No video

ANGALIA MZEE YUSSUF AKIMWAGA RADHI NA WIMBO WAKE MPYA/ MAHABA HADHARANI NA MKE WAKE

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 361

  • @ammysaido4655
    @ammysaido46554 жыл бұрын

    Unapo fanya Jambo Kwa ajili ya Mungu bc fanya Kwa vitendo wala sio kuutangazia umma.. umekua mnafki Mzee Yusuf .. Allah atuongoze soteni yarabi 🤲

  • @amarislam1589
    @amarislam15894 жыл бұрын

    نحن نستطيع أن نصبر على الجوع فى الدنيا ولكن لا نستطيع أن نصبر على عذاب النار يوم القيامة.sie twaweza kusubiri njaa duniani.lakini hatuwezi kusubiri adhabu ya moto siku ya qiyamah.

  • @mwasitibakari3805

    @mwasitibakari3805

    4 жыл бұрын

    Kweli kbsa mzee kafeli nafanya masihara NA allah

  • @rukiaosman8416

    @rukiaosman8416

    4 жыл бұрын

    Nimaskitiko wallahi subhanallah

  • @roseuwambe8089

    @roseuwambe8089

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂🙄🙄🙄☹☹🤔🤔🤔😭😭😭😭😭😭😭

  • @willesianga8956

    @willesianga8956

    4 жыл бұрын

    Mnafik2 tunajua nimwanachama wa shetan

  • @twaibumikidadi7377

    @twaibumikidadi7377

    4 жыл бұрын

    naaam swadakta

  • @alwialhajialwi0012
    @alwialhajialwi00124 жыл бұрын

    Allah humma INNIY AS-ALUQ HUSUN LIKHATIMAT Yaa Rabil-alamiin 😭🙏.

  • @fozyafozya4060
    @fozyafozya40603 жыл бұрын

    Very nice 👌😍 welcome Baba Lao

  • @mohamedkikale7241
    @mohamedkikale72414 жыл бұрын

    Allah humuongoa amtakae na humuacha aangamie amtakae, twamuomba atujaalie mwisho mwema.

  • @rashidhassansheikhmazingea8739

    @rashidhassansheikhmazingea8739

    4 жыл бұрын

    Ni kweli lakini kauli hii Allah anamuokoa amtakae na humuacha aangamie amtakae wengi wanaitafsiri vibaya

  • @remtymsangi4577

    @remtymsangi4577

    4 жыл бұрын

    Amuangamize hapa duniani mbwa huyu

  • @zaitunichepa4929

    @zaitunichepa4929

    4 жыл бұрын

    Kwakweli ndugu katika imani Fanya toba kwakweli mda bado,,usikashifu uisalmu kuwanikijijini tengua kauli yako niivo tu

  • @motasimali9053

    @motasimali9053

    4 жыл бұрын

    Yaan sina lakusema kwakweli mmm huyu mzee yusufu tumuachie Allah tuu

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi4 жыл бұрын

    Mi ni Mkristo kbsa lkn nilifurahi Mzee ulipoacha taalab na kurudi kwa Mola wako. Sasa umerudi tena kwnye ujinga huo, jua tu inauma na hatuna jinsi ila kukuombea mola wako akupe akili nzuri na ainusuru nafsi yako.

  • @abubakarmpole4000

    @abubakarmpole4000

    4 жыл бұрын

    Amiin, anataka maombi huyu

  • @aliarkam9548

    @aliarkam9548

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @halimaomar3280

    @halimaomar3280

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @erodeshayo8672

    @erodeshayo8672

    4 жыл бұрын

    Kimfaacho mtu chake na kila mmoja ana maisha yake kwahiyo cfikirii ww umwonea mzee kakosea hajakosea yuko sahihi kujitaftia riziki na riziki hupatikana popote na ukiiendekeza dini hutaendelea ktk maisha yako maana unaweza ukamkufuru Mungu wako pia kwasababu ya umaskini wako

