AJALI YA BASI KIGOMA ''KAVUNJIKA MIGUU YOTE, BASI LILIFELI BREKI LIKAMKANDAMIZA''
Abria waliokua wanasafiri kutoka Mpanda Mkoani Katavi kwenda Wilayani Kasulu Mkoani kigoma wamenusurika kifo baada ya Basi la Kampuni la Adventure lenye namba za usajili T.186 AKX walilokua wamepanda kupata ajali na Kupinduka Mlima wa Kamba karibu na Mto Malagarasi ikiwa ni kama kilomita mbili kufika Uvinza Mjini.
Пікірлер: 194
Mungu wetu tunakuomba utuhurumie baba yetu bila wewe hatuwezi lolote 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mwajumahamisi2006
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@rahimaaaaa5682
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
Daah poleni sana ndugu zetu mungu wafanyiee wepesi
Pole Sana ndugu mtanzania 🙏🇹🇿 Mungu awape ujasiri na uvumilivu Kupitia maumivu hayo
Asanteeee bongomani hapo kwenye chimba chimba chimbaa uneitendea haki. Daaaah poleni sana Allah atawapa taafifu
@patrickclavery4799
2 жыл бұрын
Fungua ujionee aiseeee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
Kweli kwenye chimba katendea haki Sana asilimia100
@theopistamwenga2061
2 жыл бұрын
ahahaha
@yakobomkristo872
2 жыл бұрын
Bila Kusahau Kwenye Kupiga Jeki Piga Jeki Piga Jeki Mpaka Ikainuka
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
@@yakobomkristo872 Yaani Mungu nifundishe kunyamaza maana amejuwa kutoa maerezo
Hongera sana mwananchi kwa kuchimba chimba chimba chimba hongera kwa masaada
Mtanzania akisimulis utamjua tu lazma akwambie mpk nati zote zilivyo funguliwa. Mwenyezimungu awaponye majeruhi
@patrickclavery4799
2 жыл бұрын
Fungua ujione aisee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html
Pole Sana kaka angu kwa kuvunjika miguu yote 2 masikini jamani
Pole sana kwa waliopata ajali Mungu awaponye haraka pole sana kwa kaka aliyepoteza Miguu Mungu yuko pamoja nae
Dah! Poleni sana Majerui wote, subhannallah.
Allah awape shifaa majeruhi wote InshaAllah
Miaka Ya Mbere Utasikia Mtu Anasema Yeye Freemason Na Ajali Alisababosha Yeye Kupata Utajili Dunia Hi Hatar Japo Salama
@tausilazaro2477
2 жыл бұрын
Yaaaani acha tu mungu ndo mkubwa
Poleni sana abiria wote Mungu awepe nguvu mpone haraka majeruhi
Poleni sana InshaAllah Allah awape shifaa na atunusuru na kila mabalaa
POLEN SANA MAISHA YAMWANADAMU NIHATUA KUBWA MNO UKIWA UPO HAI NA AFYA NJEMA HAKIKA MSHUKURU SANA MOLA WAKO MAANA UNAJUA KUNAVOKUCHA ILA HUJUI UTAKAVYO SHINDA YAARABBI TUDUMISHE NYOYO ZETU KATIKA KUKUOMBA NAKUKUABUDU WEWE PEKEE
Mungu tunusuru na ajali za kilasiku
@hamidaala2832
2 жыл бұрын
AaminaYaarabi
Chimba chimba chimba chimba chimba chimba chimba chimba pole sana majeruw mungu awaponye
Poleni sana ndungu zetu Mungu hawasaidie wapone
Pole sana majeruh wote. Mungu Awatangulie mpone mapema
Duuuuh, mungu awaponye warud kazini mapema
Haya magari ya kwena Mpanda KG yanakimbia sana tena madereva hawajari hata watumiaji wengine kanakwamba barabara niyakwao. Police wayafuatilie
@YFM-rq9td
2 жыл бұрын
Safi,,Ase nilidhani ni Mimi nayaonaga vibaya,,,kiukweli Magari ya Kigoma yanakimbizwa Sana ase kanakwamba yamebeba Karanga au Mawese,,,
Daah..khatari poleni sana wahanga
Jaman polen mungu awanusur na kuwaponya majeruhi
Daah polen sana ndug zang
Da poleni sana ila naikubali sana hiyo kampuni basi TU ajari Haina kinga
Mzee huyu aangaliwe na serikali tushazoea inapotokea ajali Cha Kwanza ni kuibiwa.
Mungu wangu adventure yetu tusaidie poleni nduguzetu
Mungu wanguuu...poleni aiseee
Subahnallah allah awape taafifu majeruhi
Poleni sana ndugu zetu
Mtihani huo mungu awafanyie wepesi mupowe
Mungu awaponye majeruhi wote🙏
Mungu awaponye maheruhi wote insha allah
Innalilah wainnaillah rajiuun polen sana Allah awape subra njemaa
Yaaaani mungu tunusuru na huyu mwovu ibilisi anaekunywa dam za watu
Poleni huko Om!
