ALIKIBA Amchana DIAMOND/Anaropoka/Yeye ni Nani/ZUCHU /Namuheshimu sana

Ойын-сауық

King wa Bongo Fleva Alikiba amepiga stori na Rick Media na kufunguka juu ya Kolabo kati ya Diamond na Abdu Kiba, Alichokisema Zuchu kuhusu Show yake ya Simba Day n.k
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Alikiba #Diamond #Zuchu

Пікірлер: 50

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h11 ай бұрын

    Mfalme wa wafalme ali kiba forever sharati sana broo

  • @batteravazicollection
    @batteravazicollection11 ай бұрын

    MFALME KA MFALME NA HESHIMA ZAKE....RESPECT BRO 👌👌👌👌

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile350311 ай бұрын

    Hiz media hovyo sanaa

  • @veronique6028
    @veronique602811 ай бұрын

    Media za Tanzania ni wachoganishi sana awanaga maswali ya msigi.

  • @MenTPL

    @MenTPL

    11 ай бұрын

    Kabisa, nimeliona hilo, maswali ya uchochezi tu

  • @fatumamduli4501
    @fatumamduli450111 ай бұрын

    Domo MNAFIKI Sana manina zake

  • @emanuelgavile3503

    @emanuelgavile3503

    11 ай бұрын

    We nae utatombwa

  • @kilungahamis1270
    @kilungahamis127011 ай бұрын

    Kiba ni Msanii mzuri sana, lkn linapokuja swala la kumzungumzia Mpinzani wake, hapo ndipo anakosa Usmart. Hajui namna ya kujibu ili asionekane yeye sio chanzo cha Uadui. Majibu yake yanaashiria kweli yeye ndio chanzo cha Uadui.

  • @user-ye9rt6sl5f
    @user-ye9rt6sl5f5 ай бұрын

    Rahisi wa bongo King kiba fleva

  • @seangraceswt8037
    @seangraceswt803711 ай бұрын

    Waandishi wahabari jitaidini kuana maswali ya muimu nasio kuwachonganisha

  • @wcb4life875
    @wcb4life87511 ай бұрын

    Alikiba Usijifanye mjina simba anajua kucheza siyasa ya mziki wa bongo fleva, alichokifanya mondi nikuweka tu mtego ili jamii ione hana shida na ww au Harmonize ila wooote mmeingia kwenye mtego 😂😂😂😂😂😂

  • @angelfalleh-wb9rg

    @angelfalleh-wb9rg

    11 ай бұрын

    Amejibu alichoulizwa Sasa hapo kaingiaje kwenye mtego hiv uunahic Ally hazijui figisu za kwevo??

  • @user-cp6sl9gr7s
    @user-cp6sl9gr7s10 ай бұрын

    Kiba ana jua

  • @marymolel800
    @marymolel80010 ай бұрын

    Mine🔥👑❤️

  • @esperencenamagajo7166
    @esperencenamagajo716611 ай бұрын

    Kabisa wewe ni kigi unajibu kiume pia kibinadamu kweli Mungu azindi kukulinda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂 wasi kusumbuwe kigi wetu wale wtu waupande wapili

  • @favoredl6353

    @favoredl6353

    10 ай бұрын

    sio kigi na ww ni king😒

  • @abdimakame7929
    @abdimakame792911 ай бұрын

    Ali kiba wewe una Mdomo Mdomo Sana ndiomana unafeli kwanza umesha zeeka ila auna Hekima Bora urudi Kijijini.

  • @alithoya

    @alithoya

    11 ай бұрын

    Bro nakuhurumia

  • @abdimakame7929

    @abdimakame7929

    11 ай бұрын

    Kikubwa anatakiwa ajiongeze aache kubishana na watoto wenye vipaji%

  • @alithoya

    @alithoya

    11 ай бұрын

    Nadhani hata wewe ukiona Ana ropokwa utaona umevunjiwa heshma....bro that guy is King na jina hakujiita watz ndio tulimwita so respect kidogo kabla hujaongea mengine

  • @abdimakame7929

    @abdimakame7929

    11 ай бұрын

    Labda ni King kwako wewe ila sisi atumtambuh !!!! Uliona wapi King akaongea ongea ovyo? Yes, Mwanzo nilimkubali Sana ila kwasasa anavurunda mdomo mdomo kwake umekua Too much%

  • @subranadja4052

    @subranadja4052

    11 ай бұрын

    Anafeli wapi ? While his life is going well utajuri anao. Nyie wa Tanzania hamjui the meaning of fail