  • @nassorhassani2861

    @nassorhassani2861

    4 жыл бұрын

    Hakika huyo amekwisha kisakologjkli

  • @khadijahali6856
    @khadijahali68564 жыл бұрын

    Pumzi zisikujaze kibr muogope Mungu na Mungu atujaalie mwisho mwema sote in shaa Allah

  • @rehemashebanikasenge5138
    @rehemashebanikasenge51384 жыл бұрын

    Allah hafanyiwi matani unamdhihaki utaubeba mwenyewe mzigo wako ss tukiumia jipange nawe kuumia

  • @mesiavilindila1093

    @mesiavilindila1093

    4 жыл бұрын

    Kabisa Mungu hadhihakiw

  • @idizuberi9572

    @idizuberi9572

    4 жыл бұрын

    Allah atuongoze

  • @timbulosaid63
    @timbulosaid634 жыл бұрын

    Ulisema unaumia nafsi nyimbo zako zkipgwa leo vipi ndugu,naulisema unatamani zifutwe kabisaa

  • @Legends_Interviews

    @Legends_Interviews

    4 жыл бұрын

    Mtihani ndugu yangu

  • @rashidhassansheikhmazingea8739

    @rashidhassansheikhmazingea8739

    4 жыл бұрын

    Ukikosea kuoa umefanya kosa kubwa sana Allah katuambia tukiruhusu wanawake watuongoze tunakwenda motoni hatakama tunaswali Allah atunusuru na moto

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    4 жыл бұрын

    Mnafiki hyo wala alikua haumii njaa tu na tamaa ndicho kinachomsumbua dunian tunapita 2

  • @salehabdalla7773

    @salehabdalla7773

    4 жыл бұрын

    ukisikia wanafik ndo km hyu mzee yussuf mna inbdi nichke tu mna mpk makka mbwa hyu kaenda hkmu yke ktk dini hyu ni swa na mtu aliertad

  • @doriswaryoba1336
    @doriswaryoba13363 жыл бұрын

    Wewe Ni Nani kumhukum mwenzio! Mwachieni Mwenyezi Mungu ahukum. Tutakiane kheri

  • @zuhuraimran3659

    @zuhuraimran3659

    3 жыл бұрын

    Lkn kuambiana kutabaki pale pale

  • @rasykizanjbari4996
    @rasykizanjbari49964 жыл бұрын

    We jiripuwe wajuwe ulimwengu mzima,,, laana-tullha

  • @balqisabdullah6200
    @balqisabdullah62004 жыл бұрын

    Ama kweli mzee umerudi mjini tenaa kama jinni tena kijini jinni na kesho sijui utajibu nini allah atupe mwisho mwema wewe na sisi naomba mungu ushtuke uachee haraka hio kazi ya kijjinni.

  • @salmaadam4337
    @salmaadam43374 жыл бұрын

    Hakika kila mtu na kipaji chake duniani msimlaumu mtu kama mnayajua maisha yake zaidi ya allah nayeye mwenyewe mnamlisha au mnamsaidia hata mia acheni ujinga kulaumulaumu haliyakua hamna msaada wowote kwake

  • @yohanamtunduru2388
    @yohanamtunduru23884 жыл бұрын

    Msihukumu wapendwa hiyo kazi kama kazi zingine tumwachie mungu maneno yetu haya wezi kumbadilisha mtu bali Mungu anaweza kumbadilisha wokovu kwa neema bure

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti86384 жыл бұрын

    Pole sana njaa ni mbaya

  • @fatwimabintathmanbinthawa8155
    @fatwimabintathmanbinthawa81554 жыл бұрын

    Anamridhisha mkee kuliko Alie mu Umba mkewe anaskia raha maskini🤔Mmmh Allah ndie mwenye hukumu subiri bado anakuangaliatu

  • @muhammadsaidi4872
    @muhammadsaidi48724 жыл бұрын

    INNALILAHI WAINA ILEYHI RAJIUN ALLAHUAKBAR SUBHANNALLAH DAHH MUNGU WANGU

  • @suleymanially974
    @suleymanially9744 жыл бұрын

    Ww ukijiripua na mungu atakuripua tu moto anao tena mkali sanaa

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma45704 жыл бұрын

    Pepo ngumu, Allah ndie ajuaye yalio katika nafsi zetu, tu jitahidi tu usimjudge mtu

