ALIKIBA atamani CHRIS BROWN acheze wimbo wake mpya,amwagia sifa DIAMOND kwenye KOMASAVA,tazama hapa.

Ойын-сауық

Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz

Пікірлер: 30

  • @NdakhiSusu-qz9md
    @NdakhiSusu-qz9md23 күн бұрын

    Kam umemuelew Alikiba like apa*"

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76323 күн бұрын

    Nilikuwa sikupendi kiba kwa kuwa na kiburi ila leo nimefrahi kuona umeongeya vizuri nimefrahi piya hongera nawewe nakuombeya piya upande juu kimataifa

  • @jafarisaidia4127

    @jafarisaidia4127

    22 күн бұрын

    Ata yeye ataki hata kukujua 😂🤣

  • @kinyamal8201
    @kinyamal820123 күн бұрын

    Time for this Ali K and Mondi to do a collabo.

  • @OmaryShabani-nw1ib
    @OmaryShabani-nw1ib23 күн бұрын

    True love 🔥

  • @channyanjen9047
    @channyanjen904723 күн бұрын

    Safi Sana Alikiba wewe ni kaka wa Diamond ❤❤❤❤❤❤❤

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani198923 күн бұрын

    MUNGU ALIYEUIMBA KILA KITU ASANTE SANA NAPENDA KUONA HAWA JAMAA WANASAPOTIANA HATA WASIPOIMBA NYIMBO PAMOJA.

  • @user-hn2gi8dc6g
    @user-hn2gi8dc6g23 күн бұрын

    Really bro

  • @derimkongwa5965
    @derimkongwa596523 күн бұрын

    Alikiba huh ndio ukomavu sassa sio wivu wa kimakonde

  • @user-df5gw2mq2n
    @user-df5gw2mq2n22 күн бұрын

    anajikosha tu uyo🙏

  • @MeshiliTemba
    @MeshiliTemba22 күн бұрын

    Sawa king

  • @Assab3167-j3d
    @Assab3167-j3d22 күн бұрын

    Kweli Ali kiba

  • @user-gs9mt1vp7i
    @user-gs9mt1vp7i23 күн бұрын

    Yeees!!kudos Kiba

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi23 күн бұрын

    Achen ujinga ninyi peleken Muzik mbele hamuon Nigeria km wanasapotiana

  • @AbuuMkabugo
    @AbuuMkabugo23 күн бұрын

    Wwe alikiba kweli mkubwa c hamo na raivany choyo kime wajaa

  • @dullychabu971
    @dullychabu97122 күн бұрын

    Basiii kama king kesha sema nyie akina nyadundo kwishaaaa

  • @Kapomakilian42
    @Kapomakilian4223 күн бұрын

    Kwa mara ya kwanz kiba kuunyosha moyo wake kumpa maua yake diamond platnumz huo ndo ukubwa nadhan Kaz zinaongea sada

  • @user-rc7zm3zx7q
    @user-rc7zm3zx7q21 күн бұрын

    Eeee!!!!!mchiz amekua bana

  • @raindoro5201
    @raindoro520122 күн бұрын

    Maturity detected

  • @issashabani3959
    @issashabani395922 күн бұрын

    Umefeli ndio kazi yako hiiyo ila kusapoti

  • @ramayonline2281
    @ramayonline228122 күн бұрын

    Na bado hajasemaaaaa huyo ndy Diamond Platnumz yaaan n kama maji 💦 💧 🚿 tu usipomnywa utamuoga na usipomuoga utamuoshea vyombo😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mmanuelsimbakayeye
    @mmanuelsimbakayeye22 күн бұрын

    Kiba unani furaisha sana

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho23 күн бұрын

    Kibaaaaaaaa,nakukubar mi shabk wa mond ,kwahil umeuwa kabisaaa uko sawa,,siyo Kama wamakonde,,

  • @chizashungu8364
    @chizashungu836422 күн бұрын

    Mwacheni yule mjomba Nchumari abaki vilevile na chuki zake.Kwanza hawezi fika kimataifa hata siku moja,Mjomba nchumari hana vigezo vya kimataifa ataendelea kujidanganya tu.Yeye aendelea kupiga porojo hapahapa Tanzania.

  • @babalao3250
    @babalao325023 күн бұрын

    Ghafla nimejipata nikimpenda Kiba

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hk23 күн бұрын

    Wimbo mpya wa alikiba mmh 😅😅😅 afadhali Ngoma mpya ya mboso ft jaivah , Wasanii Tumuheshimu Daimond plutnum.

  • @alibachirofficial3939

    @alibachirofficial3939

    18 күн бұрын

    Kamushimu babako ndio amekuleta duniani

  • @salimsaid2588
    @salimsaid258822 күн бұрын

    Biashara hyooo amejuwa asipozungumzia Diamond hamta enda crown media kuangaliya

  • @nitoaugustochavenechavene3024
    @nitoaugustochavenechavene302423 күн бұрын

    Sasa apa mjomba mchumali ataweka wape sura yake? na pia naona kwa mbali ya kwamba game inakuja upua kabisa watoto wajiandae mana awa wawili wa kiungana sion pakukajaga watoto

  • @ramayonline2281
    @ramayonline228122 күн бұрын

    Na bado hajasemaaaaa huyo ndy Diamond Platnumz yaaan n kama maji 💦 💧 🚿 tu usipomnywa utamuoga na usipomuoga utamuoshea vyombo😂😂😂😂😂😂😂😂

Келесі