MBWADUKE: YANGA YAPENYA KIBABE TOP 10 LIGI MABINGWA CAF/ PIGO KWA WYDAD, SIMBA, BERKANE, USMA...

Usisahau ku-subscribe, ku-like na kucomment...

Пікірлер: 220

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080Ай бұрын

    Mbwaduke you are very smart & intelligent, hivi wewe professionally ni mwalimu ? mtu asieelewa kwako haji kuelewa tena maishani mwake - hongera sana kiongozi.

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid18822 ай бұрын

    Mbwaduke ndo mchambuzi bora kwa sasa nchini Tanzania ✌️✌️✌️🇹🇿

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m2 ай бұрын

    Mzeewangu uko vizuri kwa wachambuzi wa tanzania kwangu wewe ni mchambuzi namba moja❤❤❤❤🎉🎉

  • @richboaz
    @richboaz2 ай бұрын

    Hakika Mwamba unajua hadi somo linaelewekaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mchambuzi wangu namba moja Tanzania

  • @BillWille
    @BillWille2 ай бұрын

    ❤❤jamaa nikipata mkanganyiko katika soka ... Nakuja Mara moja kumsikia yeye anasemaj anajua kuelekeza .... Angekuwa shule, wanafunzi wasingefeli kudadek ❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-sp2fm4qd2h
    @user-sp2fm4qd2h2 ай бұрын

    Aisee Rama upo vizuri .....nakukumbuka darasani BBA UDSM ulikuwa mtulivu na kibegi chako . hongera kaka

  • @MbwadukeStats

    @MbwadukeStats

    2 ай бұрын

    Ha ha ha ha haaa...unamkumbusha Rama enzi zenu kwa Prof. Ame, Dk. Diana, Prof. Mbura, Dk. Swabir...

  • @AbdulrahmanFatawi

    @AbdulrahmanFatawi

    2 ай бұрын

    ​@@MbwadukeStatspl

  • @kateadam8204

    @kateadam8204

    Ай бұрын

    nakukubali saana genouse wa mpira achana na mashamba ya efm😅​@@MbwadukeStats

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr2 ай бұрын

    KILICHOWAFERISHA SANA SIMBA NI WIVU ULIOPINDUKIA KWA YANGA KUWA KWENYE KIWANGO CHAKE BORA.. YAANI WANAWEWESEKA NA YANGA..YANGA IMEWAPAGAWISHA MPAKA WANASHINDWA KUISAIDIA TIMU YAO

  • @firdawsrammy9992
    @firdawsrammy99922 ай бұрын

    Uchambuzi niliokuwa nausubiri, baada ya ule wa mwanzo kama huu❤

  • @allykarupa1411
    @allykarupa14112 ай бұрын

    Naiyombea Mungu Yanga hizidikufikambali zaidi

  • @ChaheChahe-tc4zs
    @ChaheChahe-tc4zs2 ай бұрын

    Rm Mbwanduke hongera kwa uchambuzi mzee wadata hii nishule kwa wote hata sie mashabiki hongera

  • @MugumsaGidioni
    @MugumsaGidioni2 ай бұрын

    Aise acha tu yanga iitwenyanga yanga noma sana❤❤❤❤

  • @issakakolwa
    @issakakolwa2 ай бұрын

    Mbwaduke unajua sn ndg yng, na unaelewka sn, ila kuna wa2 wanaumizwa sn na ufafanuz huo, honger sn TEACHER.

  • @allyngimba430
    @allyngimba4302 ай бұрын

    good teacher, good performance

  • @romanmwaisela
    @romanmwaiselaАй бұрын

    Nondo tosha ktk kulijua soka,safiiiii kiongozi Ramaaas

  • @user-bw1hs2nd8p
    @user-bw1hs2nd8p2 ай бұрын

    Good explanations for real ❤❤❤❤❤ I'm satisfied and we'll understood

  • @frankvianey2438

    @frankvianey2438

    2 ай бұрын

    Sure brother

  • @mansourlikamba6289
    @mansourlikamba6289Ай бұрын

    Kama mpaka hapa hujaelewa basi una matatizo. Kazi nzuri mkubwa wa Shule.

  • @agnesssanga6544
    @agnesssanga65442 ай бұрын

    Nimeskiliza kwa makini naomba tu pyramid ichukue ubingwa Ili Yanga tuwe P2❤❤❤

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu74332 ай бұрын

    mbwaduke upo vizuri sana unaeleweka vizuri mno!

