Ambwene Mwasongwe. Nilipiga picha nusu kwakuwa suruali yangu ilikuwa imeungua chini! UDSM CCT.
Karibu usubsribe Channel maalumu kwaajiri ya video fupi tu. CHURCH MEDIA4K.
• Dakika 10 na Mch. Hana... .Video na Audio hizi zinahusu Matukio, Mafundisho na Mahubiri Yaliyotolewa Katika Ibada zinazofanyika UDSM CCT Chaplaincy (CCKD)
Пікірлер: 172
Amina Baba umeitwa,Hata mimi nilinyanyasika na nyumba za kupanga kama 2 hivi nilipohamia ya 3 nikawa nalala chini wiki nziima huku namlilia Mungu siku ya mwisho nikamwambia Mungu hii nyumba ni ya mwisho usiponibariki nyumba yangu basi niue tu! Nikitoka hapa niende kaburini au kwenye nyumba yangu,nimechoka kukutumikia na huku nateseka na manyumba ya watu,Mungu ni mwaminifu nilitoka ile nyumba nikaingia kwangu mwaka wa 6 sasa! Sifa na Utukufu ni kwake🙏
@HighzackMichael
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumushi
Mtumishi wa Mungu Ambwene.nahitaji nikuone Siku moja.tukae tuzungumuze mawili matatu.ili maratena uhimize huduma yangu.maana ushihuda wako unanitia moyo.niko Est DRC.mjini Goma.
Ushuhuda wako umenigusa Sana moyo wangu, najikuta kuwa na nguvu mpya ya kumtafuta MUNGU wangu, natamani nifike hatua hiyo uliyopo mtumishi wa MUNGU, Ubarikiwe sana.
Mungu naomba usikiie maombi mungu ulinde ndoa zetu japo kuwa tunapitia mangumu sana na majaribu mengi mungu simama ututetee mungu akubariki kaka amwene
Najikuta natokwa na machozi 😭 much love from CONGO 🇨🇩♥️
Mungu basi azidi kukutendea mema kwa maisha yako,hata nasisi atujalie neema yake kusudi tushikamane nayeye
Naomba nami Leo Mungu anikumbuke katika safari yangu mara nyingi twachoka safarini lakini yupo Mungu wa embwene Leo hii namwita ashuke anene nami pia nataka kubarikiwa I tap the blessings man of God 🙏
@udsmcctmedia7708
Жыл бұрын
Let it be in the Name of Jesus
Nimenguswa sana nahuu wimbo
Majaribu ni mtaji ndo wimbo ulonifanya mfuasi wako zaidi ya miaka 16 iliyopita. Mungu aliyekuchota porini nikakujua huku Kenya akubariki .
Mimi nimeanza kumjua kaka kipindi anatembea na gitaaaa lake nilikuwa napenda voko yake mda sana na imani yake ipo juuu sana barikiwa sana kaka sisi tumebarikiwa sana kupitia nyimbo zako
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Ulimfahamu hukumjua ,Anamjua Mungu na Mama yake na mke wake tu
Mungu akubarik sana kaka kwa huduma ya uimbaji wa mguso
Sauti yako inainua imani yangu najikuta napiga hatua kila baada ya kuisikiliza sauti yako naamini sauti yako si yako tu Bali ndani yake yupo yule MZEE WA SIKU ubarikiwe sana mtumishi ninapokata tamaa yaani nisikiapo sauti ya yako nainuka tena. Nasema kwa herufi kubwa UBARIKIWE KATIKA KRISTO YESU WA NAZARETH ALIYE HAI.
Huu wimbo niliusikia wakati bado sijaokoka ila niliupenda, namshukru Mungu aliyeniokoa na kunifanya nielewe zaidi
@wazirikisigo4232
Жыл бұрын
Endelea mbele dada
BWANA MUNGU, nashukuru kwa hapa nilipo na nitakapokuwepo kesho kama itakupendeza kwakuwa asubuhi yangu, mchana wangu na usiku wangu ni Neema tu.
@franklinnnko7132
Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mtumshi wa Mungu umenitia moyo upya
@Lusekelo98
Жыл бұрын
@@franklinnnko7132 Amina mtumishi
Barikiwa sana Mt ambwene
Mungu nyoosha mapito yangu
Barikiwa sana mtumishi kweli haikuwa rahisi
Natamani nifike mahali ambapo anatakanifike mungu
😥😥ubarikiwe mtumishi wa MUNGU🛐🛐🛐🛐🛐
Umesema kweli,ni jambo la ajabu kuona watu wazima na wazee wameachia vijana ndiyo wamtukuze Mungu, wao ndiyo wanaimbiwa
Barikiwa sana baba napenda sana huduma yako
MUNGU AZIDI KUKUINUWA UNATUBARIKI SANA NA AKUSIMAMIE ADUI NI WENGI LAKINI UTASHINDA🙏🙏🙏
Nimebarikiwa Sana kupitia huu wimbo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mtumishi ubarikiwe nakupenda sana na nyimbo zako zinakuwa na mguso na mafunzo barikiwa sana Ameen
@ulimbakisyalaston6311
Жыл бұрын
Amina mtumishi Bwana Yesu akubarik
Namshukuru Mungu mtumish kupitia wimbo huu nilikata tamaa lakin nimehudiwa na nimemuonaMungu kiwango Cha iman kimeongezeka
Nimelia saana Ushuhuda huu
Barikiwa sana naelewa uimbaji wako
Oh Mungu ni mukubwa sana
Uzidi kubarikiwa zaidi ndugu yangu
Ameeeeen ukiiimba tu na inuka kwenye Imani amene
Amina mtumishi ubarikiwe saana hakika mungu anakutumia nyimbo zako zinatuimarisha mno
Mapito ya mtoto wa mungu hakika huaga magumu so ushindi wake huwa mkubwa sana kwa utukufu wa Jehovah
Ubarikiwe sana
Wewe ni Mentor wangu hakika.
