ALIKIBA atamani CHRIS BROWN acheze wimbo wake mpya,amwagia sifa DIAMOND kwenye KOMASAVA,tazama hapa.
Ойын-сауық
Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Пікірлер: 30
Kam umemuelew Alikiba like apa*"
Nilikuwa sikupendi kiba kwa kuwa na kiburi ila leo nimefrahi kuona umeongeya vizuri nimefrahi piya hongera nawewe nakuombeya piya upande juu kimataifa
@jafarisaidia4127
22 күн бұрын
Ata yeye ataki hata kukujua 😂🤣
Time for this Ali K and Mondi to do a collabo.
True love 🔥
Safi Sana Alikiba wewe ni kaka wa Diamond ❤❤❤❤❤❤❤
MUNGU ALIYEUIMBA KILA KITU ASANTE SANA NAPENDA KUONA HAWA JAMAA WANASAPOTIANA HATA WASIPOIMBA NYIMBO PAMOJA.
Really bro
Alikiba huh ndio ukomavu sassa sio wivu wa kimakonde
anajikosha tu uyo🙏
Sawa king
Kweli Ali kiba
Yeees!!kudos Kiba
Achen ujinga ninyi peleken Muzik mbele hamuon Nigeria km wanasapotiana
Wwe alikiba kweli mkubwa c hamo na raivany choyo kime wajaa
Basiii kama king kesha sema nyie akina nyadundo kwishaaaa
Kwa mara ya kwanz kiba kuunyosha moyo wake kumpa maua yake diamond platnumz huo ndo ukubwa nadhan Kaz zinaongea sada
Eeee!!!!!mchiz amekua bana
Maturity detected
Umefeli ndio kazi yako hiiyo ila kusapoti
Na bado hajasemaaaaa huyo ndy Diamond Platnumz yaaan n kama maji 💦 💧 🚿 tu usipomnywa utamuoga na usipomuoga utamuoshea vyombo😂😂😂😂😂😂😂😂
Kiba unani furaisha sana
Kibaaaaaaaa,nakukubar mi shabk wa mond ,kwahil umeuwa kabisaaa uko sawa,,siyo Kama wamakonde,,
Mwacheni yule mjomba Nchumari abaki vilevile na chuki zake.Kwanza hawezi fika kimataifa hata siku moja,Mjomba nchumari hana vigezo vya kimataifa ataendelea kujidanganya tu.Yeye aendelea kupiga porojo hapahapa Tanzania.
Ghafla nimejipata nikimpenda Kiba
Wimbo mpya wa alikiba mmh 😅😅😅 afadhali Ngoma mpya ya mboso ft jaivah , Wasanii Tumuheshimu Daimond plutnum.
@alibachirofficial3939
18 күн бұрын
Kamushimu babako ndio amekuleta duniani
Biashara hyooo amejuwa asipozungumzia Diamond hamta enda crown media kuangaliya
Sasa apa mjomba mchumali ataweka wape sura yake? na pia naona kwa mbali ya kwamba game inakuja upua kabisa watoto wajiandae mana awa wawili wa kiungana sion pakukajaga watoto
Na bado hajasemaaaaa huyo ndy Diamond Platnumz yaaan n kama maji 💦 💧 🚿 tu usipomnywa utamuoga na usipomuoga utamuoshea vyombo😂😂😂😂😂😂😂😂