Duh!polezao nyingisana
Poleni xan ndugu zang kwaajali
Hongera sana mzee
POLENI Sana hapo Kuna mteremko mkali sana, miundo mbinu bado kigoma
Poleni Sana ndugu zangu
Pole sana kwa wote mungu awaponye na awape uvumilivu katika kipindi hiki kigumu😭🙏
@patrickclavery4799
2 жыл бұрын
Fungua ujione aisee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html
Mungu awape Nguvu majeruh wote 🙏🙏🙏
Mzee utakilipa kioo cha mwarabu yaani we we ndio ulikivunja mamaaaa
@mamachris6811
2 жыл бұрын
Huwazi miguu ya konda !!!!!
Daaaa mungu awape nguvu aiseee
Eeeh Jamaniii pole I saana
Poleni sana .harafu hiro sio bus ni roli
Poleni sana majeruhi?.
Poleni sana majeruhi wote Mungu awape uzima mpone mapema 😢😢😢😢 Dah!!!!!!!
@patrickclavery4799
2 жыл бұрын
Fungua ujionee aiseeee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html
Poleni sana ndugu
Duuuuuh jamani poleni ndugu zetu🙏🙏
Poleni Sana jaman daa
Jamaa anavyosimulia sasa
Dah poleni sana
Mungu awaponye
Bara bara mbay jamni
Kuma jina wee mzee
Pole kk yangu uliyevunjika miguu yote miwili
Duuu polen Sana
Mungu awaponyee
Poleni saana
Poleni sana hiyo barabara mvua ikinyesha kidogo tuu ina uterezi sana yan ni barabara moja ya hovyo sana
@samsonmagesa3959
2 жыл бұрын
Serikali ela za Corona zijenge hiyo barabara
@alfredmwakasala8936
2 жыл бұрын
@@samsonmagesa3959 hela ya corona ipi wkt wamesema zinaenda kwenye shule na afya ha ha ha!
Polenisana nduguzangu
Dah poleni saaana nduguzanguni watanzania woote mlio pata majeraha na ndugu wa waliopata majeraha poleni saaana 😭😭😭
Poleni sana
Poleni Watanganyika
Polen Sana majeruh wote
Maelezo marefu kama unalipwa bana
Serikari achen ubaguzi tieni rami mbona kigoma mnatubagua sana mwka 24 balabla aishi kutengenezwa
Daah poleni
Poleni sana 🙏
Hizo gar zinakimbia Sana hiyo barabara
poleni sana
Adivencha zimesha choka ni Gari za miaka mingi Sana
Oooh jamani ata na barabara si lami! Tabuni tupoooo salama
Mungu awasaidie majeluw wote waweze kupona
Yani barabara mbaya Sana CCM watoke madarakani
Kiukweli kuna mabasi mabovu Sana barabarani jeshi la police chukuweni hatua stahiki ili kunusuru maisha ya watu wasio na hatia .
@nestorymathiasgj9075
2 жыл бұрын
Hello I'm int
SUB-HANNALLAH !!!' HAUA MATATIZO YA GARI KUFELI BREAK MBONA YAMEZIDI JAMANI?😭😭😭😭😭' EE MUNGU WETU TUNUSURU YARRABI TUJAALIE UMRI MREFU NA UTUPE MWISHO MWEMA YAILAHI
Victa moshi, a.k.a masao bwire, poleni
Poleniiii jaman
hio ajali ni hao mafreemason ndio wanatumaliza mola tulinde inshaallah
@susanraphael5894
2 жыл бұрын
Ndio
Yesu wangu wanusuru wajawakoo
Pole sana jamani
Mungu awape nguvu majeruhi aisee
@patrickclavery4799
2 жыл бұрын
Fungua ujione aisee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html
Poleni Sana mungu atawaponya
@patrickclavery4799
2 жыл бұрын
Fungua ujione aisee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html
Hapo dereva kasepa
Fremasson mutatumaliza kiukweli kila cku ajali hazimalizi💪👌😭
Bongoman mbn anafanana na Masau bwire
Poleni sana mtegemee mungu
@patrickclavery4799
2 жыл бұрын
Fungua ujionee aiseeee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html
Polen sana majeruh ila magar ya kigoma yanakimbia sana na barabara ni ya vumbi na kona zipo nying na kali yanafukuzana wa mbele umuone serikar uangalie kwa makin miez kadhaa imetokea ajar njia iyo iyo kwel polis wanafanya kaz gan magar pia ya kaguliwe kabla ya kutoka 😠😠😠
Masikini...hiyo ajali lini jamani..😭😭😭😭😭😭
Lazima ifike wakati jeshi la polisi lijitasmini hasa mkuu wa police anatakiwa ajiuzuru maana hawanibiki tikes magufuri afe hakuna usarama barabarani ni hatari ajari ni mfululizo watu maisha magumu Tena mnawaletea ulema up
Jmn polen sn mung awasaidie
Poleni
Innalillah wain illah rajiun polen Sanaa abiria wote mliopata ajali 😭😭
@affaanothmaan6287
2 жыл бұрын
👉 Innalillahi wa inna ilayhi rajiuun.
Polen sana
Gali lina bima litalipwa jipya wengine hutaka mapya hutumia njia hiyo poleni wana kasulu
Basi namba A mpaka leo
Muha bana, chimba chimba chimba chimba chimba chimba
Poleni sana mungu awatie nguvu 😭😭😭
@patrickclavery4799
2 жыл бұрын
Fungua ujione aisee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html
@mrbolt8194
2 жыл бұрын
acheni umbea galihizo hazinaga wenge hiyoniajalituu