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi20382 ай бұрын

    Mbwaduke wewe ni genius 👍👍 kuna ma Profesa kuliko hawa tulio nao ktk vyuo vikuu vyetu 🤔 ur talented

  • @user-hu2sf3so9c
    @user-hu2sf3so9cАй бұрын

    Nakupenda jamani kwa mwalimu mzuri

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz47172 ай бұрын

    Uyu jamaa namuelewa Sana anajua Sana. Big up mwaduke bro kazi mzuri 🎉.

  • @narrissajackson3869

    @narrissajackson3869

    2 ай бұрын

    Ana degree kutoka UDSM pia

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo6872 ай бұрын

    Asiyeelewa hapo aende akashangilie netball huku kutakuwa kumemshinda.🎉🎉

  • @ABALKASIM1

    @ABALKASIM1

    Ай бұрын

    Really broo

  • @nahimanafiston6518
    @nahimanafiston65182 ай бұрын

    Wawuuu from Burundi 🇧🇮 nakupenda sana

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten75522 ай бұрын

    Yanga Imeweka Record Kubwa Kwa Tanzania Na Africa.

  • @bahatimshali2731

    @bahatimshali2731

    2 ай бұрын

    Record ya wengine kutoenda na ndio yenyewe kupata nafasi? Kumbuka kwamba sio kwamba points zao zimepanda hadi pale mfanye vzr

  • @EvodiaAdam

    @EvodiaAdam

    2 ай бұрын

    ​@@bahatimshali2731asa si ndo makolo mmefanya vibaya au tushafanya vizury tyr hapo wew mshashuka mkubaly tuuh

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba2 ай бұрын

    Nani kaona simba imefutwa.

  • @peterwachara4404
    @peterwachara44042 ай бұрын

    Very good 👍👍

  • @pollynmsoffe7983
    @pollynmsoffe79832 ай бұрын

    Congrats bwaduke uko super

  • @consesaphelician9266
    @consesaphelician92662 ай бұрын

    Ahsante mbwaduke

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p2 ай бұрын

    wataelewa 2 maana hua wanajidai sisi no 7 bila kujua akikwama kufuzu haitawasaidia kolo nafikiri mnasikia

  • @avitusmichael5

    @avitusmichael5

    2 ай бұрын

    Mbwanduke unajua sana mkuu

  • @user-ub3xh7ug6c

    @user-ub3xh7ug6c

    2 ай бұрын

    Kichak kingine tunaend kukikat Cha club lenk

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    2 ай бұрын

    😂 wataelewa tu ..... Tukifika ndo watajua kuwa hawajui 😊😊

  • @rajabukimosa3377
    @rajabukimosa33772 ай бұрын

    Daaah hatari sana Naiona Yanga ikipanda hadi points 40+

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    2 ай бұрын

    Pigia mstari happy kwenye + ndo target yetu huko

  • @bahatimshali2731

    @bahatimshali2731

    2 ай бұрын

    Unafahamu sasa ina points ngapi hadi ipande kwenye 44+?

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    2 ай бұрын

    @@bahatimshali2731 31

  • @emanuelsamwel999
    @emanuelsamwel999Ай бұрын

    Ahaaa😂😅 furaha kwa Yanga maumivu kwa Simba

  • @mengiuswege3654
    @mengiuswege36542 ай бұрын

    NILICHOJIFUNZA KATIKA MAISHA NI KUFOCUS BILA KUANGALIA ADUI AU MPINZANI WAKO ANASEMAJE AU ANAFANYA NINI

  • @YUSUPHMagohe
    @YUSUPHMagohe2 ай бұрын

    The best football analyst 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @jonathantimani6394
    @jonathantimani63942 ай бұрын

    Naioona mechi ya Yanga na mamelod next season

  • @jumashedafa
    @jumashedafa2 ай бұрын

    Simba watupishe kwa kwel panapo majaaliw inshaallah yanga ataend kuwa top six...Mbwaduke si mzalendo kwel uiandike simba then uifute utaifa vip...Hahahahah😂😂😂 NB; Wakat wa Mungu ni wakat sahihi unapandishwa pasipo tarajia na kwa timu hiz tukitulia huend tutafika mbal

  • @davidsimbeye1548

    @davidsimbeye1548

    2 ай бұрын

    Yaani hiyo ni kwenye orodha ya timu zinazoshiriki ligi ya mabingwa, siyo viwango vya ubora acheni ushamba

  • @jumashedafa

    @jumashedafa

    2 ай бұрын

    @@davidsimbeye1548 ushamba uko wap hapo? ...Umesoma hiyo comment yangu ukailewa..Yanga ana point 31nafasi ya 13 ...mwakan akifanya vzur zaid atakuw wapi? Ndio maana nikasema simba mwakan atupishe...Usisome comment kwa hisia za chuki na ushabiki tu pasipo kuelewa na kufikir kisha ukatoa jibu

  • @NassoroSipemba

    @NassoroSipemba

    2 ай бұрын

    Mkiambiwa kolo ligi ya ndani inamuhimu mnashangaa Shangaa sasa mnatoa macho Nini,hii tlela bado picha kamili msimu hujao ndio mtaona picha kamili,hapo ndio mtajua hamjui.

