No video
ANGALIA MZEE YUSSUF AKIMWAGA RADHI NA WIMBO WAKE MPYA/ MAHABA HADHARANI NA MKE WAKE
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 361
Unapo fanya Jambo Kwa ajili ya Mungu bc fanya Kwa vitendo wala sio kuutangazia umma.. umekua mnafki Mzee Yusuf .. Allah atuongoze soteni yarabi 🤲
نحن نستطيع أن نصبر على الجوع فى الدنيا ولكن لا نستطيع أن نصبر على عذاب النار يوم القيامة.sie twaweza kusubiri njaa duniani.lakini hatuwezi kusubiri adhabu ya moto siku ya qiyamah.
@mwasitibakari3805
4 жыл бұрын
Kweli kbsa mzee kafeli nafanya masihara NA allah
@rukiaosman8416
4 жыл бұрын
Nimaskitiko wallahi subhanallah
@roseuwambe8089
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🙄🙄🙄☹☹🤔🤔🤔😭😭😭😭😭😭😭
@willesianga8956
4 жыл бұрын
Mnafik2 tunajua nimwanachama wa shetan
@twaibumikidadi7377
4 жыл бұрын
naaam swadakta
Allah humma INNIY AS-ALUQ HUSUN LIKHATIMAT Yaa Rabil-alamiin 😭🙏.
Very nice 👌😍 welcome Baba Lao
Allah humuongoa amtakae na humuacha aangamie amtakae, twamuomba atujaalie mwisho mwema.
@rashidhassansheikhmazingea8739
4 жыл бұрын
Ni kweli lakini kauli hii Allah anamuokoa amtakae na humuacha aangamie amtakae wengi wanaitafsiri vibaya
@remtymsangi4577
4 жыл бұрын
Amuangamize hapa duniani mbwa huyu
@zaitunichepa4929
4 жыл бұрын
Kwakweli ndugu katika imani Fanya toba kwakweli mda bado,,usikashifu uisalmu kuwanikijijini tengua kauli yako niivo tu
@motasimali9053
4 жыл бұрын
Yaan sina lakusema kwakweli mmm huyu mzee yusufu tumuachie Allah tuu
Mi ni Mkristo kbsa lkn nilifurahi Mzee ulipoacha taalab na kurudi kwa Mola wako. Sasa umerudi tena kwnye ujinga huo, jua tu inauma na hatuna jinsi ila kukuombea mola wako akupe akili nzuri na ainusuru nafsi yako.
@abubakarmpole4000
4 жыл бұрын
Amiin, anataka maombi huyu
@aliarkam9548
4 жыл бұрын
Amiin
@halimaomar3280
4 жыл бұрын
Amiin
@erodeshayo8672
4 жыл бұрын
Kimfaacho mtu chake na kila mmoja ana maisha yake kwahiyo cfikirii ww umwonea mzee kakosea hajakosea yuko sahihi kujitaftia riziki na riziki hupatikana popote na ukiiendekeza dini hutaendelea ktk maisha yako maana unaweza ukamkufuru Mungu wako pia kwasababu ya umaskini wako
@nassorhassani2861
4 жыл бұрын
Hakika huyo amekwisha kisakologjkli
Pumzi zisikujaze kibr muogope Mungu na Mungu atujaalie mwisho mwema sote in shaa Allah
Allah hafanyiwi matani unamdhihaki utaubeba mwenyewe mzigo wako ss tukiumia jipange nawe kuumia
@mesiavilindila1093
4 жыл бұрын
Kabisa Mungu hadhihakiw
@idizuberi9572
4 жыл бұрын
Allah atuongoze
Ulisema unaumia nafsi nyimbo zako zkipgwa leo vipi ndugu,naulisema unatamani zifutwe kabisaa
@Legends_Interviews
4 жыл бұрын
Mtihani ndugu yangu
@rashidhassansheikhmazingea8739
4 жыл бұрын
Ukikosea kuoa umefanya kosa kubwa sana Allah katuambia tukiruhusu wanawake watuongoze tunakwenda motoni hatakama tunaswali Allah atunusuru na moto
@heyumi2340
4 жыл бұрын
Mnafiki hyo wala alikua haumii njaa tu na tamaa ndicho kinachomsumbua dunian tunapita 2
@salehabdalla7773
4 жыл бұрын
ukisikia wanafik ndo km hyu mzee yussuf mna inbdi nichke tu mna mpk makka mbwa hyu kaenda hkmu yke ktk dini hyu ni swa na mtu aliertad
Wewe Ni Nani kumhukum mwenzio! Mwachieni Mwenyezi Mungu ahukum. Tutakiane kheri
@zuhuraimran3659
3 жыл бұрын
Lkn kuambiana kutabaki pale pale
We jiripuwe wajuwe ulimwengu mzima,,, laana-tullha
Ama kweli mzee umerudi mjini tenaa kama jinni tena kijini jinni na kesho sijui utajibu nini allah atupe mwisho mwema wewe na sisi naomba mungu ushtuke uachee haraka hio kazi ya kijjinni.