  • @fahadfahmy

    @fahadfahmy

    4 жыл бұрын

    kweli kabisa

  • @fozyafozya4060

    @fozyafozya4060

    3 жыл бұрын

    Nikweli kabisa

  • @asiaissa976
    @asiaissa9764 жыл бұрын

    Mungu akurudishie imani yako mzee yusuf amiin amiin anmiin

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy70474 жыл бұрын

    Mzee Yussuf hatuwezi kukuhukumu ajuaye khatima yako na Allah. Ila nyimbi9 zenye kupigiwa vinanda ni haram na Mashekh wanasema anaezisikiliza siku ya kiyama atamwagiwa risasi imoto ndani ya masikio yake.

  • @hasankasam5576
    @hasankasam55764 жыл бұрын

    Nina uhakika huna raha katika nafsi yako kutokana na kila mtu kukuzungumzia,, macho ya watu na maneno ni sumu unaweza kupata madhara tafakari bado hujachelewa...

  • @jumamlanda5266
    @jumamlanda52664 жыл бұрын

    Dah umechemka vbaya Babu Yusuf!,Allah akurudishe upesi ktk uongofu na Mimi aniongoze pia. Wanawake....? Hawana msaada Sana ktk uongofu ila NI pale tu cc wanaume tunapoamua kusafir nao ktk njia salama,hivyo had waongozwe kwanza ndipo huwa watu wema,wakijiongoza wao huwa majanga tu,shida!

  • @shabanishila3961
    @shabanishila39614 жыл бұрын

    Imetisha sana hiyooo

  • @ddvcffdd9100
    @ddvcffdd91004 жыл бұрын

    Inalilahi wainailhi rajihuna 😭😭😭😭

  • @remtymsangi4577
    @remtymsangi45774 жыл бұрын

    Maskini nuru ya Allah imetoweka ktk USO wake,kabaki na ushetani,nsmuomba mungu akudondoshe jukwaani maana MTU hufia na skipendacho,ulitufanya tuvinje CD baada yakutuambia hutaki dhambi na hutaki nyimbo zako zipigwe,Leo unazungusha pumbu zako jukwaani umesahau na hija ulohiji,yaana popote nikisikia jina lako ntasema laana ya Allah ikushukie,

  • @lupasaintertainment6166

    @lupasaintertainment6166

    4 жыл бұрын

    vipi wewe unayo hiyo nuru ya allah, ya ngoswe mwachie ngoswe, kila mtu na kaburi lake,

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br4 жыл бұрын

    Lahaola walakuata lilabilahi duniya ime isha😭😭

  • @josephmanyama435
    @josephmanyama4353 жыл бұрын

    Jamani msimhukumu mtu katika dunia hiii kila mmoja hajakamilika na ndio mana mwenyezi Mungu ametuwekea toba tunapokosea tutubu

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima14554 жыл бұрын

    Ustadhi Mzee Yussuf, umesema hujibu comment ila ungenijibu hii ingependeza zaidi: uliporudi mjini ulitumia usafiri ganii??

  • @zalhathasaid2060

    @zalhathasaid2060

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @safiasuleiman3119

    @safiasuleiman3119

    4 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @dasilvajunior3016

    @dasilvajunior3016

    4 жыл бұрын

    🤭🤭🤭🤭 duu

  • @davidmkuye9692
    @davidmkuye96923 жыл бұрын

    Wanaumia Sana juu ya mzee Yusuf pore yao muziki wa tarabu urikua unaerekea pabaya jamani turimiss alamba

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike78724 жыл бұрын

    welcome papa!