  • @TheopistaMuheta-qp1bc

    @TheopistaMuheta-qp1bc

    2 ай бұрын

    Hajakuelewa

  • @jumashedafa

    @jumashedafa

    2 ай бұрын

    @@NassoroSipemba Hahahah watanyook yan sisi tunaenda kuingia ktk mapambano na wale top four pale juu hasa hii project yetu ikiendelea hivi bila kupata changamoto na mungu akatubarik...watasimulia ad samia aache madaraka...sio Caf au ligi ya ndani ni record after record zinaandikwa yan mpk waseme

  • @EdwardJeremiah-bd8rl
    @EdwardJeremiah-bd8rl2 ай бұрын

    Mbona simba umeandika kwa heruf ndogo jaman au ndo kusema hata kwenye uchambuzi bado simba n dhaifu tuu jaman😢😢

  • @novaelias5010

    @novaelias5010

    2 ай бұрын

    Daaa una fulahisha sana man

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    2 ай бұрын

    Kwasababu katoka kwenye CCL mana CAF CHAMPION LEAGUE na kwenda kwel ccl yani caf confederation league .... Si umeona tofauti ya CAPITAL LATERS na small laters zilivyotumiwa hapo 🤣🤣🤣🤣

  • @evertheobald1811
    @evertheobald18112 ай бұрын

    You're a good teacher ❤❤❤

  • @IssakaMisholo-wy7mf
    @IssakaMisholo-wy7mf2 ай бұрын

    Good job

  • @user-bq4wi1sg7i
    @user-bq4wi1sg7i2 ай бұрын

    Ukichambua Kwa kutumia screen utakuwa Bora Bora na Bora zaidi stats zako hazina mawaaa👏👏👏👏👏

  • @SelemanCharles-yt5op
    @SelemanCharles-yt5op2 ай бұрын

    Baba nmekukubari unachambua vyema sanaaa,,,God bless you

  • @GAZARAZSPORTS2123
    @GAZARAZSPORTS21232 ай бұрын

    nice stat champion

  • @ngunochugga8761
    @ngunochugga87612 ай бұрын

    Jamaa unaijua Kazi yako🎉

  • @HafidhAlly-mh2yy
    @HafidhAlly-mh2yyАй бұрын

    Nakukubali saaana kwakuwa huegamiii Tim yoyote penye ukweli weye huongea kwa ajili ya faida ya Tim zetu

  • @manasecharles894
    @manasecharles8942 ай бұрын

    Mwamba kweli kweli🤝🤝🤝🤝

  • @alexkihongola798
    @alexkihongola7982 ай бұрын

    Mkuu, upo vizuri. Unatufundisha vizuri mno.

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali27312 ай бұрын

    Wamesaidiwa😂 Mbwaduke

  • @MussaSelemani-sm3hv
    @MussaSelemani-sm3hv2 ай бұрын

    Asante cn mungu akupe maisha marefu

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances2 ай бұрын

    Upande Wa Pili Mjipange Maana Msimu Ujao Moto Wa Jangwani Utakuwa Mkubwa Hata Motsepe Rais Wa CAF Anaijua Yanga Moto Utaongezeka Lazima Usajili Ufanyike KIMKAKATI "

  • @bahatimshali2731

    @bahatimshali2731

    2 ай бұрын

    Kama msiba huwa unatokea kwenye familia moja ni sawa, ila msiba hutokea popote. Endeleeni kukariri.

  • @ZeyanaAbdi
    @ZeyanaAbdi2 ай бұрын

    Mchambuzi wangu pendwa

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi20382 ай бұрын

    TFF tinahitaji viongozi wa soka na michezo mingine ka huyu mbwaduke 👍👍 hii ni kichwa 👍👍 sio ka hawa tulio nao Big up bro 👍 wengineo wanakaria tu 🤣🤣

  • @worksherphilbert4710
    @worksherphilbert47102 ай бұрын

    ❤❤❤ mchambuzi makini sana 💯💯

  • @billgussy6099
    @billgussy60992 ай бұрын

    Ukitaka kujua yanga kafanya kazi kubwa kias gan we muulize Simba

  • @buddawolf
    @buddawolf2 ай бұрын

    Cr belouizdad nae haendi cafcl next season

  • @gidionmibaluro7085
    @gidionmibaluro70852 ай бұрын

    nmekupata vizuri kaka............