Hakika kila mtu na kipaji chake duniani msimlaumu mtu kama mnayajua maisha yake zaidi ya allah nayeye mwenyewe mnamlisha au mnamsaidia hata mia acheni ujinga kulaumulaumu haliyakua hamna msaada wowote kwake
Msihukumu wapendwa hiyo kazi kama kazi zingine tumwachie mungu maneno yetu haya wezi kumbadilisha mtu bali Mungu anaweza kumbadilisha wokovu kwa neema bure
Pole sana njaa ni mbaya
Anamridhisha mkee kuliko Alie mu Umba mkewe anaskia raha maskini🤔Mmmh Allah ndie mwenye hukumu subiri bado anakuangaliatu
INNALILAHI WAINA ILEYHI RAJIUN ALLAHUAKBAR SUBHANNALLAH DAHH MUNGU WANGU
Ww ukijiripua na mungu atakuripua tu moto anao tena mkali sanaa
Pepo ngumu, Allah ndie ajuaye yalio katika nafsi zetu, tu jitahidi tu usimjudge mtu
@fahadfahmy
4 жыл бұрын
kweli kabisa
@fozyafozya4060
3 жыл бұрын
Nikweli kabisa
Mungu akurudishie imani yako mzee yusuf amiin amiin anmiin
Mzee Yussuf hatuwezi kukuhukumu ajuaye khatima yako na Allah. Ila nyimbi9 zenye kupigiwa vinanda ni haram na Mashekh wanasema anaezisikiliza siku ya kiyama atamwagiwa risasi imoto ndani ya masikio yake.
Nina uhakika huna raha katika nafsi yako kutokana na kila mtu kukuzungumzia,, macho ya watu na maneno ni sumu unaweza kupata madhara tafakari bado hujachelewa...
Dah umechemka vbaya Babu Yusuf!,Allah akurudishe upesi ktk uongofu na Mimi aniongoze pia. Wanawake....? Hawana msaada Sana ktk uongofu ila NI pale tu cc wanaume tunapoamua kusafir nao ktk njia salama,hivyo had waongozwe kwanza ndipo huwa watu wema,wakijiongoza wao huwa majanga tu,shida!
Imetisha sana hiyooo
Inalilahi wainailhi rajihuna 😭😭😭😭
Maskini nuru ya Allah imetoweka ktk USO wake,kabaki na ushetani,nsmuomba mungu akudondoshe jukwaani maana MTU hufia na skipendacho,ulitufanya tuvinje CD baada yakutuambia hutaki dhambi na hutaki nyimbo zako zipigwe,Leo unazungusha pumbu zako jukwaani umesahau na hija ulohiji,yaana popote nikisikia jina lako ntasema laana ya Allah ikushukie,
@lupasaintertainment6166
4 жыл бұрын
vipi wewe unayo hiyo nuru ya allah, ya ngoswe mwachie ngoswe, kila mtu na kaburi lake,
Lahaola walakuata lilabilahi duniya ime isha😭😭
Jamani msimhukumu mtu katika dunia hiii kila mmoja hajakamilika na ndio mana mwenyezi Mungu ametuwekea toba tunapokosea tutubu
Ustadhi Mzee Yussuf, umesema hujibu comment ila ungenijibu hii ingependeza zaidi: uliporudi mjini ulitumia usafiri ganii??
@zalhathasaid2060
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@safiasuleiman3119
4 жыл бұрын
Hahahaha
@dasilvajunior3016
4 жыл бұрын
🤭🤭🤭🤭 duu
Wanaumia Sana juu ya mzee Yusuf pore yao muziki wa tarabu urikua unaerekea pabaya jamani turimiss alamba
welcome papa!
Halaf anazani atarudi udogo, wkt anaelekea uzeeni, hakika Mungu yupo analipwa Kadri awezavyo, Allah ATUONGOZE hakika huu ni mtihan
Duhhh Mungu atunusuru na njaa duhh lkn mie naona huyu mzee Yussufu anasa anasa ndio kaeka mbele ndio maan inamsumbua
Innalilh waina illah rajiwna
Subhanallah! Anawapa watu utamu!
