AMZAWADIA BFF WAKE GARI AINA YA HARRIER

Ойын-сауық

Пікірлер: 183

  • @NeemaDevotha
    @NeemaDevothaАй бұрын

    Yatimaaa wa marafikii iz typing....... 😢😅😅

  • @JosephKingwere

    @JosephKingwere

    Ай бұрын

    Mie ninae rafk ila na mimi sina uwezo wala yeye hana uwezo tunapendana

  • @bahatihassan5413

    @bahatihassan5413

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @RehemaSalamu-cx7rf

    @RehemaSalamu-cx7rf

    3 күн бұрын

    😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481Ай бұрын

    Mashalah.. ulafiki wenu kwel mnapendana i wish to have a friend like you guys

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930Ай бұрын

    Dah mpaka cjaamin duh!!! Aisee huo urafk wenu muuxhikirie xana na mungu awaepuxhie adui xhetan amen

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128Ай бұрын

    Ukiona wadada wanafanyiana hivi ujuwe uyorafiki alishamfanyia makubwa rafiki yake ndomana analipa fadhila 😂😂

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958Ай бұрын

    Jmn marafiki kama hawa wanapatikana wapi??? Mm wakwangu aliniibia cm jmn mpaka leo sijamuona 😅

  • @eggysulle7988

    @eggysulle7988

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @jonasikigodi7345

    @jonasikigodi7345

    Ай бұрын

    😁😂😁😂

  • @portinachamshama4526

    @portinachamshama4526

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-bh4tt6qq2d

    @user-bh4tt6qq2d

    Ай бұрын

    😂😂😂😂 pole

  • @israeluronu9958

    @israeluronu9958

    Ай бұрын

    @@user-bh4tt6qq2d asante sana jmn

  • @LydiacJackson
    @LydiacJacksonАй бұрын

    Namm mungu anijalie nimnunulie rafk angu gar

  • @mridm7196
    @mridm7196Ай бұрын

    jambo jema mwenyezi mungu awafanyie wepesi mzidi kupendana

  • @SwaumuKatundu

    @SwaumuKatundu

    Ай бұрын

    😂😂

  • @jeseayubu1839
    @jeseayubu18394 күн бұрын

    Marafiki zangu Nawapenda Sana kwa unafiki wenu.... Zawadi yenu kwangu ni unafiki mtupu

  • @manuelsaramba2138
    @manuelsaramba2138Ай бұрын

    Hongereni sana Mungu awape maisha marefu mpate kusaidiana👏👏👏👏❤

  • @user-gb3sf9fy2u
    @user-gb3sf9fy2uАй бұрын

    Huo ndo urafiki sasa siye wale wangengine urafiki wao ni wakuibiana mabwana tu

  • @janethmdollo9529
    @janethmdollo9529Ай бұрын

    Mm rafiki yangu sara ni ze best hata asiponipa hata Mia faraja yake nikitu nakiheshimu na kukipenda ahsante mungu kwa kunipa sara hata kama hana kitu ipo siku atakuwa navyo vingi

  • @steveabel5819
    @steveabel5819Ай бұрын

    Nimependa jinsi suprise ilivofanyika🔥

  • @ZainaboSalumu
    @ZainaboSalumuАй бұрын

    Kumbe wanawake wa ivo Bado wapo, gonga like hapo kam unamkubal kiredio

  • @zulfajamal3166

    @zulfajamal3166

    9 күн бұрын

    😂😂😂 pengine wanasagana

  • @ElizabethNdaga-nr7nc

    @ElizabethNdaga-nr7nc

    2 күн бұрын

    😂😂😂​@@zulfajamal3166

  • @kidatokassim7616

    @kidatokassim7616

    2 күн бұрын

    ​@@zulfajamal3166nilikua natafuta hii coment

  • @NeemaMsuya-kk6bs
    @NeemaMsuya-kk6bsАй бұрын

    This kind of love 😍

  • @zahrakassim6407
    @zahrakassim6407Ай бұрын

    Waswahili sasa kazi kuibiana ma bwana

  • @IdarousPossy

    @IdarousPossy

    Ай бұрын

    Ndo akili zako zinavyokutuma unazani kila mtu Ana Akili za kipumbavu kama zako..pumbavu wew

  • @steveabel5819

    @steveabel5819

    Ай бұрын

    Nimecheka mpk karibia kufa😂😂😂😭

  • @zahrakassim6407

    @zahrakassim6407

    Ай бұрын

    @@IdarousPossy mbn kama umeguswa sana au na wewe ndo mwizi wa mabwana za shoga zako polee wee kijeba