  • @lailahasan2200
    @lailahasan22004 жыл бұрын

    Halaf anazani atarudi udogo, wkt anaelekea uzeeni, hakika Mungu yupo analipwa Kadri awezavyo, Allah ATUONGOZE hakika huu ni mtihan

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe56404 жыл бұрын

    Duhhh Mungu atunusuru na njaa duhh lkn mie naona huyu mzee Yussufu anasa anasa ndio kaeka mbele ndio maan inamsumbua

  • @lelasalum555
    @lelasalum5554 жыл бұрын

    Innalilh waina illah rajiwna

  • @gharibuissa3376
    @gharibuissa33764 жыл бұрын

    Subhanallah! Anawapa watu utamu!

  • @hedayaabeid3196
    @hedayaabeid31964 жыл бұрын

    Dunia hii hakuna mkamilifu kila mtu na yake mungu tu hakimu wa mwisho, usimuhukum mtu kabla hujahukuwa na ww kila mtu na kaburi lake.

  • @soldiersniper3142

    @soldiersniper3142

    4 жыл бұрын

    Hakuna kibaya utakacho kifanya hapa duniani halafu isijulikane hukumu yake kasome dini yako vizuri ila kama wewe ni imbirisi utatetea hili ili upate endelea kufanya laana zako.

  • @abubaker3844
    @abubaker38444 жыл бұрын

    Inna li llah waina illaihi raajiun

  • @adilhabibu7958
    @adilhabibu79584 жыл бұрын

    Ahhahahahhaha pole sanaa

  • @hedayaabeid3196
    @hedayaabeid31964 жыл бұрын

    Tenaaaaaa 👌👌👌👌wakuache miaka Mia

  • @soldiersniper3142

    @soldiersniper3142

    4 жыл бұрын

    Ibiris

  • @saheelameir4313

    @saheelameir4313

    4 жыл бұрын

    shetani nmkubwa ulolaanika ww

  • @tumakassim6286
    @tumakassim62864 жыл бұрын

    Njaa mbaya jamani,nani anaweza kuhimili njaa 😅😅

  • @emmadora7848

    @emmadora7848

    4 жыл бұрын

    Watu wanamuhukumu sana , lakini wakumbuke dhambi zipo nyingi je wao katika hizo nyingi hakuna wanayoifanya?

  • @maryndomba7028

    @maryndomba7028

    4 жыл бұрын

    @Preetty Shemsa tatizo alijitangaza sana mtandaon,,

  • @mariammuscat4300

    @mariammuscat4300

    4 жыл бұрын

    Wasimlaumu labda maisha tabusana hakuweza labda kutafuta kaziingine

  • @elizabethkikando9982
    @elizabethkikando99824 жыл бұрын

    Waaaooo

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge36954 жыл бұрын

    Duuuuh..... innallilaah wainaahlajiun.

  • @bintybaba3486
    @bintybaba34864 жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @aminasalum1954
    @aminasalum19544 жыл бұрын

    ALLAH amrehem shekhe nyundo maan alisema kunawengine wanapeleka vinyesi hijja nakurudi ama kweli imejidhihirisha loo sasa mashungi yann wamevaa jmn eee,,ALLAH humuongoa ampendae

  • @mzavasaidi8621

    @mzavasaidi8621

    4 жыл бұрын

    Hakuna haijuaye kesho yake so tusihukumu binadamu sis pia tumeumbwa tuchunge san hiz ndimi

  • @magejuliani5293
    @magejuliani52934 жыл бұрын

    Muacheni Mzee Y na maisha yake! Kuna watu wanahisi kurudia mziki ni dhambi! Tusichokijua wanadamu Mungu hana mizani ya kupima dhambi! Woote tu wadhambi tuache kuinyooshe vidole hii familia

  • @humeidfarsy2836

    @humeidfarsy2836

    4 жыл бұрын

    Amosi 5:23) Ezekier 26:13)

  • @masharubundevu3765

    @masharubundevu3765

    4 жыл бұрын

    Acha kumuingiza mwenzio jwenye dhambi

  • @wamoroboy8963

    @wamoroboy8963

    4 жыл бұрын

    𝙈𝙖𝙨𝙝𝙖𝙧𝙪𝙗𝙪 𝙬𝙚 𝙝𝙪𝙣𝙖 𝙙𝙝𝙖𝙢𝙗𝙞😂😂

  • @omanimujsa9756

    @omanimujsa9756

    4 жыл бұрын

    Maskin babangu umeniangusha sana aseee kwakweli allah akuzindue tena uuuuuuuwi imani yangu moyon hunafraha unafanya tu ili lengolitimie ila huna fraha