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi2 ай бұрын

    Unajua🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mwitanyahiri4586
    @mwitanyahiri45862 ай бұрын

    Rama,unatusaidia Sana kuelewa mambo haya

  • @FrecoEquipmentSuppliesLimited
    @FrecoEquipmentSuppliesLimitedАй бұрын

    Hongera sana kaka

  • @chekapromax5116
    @chekapromax51162 ай бұрын

    Upo vizuri

  • @muhumbilaelly7219
    @muhumbilaelly7219Ай бұрын

    Hakika unajua kaka.

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan52092 ай бұрын

    Yanga kucheza katika ligi ya making mabingwa hauifanyi simba kupoteza namba saba ya ubora Afrika . Baada ya mchezo huo itakuja African ligi hii Simba itashiriki

  • @bahatimshali2731

    @bahatimshali2731

    2 ай бұрын

    Hawaelewi

  • @DORCASWANGOKO
    @DORCASWANGOKOАй бұрын

    I lov uu

  • @eltonezra1247
    @eltonezra12472 ай бұрын

    Mbna mzee wangu kwenye Simba Tz Umefuta sana?🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥

  • @josephmbilinyi1573
    @josephmbilinyi15732 ай бұрын

    Jamani why Aziz ki want to leave Retain Aziz ki please

  • @NewtonOskar
    @NewtonOskar2 ай бұрын

    Me mshabik wa yanga Lakin Tanzania ingetakiwa simba iwepo maana Azam sna iman nayo

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950Ай бұрын

    Asante kwa ufafanuzi

  • @joelnamkwahe5928
    @joelnamkwahe59282 ай бұрын

    Huku makorokocho hakuwahusu..kiwango Chao ni kibovu..mtuache wenyewe mafundi wa mpira

  • @ZAIDISWEDI
    @ZAIDISWEDI2 ай бұрын

    Kwa uchambuzi huu simba atakua nafac gan ili tumcheke vizur maana nackia tu shabiki zao wakisema tumewaacha nafac 6. Yaan Toka wao walipokua nafac ya 7 ad 13 Kwa yanga.

  • @MohamediMahamudu
    @MohamediMahamudu2 ай бұрын

    Unatisha Mwalimu

  • @hawambeho9984
    @hawambeho99842 ай бұрын

    Ndio maana mnafanya hujuma sisi tushuke kiwamgo kazaneni tu mtafika tu

  • @salumutilla7672
    @salumutilla7672Ай бұрын

    Uyo mwamba ni noma kaka

  • @kessylyuma2593
    @kessylyuma2593Ай бұрын

    Mtaalam

  • @rayvannychui1409
    @rayvannychui14092 ай бұрын

    Mzeeee nakukubali sana

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon35802 ай бұрын

    Unajua mpaka unapitiliza, ni raha kukusikiliza we bwana

  • @longinoSimon-dz2eb
    @longinoSimon-dz2ebАй бұрын

    Uko juuuu

  • @Allymofati
    @Allymofati2 ай бұрын

    nimekusoma vzr kaka mwaduke Sina ubish kwenye Hilo asie elewa na asielewe

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel73062 ай бұрын

    Mwl unaelewaka vizuri

  • @user-vw6ic4ho4r
    @user-vw6ic4ho4r2 ай бұрын

    Jemedari umemuacha kuleeeee

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk2 ай бұрын

    Wewe jamaa ni mwamba Sana ubarikiwe kabisa umenipa cha kuongea kijiweni

  • @JoelMichael-fr2pv
    @JoelMichael-fr2pv2 ай бұрын

    Inamaana hata alhilal haipo ccl" mkuu?

  • @abdulmsofe8017
    @abdulmsofe80172 ай бұрын

    Ngoja Hawa Viongozi wa Simba Wavune Walichopanda Baada ya Kusajili MAGARASA

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d2 ай бұрын

    Uchambuzi mzuri shida yako mwaduke unarudia rudia sana maneno, tunakuelewa endelea kuliko kuturudisha tena nyuma ni afadhari muda huo ungeongeza je! Yanga endapo atafuvu. Je ataongeza point ngapi jumlisha na izi?

