ALLY KAMWE AONGOZA MASHABIKI WA YANGA NA MABANGO YA CHAMA/HATUTAKI MAJIRANI/TUNATAMBA NAE

Спорт

Mashabiki wa Yanga Sc Leo July 1,2024 wamefanya hamasa ya kuzunguka na kuimba mara baada ya siku ya Leo Timu hiyo kumtambulisha aliekuwa mchezaji wa Simba Sc clatous chota chama.

Пікірлер: 62

  • @GeofreyYulian
    @GeofreyYulian29 күн бұрын

    Unyama sana bong moja la mapokezi big up sana😅

  • @HawaSimai
    @HawaSimai29 күн бұрын

    Wazee Sasa wanahamia yanga sisi simba washatutosha simba nguvu moja🦁🦁🦁🦁🦁🦁

  • @user-fi2gf6ks7h

    @user-fi2gf6ks7h

    29 күн бұрын

    Maneno ya mkosaji ni sawa na mfa maji

  • @JudithLusonzo
    @JudithLusonzo29 күн бұрын

    Watani acheni makasiliko hii ndo YANGA BWANA na Bado hamjasema😂😂😂😂😂

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania29 күн бұрын

    Raisi wetu hongera sana kwa usajiri wa macho ya wananchi kuwapa furaha kubwaaaaaa❤

  • @epimackoscar25
    @epimackoscar2529 күн бұрын

    Hongereni yanga kutimiza ndoto yenu ya kummiliki chama ss hatuna kinyongo nazani mwisho wa mpira wa chama TZ ndio huu sasa , tuliwai kuwa na kipenzi chetu okwi nae alicheza utopoloni lakini bahati iliyoje Kwa Simba siku zote ndio timu yenye kutengeneza mastaa wakubwa nchini hopely baada ya chama Kuna mfalme mwingine atazaliwa

  • @emmykassim4132

    @emmykassim4132

    29 күн бұрын

    Kama fulivomtengeneza saido na morisoni mkawachukua unaongea nini wew kolounalia UKIWA wapi

  • @CharlesSomeke-ml7ju

    @CharlesSomeke-ml7ju

    29 күн бұрын

    Unaumia ukiwa wapi

  • @user-ow4dg4lu3b

    @user-ow4dg4lu3b

    29 күн бұрын

    Pole weeee Nani mloyemtengenezs

  • @user-ow4dg4lu3b

    @user-ow4dg4lu3b

    29 күн бұрын

    Subiri akakutane na watu wa Moira ndio.mtamjua anajua au hajui

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu764229 күн бұрын

    YANGA BIG UP SANA..

  • @josephjohn9987
    @josephjohn998729 күн бұрын

    achen maneno chama ni kipenzi Cha yanga

  • @kateadam8204
    @kateadam820429 күн бұрын

    Hersi Said anawapenda saana mashabiki wa Yanga msimu uloisha alimleta skudu kwa ajili ya kutoa burudan na sasa kamleta mchezaji ambaye hata kama hata cheza ila wananchi wameburudika😂🎉polen saana makolo😊

  • @user-br7fz4zd5x
    @user-br7fz4zd5x29 күн бұрын

    Jamani tusijetukamtia nux wenyewe siku ya mechi ikawa hamna kitu

  • @jemimabakari

    @jemimabakari

    29 күн бұрын

    Ilimradi kuwakera tu😂😂

  • @user-ow4dg4lu3b
    @user-ow4dg4lu3b29 күн бұрын

    Chama anajua na akikutana na wakina Ki Master balaa lake mtaliona😂😂

  • @AsmaAmeir-s3b
    @AsmaAmeir-s3b29 күн бұрын

    Burudani ya skudu kwa soka la bongo ni ipi aaa nimekumbuka kucheza ngoma za kwao south Africa

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES29 күн бұрын

    Simba mpaka mfe na mapresha

  • @filbertmachesha9323
    @filbertmachesha932329 күн бұрын

    mashabiki wa simba ata hatujaumia maana tulishaona hatufai ni bora lakin sio kwa matarajio yetu tena mchezaji ambae ataenda kucheza msimu mmoja na akapotea

  • @emmahuruma7595

    @emmahuruma7595

    29 күн бұрын

    Na bado mpaka mseme

  • @rukaya-jg7hj

    @rukaya-jg7hj

    29 күн бұрын

    Nfio utaona ni mzee au ni uongozi wenu ndio mataira

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u29 күн бұрын

    Alafu mseme utopolo ni timu kubwa kwa lipi na hapo ndo muamini kua ubora wa utopolo Ashukuliwe mo no doubt 😊

  • @betridadaniel1461
    @betridadaniel146129 күн бұрын

    Ukiona wanini wenzenu watampata lini

  • @alitante4279
    @alitante427929 күн бұрын

    Vzr clip zinahifadhiwa huu ulimbukeni wenu wa " kusajil wachezaji waloachwa vizee mbiooo ilaa kulipa madeni aaakh " mpk mfungiwe

  • @CharlesNkanda
    @CharlesNkanda29 күн бұрын

    Simb nguvu Moja hata mchague tena meingine lakin Simba ni simb tu wacha tuwagawie mabaki

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo162229 күн бұрын

    Jamani mambo ni mengi ila msisahau yule jamaa aliyefufuka nchini arusha na kudai ardhi yake ambayo alikua na mgogoro😂😂😂😂

  • @ImmaMshashy
    @ImmaMshashy29 күн бұрын

    Haya sasa...... Hayawi hayawi ...,...... Sasa. ....,. Wengi wataumia sana. Wengine watalia