Dunia hii hakuna mkamilifu kila mtu na yake mungu tu hakimu wa mwisho, usimuhukum mtu kabla hujahukuwa na ww kila mtu na kaburi lake.
@soldiersniper3142
4 жыл бұрын
Hakuna kibaya utakacho kifanya hapa duniani halafu isijulikane hukumu yake kasome dini yako vizuri ila kama wewe ni imbirisi utatetea hili ili upate endelea kufanya laana zako.
Inna li llah waina illaihi raajiun
Ahhahahahhaha pole sanaa
Tenaaaaaa 👌👌👌👌wakuache miaka Mia
@soldiersniper3142
4 жыл бұрын
Ibiris
@saheelameir4313
4 жыл бұрын
shetani nmkubwa ulolaanika ww
Njaa mbaya jamani,nani anaweza kuhimili njaa 😅😅
@emmadora7848
4 жыл бұрын
Watu wanamuhukumu sana , lakini wakumbuke dhambi zipo nyingi je wao katika hizo nyingi hakuna wanayoifanya?
@maryndomba7028
4 жыл бұрын
@Preetty Shemsa tatizo alijitangaza sana mtandaon,,
@mariammuscat4300
4 жыл бұрын
Wasimlaumu labda maisha tabusana hakuweza labda kutafuta kaziingine
Waaaooo
Duuuuh..... innallilaah wainaahlajiun.
Alhamdulillah
ALLAH amrehem shekhe nyundo maan alisema kunawengine wanapeleka vinyesi hijja nakurudi ama kweli imejidhihirisha loo sasa mashungi yann wamevaa jmn eee,,ALLAH humuongoa ampendae
@mzavasaidi8621
4 жыл бұрын
Hakuna haijuaye kesho yake so tusihukumu binadamu sis pia tumeumbwa tuchunge san hiz ndimi
Muacheni Mzee Y na maisha yake! Kuna watu wanahisi kurudia mziki ni dhambi! Tusichokijua wanadamu Mungu hana mizani ya kupima dhambi! Woote tu wadhambi tuache kuinyooshe vidole hii familia
@humeidfarsy2836
4 жыл бұрын
Amosi 5:23) Ezekier 26:13)
@masharubundevu3765
4 жыл бұрын
Acha kumuingiza mwenzio jwenye dhambi
@wamoroboy8963
4 жыл бұрын
𝙈𝙖𝙨𝙝𝙖𝙧𝙪𝙗𝙪 𝙬𝙚 𝙝𝙪𝙣𝙖 𝙙𝙝𝙖𝙢𝙗𝙞😂😂
@omanimujsa9756
4 жыл бұрын
Maskin babangu umeniangusha sana aseee kwakweli allah akuzindue tena uuuuuuuwi imani yangu moyon hunafraha unafanya tu ili lengolitimie ila huna fraha
Peponiiii unaweza kumkuta hata Baloteli mungu humpeleka peponi amtakae so hatun nafas ya ku judge
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Hahahaa
@rashidomar3735
4 жыл бұрын
Sio kweli hayo ni maneno ya handas tu kilicho mfanya mwanzo atoke kwenye mziki ni kitu gani km sio kujuwa km amepotea tukubali tu kuwa dunia twaikubali sana kuliko akhera.. haya apate maziri duniani akose mazuri zaidi akhera..
@sylvestersanawa963
4 жыл бұрын
Ni kweli kaka, Mungu hapangiwi.
@salmaathuman9156
4 жыл бұрын
Acha uongo wewe mungu hafanyi kazi namna hiyo yaana mufanye mazambi yenu useme hayo unazani mungu anazihakiwi ndo munavyojidanya
@sylvestersanawa963
4 жыл бұрын
@@salmaathuman9156 Unafanya dhambi ngapi? Kwakuwa wewe si maarufu ndio pona yako. Hakuna binadamu asiyetenda dhambi.
Nafurah sana kumuona Mariam Amour Acha mzee wewe noma sana big up✌️❤️💯✌️
huyu mzee siku akilala kitandan kwa maradhi ndıo atawaza sanaaa ! la pili, anaweza kuona musiki wke kwa laaana ta Allah uswe wenye kupata washabıkı kwa kudura za Allah na maden yataongezeka dhık ktk maishaa uscheze na Allah anaweza kutoa balaaaa usilotarajiaaa!
Duh. Jamaa alikuwa keshafanikiwa. Shetani kamrudisha keenye maasia. Tumuombee kwa Allah amzindue. Mara nyingi maasi ya kurudia huwa maradufu. Na kwa vile sasa anatambua kuwa ni maasi basi adhabu yake...
