ALIKIBA ATANGAZA RASMI KURUDI YANGA KISA CHAMA/NITAIMBA YANGA DAY/KWA USAJILI HUU YANGA BINGWA TENA

Спорт

#alikamwe #azizki #msuva #yanga #yangasc #yangatv #hersisaid #live_ #mayele #yangaleo

Пікірлер: 136

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er26 күн бұрын

    Kiba umeanza kuonesha kukua sio mwanzo kila utakachohojiwa kuhusu chibu ulikua na majibu ya kitoto sasa umekua wale ni wadogo zako majibu ya busara kama hayo ndio fans wakutosha utapata maisha yanasonga safi

  • @Rumbakweka

    @Rumbakweka

    18 күн бұрын

    Sabb n kuwa na media

  • @alfanimwakipesile19
    @alfanimwakipesile1921 күн бұрын

    Kaba WEWE ni MTU nzuri sana HUNA chuki na wasanii wenzako HONGERA SANA kaka MWENYEZI MUNGU atakulia zaidi

  • @praizmwabukusi3452
    @praizmwabukusi345222 күн бұрын

    Apo kiba mm nimekukubar zaid bro, ww sio mnafiki bro kiba❤❤❤ Umeongea reality kumuhusu mond

  • @mariamnchimbi7866
    @mariamnchimbi786624 күн бұрын

    Karibu Tena Yanga Bro, Ulituchanganya sana kwenda Simba.

  • @user-habarinamichezo

    @user-habarinamichezo

    15 күн бұрын

    😂😂😂unachangnywa na mtu alokuw humpi mia yko Pole xna

  • @user-qu4wz1wo2f
    @user-qu4wz1wo2f24 күн бұрын

    Simba nguvu moja❤

  • @shikuhata
    @shikuhata21 күн бұрын

    Moja ya interview yenye majibu ya kisomi na heshma yake. Hongera sana King

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta400026 күн бұрын

    Safi kiba nakupendaga saaana una busara sana

  • @NelbatKasekwa
    @NelbatKasekwa26 күн бұрын

    Alikiba wewe nimsani mkubwa na mkongwe na unabisara🎉🎉🎉

  • @EliusGamanywa

    @EliusGamanywa

    21 күн бұрын

    Aya bana mwanabisara😂

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi504626 күн бұрын

    Utafika mbali sana Kiba karibu sana Yanga utapata follower wengi huku nyumbani kumenoga

  • @angelaminde1247
    @angelaminde12473 күн бұрын

    ❤❤❤❤Hongera sana kaka

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary126226 күн бұрын

    Jielewa bro safi sana sema watangazaji wetu baazi yao wanafiki anataka umbea

  • @user-rf7ni6tr2o

    @user-rf7ni6tr2o

    26 күн бұрын

    Mijtuuuu miongoooo keshooo motoniii mboniii cjackiaaa ariposemaaa narudiii yangaaa kisaaaa chama

  • @CatherineAmos-zw8dx

    @CatherineAmos-zw8dx

    26 күн бұрын

    Kichwa cha habari kingine na Maongezi ni mengine jaman

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe818826 күн бұрын

    Kiba sasa umekomaa safi sana dogo

  • @RashidiTwalibu

    @RashidiTwalibu

    21 күн бұрын

    Oya dogo nakuku bali sana mungu akulinde na akupambanie sana

  • @RichardMkungilwa-ty6vi
    @RichardMkungilwa-ty6vi3 күн бұрын

    Hongera kk king 👑👑👑 kiba

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np13 күн бұрын

    Uko vizuri sana bro

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo26 күн бұрын

    king kiba salute kwako tusiwadiis value wasanii wetu

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe26 күн бұрын

    Nice king kiba

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr14 сағат бұрын

    Yaani hii chanell, mkiandika uongooo huu mtajiuaaa,,

  • @cessianthony2644
    @cessianthony264414 күн бұрын

    Kisa chama...kachoka kuugulia maumivu...😂😂😂😂 abaki huko huko

  • @NeemaValentina
    @NeemaValentina24 күн бұрын

    Asante kwa kjitambua

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr14 сағат бұрын

    Yaani kichwa cha habari na interviews tofauti

  • @thobiassamwel4077
    @thobiassamwel407716 күн бұрын

    Ukiona mtu hana msimamo kwenye timu anayoshabikia basi hata maisha yake hayana msimamo😮

  • @SukaDmGuy
    @SukaDmGuy24 күн бұрын

    Bro Kiba nikipewa uongozi mbinguni una nafasi yako kwa interview uliyoifanya umetisha sana

  • @malikebumoshiselemani440
    @malikebumoshiselemani44026 күн бұрын

    Alikiba anaHEKIMA hata katika ongea yake maneno yake ni yenye busara pia hujibu swali kwa hekima na si Kwa madaa au kujionyesha waSanii wengine wahige mfano kwa ALIKIBA

