Mie ninae rafk ila na mimi sina uwezo wala yeye hana uwezo tunapendana
@bahatihassan5413
Ай бұрын
😂😂😂😂
@RehemaSalamu-cx7rf
3 күн бұрын
😂😂😂
@jamilaathumani5481Ай бұрын
Mashalah.. ulafiki wenu kwel mnapendana i wish to have a friend like you guys
@abedysteven4930Ай бұрын
Dah mpaka cjaamin duh!!! Aisee huo urafk wenu muuxhikirie xana na mungu awaepuxhie adui xhetan amen
@mfalmenajjash2128Ай бұрын
Ukiona wadada wanafanyiana hivi ujuwe uyorafiki alishamfanyia makubwa rafiki yake ndomana analipa fadhila 😂😂
@israeluronu9958Ай бұрын
Jmn marafiki kama hawa wanapatikana wapi??? Mm wakwangu aliniibia cm jmn mpaka leo sijamuona 😅
@eggysulle7988
Ай бұрын
😂😂😂
@jonasikigodi7345
Ай бұрын
😁😂😁😂
@portinachamshama4526
Ай бұрын
😂😂😂
@user-bh4tt6qq2d
Ай бұрын
😂😂😂😂 pole
@israeluronu9958
Ай бұрын
@@user-bh4tt6qq2d asante sana jmn
@LydiacJacksonАй бұрын
Namm mungu anijalie nimnunulie rafk angu gar
@mridm7196Ай бұрын
jambo jema mwenyezi mungu awafanyie wepesi mzidi kupendana
@SwaumuKatundu
Ай бұрын
😂😂
@jeseayubu18394 күн бұрын
Marafiki zangu Nawapenda Sana kwa unafiki wenu.... Zawadi yenu kwangu ni unafiki mtupu
@manuelsaramba2138Ай бұрын
Hongereni sana Mungu awape maisha marefu mpate kusaidiana👏👏👏👏❤
@user-gb3sf9fy2uАй бұрын
Huo ndo urafiki sasa siye wale wangengine urafiki wao ni wakuibiana mabwana tu
@janethmdollo9529Ай бұрын
Mm rafiki yangu sara ni ze best hata asiponipa hata Mia faraja yake nikitu nakiheshimu na kukipenda ahsante mungu kwa kunipa sara hata kama hana kitu ipo siku atakuwa navyo vingi
@steveabel5819Ай бұрын
Nimependa jinsi suprise ilivofanyika🔥
@ZainaboSalumuАй бұрын
Kumbe wanawake wa ivo Bado wapo, gonga like hapo kam unamkubal kiredio
@zulfajamal3166
9 күн бұрын
😂😂😂 pengine wanasagana
@ElizabethNdaga-nr7nc
2 күн бұрын
😂😂😂@@zulfajamal3166
@kidatokassim7616
2 күн бұрын
@@zulfajamal3166nilikua natafuta hii coment
@NeemaMsuya-kk6bsАй бұрын
This kind of love 😍
@zahrakassim6407Ай бұрын
Waswahili sasa kazi kuibiana ma bwana
@IdarousPossy
Ай бұрын
Ndo akili zako zinavyokutuma unazani kila mtu Ana Akili za kipumbavu kama zako..pumbavu wew
@steveabel5819
Ай бұрын
Nimecheka mpk karibia kufa😂😂😂😭
@zahrakassim6407
Ай бұрын
@@IdarousPossy mbn kama umeguswa sana au na wewe ndo mwizi wa mabwana za shoga zako polee wee kijeba
@zahrakassim6407
Ай бұрын
@@steveabel5819 ndo uhalisia
@user-rv3zo1ye4wАй бұрын
Mashalaah
@yuzzoamunisi5 күн бұрын
Wewe jamaa napenda sana challenge zako kuw poaaa sana❤
@MaiMuna-px5tyАй бұрын
Mashallah
@user-ih6ng6sf6o9 күн бұрын
Uyo dada ni rafiki mzuri kwel nimeipenda kwel❤🎉🎉🎉😂😂
@MomopauloKetoniАй бұрын
Kama hio gari kamzawadia rafiki yake hio ndo urafiki wa kweli mungu azid kiwapa upendo zaid maan hio urafiki sio ya kawadi l love you guys ❤❤❤❤❤❤❤
@user-zs4mo4ts1hАй бұрын
