ALLY KAMWE AONGOZA MASHABIKI WA YANGA NA MABANGO YA CHAMA/HATUTAKI MAJIRANI/TUNATAMBA NAE
Спорт
Mashabiki wa Yanga Sc Leo July 1,2024 wamefanya hamasa ya kuzunguka na kuimba mara baada ya siku ya Leo Timu hiyo kumtambulisha aliekuwa mchezaji wa Simba Sc clatous chota chama.
Пікірлер: 62
Unyama sana bong moja la mapokezi big up sana😅
Wazee Sasa wanahamia yanga sisi simba washatutosha simba nguvu moja🦁🦁🦁🦁🦁🦁
@user-fi2gf6ks7h
29 күн бұрын
Maneno ya mkosaji ni sawa na mfa maji
Watani acheni makasiliko hii ndo YANGA BWANA na Bado hamjasema😂😂😂😂😂
Raisi wetu hongera sana kwa usajiri wa macho ya wananchi kuwapa furaha kubwaaaaaa❤
Hongereni yanga kutimiza ndoto yenu ya kummiliki chama ss hatuna kinyongo nazani mwisho wa mpira wa chama TZ ndio huu sasa , tuliwai kuwa na kipenzi chetu okwi nae alicheza utopoloni lakini bahati iliyoje Kwa Simba siku zote ndio timu yenye kutengeneza mastaa wakubwa nchini hopely baada ya chama Kuna mfalme mwingine atazaliwa
@emmykassim4132
29 күн бұрын
Kama fulivomtengeneza saido na morisoni mkawachukua unaongea nini wew kolounalia UKIWA wapi
@CharlesSomeke-ml7ju
29 күн бұрын
Unaumia ukiwa wapi
@user-ow4dg4lu3b
29 күн бұрын
Pole weeee Nani mloyemtengenezs
@user-ow4dg4lu3b
29 күн бұрын
Subiri akakutane na watu wa Moira ndio.mtamjua anajua au hajui
YANGA BIG UP SANA..
achen maneno chama ni kipenzi Cha yanga
Hersi Said anawapenda saana mashabiki wa Yanga msimu uloisha alimleta skudu kwa ajili ya kutoa burudan na sasa kamleta mchezaji ambaye hata kama hata cheza ila wananchi wameburudika😂🎉polen saana makolo😊
Jamani tusijetukamtia nux wenyewe siku ya mechi ikawa hamna kitu
@jemimabakari
29 күн бұрын
Ilimradi kuwakera tu😂😂
Chama anajua na akikutana na wakina Ki Master balaa lake mtaliona😂😂
Burudani ya skudu kwa soka la bongo ni ipi aaa nimekumbuka kucheza ngoma za kwao south Africa
Simba mpaka mfe na mapresha
mashabiki wa simba ata hatujaumia maana tulishaona hatufai ni bora lakin sio kwa matarajio yetu tena mchezaji ambae ataenda kucheza msimu mmoja na akapotea
@emmahuruma7595
29 күн бұрын
Na bado mpaka mseme
@rukaya-jg7hj
29 күн бұрын
Nfio utaona ni mzee au ni uongozi wenu ndio mataira
Alafu mseme utopolo ni timu kubwa kwa lipi na hapo ndo muamini kua ubora wa utopolo Ashukuliwe mo no doubt 😊
Ukiona wanini wenzenu watampata lini
Vzr clip zinahifadhiwa huu ulimbukeni wenu wa " kusajil wachezaji waloachwa vizee mbiooo ilaa kulipa madeni aaakh " mpk mfungiwe
Simb nguvu Moja hata mchague tena meingine lakin Simba ni simb tu wacha tuwagawie mabaki
Jamani mambo ni mengi ila msisahau yule jamaa aliyefufuka nchini arusha na kudai ardhi yake ambayo alikua na mgogoro😂😂😂😂
Haya sasa...... Hayawi hayawi ...,...... Sasa. ....,. Wengi wataumia sana. Wengine watalia
Simba nguvu moja huo ni shamba tu simba wanajielewa
Bravo Yanga
Unyama unyama tuuu😂😂😂😂😂😂😂😂
Alikamwe anajua kazi yake siomuongo onyo anajua kuwanarahana mashabiki
Yaani mpaka wasemee
Makolo kazi munayo chama bingwa msimi huu mtatukimbia aswa kwa hari hii chama pakome yao azizi mdasiri dube 😂😂😂🎉
Tatizo la mashabiki wa makolo hawakubali kuwa wanapitia hali ngumu mpka 2030
💚💛💚💛💚💛
Siyo chama kaachwa yy kaiacha simba
@mosesmwandi9651
29 күн бұрын
Kwani amevunja mkataba???
Sasa huku kuhusisha mchezaji na kuzaa kweli maneno ya mkosaji sungura sizitaki mbichi hizi 😂😂😂
Na badooooo hamjasema
😂😂😂😂😂😂😂mmeumia Sanaa sana tena sana 😮😮😮😮😮😮
Ali kamwe ana pirika😂
Nilijua tu
Yule aliyesema Chama akienda Yanga anaacha kuishabikia Simba,ama atahamia Azam,sasa imebaki kazi kwake,aikache Simba au Simba imkache GB64😁😁🤭🤭🤣🤣
😂😂 Yanga ooooooooooyeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga hawa dogo kwa kweli, chama 👍🏽
CPE
Jamani sasa kama siyo mali mbona makasiriko vilio masikitiko vinawatoka vumilieni yanga nitimu kubwa zaidi Tanzania mchezaji yoyote ili uwe nimchezaji bora hapa Tanzania na uliyekamilika nilazima ucheze yanga lakini kama hukucheza yanga uliishia kucheza huko kwa machakubimbi basi wewe siyo bora maana hujapitia kwenye top timu mataji 30 ya ligi kuu 😄😄
nabado mtasema
Waacheni wafanye watimize furaha yao.
Semeni kweili mmemkosa sasa maneno mengi kukosa kubaya
A2na dogo wananchi dadeki😂😂😂 zenu makolonyomboko😂😂
Huku Chama kasajiliwa Yanga huku Msigwa kasajiliwa CCM.
@justinealistides5146
29 күн бұрын
Ni humu tu 😅
Alikamwe ni chura anae miwan vyura fv👉🐸🐸🐸🐸😅😅😅😅
😂😂😂
Ali kamwe akilala anakoroma Kama gari bovu kwa hekaheka alizonazo 😂😂😂
Mwanamke kazalishwa Mika watoto kibao bikra hakuna leo mna muona Bora kaachwa je mngivunja mkataba
Alikamwe na hao wenzake wapumbavu
@daudimichael7338
29 күн бұрын
Matusi ya nini sasa?😂
Hakuna cha kumaliza.mpira wake wewe
Wen Yanga WANT a PLAYER, WE NEVER FAIL! NA SHUGHULI YETU HUWA SIO NDOGO! YANGA IS A BUSINESS CLUB ! WATU HAWAJUI! HII YA CHAMA,NI BIASHARA...NIKO CAMBRIDGE,UK!
Ujinga tuuu ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno😂😂😂😂.kusajir wastaafu tuu😂😂😂😂 ovyoo