  • @allycantara3873
    @allycantara38734 жыл бұрын

    Peponiiii unaweza kumkuta hata Baloteli mungu humpeleka peponi amtakae so hatun nafas ya ku judge

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Hahahaa

  • @rashidomar3735

    @rashidomar3735

    4 жыл бұрын

    Sio kweli hayo ni maneno ya handas tu kilicho mfanya mwanzo atoke kwenye mziki ni kitu gani km sio kujuwa km amepotea tukubali tu kuwa dunia twaikubali sana kuliko akhera.. haya apate maziri duniani akose mazuri zaidi akhera..

  • @sylvestersanawa963

    @sylvestersanawa963

    4 жыл бұрын

    Ni kweli kaka, Mungu hapangiwi.

  • @salmaathuman9156

    @salmaathuman9156

    4 жыл бұрын

    Acha uongo wewe mungu hafanyi kazi namna hiyo yaana mufanye mazambi yenu useme hayo unazani mungu anazihakiwi ndo munavyojidanya

  • @sylvestersanawa963

    @sylvestersanawa963

    4 жыл бұрын

    @@salmaathuman9156 Unafanya dhambi ngapi? Kwakuwa wewe si maarufu ndio pona yako. Hakuna binadamu asiyetenda dhambi.

  • @aishal1953
    @aishal19534 жыл бұрын

    Nafurah sana kumuona Mariam Amour Acha mzee wewe noma sana big up✌️❤️💯✌️

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi73774 жыл бұрын

    huyu mzee siku akilala kitandan kwa maradhi ndıo atawaza sanaaa ! la pili, anaweza kuona musiki wke kwa laaana ta Allah uswe wenye kupata washabıkı kwa kudura za Allah na maden yataongezeka dhık ktk maishaa uscheze na Allah anaweza kutoa balaaaa usilotarajiaaa!

  • @muhdsseif5785
    @muhdsseif57854 жыл бұрын

    Duh. Jamaa alikuwa keshafanikiwa. Shetani kamrudisha keenye maasia. Tumuombee kwa Allah amzindue. Mara nyingi maasi ya kurudia huwa maradufu. Na kwa vile sasa anatambua kuwa ni maasi basi adhabu yake...

  • @besthonney3232
    @besthonney32324 жыл бұрын

    Duuuu MMUNGU ATAKUJAALIA SALAMA INSHALLAH

  • @soldiersniper3142

    @soldiersniper3142

    4 жыл бұрын

    Kwa comments hii kweli hata mashoga wapo wanaoaambia Mungu atawajalia salama.

  • @besthonney3232

    @besthonney3232

    4 жыл бұрын

    Eee maana hajui alitendalo aweza kurudi kwa mmungu tena

  • @soldiersniper3142

    @soldiersniper3142

    4 жыл бұрын

    Ingekuwa Mungu anachezewa namna harafu poa tu asingeingia mtu motoni

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole40004 жыл бұрын

    Aibu aibu aibu Al Hajj kufanya hivi, inna lillahi wainna ilei rajiuun.

  • @princemelaofficial9870

    @princemelaofficial9870

    4 жыл бұрын

    Videos vya kingwendu

  • @dasilvajunior3016

    @dasilvajunior3016

    4 жыл бұрын

    huyo hakwenda kuhiji aliishia mitaani tuu ya huko Makkah

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud36704 жыл бұрын

    KARIBU MJINI BABA. .MJINI KUZURI KUMENOGA..ULISHINDWA KULE UMERUDI KWENYE NJIA YA SHEITWAN..

