"Akawaambia mkiona Waziri anakuja Siha, Mkuu wa wilaya pasueni gari lake"-Dr Mollel

Alikua Mbunge wa Siha Kilimanjaro kwa Ticket ya CHADEMA lakini akatangaza kuhama mwishoni mwa mwaka 2017 na sasa anagombania kurudia kwenye kiti hicho kwenye Jimbo hilohilo lakini kwa ticket ya CCM.

Пікірлер: 34

  • @mariamsaidi542
    @mariamsaidi5426 жыл бұрын

    Napenda sana chama langu CCM mollel unashinda wilan kwetu ww huna mpinzani

  • @godblessmrema9679
    @godblessmrema96796 жыл бұрын

    Utaenda kukaa na mkeo wanasia sio wajinga kama unavyofikiri...mkopo uliochukua ukiwa na chadema unakutosha hujui nn maana ya utumishi

  • @infohometv3896
    @infohometv38966 жыл бұрын

    Hamna huruma kwa raia mnajiuzulu ili kupokea vijisenti na mzigo wa uchaguzi unabaki kwa raia kubeba gharama hizo wabunge Kama Hawa hawafai kabisa kuchaguliwa wapo kwa maslahi yao zaidi

  • @HongeraGideon
    @HongeraGideon6 жыл бұрын

    Huna hata aibu.

  • @justinemhanga4273
    @justinemhanga42736 жыл бұрын

    dah! hv mambo haya mpak lini? ila MUNGU yupo yanamwisho haya...

  • @vincentdavid348
    @vincentdavid3486 жыл бұрын

    mimi ccm ila huyu mnafki

  • @ukwajujuice2239
    @ukwajujuice22396 жыл бұрын

    Alafu mboma anamatusi Sana eti Kama yy kaitwa Ness ndio atuite na sisi maness pumbufuu kabisa jinga we we.

  • @mariamsaidi542

    @mariamsaidi542

    6 жыл бұрын

    walimwita nesi acha awajibu

  • @danielmarco4580
    @danielmarco45806 жыл бұрын

    sawa

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga43 жыл бұрын

    Hhhhhhhhhhhhhhhhhhh jamani eti unapanda mnara unaenda mpaka mlima kilimanjaro Masai ni Masai tu

  • @josephnjau9544
    @josephnjau95446 жыл бұрын

    bonge LA kilaza

  • @hamisi8
    @hamisi86 жыл бұрын

    wewe Mollel mtu wa ajabu sana wapinzani ndio wanaongoza kwa kuongea bungeni na wameweza kuibua skendo chungu mzima leo unadai ulikuwa umefungwa mdomo usiongee wkt hansard za bunge zinaonyesha wabunge wa upinzani pamoja na uchache wao ndio wanaongoza kwa kutoa michango bungeni. laana ya usaliti itakumaliza usipoangalia

  • @francissalamba8112
    @francissalamba81126 жыл бұрын

    Hiii kweli chooo ya ccm

  • @lucky9285
    @lucky92856 жыл бұрын

    Bonge la ualaza 😀😀😀😀

  • @nickmbecknkinda3486

    @nickmbecknkinda3486

    6 жыл бұрын

    wewe feki kabisa

  • @lucky9285

    @lucky9285

    6 жыл бұрын

    Nickmbeck Nkinda Hapa kazi tu 😀😀😀kazi gani ufanyayo? ???

  • @edwardedward2520
    @edwardedward25206 жыл бұрын

    Suala siyo kusema hujaona mchaga. Yupo kwenye eneo la maendeleo na ukawa wanataka kususia kila kitu nenda c.c.m kajenge Tanzania mpya mafisadi waneshachanganyikiwa!

  • @bungamabula2072

    @bungamabula2072

    6 жыл бұрын

    Edward Edward uko sawa Edward kumbe wewe mwelewa

  • @francissalamba8112
    @francissalamba81126 жыл бұрын

    Jicho lake kaaama kanunuliwaaaa na kijani

  • @herykipati2060
    @herykipati20606 жыл бұрын

    Habar zako za kampeni mbona haziballance ??? Unaegemea upande fulan

  • @nickmbecknkinda3486

    @nickmbecknkinda3486

    6 жыл бұрын

    kilaza wewe umenunuliwa

  • @hamadshein935
    @hamadshein9356 жыл бұрын

    NGOJA.UKANYOOSHWE KWNYE KURA.

  • @emmavanjoz8631
    @emmavanjoz86316 жыл бұрын

    sijawahi kukutana na Mchaga mjinga na sikua najua kama kuna mchaga mjinga wewe ndio wakwanza molel

  • @joseeddy8425

    @joseeddy8425

    6 жыл бұрын

    HUYU SIO MCHAGA

  • @man.lule.585

    @man.lule.585

    6 жыл бұрын

    we ema joz nani kakwambia molel ni mchaga, huyo ni Masai pure ameoa anapoteza mda na sacos ya mbowe na ameona ajichanganye kwenye sakafu ya tairiz atoke kwenye sakafu ya vumbi asijeliwa na funza.

  • @jisephmaganiko3859

    @jisephmaganiko3859

    6 жыл бұрын

    YUSUPH SEGE unasadifu jina lako ww sege kweli

  • @janethjackson5370

    @janethjackson5370

    6 жыл бұрын

    Emmavan Joz hili ni laioni,Mimi Niko siha,shuhudia siku ya kura,tutakavyomtahiri,hadi Masai wenzie wanamtukana.

  • @mathewlaizer6714

    @mathewlaizer6714

    6 жыл бұрын

    We bwege tu

  • @godfreykapaya6358
    @godfreykapaya63586 жыл бұрын

    Mollel unaomba ubunge ule ule tuliokupa au unaomba kitu kingine? au unatupima akili zetu????

  • @amospambala9413
    @amospambala94136 жыл бұрын

    Kiazi wewe

  • @ukwajujuice2239

    @ukwajujuice2239

    6 жыл бұрын

    Amos Pambala hahaahaa kizi cha mviringo

  • @mako331
    @mako3316 жыл бұрын

    Hiki ni kichwa sasa kimepata gari sahihi

  • @mariamsaidi542

    @mariamsaidi542

    6 жыл бұрын

    umeonaeee

  • @edwardsabato9081
    @edwardsabato90816 жыл бұрын

    we we ni mbunge jimboni siha ccm namba one

Келесі