  • @zahrakassim6407

    @zahrakassim6407

    Ай бұрын

    @@steveabel5819 ndo uhalisia

  • @user-rv3zo1ye4w
    @user-rv3zo1ye4wАй бұрын

    Mashalaah

  • @yuzzoamunisi
    @yuzzoamunisi5 күн бұрын

    Wewe jamaa napenda sana challenge zako kuw poaaa sana❤

  • @MaiMuna-px5ty
    @MaiMuna-px5tyАй бұрын

    Mashallah

  • @user-ih6ng6sf6o
    @user-ih6ng6sf6o9 күн бұрын

    Uyo dada ni rafiki mzuri kwel nimeipenda kwel❤🎉🎉🎉😂😂

  • @MomopauloKetoni
    @MomopauloKetoniАй бұрын

    Kama hio gari kamzawadia rafiki yake hio ndo urafiki wa kweli mungu azid kiwapa upendo zaid maan hio urafiki sio ya kawadi l love you guys ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-zs4mo4ts1h
    @user-zs4mo4ts1hАй бұрын

    namkubali sana kiredio kumbe bado kuna marafiki wa hivi vizuri sana ❤❤❤❤❤

  • @NasmaMfinanga
    @NasmaMfinangaАй бұрын

    Mmmh hadi raha❤❤❤❤❤

  • @silviocimo3948
    @silviocimo3948Ай бұрын

    Ni jambo jema kuona wanawake wanapendana

  • @queenlinda255
    @queenlinda255Ай бұрын

    Good mnaakili mnapenda MUNGU awaongoze

  • @WinnyjojiWatop
    @WinnyjojiWatop5 күн бұрын

    Nimependa sana tu uyo ndo lafik

  • @Official83640
    @Official83640Ай бұрын

    Kiredio na Mwijaku hawana tofauti😂😂😂

  • @pillyramadhani3726
    @pillyramadhani3726Ай бұрын

    Bonge la surpris🎉❤

  • @ayubusiwakwi1713
    @ayubusiwakwi1713Ай бұрын

    Ongeren sana kwa urafik usio na makandokando 👏👏

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737Ай бұрын

    wanasagana Hawa sio bure. Danganya toto kwa pipi kwa mkubwa andaa fungu

  • @annastaziaemmanuel8664

    @annastaziaemmanuel8664

    29 күн бұрын

    Duuuh!cjui wanadamu mnatakaga nini aisee

  • @Ramadhanjaffari

    @Ramadhanjaffari

    20 күн бұрын

    Yani ukose kuwazania kheri wewe unafkiaria ngono tu mungu akusame

  • @hurumakonga8181

    @hurumakonga8181

    18 күн бұрын

    Ni shida kwa kweli

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah13337 күн бұрын

    Wale wa kusema rafiki wanafki tujuane haki😂

  • @kennedjohn5785
    @kennedjohn5785Ай бұрын

    Wow

  • @nguyamtwartz5413
    @nguyamtwartz5413Ай бұрын

    Hawa sasa ndy ma bff😅

  • @Dipeson700

    @Dipeson700

    10 күн бұрын

    Hakuna ukweli apo wewe😂😂😂

  • @user-db4cg5mh5b

    @user-db4cg5mh5b

    9 күн бұрын

    ​@Dipeson😂😂😂😂😂 wabongo wabishi

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007Ай бұрын

    Hahaha 😂 ctaki bwn niacheni hahaha 😂 Rafik 😢wa wapi toookweeeen zenu zenu 😊

  • @HusnaJuma-qb1hg
    @HusnaJuma-qb1hgАй бұрын

    ❤❤❤❤❤Duuh mashaallah mashaallah mashaallah Tabarak Allah yaa bint marafiki wa Aina hiyo ni wachache

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤Alhamndulilah

  • @Kher__
    @Kher__Ай бұрын

    I know this ladyy❤

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rgАй бұрын

    Hawa madem wana ela 😢😢duh

  • @celinapeter9474

    @celinapeter9474

    Ай бұрын

    Usikute wanakoboana😮

  • @innocentcareen818
    @innocentcareen818Ай бұрын

    Mashallha mnapendana

  • @andrewpeter4321
    @andrewpeter43216 күн бұрын

    Hii dunia kuna watu wanahela jmn 😢

  • @dayana5513story
    @dayana5513storyАй бұрын

    Kumbe bado kuna beff Mungu akawatangulie katika hulafiki wenu❤

  • @MiliamenockEnock
    @MiliamenockEnockКүн бұрын

    Daaa jamani Hadi na Mimi nimelia

  • @nataemsuya
    @nataemsuyaАй бұрын

    Sisi tuliozaliwa 80’s tunaelewa mchezo. Aliyetoa gari yuko na mkewe na watoto anachek on behalf. Ila bongo mtajaa misikitini na makanisani ila dhambi Ya uongo ina wacost sn😢.