  • @MohamedHassan-hr6cb
    @MohamedHassan-hr6cb4 жыл бұрын

    Subhanallah!! Alhajj ndani ya taarab!😭🤷

  • @naimasaid7763
    @naimasaid77634 жыл бұрын

    Hatareee

  • @asiaissa976
    @asiaissa9764 жыл бұрын

    Lakini hata nafi yako naona inakusuts hayo unayoyafanya unaona aibu katika mionekano ila unajikaza tuu inshaallah mungu akuongoze katika njia ilio sawa akurpushie na ghruri za dunia amiin

  • @jumahamadi8213
    @jumahamadi82134 жыл бұрын

    Jisikie aibu mzee.

  • @gangmore9091
    @gangmore90914 жыл бұрын

    🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @fatumahamis9206
    @fatumahamis92064 жыл бұрын

    Maskini nafsi inamsuta kavaa miwani na kapero

  • @deriodubose4199
    @deriodubose41993 жыл бұрын

    Hata mimi mkristo lakini ninasikiliza hawks couple anaimba vizuri, mziki was no therapy.nilisikitika sana walipoacha taarabu nilisikia vibaya sana.sasa naburudika na muziki wao, pie nawapenda sana jamani

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe80894 жыл бұрын

    Msiba mkubwa huu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @aloycesimon2028
    @aloycesimon20283 жыл бұрын

    Usihukumu siyo kazi yako

  • @malkiyatahiya6098
    @malkiyatahiya60983 жыл бұрын

    Inna Lilah maskini weee huwi mfano was marehemu sheikh Nyundo? Tulimpenda Sana na katuongoza kwa wema na wengi tulikua making na mawaidha yake Hadi Leo tunamkumbuka kwa mwema sisi tulimpenda ila Allah kampenda Zaid Ila wewe umefika Hadi nyumba tukufu? Warudia kupotoa umma haya Sasa wamchezea mungu kwa spika uiimbayo eee Mungu hachezewi waona aibu juso baya we

  • @katibatanzania3089
    @katibatanzania30894 жыл бұрын

    Inaalilahi wainalilahi rajiuni subuanallwaa subuanallwaa mm nahisi ww ndiyo chanzo cha uuugonjwa wa korona sababu kubwa ulivyo enda hija ukajidayi kuliya na aallwaa kumbe mnafi umeona ss tumepewa adhabu ya korona

  • @nurumuhammad8502
    @nurumuhammad85024 жыл бұрын

    Mungu atuongoze

  • @ukhtyzainab7254

    @ukhtyzainab7254

    4 жыл бұрын

    Aamiin

  • @rukiaosman8416

    @rukiaosman8416

    4 жыл бұрын

    Amin thuma Amin

  • @ibrahimungombo932
    @ibrahimungombo9324 жыл бұрын

    KWAKUWA MUNGU ASHINDWI NA JAMBO.. BHAC HATA HUO UJINGA WAKO ULIOURUDIA UNAWEZA UKAWA NA HALI NGUMU ZAIDI YA HAPO MZEEE...

  • @mossyahmed7303
    @mossyahmed73034 жыл бұрын

    Kaka mrudie m / mungu hujuwi utaondoka lini dunia

  • @mariawanyatho8934
    @mariawanyatho89344 жыл бұрын

    Hahaaaaaa jumanne ulayaaaaaaa

  • @naimanimo4925
    @naimanimo49254 жыл бұрын

    Lahnatulah I waste my data here 🇺🇬🇺🇬

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki81964 жыл бұрын

    ALLAH Atustiri wote na DHAMBI zetu na atuswamehe na atuepushe na adhabu za kaburini na moto wa jahanamu. Hakuna Mkamilifu ktk Dunia hii, ALLAH ndiye mwenye Neema zake na ndio Hakimu wa MKUU hivyo tusihukumiane zaidi Tuombeane tu ALLAH atuongoze ktk njia sahihi Inshaallah