  • @habibukhatib2615
    @habibukhatib261516 күн бұрын

    Busara ndio nguvu ya majibu ya maswali yote hongera sana king 🤴 nakukubali sana

  • @Broken_Beats__23
    @Broken_Beats__2316 күн бұрын

    Huyu mtoto wa Iringa anapaswa apewe uwaziri kabisa kulingana na tasnia yake❤

  • @IsackOppa
    @IsackOppa11 күн бұрын

    Kiba kiba kiba nmekuita mara 3 bro unajua sana.....big up bro! Ila kuhusu muandishi wa hii page mshenz kinoma unaandika heading tofaut na yaliyomo fala wew

  • @masudiitembele7036
    @masudiitembele703620 күн бұрын

    mbona hamna sehemu alipo ongea kuhusu kuhamia yanga CHANNEL HII YA KISENGE ndio maana AYO anawacha mbali.

  • @sostenvictor4764

    @sostenvictor4764

    17 күн бұрын

    Ni kwel media imezngua

  • @festokizinga-px2fn

    @festokizinga-px2fn

    16 күн бұрын

    Kichwa na content haviendani 😅

  • @yohanaeliazary6942

    @yohanaeliazary6942

    13 күн бұрын

    Umeona mm nilikua nafatilia ilo neno wamejula mb za bule mbwa hawa

  • @gracekatawa1990

    @gracekatawa1990

    9 күн бұрын

    😅😅😅😅ndo nashangaaaa hata mimi

  • @davidyumbu9016

    @davidyumbu9016

    3 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @KondoNgoma
    @KondoNgoma26 күн бұрын

    Utafika mbari sana

  • @rajabukamis9411
    @rajabukamis941125 күн бұрын

    Bro kiba kwa sasa upo vzr na umekuwa kimuziki

  • @technology.0508
    @technology.050821 күн бұрын

    Unamjua simba mnyama

  • @UpendoJackson-pf4kq
    @UpendoJackson-pf4kq14 күн бұрын

    Nimekupenda sanaa

  • @Pachaboy-k2b
    @Pachaboy-k2b25 күн бұрын

    Safi Sana' mtuwa watuupovzuli nakukubali Sana hunabaya mdogowangu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754326 күн бұрын

    KIBA KAKA ULE WIMBO WA SIYO LEO LOO HATA KM NANI LAZIMA TUUCHEZE. NI WIMBO BORA NA MZURI SAAAAANA. TUTUNGIE MWINGINE SIMBA DAY KIBA NI MWAMBA HONGERA SAAANA MWAMBA

  • @gastomponji
    @gastomponji11 күн бұрын

    huo ndo usani bora kukubali anachofanya mwenzako❤❤❤❤

  • @MwilikwaNgongo
    @MwilikwaNgongo24 күн бұрын

    Wewe hunataka hama yangatena kwenda kumkomowa diamond alkiba wewe hahuna akili sawa

  • @user-uw4vd7hx6w
    @user-uw4vd7hx6w5 күн бұрын

    Dahhh Ila washenzi nyie mnahangaika Na maisha Sasa hapo kiba kaongea wapi kuhusu Yanga Au chama,, Mimi Sio nabii Ila dhambi Ya uongo Kwa waandishi wa habari itawamaliza Kiama

  • @SabrinaIsmail-om1sz
    @SabrinaIsmail-om1sz6 күн бұрын

    Kiba good

  • @ShabaniSelemani-k7n
    @ShabaniSelemani-k7n24 күн бұрын

    Safi sana king kuludi yanga

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754326 күн бұрын

    KIBA TUNAKUTEGEMEA SIMBA DAY. WEWENIMWAMBA

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam98866 күн бұрын

    Umemuhoj vizur but cotent ya kichwa cha habar haiendani kabisa na mahojiano

  • @SanuraMnaziru
    @SanuraMnaziru10 күн бұрын

    Mmmmmmh jaman karibu sana yanga

  • @HusseinShuga-e3g
    @HusseinShuga-e3g24 күн бұрын

    Acheni uongo wapi kasema amerud yanga?

  • @FerdinandCharles-ko7de

    @FerdinandCharles-ko7de

    22 күн бұрын

    Ila media zingine ni zakisenge wap wameongelea yanga hiv mtakuja kukua lin

  • @FerdinandCharles-ko7de

    @FerdinandCharles-ko7de

    22 күн бұрын

    Wajinga kumbe na ww umeona

  • @MituniIssa
    @MituniIssa21 күн бұрын

    Nyie ni wasenge kwann mnahusisha yanga na viroja vyenu nikipande gani alikiba alichoizungumzia yanga?