  • @SophiaWanene
    @SophiaWanene29 күн бұрын

    Simba nguvu moja huo ni shamba tu simba wanajielewa

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo212029 күн бұрын

    Bravo Yanga

  • @phiddeschacha3143
    @phiddeschacha314329 күн бұрын

    Unyama unyama tuuu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AllyBardan
    @AllyBardan29 күн бұрын

    Alikamwe anajua kazi yake siomuongo onyo anajua kuwanarahana mashabiki

  • @user-rc7zm3zx7q
    @user-rc7zm3zx7q29 күн бұрын

    Yaani mpaka wasemee

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania29 күн бұрын

    Makolo kazi munayo chama bingwa msimi huu mtatukimbia aswa kwa hari hii chama pakome yao azizi mdasiri dube 😂😂😂🎉

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx29 күн бұрын

    Tatizo la mashabiki wa makolo hawakubali kuwa wanapitia hali ngumu mpka 2030

  • @khadijakapoly
    @khadijakapoly29 күн бұрын

    💚💛💚💛💚💛

  • @betridadaniel1461
    @betridadaniel146129 күн бұрын

    Siyo chama kaachwa yy kaiacha simba

  • @mosesmwandi9651

    @mosesmwandi9651

    29 күн бұрын

    Kwani amevunja mkataba???

  • @Elihurumamathew
    @Elihurumamathew29 күн бұрын

    Sasa huku kuhusisha mchezaji na kuzaa kweli maneno ya mkosaji sungura sizitaki mbichi hizi 😂😂😂

  • @emmahuruma7595
    @emmahuruma759529 күн бұрын

    Na badooooo hamjasema

  • @EsterUpendo
    @EsterUpendo29 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂mmeumia Sanaa sana tena sana 😮😮😮😮😮😮

  • @khairatali3676
    @khairatali367629 күн бұрын

    Ali kamwe ana pirika😂

  • @ZachariaPetro-gn8qc
    @ZachariaPetro-gn8qc29 күн бұрын

    Nilijua tu

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles992029 күн бұрын

    Yule aliyesema Chama akienda Yanga anaacha kuishabikia Simba,ama atahamia Azam,sasa imebaki kazi kwake,aikache Simba au Simba imkache GB64😁😁🤭🤭🤣🤣

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya521329 күн бұрын

    😂😂 Yanga ooooooooooyeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Maryc2G
    @Maryc2G27 күн бұрын

    Yanga hawa dogo kwa kweli, chama 👍🏽

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri955829 күн бұрын

    CPE

  • @Elihurumamathew
    @Elihurumamathew29 күн бұрын

    Jamani sasa kama siyo mali mbona makasiriko vilio masikitiko vinawatoka vumilieni yanga nitimu kubwa zaidi Tanzania mchezaji yoyote ili uwe nimchezaji bora hapa Tanzania na uliyekamilika nilazima ucheze yanga lakini kama hukucheza yanga uliishia kucheza huko kwa machakubimbi basi wewe siyo bora maana hujapitia kwenye top timu mataji 30 ya ligi kuu 😄😄

  • @user-zb9mf3us2w
    @user-zb9mf3us2w29 күн бұрын

    nabado mtasema

  • @kolosii4351
    @kolosii435129 күн бұрын

    Waacheni wafanye watimize furaha yao.

  • @RajabkhamisRajab
    @RajabkhamisRajab29 күн бұрын

    Semeni kweili mmemkosa sasa maneno mengi kukosa kubaya

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq29 күн бұрын

    A2na dogo wananchi dadeki😂😂😂 zenu makolonyomboko😂😂

  • @justinealistides5146
    @justinealistides514629 күн бұрын

    Huku Chama kasajiliwa Yanga huku Msigwa kasajiliwa CCM.

  • @justinealistides5146

    @justinealistides5146

    29 күн бұрын

    Ni humu tu 😅

  • @user-eu5yu8hx2z
    @user-eu5yu8hx2z27 күн бұрын

    Alikamwe ni chura anae miwan vyura fv👉🐸🐸🐸🐸😅😅😅😅

  • @YassinGofrey
    @YassinGofrey29 күн бұрын

    😂😂😂

  • @halimakhamisi7946
    @halimakhamisi794629 күн бұрын

    Ali kamwe akilala anakoroma Kama gari bovu kwa hekaheka alizonazo 😂😂😂

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb29 күн бұрын

    Mwanamke kazalishwa Mika watoto kibao bikra hakuna leo mna muona Bora kaachwa je mngivunja mkataba

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu846729 күн бұрын

    Alikamwe na hao wenzake wapumbavu

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    29 күн бұрын

    Matusi ya nini sasa?😂

  • @user-ow4dg4lu3b
    @user-ow4dg4lu3b29 күн бұрын

    Hakuna cha kumaliza.mpira wake wewe

  • @errydeo8865
    @errydeo886529 күн бұрын

    Wen Yanga WANT a PLAYER, WE NEVER FAIL! NA SHUGHULI YETU HUWA SIO NDOGO! YANGA IS A BUSINESS CLUB ! WATU HAWAJUI! HII YA CHAMA,NI BIASHARA...NIKO CAMBRIDGE,UK!

  • @aishahasan7722
    @aishahasan772229 күн бұрын

    Ujinga tuuu ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno😂😂😂😂.kusajir wastaafu tuu😂😂😂😂 ovyoo

Келесі