ALLY KAMWE AUTUPIA DONGO USAJILI WA SIMBA/JOSHUA MUTALE SIO KIWANGO CHA CHAMA/HAWEZI KUCHEZA YANGA
Timu ya Young Africans Leo July 2,2024 imezindua mfumo Rasmi wa mashabiki wao kupata taarifa zinazoihusu klabu hiyo,akizungumza na waandishi wa Habari Afisa habari na mawasiliano wa klabu hiyo Ali kamwe amesema kuwa njia hiyo itawasaidia mashabiki wa yanga kupata habari za timu hiyo hasa katika kipindi hiki cha usaj
Пікірлер: 24
Ligi Ianze tu baadhi ya Midomo Iweze Kufungwa
😂😂yani utiite makolo nakadi utupe we mwendawazimu sanaaa
Kwann yanga wasiame lingi naona akuna wa kumfunga apa tz
Ila komwe😂😂😂😂😂
Chama sio simba na simba sio chama simba itabak kuwa simba na chama atabaki kuwa ni mchezaji tu kama wengine
Ally babako ko unamwita kolo wewe waajabu 😂😂😂
Kwel baba wape vindonge😅
Huyu msemaji IQ yake ni HASI
Wewe kamwe hujitambui kabisa
Huyu msemaji hanamapungufu ya akili
Ali kamwe unaumwa were kapimwe akili wwe
Utopolo mwaka huu mujipange mwaka huu
Vua miwani tukuone kiburi chako,chama ametengenezwa nani wewe chama ulikua unamjua ally kamwe hana akili nimeamini😅😅
Aya topolo
kwani lazima wote tushabikie yanga huna jipya 😂😂😂
Yanga ndoo ilimteta chama wakashindwana nae mkataba akaenda simba tanzania Nandoo itakayo muondoa tanzania mazimaaaa
Chama anaenda kuanza upyaaaa pale Yanga.
Ally Kamwe ni mshenzi kweli kweli🤣🤣🤣 kwani unaugomvi na baba yako?
❤❤😂
Ushawaita makolo sasa unawapaje kadi makolo