  • @NehemiaMagori
    @NehemiaMagori19 күн бұрын

    Dah kumbe shabik mandaz😅😅

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w7 күн бұрын

    Ukweli sana Kiba ameeleza kitu kikubwa

  • @winfredmasheyo2477
    @winfredmasheyo247726 күн бұрын

    Chaaaamaaaaaaa

  • @kaluaabdallah6506
    @kaluaabdallah650614 күн бұрын

    Anafosi yanga day lazima aimbe yeye kama alivyoimba Simba Ili mradi tu sifa ziwe upande wake katika timu zote mbili

  • @ZachariaDottoz
    @ZachariaDottoz14 күн бұрын

    nimesikiliza hadi mwisho sijaona alipo zungumzia mambo ya simba au yanga ila waandishi wa bongo khaa 😂😂😅

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    14 сағат бұрын

    Yaani wanajiharibia biashara

  • @AsiaKidunu-nm2ik
    @AsiaKidunu-nm2ik24 күн бұрын

    Ndumila kuwili 😂😂😮Ogmore ndiyo hiyo

  • @user-hw8bb9jo9j
    @user-hw8bb9jo9j26 күн бұрын

    Kwer kaka

  • @aminihamisi3551
    @aminihamisi355120 күн бұрын

    Sijasikia akisema kurudi yanga

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg26 күн бұрын

    Bado Haji kurudi alikotoka

  • @Hellena-ds3bp
    @Hellena-ds3bp26 күн бұрын

    Broo haoo niwanafki wishing uwezavyo

  • @user-pc5uw7qo1x
    @user-pc5uw7qo1x26 күн бұрын

    Wamesha kushauli sasa usimponde chibu maana utakosa wateja wa kusikiliza radio yenu

  • @eliadausen3025
    @eliadausen302522 күн бұрын

    Poa kaka karibu ila kiba naomba namba yako

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho581412 күн бұрын

    Aloandika Caption n mas...ge

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary126226 күн бұрын

    Duuuuh

  • @alakomba6830
    @alakomba683022 күн бұрын

    Yaani kiba ujanja wote huo ulikuwa upande ule😢

  • @yohanayohanaadamu6483
    @yohanayohanaadamu648324 күн бұрын

    Hamuna k2 hapo amefuata ela2 😂😂😂😂😂😂

  • @aminaomary5567
    @aminaomary556725 күн бұрын

    Kila la eri Kiba kurudi yanga na Mondi tunamkatibisha kurud nyumban kwake Simba kama jina lake simba Dangote.

  • @SalaSaid-xv4wf

    @SalaSaid-xv4wf

    24 күн бұрын

    Yes ❤❤

  • @HadijaAdam-ct6wf

    @HadijaAdam-ct6wf

    18 күн бұрын

    Sijasikia mbona akisema kurud yanga😢

  • @user-ci6em5kr8g
    @user-ci6em5kr8g26 күн бұрын

    Kiba Big up

  • @ancyblix
    @ancyblix16 күн бұрын

    Kilichopo kwenye headline na content ya kwenye video haviendani kabisa channel ya hovyo hii

  • @salumchoma8731
    @salumchoma873126 күн бұрын

    Nikitema unashibaaa,bwana mdogoooo. Bwana mdogox2 K/njaro,napanda miye, bwana mdogooo, Bwana mdogooox2

  • @RafaelRafaeli-lg1by
    @RafaelRafaeli-lg1by2 күн бұрын

    Ubaya ubwela 🎉

  • @ndakiezekiel2341
    @ndakiezekiel23416 күн бұрын

    Safi

  • @user-gf9uw1zz3d
    @user-gf9uw1zz3d26 күн бұрын

    Niandike Tanzania the best Kwan mm mwiz😂😂

  • @glorysilayo1034
    @glorysilayo103411 күн бұрын

    Hata km mnataka viewers sio ushenz huo

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le23 күн бұрын

    Ninavyomjua kiba anamsimamo xana hawez kurud utopolo

  • @zeddymourice4249

    @zeddymourice4249

    21 күн бұрын

    Wewe wasema,kiba nimyanga yanga Toka makuzi yake Ila kwakua wewe upo ukolokoloni ndio unamsemea king

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv81714 күн бұрын

    Mnyama mnyama anaumwa anaupiga 😅😅

  • @Wish_Tv
    @Wish_Tv22 күн бұрын

    Atuwataki kaama chama wewe bakiki uko uko uwaimbia na jimbo lako la mnyama anampinzani akawa wa 3 uko 😅usitutie nuksi

  • @FeristaPaulo-v7d
    @FeristaPaulo-v7d15 күн бұрын

    Karibu sana nyumbani mwana mpotevu. Kule hapakuwa sehemu sahihi ugali na sukari ndio zao.

