ALHAMISI | BAADA YA KUTOKA MAHAKAMANI | NA MCH MBARIKIWA MWAKIPESILE

Ibada Iliyoongozwa na Mch. Mbarikiwa Mwakipesile.
KWA MAWASILIAMO ZAIDI PIGA SIMU
0655436603 au 0769015164

Пікірлер: 7

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo399211 ай бұрын

    Naamini kabisa Mungu ni msemaji wa mwisho.

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn11 ай бұрын

    Hakuna Kiumbe Binadamu Anaweza kuizima Sautu ya MUNGU,Amina. MUNGU Azimwi kwa Vitisho, au kwa Cheo, au Magari yako, au Pesa zako, au Umaarufu wako, au Jeuri yako, au kibuli/Vibuli chako/vyenu au Chochote kile ukijuacho kwenye Akili yako ya AkilishetaniIbilisi.

  • @atec6006
    @atec600611 ай бұрын

    Nakubaliana kwamba sikumbuki sana kama Lissu amewahi kujikosoa wakati fulani. Kwa ujasiri huu huu unaotufundisha, bila kusudio ovu, niseme pia amewahi kukulaumu sana mmoja wa waliokuwa wako kwa jambo kama hilo. Unao mfano wako wa kujisahihisha mahali au katika jambo fulani? Asante.

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    11 ай бұрын

    Inategemea alilaumu au kukosoa nini. Je una maana mtu akikusoa unapofanya jema uache na ufanye baya ili watu kama wewe mfurahi kuwa amekubali kukosolewa? Huyo aliyekosoa amefanya nini yeye chema?

  • @atec6006

    @atec6006

    11 ай бұрын

    Naomba tusiweke "personal" attacks, ukisema "watu kama mimi" inakuwa kama kuniweka kundi fulani ambalo sina hakika ni lipi. Tukiachana na hayo mengine, unao mfano wa jambo ambalo unadhani hukifanya sawa wakati fulani na ukalijutia wakati mwingine? Hata kama hakuna ambalo unewahi kujisahihisha ni sawa pia maana silazimishi kwamba ulishakosea mahali.

  • @mkritowamungu
    @mkritowamungu11 ай бұрын

    Trump kaondoka Mahakamani muda huu na kesi za mchongo, vibaka Hawa Hawa wanaokusumbuwa kwa hila ndio hao wanaokusumbuwa na ww, mungu ni mwenye nguvu na wanazidi kudhalilika, mwisho wao ni mbaya, tutaendelea. Kumlilia mungu mpaka tupate majibu kwa mungu.

Келесі