namkubali sana kiredio kumbe bado kuna marafiki wa hivi vizuri sana ❤❤❤❤❤
@NasmaMfinangaАй бұрын
Mmmh hadi raha❤❤❤❤❤
@silviocimo3948Ай бұрын
Ni jambo jema kuona wanawake wanapendana
@queenlinda255Ай бұрын
Good mnaakili mnapenda MUNGU awaongoze
@WinnyjojiWatop5 күн бұрын
Nimependa sana tu uyo ndo lafik
@Official83640Ай бұрын
Kiredio na Mwijaku hawana tofauti😂😂😂
@pillyramadhani3726Ай бұрын
Bonge la surpris🎉❤
@ayubusiwakwi1713Ай бұрын
Ongeren sana kwa urafik usio na makandokando 👏👏
@yusufulimo5737Ай бұрын
wanasagana Hawa sio bure. Danganya toto kwa pipi kwa mkubwa andaa fungu
@annastaziaemmanuel8664
29 күн бұрын
Duuuh!cjui wanadamu mnatakaga nini aisee
@Ramadhanjaffari
20 күн бұрын
Yani ukose kuwazania kheri wewe unafkiaria ngono tu mungu akusame
❤❤❤❤❤Duuh mashaallah mashaallah mashaallah Tabarak Allah yaa bint marafiki wa Aina hiyo ni wachache
@khadejarajab8007Ай бұрын
❤❤❤❤❤Alhamndulilah
@Kher__Ай бұрын
I know this ladyy❤
@FranckDaniel-cc5rgАй бұрын
Hawa madem wana ela 😢😢duh
@celinapeter9474
Ай бұрын
Usikute wanakoboana😮
@innocentcareen818Ай бұрын
Mashallha mnapendana
@andrewpeter43216 күн бұрын
Hii dunia kuna watu wanahela jmn 😢
@dayana5513storyАй бұрын
Kumbe bado kuna beff Mungu akawatangulie katika hulafiki wenu❤
@MiliamenockEnockКүн бұрын
Daaa jamani Hadi na Mimi nimelia
@nataemsuyaАй бұрын
Sisi tuliozaliwa 80’s tunaelewa mchezo. Aliyetoa gari yuko na mkewe na watoto anachek on behalf. Ila bongo mtajaa misikitini na makanisani ila dhambi Ya uongo ina wacost sn😢.
@dorcusnakkie1726
10 күн бұрын
Roho ya umaskin inakusumbua mawazo finyuu
@witneyjerry2587Ай бұрын
Huyu ndy rafiki wa kweli❤
@thamu3133Ай бұрын
Hawa sio kwamba n wasaganaji kwel hahahahaa
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm9 күн бұрын
Ila bongo kuna watu wana hela balaaa
@KelvinKivamba-kl1ryАй бұрын
Hawa ndio ulala na nyoka 😂😂
@VeronicaMinja-zg3mvАй бұрын
Sikutegemea kama n bff🎉❤
@merryrichard6211Ай бұрын
Hadi rahaaa
@MagdalenaMaeda-ch6gt8 күн бұрын
Huyu dada anauza nguo jess
@adamsengo18697 күн бұрын
Ajabu siku watashare bwana mmoja ukawa ugomvi😂
@Mwajuma-bx7wkАй бұрын
Duh wamenifurahisha kwakweli
@happymkasiwa5944Ай бұрын
❤❤❤❤
@eggysulle7988Ай бұрын
🔥🔥
@user-vu8hv7yo2m9 күн бұрын
Rafikiangu popote ulipoa sema unataka nini
@Chakol123-k7sАй бұрын
Hapo wanasagana kanunwa vizur mpk katoa gari 😂 mwanaume unampa mauno yote hata baskel hanunui 😂😂 okay sawa😂
@estermwakatundu30288 күн бұрын
Nyie mimi nafel wapi jmn💪💪
@emanuelshilla6368Ай бұрын
Safi sanaaa
@meudeamos9 күн бұрын
Huyoo ni jesca
@user-fi9ye7ek5yАй бұрын
haaa
@elizabethcharles9864Ай бұрын
Jambo jema mzidi kupentana❤
@Dipeson70010 күн бұрын
Michezo iyo, game za kitoto 😂😂😂
@neemamasudi79887 күн бұрын
Urafiki wa namnahii upo kweli?