  • @hamishamis9905
    @hamishamis99054 жыл бұрын

    Mwacheni mzee ajiripue ..ngombe hazeeki maini😂😂😂😂😂😂

  • @pvkanyorota1681

    @pvkanyorota1681

    4 жыл бұрын

    Mwacheni aimbe km ni dhambi mbona ht ww unaesema una Mungu unaicheza taarabu mangapi mnafanya kumbe hakuiba yupo na mkewe wanaimba tatizo ninini rajuni rajuni acheni kumdhihaki Mungu mkijifanya watakatifu.kumlani mtu pia ni dhambi.mngekua wema mngemwambia tangia mwanzo alipoibukia na taarabu asiimbe

  • @soldiersniper3142

    @soldiersniper3142

    4 жыл бұрын

    @@pvkanyorota1681 Ibiris

  • @magrethjohn8576
    @magrethjohn85764 жыл бұрын

    Mwacheni mzee Yusuf atahukumiana na Mungu wake nyie miungu watu wenyewe pia mnamapungufu yenu mwacheni atajua yeye na Mungu wake msifanye kazi ya Mungu.

  • @agathakanu8335

    @agathakanu8335

    4 жыл бұрын

    Good yakwao hawayaoni mengi kuzidi ya huyo mzee

  • @jovanafidelis2802

    @jovanafidelis2802

    3 жыл бұрын

    Na kweli.Kazi ya kuhukumu siyo ya mwanadam ni ya Mungu,hapa tulipo sisi wenyewe hatujui hata kutubu ipasavyo.

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari37304 жыл бұрын

    Inalilah😱

  • @aishambise6529

    @aishambise6529

    4 жыл бұрын

    Mkizugumza y yusfu anzeni kwanza yenu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe mnakwama wapiii shindeni kujadili ya mzee na pesa inaigia mungu ndo mtoa ukumu mna mukumu kamanani nyie wengine wanamwita shetani wewe ndo shetani mkubwa usimnenee mwenzio mabaya wala kumtusi mwombee mnaona kafanya dhambi saaana nyie wanadam kipi kizur kwenu ? Kila mtu apambane na maisha yke 254

  • @adamabui6121
    @adamabui61214 жыл бұрын

    Baba hupendeziii tena ujanaaa kauharibuuu

  • @mariawanyatho8934
    @mariawanyatho89344 жыл бұрын

    Amigooooo

  • @katibatanzania3089
    @katibatanzania30894 жыл бұрын

    Na aallwaa kumbe mnafki ss mungu akatuonyesha janga la korona na mengineo yanajitokedha ya aridhi kushituka ww rudi kwa mooola wako ata yule mtoto uliyekuwa akikupa mawayidha akisikiya ataliya sana

  • @azizamuhene6427
    @azizamuhene64274 жыл бұрын

    UNALANA WW MZEE YUSSUF.MUNGU ATAKULIPA.NA HUYO MKEO. SHETAN MKUBWA .LANATULLAH

  • @yassiniferuzi2867
    @yassiniferuzi28674 жыл бұрын

    Huyo ameshakuwa Pagani tu aende akale Kitimoto Alhaji gani wewe umekuwa Fisi tu sasa huna mvuto kama zamani subiri Jehanamu tu Dunia mapito tu Shetani kesha kushinda zwazwa we

  • @tabikanini2920
    @tabikanini29204 жыл бұрын

    Yuko wapi mauji jamani

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy4 жыл бұрын

    Huyu Mke wake pia ni wakulaumiwa,sababu Mzee Yussuf alipowacha huyu mkewe alikua hakutaka kuwacha Taarab.

  • @halimahassani4344
    @halimahassani43443 жыл бұрын

    Mzee yusufu

  • @ikhlassathman8782
    @ikhlassathman87824 жыл бұрын

    Lazma achabwe coz alijitoa mitandaoni. Allah amrehemu amlaze pema peponi mkewe Marhuma Chiku alikufa na kiumbe mzee alkuwa Alhajj

  • @aishahezilon2520
    @aishahezilon25204 жыл бұрын

    Huyu mzee alitubia social medias na wala hakumtubia Allah wa kweli

  • @abdallahjuma8168
    @abdallahjuma81684 жыл бұрын

    Aghudhubillah Minashaitwan Rajiim

  • @dasilvajunior3016
    @dasilvajunior30164 жыл бұрын

    Ww ni kubwa jinga

  • @africandarling6925
    @africandarling69254 жыл бұрын

    Waja bwana kila kitu lazima mjaji dooo waja acheni hizo mungu ndie ajuea kwa sisi waja na sio sisi Angeiba mngesema dooo

