
Huu wimbo lazima nisikilize zaidi ya mara20 kwa siku☺️☺️ na nyingnezo nyingi lkn hii ni Zaid danaa
Baraka sana
I love your songs zinanibariki sana
Mngu akubariki mtumishi
Talenet 4:02
Love your songs
💚💚💚
Ameni mtumishi ,msiri wetu roho wa mungu
❤❤❤
Good song❤❤❤
Ameni mtumish wa Mungu 🙏🙏
Big up bro. 😊
Good songs
Love ur songs
Waaaah 🔥🔥🔥🔥🔥 annoted barikiwa sana inuliwa zaidi watu wa Mungu tubadilikeni amani katumika na Mungu kuleta habari njema
Amina nimebarikiwa kweli kweli sana toka kenya 🇰🇪 ❤
Be blessed...may God fill me with the holy spirit.. .Mimi pekee yangu sitaweza
Wow,wow!!!Holy spirit of God i need you in my life always
the Holy spirit is the director in our lives let's be holy and humbled in God without holy spirit nothing we can do God open my inner eyes and hears to know how to differentiate your holy spirit be blessed bro 🙏🏻 love you from Kenya ❤ 🇰🇪
Wimbo Ni mzuri❤❤
Thanks so much👏👏🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Watching once not enough.. Hallelujah. Thanks Jesus
Mtumishi barikiwa sana,lakini hakuna option ya download.
Bila Roho mtakatifu ni bure kweli .Asante mtumishi kwa huu ujumbe .Mungu na akuzidishie Neema.
Hakika ubarikiwe sana na Mungu MUNGU ATUSAIDIE SANA KANISA lake mana tuna hatari kubwa sana🙇🙇
Wow hakika nimefurahia huu wimbo Kabisaaa Mungu akupeleke viwango vingine maaana tunajifunza meengi kwako🤲
Amen 🙏🙏🙏🙏 nice song keep praising God.
Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🎉🎉🎉🎉
Asante sana mtumishi wa Mungu napenda nyimbo zako from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