Duuuu MMUNGU ATAKUJAALIA SALAMA INSHALLAH
@soldiersniper3142
4 жыл бұрын
Kwa comments hii kweli hata mashoga wapo wanaoaambia Mungu atawajalia salama.
@besthonney3232
4 жыл бұрын
Eee maana hajui alitendalo aweza kurudi kwa mmungu tena
@soldiersniper3142
4 жыл бұрын
Ingekuwa Mungu anachezewa namna harafu poa tu asingeingia mtu motoni
Aibu aibu aibu Al Hajj kufanya hivi, inna lillahi wainna ilei rajiuun.
@princemelaofficial9870
4 жыл бұрын
Videos vya kingwendu
@dasilvajunior3016
4 жыл бұрын
huyo hakwenda kuhiji aliishia mitaani tuu ya huko Makkah
KARIBU MJINI BABA. .MJINI KUZURI KUMENOGA..ULISHINDWA KULE UMERUDI KWENYE NJIA YA SHEITWAN..
Subhanallah!! Alhajj ndani ya taarab!😭🤷
Hatareee
Lakini hata nafi yako naona inakusuts hayo unayoyafanya unaona aibu katika mionekano ila unajikaza tuu inshaallah mungu akuongoze katika njia ilio sawa akurpushie na ghruri za dunia amiin
Jisikie aibu mzee.
🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Maskini nafsi inamsuta kavaa miwani na kapero
Hata mimi mkristo lakini ninasikiliza hawks couple anaimba vizuri, mziki was no therapy.nilisikitika sana walipoacha taarabu nilisikia vibaya sana.sasa naburudika na muziki wao, pie nawapenda sana jamani
Msiba mkubwa huu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Usihukumu siyo kazi yako
Inna Lilah maskini weee huwi mfano was marehemu sheikh Nyundo? Tulimpenda Sana na katuongoza kwa wema na wengi tulikua making na mawaidha yake Hadi Leo tunamkumbuka kwa mwema sisi tulimpenda ila Allah kampenda Zaid Ila wewe umefika Hadi nyumba tukufu? Warudia kupotoa umma haya Sasa wamchezea mungu kwa spika uiimbayo eee Mungu hachezewi waona aibu juso baya we
Inaalilahi wainalilahi rajiuni subuanallwaa subuanallwaa mm nahisi ww ndiyo chanzo cha uuugonjwa wa korona sababu kubwa ulivyo enda hija ukajidayi kuliya na aallwaa kumbe mnafi umeona ss tumepewa adhabu ya korona
Mungu atuongoze
@ukhtyzainab7254
4 жыл бұрын
Aamiin
@rukiaosman8416
4 жыл бұрын
Amin thuma Amin
KWAKUWA MUNGU ASHINDWI NA JAMBO.. BHAC HATA HUO UJINGA WAKO ULIOURUDIA UNAWEZA UKAWA NA HALI NGUMU ZAIDI YA HAPO MZEEE...
Kaka mrudie m / mungu hujuwi utaondoka lini dunia
Hahaaaaaa jumanne ulayaaaaaaa
Lahnatulah I waste my data here 🇺🇬🇺🇬
ALLAH Atustiri wote na DHAMBI zetu na atuswamehe na atuepushe na adhabu za kaburini na moto wa jahanamu. Hakuna Mkamilifu ktk Dunia hii, ALLAH ndiye mwenye Neema zake na ndio Hakimu wa MKUU hivyo tusihukumiane zaidi Tuombeane tu ALLAH atuongoze ktk njia sahihi Inshaallah
Mwacheni mzee ajiripue ..ngombe hazeeki maini😂😂😂😂😂😂
@pvkanyorota1681
4 жыл бұрын
Mwacheni aimbe km ni dhambi mbona ht ww unaesema una Mungu unaicheza taarabu mangapi mnafanya kumbe hakuiba yupo na mkewe wanaimba tatizo ninini rajuni rajuni acheni kumdhihaki Mungu mkijifanya watakatifu.kumlani mtu pia ni dhambi.mngekua wema mngemwambia tangia mwanzo alipoibukia na taarabu asiimbe
@soldiersniper3142
4 жыл бұрын
@@pvkanyorota1681 Ibiris
Mwacheni mzee Yusuf atahukumiana na Mungu wake nyie miungu watu wenyewe pia mnamapungufu yenu mwacheni atajua yeye na Mungu wake msifanye kazi ya Mungu.
@agathakanu8335
4 жыл бұрын
Good yakwao hawayaoni mengi kuzidi ya huyo mzee
@jovanafidelis2802
3 жыл бұрын
Na kweli.Kazi ya kuhukumu siyo ya mwanadam ni ya Mungu,hapa tulipo sisi wenyewe hatujui hata kutubu ipasavyo.