  • @mamaahmad8615
    @mamaahmad86154 жыл бұрын

    Mzee mm ni mpenzi wa taarabu lakini kwa hili ulilo lifanya umefeli ungekaza hiyo njaa hadi ikuuwe ulisha tubu kulikoni mzee yusufu?mrudie mola wako umri haukuruhusu

  • @sylvestersanawa963

    @sylvestersanawa963

    4 жыл бұрын

    Wewe ungeweza kuvumilia njaa ikuuwe? Yakiwa hayajakkta kusema ni rahisi sana.

  • @brownmaterial6751

    @brownmaterial6751

    4 жыл бұрын

    @@sylvestersanawa963 hahahahahaaa

  • @mwanakhamisabdalla9142
    @mwanakhamisabdalla91424 жыл бұрын

    Duh

  • @issaissah8832
    @issaissah88324 жыл бұрын

    Huyu jamaa ana endeshwa na mkewe huyu reira ni mti Hani

  • @alimakamevuwai3518
    @alimakamevuwai35184 жыл бұрын

    wee babu vipi hemu mche allah ulikuwa ushatubia lakini umeamua kurudi kuimba

  • @hadijakabona955
    @hadijakabona9554 жыл бұрын

    Acheni kuukum mana iyo Kaz ya Allah pekee waja Acheni midomo angalia kwanza ivo vidole vinne vinaekekea wapi

  • @ismailothman2917

    @ismailothman2917

    4 жыл бұрын

    We hadija unapenda vibaya mweeeee Huyo wakumfulahiya huyoooo

  • @abuuashyam8417
    @abuuashyam84174 жыл бұрын

    DAH,HAYA TU MAANA YAMEPITA MENGI ZAID YA HUYU NA TUSHASAHAU ILA KWA MUNGU YASHARIKODIWA

  • @zainabthimis4025
    @zainabthimis40254 жыл бұрын

    Mmm mungu msamehe mjawako hakuna namuna

  • @ashaomina1136
    @ashaomina11364 жыл бұрын

    Nyuso zimeja aibu,,Lanatullahi

  • @adiladil345

    @adiladil345

    4 жыл бұрын

    Subiri bakora ya Alla haipo mbali

  • @dasilvajunior3016

    @dasilvajunior3016

    4 жыл бұрын

    wa naona haya hawa

  • @saumuseif9189
    @saumuseif91894 жыл бұрын

    Duuuuh mtihan kweli

  • @adamsalum3711
    @adamsalum37114 жыл бұрын

    Allha atuongoze ktk njia ya haki ila mtihn kwa kwel

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman24364 жыл бұрын

    Mtu hufuata tabia za rafiki zake, huyo mke wake ni muimba taarabu, chakula Chao ni taarab, mtihani mkubwa, Tuombe Allah atupe mwisho mwema...

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf18054 жыл бұрын

    Mzee .Hebu click YOU TUBE umuone JENNIFER GROUT.Katoka kwenye MIZIKI kaingia kusomma QU'RAN.Sauti yake kama ya ABDUL BAAS.Je,wwe nikama sauti yako ya CHURA.Laana ya Allah ikuangukie.

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын

    Duuh Kumbe True, Msinifokee Jamani.

  • @degemaster2785
    @degemaster27854 жыл бұрын

    Oja hii makafili haiwausu nendeni mkaabudie masanam yenu kumaaaaaaa mazenu

  • @nswilahebronhans9550

    @nswilahebronhans9550

    4 жыл бұрын

    Kafir nyie wavaa magauni ya kiarabu

  • @degemaster2785

    @degemaster2785

    4 жыл бұрын

    Naona mkundu unakuwasha sasa unataka kufilwa

  • @issaally7928
    @issaally79284 жыл бұрын

    Atarii

Келесі