@rachelkaminyoge1046Ай бұрын
Ila kiredio ndo ukimbie barabra 😂
@onesmomwakasege521529 күн бұрын
Kwawanawake sawa but mwanaume ukinunuliwa gari na rafiki yako jamii itatafusiri unamegwa
@SumaSanga-kd5iyАй бұрын
Duuuh❤❤❤❤
@SalomeSylvester-er3rqАй бұрын
Adi nimelia😢😢
@sabrinasabrina8395Ай бұрын
Wengine wanaibiana mabwana wengine wanajaliana hawa ndio marafiki sass
@makhatiddiАй бұрын
👏👏👏👏♥️♥️♥️
@pezasally8204Ай бұрын
Wasije kuwa n mke na bwana 😂😂😂
@AyishaOman-cw4xsАй бұрын
❤❤❤
@silvanusngelageza724010 күн бұрын
Kiredio nitumie namba
@mzungutz5585Ай бұрын
Kiredio hadi watu wanalia kakiweka ki maiki chake😂😂😂
@Shafikimanga7Ай бұрын
Maana halisi ya urafiki wa kushibana
@mathnaasaa2166Ай бұрын
Ili tujiulize madda kama uyu jamn hela yote anatoa wapi hiii jamni😢
@giddie_barnabas7 күн бұрын
Wameupiga mwingi
@solomonkitonka6904Ай бұрын
Mdada anaitwa Jessica,
@RehemaMataka-vf1ohАй бұрын
Mashallah I like it ❤❤❤
@Esthernicholaus-qo7di
14 сағат бұрын
mie nipate wapiiiii lafk wa hiviiii kila sik unafk tu
@SunGod-i4bАй бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉
@juchaonline4084Ай бұрын
Ndio mana dula makabila aliimba ,Tom Boy pita uku
@modestajamada3496
Ай бұрын
😅😅😅😅
@Makenzisana
Ай бұрын
Kbs
@nishaabdula5015Ай бұрын
Ukisikia urafiki ndo u. Ss sonurafiki mtu anakutambulisha bwna alafu ww umachukuwa bwna waragiki ako.
Пікірлер: 183
Yatimaaa wa marafikii iz typing....... 😢😅😅
@JosephKingwere
Ай бұрын
Mie ninae rafk ila na mimi sina uwezo wala yeye hana uwezo tunapendana
@bahatihassan5413
Ай бұрын
😂😂😂😂
@RehemaSalamu-cx7rf
3 күн бұрын
😂😂😂
Mashalah.. ulafiki wenu kwel mnapendana i wish to have a friend like you guys
Dah mpaka cjaamin duh!!! Aisee huo urafk wenu muuxhikirie xana na mungu awaepuxhie adui xhetan amen
Ukiona wadada wanafanyiana hivi ujuwe uyorafiki alishamfanyia makubwa rafiki yake ndomana analipa fadhila 😂😂
Jmn marafiki kama hawa wanapatikana wapi??? Mm wakwangu aliniibia cm jmn mpaka leo sijamuona 😅
@eggysulle7988
Ай бұрын
😂😂😂
@jonasikigodi7345
Ай бұрын
😁😂😁😂
@portinachamshama4526
Ай бұрын
😂😂😂
@user-bh4tt6qq2d
Ай бұрын
😂😂😂😂 pole
@israeluronu9958
Ай бұрын
@@user-bh4tt6qq2d asante sana jmn
Namm mungu anijalie nimnunulie rafk angu gar
jambo jema mwenyezi mungu awafanyie wepesi mzidi kupendana
@SwaumuKatundu
Ай бұрын
😂😂
Marafiki zangu Nawapenda Sana kwa unafiki wenu.... Zawadi yenu kwangu ni unafiki mtupu
Hongereni sana Mungu awape maisha marefu mpate kusaidiana👏👏👏👏❤
Huo ndo urafiki sasa siye wale wangengine urafiki wao ni wakuibiana mabwana tu