  • @CastorOmmy
    @CastorOmmy20 күн бұрын

    Mbona sjaskia anaposema ameridi yanga

  • @dansimpasa7440

    @dansimpasa7440

    19 күн бұрын

    Hata Mimi sijasikia

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid188224 күн бұрын

    Waandishi bana mnafeli xana kwahiyo ili muziki wa bongo ukue ni lazima uchezwe na wasanii wa nje kiba hamtomuweza kamwe

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary126226 күн бұрын

    Kb anajielewa sana

  • @ChegeChigunda-v2g
    @ChegeChigunda-v2g20 күн бұрын

    Msenge ww hauelewek xhabik gan choko Kama ww mchicha miba

  • @lightnesshassan5814
    @lightnesshassan581425 күн бұрын

    Nyie wanahabari mnakewewa kila siku kuhusu habari zenu mbovu mnazo riport Sasa angaliena Sana

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary126226 күн бұрын

    Duuuuuuh

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le23 күн бұрын

    Usirud yanga kiba cmba kumenoga baki huku huku

  • @user-mi7yx8ew1k

    @user-mi7yx8ew1k

    21 күн бұрын

    Kumenogeshwa na nn

  • @paulinakiria7918
    @paulinakiria791817 күн бұрын

    Ivi ameongelea wapi kuhusu kurudi yanga Fala nyinyi

  • @JacksonKaloli-du7vq
    @JacksonKaloli-du7vq26 күн бұрын

    kiba sio poa kaka nikweli kuna kunsnchi saa3 usiku nchi nyingine kweupe

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs26 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @geraldkirenga7159
    @geraldkirenga715925 күн бұрын

    Nimependa unavyojibu maswali ya waandishi kwa kutulia, busara na umakini

  • @MirroAsinaly
    @MirroAsinaly15 күн бұрын

    Leo umeulizwa swali umejibu point mnah ulikuwa ni mtu wa mjungu tu

  • @lucylameck4589
    @lucylameck45899 күн бұрын

    Kule ulikuwa umeenda kujaribu naona umerudi nyumbani kumenoga

  • @user-rq8go6cf8l
    @user-rq8go6cf8l23 күн бұрын

    Yow

  • @allysunday8614
    @allysunday861425 күн бұрын

    Yaani kichwa cha habari na kilichoongelewa havifanani....hamna weledi.....

  • @FerdinandCharles-ko7de

    @FerdinandCharles-ko7de

    22 күн бұрын

    😂😂 yan nimeikalili hi media nikiiona siiangalii maana ni waongo wakubwa wamenimalizia mb zang

  • @innosentmolel8057
    @innosentmolel805725 күн бұрын

    mtoa post bhana ulicho andika na mahojiano yako na king ni vitu viwili tofauti wapi ameongea kua anarudi yanga kisa mwamba walusaka

  • @DanieelRutata
    @DanieelRutata3 күн бұрын

    Kinkiba nagupa.ongerasana.kurudi yanga.wwwwwwnaichiiiiiiioeeeeeee

  • @muthefuture
    @muthefuture11 күн бұрын

    Siku akili zikikuludia kalibu tena Simba

  • @user-cs1im9pc2u
    @user-cs1im9pc2u26 күн бұрын

    shida akina ashura chuchu akili zao hakina akili , mtu anaongelea kazi wanawaza kurudi yanga

  • @Kadeslersoap
    @Kadeslersoap24 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @FabianSanga-d2i
    @FabianSanga-d2i26 күн бұрын

    Sawa

  • @AhmedAbdallah-cv6rn
    @AhmedAbdallah-cv6rn26 күн бұрын

    Simba wabovu Sanaa 😂😂

  • @robertchazya2351
    @robertchazya235122 күн бұрын

    Pumbav ndo maana hamuendelei 😠

  • @AdamGeorge-i3m
    @AdamGeorge-i3m22 күн бұрын

  • @TheRobertCK
    @TheRobertCK12 күн бұрын

    Pumbav nyie ndo maana hamfiki mbali jinga kabisa

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas290521 күн бұрын

    Acheni uzwazwa

  • @patrickilambona5042
    @patrickilambona504222 күн бұрын

    Sijaona aliposema kurudi yanga mwaandishi kumanyoko zako

  • @FerdinandCharles-ko7de

    @FerdinandCharles-ko7de

    22 күн бұрын

    😂😂😂 yan yanaboa balaa nataman hata nilipwe fidia

  • @christinanyalusi6341
    @christinanyalusi634110 күн бұрын

    Shabik mandazi

  • @MashakaMakamba
    @MashakaMakamba21 күн бұрын

    Ondoka kwani wewe nani unatoa mchango wako kwenye simba

Келесі