"Akawaambia mkiona Waziri anakuja Siha, Mkuu wa wilaya pasueni gari lake"-Dr Mollel
Alikua Mbunge wa Siha Kilimanjaro kwa Ticket ya CHADEMA lakini akatangaza kuhama mwishoni mwa mwaka 2017 na sasa anagombania kurudia kwenye kiti hicho kwenye Jimbo hilohilo lakini kwa ticket ya CCM.
Пікірлер: 34
Napenda sana chama langu CCM mollel unashinda wilan kwetu ww huna mpinzani
Utaenda kukaa na mkeo wanasia sio wajinga kama unavyofikiri...mkopo uliochukua ukiwa na chadema unakutosha hujui nn maana ya utumishi
Hamna huruma kwa raia mnajiuzulu ili kupokea vijisenti na mzigo wa uchaguzi unabaki kwa raia kubeba gharama hizo wabunge Kama Hawa hawafai kabisa kuchaguliwa wapo kwa maslahi yao zaidi
Huna hata aibu.
dah! hv mambo haya mpak lini? ila MUNGU yupo yanamwisho haya...
mimi ccm ila huyu mnafki
Alafu mboma anamatusi Sana eti Kama yy kaitwa Ness ndio atuite na sisi maness pumbufuu kabisa jinga we we.
@mariamsaidi542
6 жыл бұрын
walimwita nesi acha awajibu
sawa
Hhhhhhhhhhhhhhhhhhh jamani eti unapanda mnara unaenda mpaka mlima kilimanjaro Masai ni Masai tu
bonge LA kilaza
wewe Mollel mtu wa ajabu sana wapinzani ndio wanaongoza kwa kuongea bungeni na wameweza kuibua skendo chungu mzima leo unadai ulikuwa umefungwa mdomo usiongee wkt hansard za bunge zinaonyesha wabunge wa upinzani pamoja na uchache wao ndio wanaongoza kwa kutoa michango bungeni. laana ya usaliti itakumaliza usipoangalia
Hiii kweli chooo ya ccm
Bonge la ualaza 😀😀😀😀
@nickmbecknkinda3486
6 жыл бұрын
wewe feki kabisa
@lucky9285
6 жыл бұрын
Nickmbeck Nkinda Hapa kazi tu 😀😀😀kazi gani ufanyayo? ???
Suala siyo kusema hujaona mchaga. Yupo kwenye eneo la maendeleo na ukawa wanataka kususia kila kitu nenda c.c.m kajenge Tanzania mpya mafisadi waneshachanganyikiwa!
@bungamabula2072
6 жыл бұрын
Edward Edward uko sawa Edward kumbe wewe mwelewa
Jicho lake kaaama kanunuliwaaaa na kijani
Habar zako za kampeni mbona haziballance ??? Unaegemea upande fulan
@nickmbecknkinda3486
6 жыл бұрын
kilaza wewe umenunuliwa
NGOJA.UKANYOOSHWE KWNYE KURA.
sijawahi kukutana na Mchaga mjinga na sikua najua kama kuna mchaga mjinga wewe ndio wakwanza molel
@joseeddy8425
6 жыл бұрын
HUYU SIO MCHAGA
@man.lule.585
6 жыл бұрын
we ema joz nani kakwambia molel ni mchaga, huyo ni Masai pure ameoa anapoteza mda na sacos ya mbowe na ameona ajichanganye kwenye sakafu ya tairiz atoke kwenye sakafu ya vumbi asijeliwa na funza.
@jisephmaganiko3859
6 жыл бұрын
YUSUPH SEGE unasadifu jina lako ww sege kweli
@janethjackson5370
6 жыл бұрын
Emmavan Joz hili ni laioni,Mimi Niko siha,shuhudia siku ya kura,tutakavyomtahiri,hadi Masai wenzie wanamtukana.
@mathewlaizer6714
6 жыл бұрын
We bwege tu
Mollel unaomba ubunge ule ule tuliokupa au unaomba kitu kingine? au unatupima akili zetu????
Kiazi wewe
@ukwajujuice2239
6 жыл бұрын
Amos Pambala hahaahaa kizi cha mviringo
Hiki ni kichwa sasa kimepata gari sahihi
@mariamsaidi542
6 жыл бұрын
umeonaeee
we we ni mbunge jimboni siha ccm namba one