Hakika nimeguswa mungu akubarik
Ubarikiwe mtumishi, upate maisha marefu yenye furaha na amani tele nabarikiwa Sana na nyimbo za na storii za maisha yako.... Na ninajifunza kitu pia katika maisha yangu 🙏
Ndugu yangu Asante kustahimili,nashuhudi uzima kila akutumiapo Baba,songa mbele Nami nasonga mbele.Tumebeba msalaba,ulihudumia maisha yangu,barikiwa ndugu
Amina mtumishi ubarikiwe nakuwa kiimani niposikiliza nyimbo zako
@udsmcctmedia7708
Жыл бұрын
Amina
Alléluia sifa kwa Mungu wetu,maana ushuhuda zako zinakua ni mafundisho makubwa kwa maisha yangu.Kweli umeitwa na Mungu
Mungu azid kukutunza mtumishi wa Mungu nyimbo zako Huwa zinanibarik San 🙏
Mungu akubariki Sanaa na aendelee kukutumia shambani mwake
Ambwene .Bwana Yesu asifiwe naomba namba yako nahitaji kukuuliza swali moja tu
Ushuda huu unanikumbusha mbali sana ubarikiwe amenuh 🙏🙏🙏
Natamani kulia mungu naomba na na mimi unitie moyo kushenda majarbuuuuu here yesu naomba nisaidie
@udsmcctmedia7708
Жыл бұрын
Mungu Ujibu haya ya moyo wa mtumishi wako. Ameni
Ubarikiwe Mnooo!!
Nime barikiwa kabisa
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu katika huduma yako
wimbo huo huwa unanibariki sanaaaaa
Yesu akutunze daima mtumishi
Nakupenda sana
Mungu akubariki naguswa nanyimbo zako
Ubarikiwe sana mtumishi wa mung nyimbo zako znaokoa na zina uPako wa mung
Barikiwa sana mtumishi
mungu akupe Maisha malefu
Amina abwene
Mungu wangu Mungu wangu Mungu wangu nakuomba ukaibariki huduma ya Mtumishi Ambwene ktk viwango vya juu sana kwani ni mvuvi wa watu wakujue zaid
Mungu akusimamia mtumish akutie nguvu katka Kila jambo unalofanya Amen
Mungu mwenyewe alikuita kweli mjungaji ubarikiwe sana nyimbo sa baraka
Barikiwa mtumishi
Barikiwa mtumishi wa mungu bwana awe Kila kitu kwako.
Barikiwa Kalumbu mtumishi wa Mungu huwa nakuombea sana
Mungu kama ulivyoweza kuwajaza wengine nguvu yako, nami unijaze ili nitumike kwako kama lilivyo kusudi lako ndani mwangu🙏
Ushuhuda wako umenitia nguvu kaka ambwene ubarikiwe sana
@lisajohn-vc2rt
Жыл бұрын
Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe Sana in kanisa liko sehemu gan mtumishi
We Mungu nakushukuru,najua unasababu kuu .Mtumishi Mungu akutunze
Nabalikiwa na huduma yako karibu iringa
Woow! God bless u! From Rwanda nakusikiliza hapa
amen nikisikiliza nyimbo zako najifunza mengi sana nazidi kuwa na imani sana na mungu
Aminaa mtumishi wa Mungu unanibariki sanaa
Namimi nimeanza Safari yakuimba mwakahuu niombee Sana mtumishi kazi yamungu inavita Sana
Wito wa Mungu huwa Hanna awezaye kupinga
Aleluyah, Mungu atuinue kadri apendavyo
Mungu akubariki Mtumishi kwa matashi mema
Mungu akubariki Sana nakupenda mtumishi wa mungu unanibariki sana
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu nabarikiwa sana na nyimbo zako nisikilizapo namuona Mungu akinitetea kupitia nyimbo zako, Mungu akuongezee kipawa.
Mungu akubariki mtumish zaidi na uwe juu siku zote, Ameen.
Nabarikiwa sana🙌
Ushuhuda huo is very clear
Amina Mtumishi huduma yako ina nguvu za Mungu
@neveledickson3323
Жыл бұрын
Nakupenda Sana ambwene
@MariamSharua-yf8fq
2 ай бұрын
Ubarikiwe sana
Asante sana mtumishi wa mungu ubarikiwe 🙏🙏🙏💞💞
Nabarikiwa sana kaka Ambwene, Mungu wangu wa Mbinguni azidi kukuinua🙏
balikiwa sana mtumishi wa mungu
Mungu mkubwa kwako mtumish azid kukupauhodali
Asante Sana ushuhuda huu niimani yenye nguvu ya mungu ndani yake
Amina Kaka mungu aendelee kukutunza
Mtumishi Mungu akubariki na akuwezeshe
Nabarikiwa sana na huduma Yako amen
Yesu kupitia wimbo huu nitie Nguvu univushe
Napenda ingeendeleaga Mungu mwema sanaa
Amina
Amina Sana Sana Tena sana
Amen amen,umenitiya moyo
Be blessed Mungu azidi kukuinua na akulinde
Wimbo una penya moyo
Mungu ni mwema Wakati wote 🙏🏻🙏🏻
Najiona mukosefu Sana bere za mungu naona sijatumika sawa sawa asilimiya 97😂😂😂😂😂😂😂
Napenda sana nyimbo zako
Mungu atukuzwe sana
Nakutengemeya mungu wangu
Amen Might God of power
Najivunia kuwa na kaka ambwene japo niko nchi zawatu naona km Niko nyumbani Tanzania