  • @dorcusnakkie1726

    @dorcusnakkie1726

    10 күн бұрын

    Roho ya umaskin inakusumbua mawazo finyuu

  • @witneyjerry2587
    @witneyjerry2587Ай бұрын

    Huyu ndy rafiki wa kweli❤

  • @thamu3133
    @thamu3133Ай бұрын

    Hawa sio kwamba n wasaganaji kwel hahahahaa

  • @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
    @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm9 күн бұрын

    Ila bongo kuna watu wana hela balaaa

  • @KelvinKivamba-kl1ry
    @KelvinKivamba-kl1ryАй бұрын

    Hawa ndio ulala na nyoka 😂😂

  • @VeronicaMinja-zg3mv
    @VeronicaMinja-zg3mvАй бұрын

    Sikutegemea kama n bff🎉❤

  • @merryrichard6211
    @merryrichard6211Ай бұрын

    Hadi rahaaa

  • @MagdalenaMaeda-ch6gt
    @MagdalenaMaeda-ch6gt8 күн бұрын

    Huyu dada anauza nguo jess

  • @adamsengo1869
    @adamsengo18697 күн бұрын

    Ajabu siku watashare bwana mmoja ukawa ugomvi😂

  • @Mwajuma-bx7wk
    @Mwajuma-bx7wkАй бұрын

    Duh wamenifurahisha kwakweli

  • @happymkasiwa5944
    @happymkasiwa5944Ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988Ай бұрын

    🔥🔥

  • @user-vu8hv7yo2m
    @user-vu8hv7yo2m9 күн бұрын

    Rafikiangu popote ulipoa sema unataka nini

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7sАй бұрын

    Hapo wanasagana kanunwa vizur mpk katoa gari 😂 mwanaume unampa mauno yote hata baskel hanunui 😂😂 okay sawa😂

  • @estermwakatundu3028
    @estermwakatundu30288 күн бұрын

    Nyie mimi nafel wapi jmn💪💪

  • @emanuelshilla6368
    @emanuelshilla6368Ай бұрын

    Safi sanaaa

  • @meudeamos
    @meudeamos9 күн бұрын

    Huyoo ni jesca

  • @user-fi9ye7ek5y
    @user-fi9ye7ek5yАй бұрын

    haaa

  • @elizabethcharles9864
    @elizabethcharles9864Ай бұрын

    Jambo jema mzidi kupentana❤

  • @Dipeson700
    @Dipeson70010 күн бұрын

    Michezo iyo, game za kitoto 😂😂😂

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi79887 күн бұрын

    Urafiki wa namnahii upo kweli?

  • @rachelkaminyoge1046
    @rachelkaminyoge1046Ай бұрын

    Ila kiredio ndo ukimbie barabra 😂

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege521529 күн бұрын

    Kwawanawake sawa but mwanaume ukinunuliwa gari na rafiki yako jamii itatafusiri unamegwa

  • @SumaSanga-kd5iy
    @SumaSanga-kd5iyАй бұрын

    Duuuh❤❤❤❤

  • @SalomeSylvester-er3rq
    @SalomeSylvester-er3rqАй бұрын

    Adi nimelia😢😢

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395Ай бұрын

    Wengine wanaibiana mabwana wengine wanajaliana hawa ndio marafiki sass

  • @makhatiddi
    @makhatiddiАй бұрын

    👏👏👏👏♥️♥️♥️

  • @pezasally8204
    @pezasally8204Ай бұрын

    Wasije kuwa n mke na bwana 😂😂😂

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xsАй бұрын

    ❤❤❤

  • @silvanusngelageza7240
    @silvanusngelageza724010 күн бұрын

    Kiredio nitumie namba

  • @mzungutz5585
    @mzungutz5585Ай бұрын

    Kiredio hadi watu wanalia kakiweka ki maiki chake😂😂😂

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7Ай бұрын

    Maana halisi ya urafiki wa kushibana

  • @mathnaasaa2166
    @mathnaasaa2166Ай бұрын

    Ili tujiulize madda kama uyu jamn hela yote anatoa wapi hiii jamni😢

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas7 күн бұрын

    Wameupiga mwingi

  • @solomonkitonka6904
    @solomonkitonka6904Ай бұрын

    Mdada anaitwa Jessica,

  • @RehemaMataka-vf1oh
    @RehemaMataka-vf1ohАй бұрын

    Mashallah I like it ❤❤❤

  • @Esthernicholaus-qo7di

    @Esthernicholaus-qo7di

    14 сағат бұрын

    mie nipate wapiiiii lafk wa hiviiii kila sik unafk tu

  • @SunGod-i4b
    @SunGod-i4bАй бұрын

    ❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @juchaonline4084
    @juchaonline4084Ай бұрын

