ALLY KAMWE AUTUPIA DONGO USAJILI WA SIMBA/JOSHUA MUTALE SIO KIWANGO CHA CHAMA/HAWEZI KUCHEZA YANGA

Timu ya Young Africans Leo July 2,2024 imezindua mfumo Rasmi wa mashabiki wao kupata taarifa zinazoihusu klabu hiyo,akizungumza na waandishi wa Habari Afisa habari na mawasiliano wa klabu hiyo Ali kamwe amesema kuwa njia hiyo itawasaidia mashabiki wa yanga kupata habari za timu hiyo hasa katika kipindi hiki cha usaj

Пікірлер: 24

  • @rarevids001
    @rarevids001

    Ligi Ianze tu baadhi ya Midomo Iweze Kufungwa

  • @scolapeter7114
    @scolapeter7114

    😂😂yani utiite makolo nakadi utupe we mwendawazimu sanaaa

  • @jackisonngosha5533
    @jackisonngosha553328 күн бұрын

    Kwann yanga wasiame lingi naona akuna wa kumfunga apa tz

  • @HawaSimai
    @HawaSimai

    Ila komwe😂😂😂😂😂

  • @Snydacut
    @Snydacut

    Chama sio simba na simba sio chama simba itabak kuwa simba na chama atabaki kuwa ni mchezaji tu kama wengine

  • @EliabuChatanda
    @EliabuChatanda

    Ally babako ko unamwita kolo wewe waajabu 😂😂😂

  • @JeremiaMlokozi
    @JeremiaMlokozi

    Kwel baba wape vindonge😅

  • @japhetpwiti9651
    @japhetpwiti9651

    Huyu msemaji IQ yake ni HASI

  • @futuregenerationrelieftanz2676
    @futuregenerationrelieftanz2676

    Wewe kamwe hujitambui kabisa

  • @BaruaniJeanpierre-fn9hk
    @BaruaniJeanpierre-fn9hk

    Huyu msemaji hanamapungufu ya akili

  • @BensonDickson-xf1ge
    @BensonDickson-xf1ge

    Ali kamwe unaumwa were kapimwe akili wwe

  • @GibusoniyusufubwitengeGibusoni
    @GibusoniyusufubwitengeGibusoni

    Utopolo mwaka huu mujipange mwaka huu

  • @sunnrisetz2873
    @sunnrisetz2873

    Vua miwani tukuone kiburi chako,chama ametengenezwa nani wewe chama ulikua unamjua ally kamwe hana akili nimeamini😅😅

  • @enez17
    @enez17

    Aya topolo

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96

    kwani lazima wote tushabikie yanga huna jipya 😂😂😂

  • @HamissiMaulidy
    @HamissiMaulidy

    Yanga ndoo ilimteta chama wakashindwana nae mkataba akaenda simba tanzania Nandoo itakayo muondoa tanzania mazimaaaa

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920

    Chama anaenda kuanza upyaaaa pale Yanga.

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920

    Ally Kamwe ni mshenzi kweli kweli🤣🤣🤣 kwani unaugomvi na baba yako?

  • @SirajiMambosasa
    @SirajiMambosasa

    ❤❤😂

  • @aderickrevelian4876
    @aderickrevelian4876

    Ushawaita makolo sasa unawapaje kadi makolo

Келесі