Mm rafiki yangu sara ni ze best hata asiponipa hata Mia faraja yake nikitu nakiheshimu na kukipenda ahsante mungu kwa kunipa sara hata kama hana kitu ipo siku atakuwa navyo vingi
Nimependa jinsi suprise ilivofanyika🔥
Kumbe wanawake wa ivo Bado wapo, gonga like hapo kam unamkubal kiredio
@zulfajamal3166
9 күн бұрын
😂😂😂 pengine wanasagana
@ElizabethNdaga-nr7nc
2 күн бұрын
😂😂😂@@zulfajamal3166
@kidatokassim7616
2 күн бұрын
@@zulfajamal3166nilikua natafuta hii coment
This kind of love 😍
Waswahili sasa kazi kuibiana ma bwana
@IdarousPossy
Ай бұрын
Ndo akili zako zinavyokutuma unazani kila mtu Ana Akili za kipumbavu kama zako..pumbavu wew
@steveabel5819
Ай бұрын
Nimecheka mpk karibia kufa😂😂😂😭
@zahrakassim6407
Ай бұрын
@@IdarousPossy mbn kama umeguswa sana au na wewe ndo mwizi wa mabwana za shoga zako polee wee kijeba
@zahrakassim6407
Ай бұрын
@@steveabel5819 ndo uhalisia
Mashalaah
Wewe jamaa napenda sana challenge zako kuw poaaa sana❤
Mashallah
Uyo dada ni rafiki mzuri kwel nimeipenda kwel❤🎉🎉🎉😂😂
Kama hio gari kamzawadia rafiki yake hio ndo urafiki wa kweli mungu azid kiwapa upendo zaid maan hio urafiki sio ya kawadi l love you guys ❤❤❤❤❤❤❤
namkubali sana kiredio kumbe bado kuna marafiki wa hivi vizuri sana ❤❤❤❤❤
Mmmh hadi raha❤❤❤❤❤
Ni jambo jema kuona wanawake wanapendana
Good mnaakili mnapenda MUNGU awaongoze
Nimependa sana tu uyo ndo lafik
Kiredio na Mwijaku hawana tofauti😂😂😂
Bonge la surpris🎉❤
Ongeren sana kwa urafik usio na makandokando 👏👏
wanasagana Hawa sio bure. Danganya toto kwa pipi kwa mkubwa andaa fungu
@annastaziaemmanuel8664
29 күн бұрын
Duuuh!cjui wanadamu mnatakaga nini aisee
@Ramadhanjaffari
20 күн бұрын
Yani ukose kuwazania kheri wewe unafkiaria ngono tu mungu akusame
@hurumakonga8181
18 күн бұрын
Ni shida kwa kweli
Wale wa kusema rafiki wanafki tujuane haki😂
Wow
Hawa sasa ndy ma bff😅
@Dipeson700
10 күн бұрын
Hakuna ukweli apo wewe😂😂😂
@user-db4cg5mh5b
9 күн бұрын
@Dipeson😂😂😂😂😂 wabongo wabishi
Hahaha 😂 ctaki bwn niacheni hahaha 😂 Rafik 😢wa wapi toookweeeen zenu zenu 😊
❤❤❤❤❤Duuh mashaallah mashaallah mashaallah Tabarak Allah yaa bint marafiki wa Aina hiyo ni wachache
❤❤❤❤❤Alhamndulilah
I know this ladyy❤
Hawa madem wana ela 😢😢duh
@celinapeter9474
Ай бұрын
Usikute wanakoboana😮
Mashallha mnapendana
Hii dunia kuna watu wanahela jmn 😢
Kumbe bado kuna beff Mungu akawatangulie katika hulafiki wenu❤
Daaa jamani Hadi na Mimi nimelia
Sisi tuliozaliwa 80’s tunaelewa mchezo. Aliyetoa gari yuko na mkewe na watoto anachek on behalf. Ila bongo mtajaa misikitini na makanisani ila dhambi Ya uongo ina wacost sn😢.