  • @JerryGasper-ft6kr
    @JerryGasper-ft6kr2 ай бұрын

    Mzee wa data

  • @RichardMichael-if8sz

    @RichardMichael-if8sz

    2 ай бұрын

    Upo vzr mkuu

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437Ай бұрын

    Swari Kwa Mr mbwaduke hivi nawewe ukibeti waga unachaniwamkeka kweli?

  • @Rumayo_006
    @Rumayo_006Ай бұрын

    Atakaeona comment ya cmba anishtue😂

  • @mustaphakambangwa1407
    @mustaphakambangwa14072 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @kinyutatonha8831
    @kinyutatonha88312 ай бұрын

    naomba kuuliza swali ivi timu kupanda inapanda point ngapi kwa msimu

  • @daudikomware

    @daudikomware

    2 ай бұрын

    Inategemeana imemaliza kwenye stage ipi na kuna calculation inafanyika kwa kuchukua misimu mitano

  • @errydeo8865
    @errydeo88652 ай бұрын

    the only person ninae nkubali bongo;the rest are RUBBISH ; NAPENDA DATA[NTU WA HESABU HAPA] NBRS DONT LIE ; 1 plus 3 is 4 haiwesi kuwa kuwa 5

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka2 ай бұрын

    Sifa ndo kilichowaponza simba.

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho182 ай бұрын

    Michezo 7 mkononi al ahly team ya mchongo kle wenziwe wana michezo 22 yeye ana 15

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    2 ай бұрын

    Hii ni kama vile MAdundukA 😂😂 walishawai kufikisha viporo 9 kwenye msimu wa 2017/2018 na 2019/2020 .... Tifua tifua mlikuwa mnatunyosha na timu lenu la kolo -tifua tifua 😂😂😂 chini ya Wallace kacheka 🤓🤓🤓🤓 ....

  • @jacksonjoseph6303
    @jacksonjoseph6303Ай бұрын

    Uchammbuzi usio na wivu wala unafki

  • @mwanangusana
    @mwanangusana2 ай бұрын

    Kolo chakavu huu uchambuzi hawawez kuupenda ...ila hawana namna tu ....ila uzuri ubuntu wanapenda kushadadia vitu visivyo wahusu hivyo watachagua washabike makolo wenzao either wawe kolozdad au kolozmelody Ubuntu 😂😂😂😂

  • @mazikumange9130
    @mazikumange91302 ай бұрын

    Nilichoelewa ni kwamba yanga hatacheza preliminary stage lakini points ambazo simba amekusanya bado yanga atakua hajamfikia maana yanga atafikisha points 36 atakua chini ya simba still hapa katoa jinsi mpangilio utakavyokua😂 na wala siyo yanga atakua bora kuliko simba😂

  • @jacksonjoseph6303
    @jacksonjoseph6303Ай бұрын

    Huyu anatakiwa awe mwlimu wa wachambuzi nchini

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op2 ай бұрын

    🔰🔰🔰

  • @user-xw8ox3hf8o
    @user-xw8ox3hf8o2 ай бұрын

    Responding to Mr. Mbwaduke´s Statistical Evaluation: 2023/2024 Goalkeeper of the year is Ayoub Lakreed from Simba Sc Tanzania. Statistical evaluation is always preferred, however not always recommended. Please don´t try to use the same process in order to get new Simba´s players into the team. That’s was proved already wrong. Simba Sc Tanzania is the winner

  • @musamaganiko8999
    @musamaganiko89992 ай бұрын

    Hata darasan huwahawafaulu ote wengne mpaka saiv hawajaelewa mpaka mashindano yaanze ndio waamini simba hayumo

  • @user-mf3ub4px4m
    @user-mf3ub4px4m2 ай бұрын

    Daa nimekukubali mchambuzi

  • @kelvinfussi5210
    @kelvinfussi5210Ай бұрын

    Paka akiondoka lazima panya awe huru.

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali27312 ай бұрын

    Kuondoa vibonde😂 Kuna timu ilikuwa inaondolewa kwa miaka 25

  • @user-yy5xb7ey8n

    @user-yy5xb7ey8n

    2 ай бұрын

    Na wew ukipanda unaanzia uko sasa utakuwa unatolewa

  • @bahatimshali2731

    @bahatimshali2731

    2 ай бұрын

    @@user-yy5xb7ey8n Labda itokee nafasi ya 7 tuipoteze. Kumbuka ya kwamba nyie mkiongeza points bado hamtaingia 10 bora. Msimu ujao wenye nafasi zao kama Simba na Wydad watarudi🤣

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph54582 ай бұрын

    Huyu jamaa uchambuz sio makao yake namuombe awe walau waziri au kitengo kikubwa kwaselikali yetu yuko IQ kubwa sana

Келесі