Ali Muhsin Barwan

Пікірлер: 11

  • @muddyyussuf
    @muddyyussuf3 жыл бұрын

    Dah, Sheikh Muhammed umejua kufikiri sana ulipokuja kidijitali,,,Hongera sana

  • @abdulazizharthy5627
    @abdulazizharthy56278 жыл бұрын

    Alhamdulillah Allah atadhihirisha zaidi ukweli zaidi tukiacha kudanganywa kwa jina la waarabu ni tatizo kwa Zanzibar kumbe waingereza walikuwa na ajenda ya uislamu pamoja na Afro Shirazi party kuidammir zanzibar ni Tamaa ya watu wachache

  • @pandujecha3868
    @pandujecha38688 жыл бұрын

    Sheikh Muhammed hongera sana una mambo mengi ya ukweli uliofichwa.

  • @AliMohammed-mj4ec
    @AliMohammed-mj4ec6 жыл бұрын

    Assalam alaikum warahmatu Llah nashkuru sana kwa kupata mtu wa kutueleza ukweli kuhusu historia nahisi ipo haja ya sisi kufuatilia kwa unayosema kwa mfano watu wanoambiwa walitesa waafrika na kuwafagilisha kwa maziwa waliacha nini kwa wazanzibar lakini jee hao walotupa hio propaganda hawana watu weusi nchi zao ambao waliwapeleka kwa mikwaju na kuwaforce Vile vile tuangalie kabla ya uhuru Zanzibar ilikua ni taifa gani na baada ya uhuru imefika wapi? Ni hayo tu kwa mchango wangu . Assalam alaikum warahmatu Llah

  • @nusafriksuk
    @nusafriksuk4 жыл бұрын

    Adulaziz Al- Amawy

  • @inuyashasgirlsmao5084
    @inuyashasgirlsmao50847 жыл бұрын

    wameuwa watu na kubaka na wizi. wafrika hawanakheri. u tube. mnlaaniwa. gabion.

  • @GlobalSouthObserver
    @GlobalSouthObserver3 жыл бұрын

    Hizbu ilizikwa kwenye kaburi la sahau

  • @GlobalSouthObserver
    @GlobalSouthObserver3 жыл бұрын

    Mapinduzi Daima!!

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    2 жыл бұрын

    Mauaji daimaa

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal007653 жыл бұрын

    Malipo yapo kwa allah NA waliouwa na wao wamesha kufa Majuto ni mjukuu

  • @GlobalSouthObserver

    @GlobalSouthObserver

    3 жыл бұрын

    Legacy of Yao ya muungano inadumu