Inalilah😱
@aishambise6529
4 жыл бұрын
Mkizugumza y yusfu anzeni kwanza yenu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe mnakwama wapiii shindeni kujadili ya mzee na pesa inaigia mungu ndo mtoa ukumu mna mukumu kamanani nyie wengine wanamwita shetani wewe ndo shetani mkubwa usimnenee mwenzio mabaya wala kumtusi mwombee mnaona kafanya dhambi saaana nyie wanadam kipi kizur kwenu ? Kila mtu apambane na maisha yke 254
Baba hupendeziii tena ujanaaa kauharibuuu
Amigooooo
Na aallwaa kumbe mnafki ss mungu akatuonyesha janga la korona na mengineo yanajitokedha ya aridhi kushituka ww rudi kwa mooola wako ata yule mtoto uliyekuwa akikupa mawayidha akisikiya ataliya sana
UNALANA WW MZEE YUSSUF.MUNGU ATAKULIPA.NA HUYO MKEO. SHETAN MKUBWA .LANATULLAH
Huyo ameshakuwa Pagani tu aende akale Kitimoto Alhaji gani wewe umekuwa Fisi tu sasa huna mvuto kama zamani subiri Jehanamu tu Dunia mapito tu Shetani kesha kushinda zwazwa we
Yuko wapi mauji jamani
Huyu Mke wake pia ni wakulaumiwa,sababu Mzee Yussuf alipowacha huyu mkewe alikua hakutaka kuwacha Taarab.
Mzee yusufu
Lazma achabwe coz alijitoa mitandaoni. Allah amrehemu amlaze pema peponi mkewe Marhuma Chiku alikufa na kiumbe mzee alkuwa Alhajj
Huyu mzee alitubia social medias na wala hakumtubia Allah wa kweli
Aghudhubillah Minashaitwan Rajiim
Ww ni kubwa jinga
Waja bwana kila kitu lazima mjaji dooo waja acheni hizo mungu ndie ajuea kwa sisi waja na sio sisi Angeiba mngesema dooo
Mzee mm ni mpenzi wa taarabu lakini kwa hili ulilo lifanya umefeli ungekaza hiyo njaa hadi ikuuwe ulisha tubu kulikoni mzee yusufu?mrudie mola wako umri haukuruhusu
@sylvestersanawa963
4 жыл бұрын
Wewe ungeweza kuvumilia njaa ikuuwe? Yakiwa hayajakkta kusema ni rahisi sana.
@brownmaterial6751
4 жыл бұрын
@@sylvestersanawa963 hahahahahaaa
Duh
Huyu jamaa ana endeshwa na mkewe huyu reira ni mti Hani
wee babu vipi hemu mche allah ulikuwa ushatubia lakini umeamua kurudi kuimba
Acheni kuukum mana iyo Kaz ya Allah pekee waja Acheni midomo angalia kwanza ivo vidole vinne vinaekekea wapi
@ismailothman2917
4 жыл бұрын
We hadija unapenda vibaya mweeeee Huyo wakumfulahiya huyoooo
DAH,HAYA TU MAANA YAMEPITA MENGI ZAID YA HUYU NA TUSHASAHAU ILA KWA MUNGU YASHARIKODIWA
Mmm mungu msamehe mjawako hakuna namuna
Nyuso zimeja aibu,,Lanatullahi
@adiladil345
4 жыл бұрын
Subiri bakora ya Alla haipo mbali
@dasilvajunior3016
4 жыл бұрын
wa naona haya hawa
Duuuuh mtihan kweli
Allha atuongoze ktk njia ya haki ila mtihn kwa kwel
Mtu hufuata tabia za rafiki zake, huyo mke wake ni muimba taarabu, chakula Chao ni taarab, mtihani mkubwa, Tuombe Allah atupe mwisho mwema...
Mzee .Hebu click YOU TUBE umuone JENNIFER GROUT.Katoka kwenye MIZIKI kaingia kusomma QU'RAN.Sauti yake kama ya ABDUL BAAS.Je,wwe nikama sauti yako ya CHURA.Laana ya Allah ikuangukie.
Duuh Kumbe True, Msinifokee Jamani.
Oja hii makafili haiwausu nendeni mkaabudie masanam yenu kumaaaaaaa mazenu
@nswilahebronhans9550
4 жыл бұрын
Kafir nyie wavaa magauni ya kiarabu
@degemaster2785
4 жыл бұрын
Naona mkundu unakuwasha sasa unataka kufilwa
Atarii