  • @yasintachale3534
    @yasintachale353411 ай бұрын

    Nice

  • @tunutunu7736
    @tunutunu773611 ай бұрын

    Hahahaha ayaya bhana

  • @immaculatealoyce-ij3ng
    @immaculatealoyce-ij3ng9 ай бұрын

    Hahaaa eti Simba wa picha huyo

  • @ibralino
    @ibralino11 ай бұрын

    He prooves the grudge comes from him

  • @aruna-bmwanamboka5482
    @aruna-bmwanamboka54829 ай бұрын

    Alikiba mnafski 😊

  • @lacheekah1849
    @lacheekah184911 ай бұрын

    Apo kwa zuchu patamu sana 🙏 humble reply

  • @Xavierdecristo
    @Xavierdecristo11 ай бұрын

    Jibu unavyo jisikia

  • @abednego3876
    @abednego387611 ай бұрын

    Kiba anaringaa sanaaaaa 😂 alaf ni 0 tu. Mario mwenyew kakukata parefu.

  • @mwinyiabdallah4383
    @mwinyiabdallah438311 ай бұрын

    Ali kiba nakukubali lakini una dharau punguza dharau

  • @kuamino
    @kuamino11 ай бұрын

    Alikiba imeshakuwa kwanini musiache mziki

  • @WayMartLimited-mh2et
    @WayMartLimited-mh2et10 ай бұрын

    Kiba we uko xwa

  • @asl6295
    @asl629511 ай бұрын

    K2ga anajua sana kuimba lakini sasa nyimbo zinaishia mbezi kibanda cha mkaa

  • @user-xz2bb9nl8x

    @user-xz2bb9nl8x

    11 ай бұрын

    Toa Yako ifikike marekan

  • @asl6295

    @asl6295

    11 ай бұрын

    Kiba angetumia mitandao kufanya Promotion kwa ajili ya wasanii wake na sio kutukanana na Diamond platinum A Boy From Tandale Tanesco Samalend.

  • @lucmpangaje8727
    @lucmpangaje872711 ай бұрын

    Kiba mutu roho mbaya 😡

  • @stellachalamila7455
    @stellachalamila745511 ай бұрын

    Ali musenge kama wasenge wengine linaongea kama limekabwa

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    11 ай бұрын

    Chuki ukijumlisha na umaskini ni ugonjwa mbaya Sana..

  • @stellachalamila7455

    @stellachalamila7455

    11 ай бұрын

    Nilizami mondi. Anashida kumbe wewndiounashida utazeeka narohombaya hiyohiyo mavi mukubwa ww unajiona Nani labda

  • @edmundrutahiwa
    @edmundrutahiwa11 ай бұрын

    Huyu jamaaa hajakaa kisanii kabsaaa

  • @aminaawadhi1537
    @aminaawadhi153710 ай бұрын

    Ali kiba wacha zako, kila mtu aende kivyake bwana!

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy11 ай бұрын

    ana roho mbaya sana huyu jamaa na mbinafsi sana, ana wivu na mond kwa kuwa kamzidi maisha , kamtungia mond majina kibao ya kejeli ila hawajahi jibiwa, kajibiwa juzi safi mond, mond nae binadamu kukaa kimya kila siku haiwezekani

  • @annajohn2488

    @annajohn2488

    11 ай бұрын

    Utakuwa na ulemavu WA Akili wewe

  • @ibuzacharia1308

    @ibuzacharia1308

    11 ай бұрын

    hajawahi jibiwa? hivi unafatilia mziki? hujaona juzi kamuita malkia? 😂

  • @user-wu4rx9gb4p
    @user-wu4rx9gb4p11 ай бұрын

    Unaroho mbaya sana ww kaka mwezio kajubu maswali yake vizuri ila ww nimshenge tu pumbavu ww ndomana ufiki mbali kwaroho yako mbaya

  • @aruna-bmwanamboka5482
    @aruna-bmwanamboka54829 ай бұрын

    Mnafki

  • @shabanJuma-fe6wf
    @shabanJuma-fe6wf11 ай бұрын

    Ali Kiba ukimuangalia to ,ni mtu roho chafu , mazungumzo yake ata jinsi alivyo.

  • @erickmillanei4346

    @erickmillanei4346

    11 ай бұрын

    Mmmmmh kumbe ckuizi Kuna Watu wazijua roho za watu

Келесі