@dorcusnakkie1726
10 күн бұрын
Roho ya umaskin inakusumbua mawazo finyuu
Huyu ndy rafiki wa kweli❤
Hawa sio kwamba n wasaganaji kwel hahahahaa
Ila bongo kuna watu wana hela balaaa
Hawa ndio ulala na nyoka 😂😂
Sikutegemea kama n bff🎉❤
Hadi rahaaa
Huyu dada anauza nguo jess
Ajabu siku watashare bwana mmoja ukawa ugomvi😂
Duh wamenifurahisha kwakweli
❤❤❤❤
🔥🔥
Rafikiangu popote ulipoa sema unataka nini
Hapo wanasagana kanunwa vizur mpk katoa gari 😂 mwanaume unampa mauno yote hata baskel hanunui 😂😂 okay sawa😂
Nyie mimi nafel wapi jmn💪💪
Safi sanaaa
Huyoo ni jesca
haaa
Jambo jema mzidi kupentana❤
Michezo iyo, game za kitoto 😂😂😂
Urafiki wa namnahii upo kweli?
Ila kiredio ndo ukimbie barabra 😂
Kwawanawake sawa but mwanaume ukinunuliwa gari na rafiki yako jamii itatafusiri unamegwa
Duuuh❤❤❤❤
Adi nimelia😢😢
Wengine wanaibiana mabwana wengine wanajaliana hawa ndio marafiki sass
👏👏👏👏♥️♥️♥️
Wasije kuwa n mke na bwana 😂😂😂
❤❤❤
Kiredio nitumie namba
Kiredio hadi watu wanalia kakiweka ki maiki chake😂😂😂
Maana halisi ya urafiki wa kushibana
Ili tujiulize madda kama uyu jamn hela yote anatoa wapi hiii jamni😢
Wameupiga mwingi
Mdada anaitwa Jessica,
Mashallah I like it ❤❤❤
@Esthernicholaus-qo7di
14 сағат бұрын
mie nipate wapiiiii lafk wa hiviiii kila sik unafk tu
❤❤❤❤❤🎉🎉
Ndio mana dula makabila aliimba ,Tom Boy pita uku
@modestajamada3496
Ай бұрын
😅😅😅😅
@Makenzisana
Ай бұрын
Kbs
Ukisikia urafiki ndo u. Ss sonurafiki mtu anakutambulisha bwna alafu ww umachukuwa bwna waragiki ako.
Nishazoea kuwaona wale wanawake wanao chukuliana mabwana2
Kuna mingine inaibiana wanaume😅😅😅
Huuu ndio upendo unao takiwa
Jamani huyu mdada kaolewa ????😮😮😮😮😮
😄😜 Mhh
swali ni ...JE?😅una bestie
😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️
Kiredio we ukishachagua bajaji mbona unakimbilia lift
Sisi wengine tuna marafiki wakupeana umbea tuu na tunafukahia maana hatuna pesa za kununuliana magari😅😅😅😅
Ila kiredio
Milion sabini harrier haifiki hta sku moja mmezid na nyie kudanganya.
@JacksonJacksonwanga
Ай бұрын
Kuna harrier paka150 iyo mwakajana yaivo ilikua65 usishangae70
@user-dx6dm6lh1i
Ай бұрын
@@JacksonJacksonwangahiz gari lkn zikifika huko ndio bei lkn ukifuatia mwenyeo unapata milion kumi na tano tna imezid hpo
@FreeGod368
Ай бұрын
@@user-dx6dm6lh1i unatumia komoni au gongo mkuu
🥰❤️🥰❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Wengne wananunuliwa magar na bff khaaa had raha
Wanasagana hao 😊
@user-wr6uz1rx1o
Ай бұрын
😂😂😂😂
@steveabel5819
Ай бұрын
Jmn we nawe mxieew
LAZMA. MWANAUME ATAPATIA COZ WANAWAKE WA HVYO NI WACHACHE
Kuna rafik wa kwel Dunia I mhu adi rah
Hawa hawasagani kweli hawa
Rafiki angu aliomba nimkopeshe elf 50 tu mpk leo hapokei simu zamu ananikimbia 😂😂😂😂
@bekirdonmez6598
Ай бұрын
Bora hata ww mm laki mbili🤔🤔 bado tu kuniblock😂😂
Natamani nipte rafki wa hvyooooo
Uwongo kabisa.huyo mwenye kutoa gari hata hafanani nayo
@joycehaule9717
Ай бұрын
Pole