ALIKIBA Amchana DIAMOND/Anaropoka/Yeye ni Nani/ZUCHU /Namuheshimu sana
Ойын-сауық
King wa Bongo Fleva Alikiba amepiga stori na Rick Media na kufunguka juu ya Kolabo kati ya Diamond na Abdu Kiba, Alichokisema Zuchu kuhusu Show yake ya Simba Day n.k
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Alikiba #Diamond #Zuchu
Пікірлер: 50
Mfalme wa wafalme ali kiba forever sharati sana broo
MFALME KA MFALME NA HESHIMA ZAKE....RESPECT BRO 👌👌👌👌
Hiz media hovyo sanaa
Media za Tanzania ni wachoganishi sana awanaga maswali ya msigi.
@MenTPL
11 ай бұрын
Kabisa, nimeliona hilo, maswali ya uchochezi tu
Domo MNAFIKI Sana manina zake
@emanuelgavile3503
11 ай бұрын
We nae utatombwa
Kiba ni Msanii mzuri sana, lkn linapokuja swala la kumzungumzia Mpinzani wake, hapo ndipo anakosa Usmart. Hajui namna ya kujibu ili asionekane yeye sio chanzo cha Uadui. Majibu yake yanaashiria kweli yeye ndio chanzo cha Uadui.
Rahisi wa bongo King kiba fleva
Waandishi wahabari jitaidini kuana maswali ya muimu nasio kuwachonganisha
Alikiba Usijifanye mjina simba anajua kucheza siyasa ya mziki wa bongo fleva, alichokifanya mondi nikuweka tu mtego ili jamii ione hana shida na ww au Harmonize ila wooote mmeingia kwenye mtego 😂😂😂😂😂😂
@angelfalleh-wb9rg
11 ай бұрын
Amejibu alichoulizwa Sasa hapo kaingiaje kwenye mtego hiv uunahic Ally hazijui figisu za kwevo??
Kiba ana jua
Mine🔥👑❤️
Kabisa wewe ni kigi unajibu kiume pia kibinadamu kweli Mungu azindi kukulinda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂 wasi kusumbuwe kigi wetu wale wtu waupande wapili
@favoredl6353
10 ай бұрын
sio kigi na ww ni king😒
Ali kiba wewe una Mdomo Mdomo Sana ndiomana unafeli kwanza umesha zeeka ila auna Hekima Bora urudi Kijijini.
@alithoya
11 ай бұрын
Bro nakuhurumia
@abdimakame7929
11 ай бұрын
Kikubwa anatakiwa ajiongeze aache kubishana na watoto wenye vipaji%
@alithoya
11 ай бұрын
Nadhani hata wewe ukiona Ana ropokwa utaona umevunjiwa heshma....bro that guy is King na jina hakujiita watz ndio tulimwita so respect kidogo kabla hujaongea mengine
@abdimakame7929
11 ай бұрын
Labda ni King kwako wewe ila sisi atumtambuh !!!! Uliona wapi King akaongea ongea ovyo? Yes, Mwanzo nilimkubali Sana ila kwasasa anavurunda mdomo mdomo kwake umekua Too much%
@subranadja4052
11 ай бұрын
Anafeli wapi ? While his life is going well utajuri anao. Nyie wa Tanzania hamjui the meaning of fail
Nice
Hahahaha ayaya bhana
Hahaaa eti Simba wa picha huyo
He prooves the grudge comes from him
Alikiba mnafski 😊
Apo kwa zuchu patamu sana 🙏 humble reply
Jibu unavyo jisikia
Kiba anaringaa sanaaaaa 😂 alaf ni 0 tu. Mario mwenyew kakukata parefu.
Ali kiba nakukubali lakini una dharau punguza dharau
Alikiba imeshakuwa kwanini musiache mziki
Kiba we uko xwa
K2ga anajua sana kuimba lakini sasa nyimbo zinaishia mbezi kibanda cha mkaa
@user-xz2bb9nl8x
11 ай бұрын
Toa Yako ifikike marekan
@asl6295
11 ай бұрын
Kiba angetumia mitandao kufanya Promotion kwa ajili ya wasanii wake na sio kutukanana na Diamond platinum A Boy From Tandale Tanesco Samalend.
Kiba mutu roho mbaya 😡
Ali musenge kama wasenge wengine linaongea kama limekabwa
@annasolomon9855
11 ай бұрын
Chuki ukijumlisha na umaskini ni ugonjwa mbaya Sana..
@stellachalamila7455
11 ай бұрын
Nilizami mondi. Anashida kumbe wewndiounashida utazeeka narohombaya hiyohiyo mavi mukubwa ww unajiona Nani labda
Huyu jamaaa hajakaa kisanii kabsaaa
Ali kiba wacha zako, kila mtu aende kivyake bwana!
ana roho mbaya sana huyu jamaa na mbinafsi sana, ana wivu na mond kwa kuwa kamzidi maisha , kamtungia mond majina kibao ya kejeli ila hawajahi jibiwa, kajibiwa juzi safi mond, mond nae binadamu kukaa kimya kila siku haiwezekani
@annajohn2488
11 ай бұрын
Utakuwa na ulemavu WA Akili wewe
@ibuzacharia1308
11 ай бұрын
hajawahi jibiwa? hivi unafatilia mziki? hujaona juzi kamuita malkia? 😂
Unaroho mbaya sana ww kaka mwezio kajubu maswali yake vizuri ila ww nimshenge tu pumbavu ww ndomana ufiki mbali kwaroho yako mbaya
Mnafki
Ali Kiba ukimuangalia to ,ni mtu roho chafu , mazungumzo yake ata jinsi alivyo.
@erickmillanei4346
11 ай бұрын
Mmmmmh kumbe ckuizi Kuna Watu wazijua roho za watu