Ali Mufuruki Akiizungumzia Nafasi ya Tanzania Kiuwekezaji Katika Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mfanyabiashara milionea nchini, Ali Mfuruki akiongea ufanyaji wa biashara ndani ya Tanzania ulivyo kulinganisha na nchi nyingine za Afrika Mashariki alipofanya mahojiano katika kipindi cha Makutano na Fina Mango.
Пікірлер: 3
verry interejenc
Mawazo mazuri. Tumepungukiwa mno na ufahamu wa ujasiriamali na ulinzi wa rasilimali zetu kupitia kwa ushiriki wa watanzania katika uchumi wetu. Kumbe kuwa na wanasiasa wasio wajasiriamali ni hasara kubwa kwa nchi yetu. Kuna haja ya kubadili mtazamo wa watanzania na kuchagua viongozi wajasiriamali. Mwenye kujua pesa atalinda pesa, atatafuta pesa siyo kwa ajili yake tu bali kwa nchi pia. Vinginevyo tutapiga kwata kwa muda mrefu sana.
@bahatishasuleiman4773
4 жыл бұрын
Good and well