    Ndio mana dula makabila aliimba ,Tom Boy pita uku

  • @modestajamada3496

    @modestajamada3496

    Ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @Makenzisana

    @Makenzisana

    Ай бұрын

    Kbs

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015Ай бұрын

    Ukisikia urafiki ndo u. Ss sonurafiki mtu anakutambulisha bwna alafu ww umachukuwa bwna waragiki ako.

  • @mossesramadhani501
    @mossesramadhani501Ай бұрын

    Nishazoea kuwaona wale wanawake wanao chukuliana mabwana2

  • @FEBRONIAJULIUS
    @FEBRONIAJULIUSАй бұрын

    Kuna mingine inaibiana wanaume😅😅😅

  • @MichaelKamdyanko
    @MichaelKamdyankoАй бұрын

    Huuu ndio upendo unao takiwa

  • @melickizedeckmwalingo5127
    @melickizedeckmwalingo5127Ай бұрын

    Jamani huyu mdada kaolewa ????😮😮😮😮😮

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840Ай бұрын

    😄😜 Mhh

  • @mejgodsgal1340
    @mejgodsgal1340Ай бұрын

    swali ni ...JE?😅una bestie

  • @DativaMbowe
    @DativaMboweАй бұрын

    😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️

  • @ElinamiDaniel
    @ElinamiDanielАй бұрын

    Kiredio we ukishachagua bajaji mbona unakimbilia lift

  • @user-qi6jt7rt7t
    @user-qi6jt7rt7tАй бұрын

    Sisi wengine tuna marafiki wakupeana umbea tuu na tunafukahia maana hatuna pesa za kununuliana magari😅😅😅😅

  • @annanalompa-mr3bn
    @annanalompa-mr3bnАй бұрын

    Ila kiredio

  • @user-dx6dm6lh1i
    @user-dx6dm6lh1iАй бұрын

    Milion sabini harrier haifiki hta sku moja mmezid na nyie kudanganya.

  • @JacksonJacksonwanga

    @JacksonJacksonwanga

    Ай бұрын

    Kuna harrier paka150 iyo mwakajana yaivo ilikua65 usishangae70

  • @user-dx6dm6lh1i

    @user-dx6dm6lh1i

    Ай бұрын

    @@JacksonJacksonwangahiz gari lkn zikifika huko ndio bei lkn ukifuatia mwenyeo unapata milion kumi na tano tna imezid hpo

  • @FreeGod368

    @FreeGod368

    Ай бұрын

    ​@@user-dx6dm6lh1i unatumia komoni au gongo mkuu

  • @devociltergoldwyne5651
    @devociltergoldwyne5651Ай бұрын

    🥰❤️🥰❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @ELIZABETHEMMANUEL-kz7vn
    @ELIZABETHEMMANUEL-kz7vnАй бұрын

    Wengne wananunuliwa magar na bff khaaa had raha

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qkАй бұрын

    Wanasagana hao 😊

  • @user-wr6uz1rx1o

    @user-wr6uz1rx1o

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @steveabel5819

    @steveabel5819

    Ай бұрын

    Jmn we nawe mxieew

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850Ай бұрын

    LAZMA. MWANAUME ATAPATIA COZ WANAWAKE WA HVYO NI WACHACHE

  • @user-eb9br2nh6t
    @user-eb9br2nh6tАй бұрын

    Kuna rafik wa kwel Dunia I mhu adi rah

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193Ай бұрын

    Hawa hawasagani kweli hawa

  • @mahirnassor3118
    @mahirnassor3118Ай бұрын

    Rafiki angu aliomba nimkopeshe elf 50 tu mpk leo hapokei simu zamu ananikimbia 😂😂😂😂

  • @bekirdonmez6598

    @bekirdonmez6598

    Ай бұрын

    Bora hata ww mm laki mbili🤔🤔 bado tu kuniblock😂😂

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwereАй бұрын

    Natamani nipte rafki wa hvyooooo

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633Ай бұрын

    Uwongo kabisa.huyo mwenye kutoa gari hata hafanani nayo

  • @joycehaule9717

    @joycehaule9717

    Ай бұрын

    Pole

Келесі