AJALI YA BASI KIGOMA ''KAVUNJIKA MIGUU YOTE, BASI LILIFELI BREKI LIKAMKANDAMIZA''

Abria waliokua wanasafiri kutoka Mpanda Mkoani Katavi kwenda Wilayani Kasulu Mkoani kigoma wamenusurika kifo baada ya Basi la Kampuni la Adventure lenye namba za usajili T.186 AKX walilokua wamepanda kupata ajali na Kupinduka Mlima wa Kamba karibu na Mto Malagarasi ikiwa ni kama kilomita mbili kufika Uvinza Mjini.

Пікірлер: 194

  • @happinesszabron7635
    @happinesszabron76352 жыл бұрын

    Mungu wetu tunakuomba utuhurumie baba yetu bila wewe hatuwezi lolote 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mwajumahamisi2006

    @mwajumahamisi2006

    2 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rahimaaaaa5682

    @rahimaaaaa5682

    2 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @fatumajuma3816
    @fatumajuma38162 жыл бұрын

    Daah poleni sana ndugu zetu mungu wafanyiee wepesi

  • @mwigarleysaid5406
    @mwigarleysaid54062 жыл бұрын

    Pole Sana ndugu mtanzania 🙏🇹🇿 Mungu awape ujasiri na uvumilivu Kupitia maumivu hayo

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha91222 жыл бұрын

    Asanteeee bongomani hapo kwenye chimba chimba chimbaa uneitendea haki. Daaaah poleni sana Allah atawapa taafifu

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujionee aiseeee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @sweetluc2660

    @sweetluc2660

    2 жыл бұрын

    Kweli kwenye chimba katendea haki Sana asilimia100

  • @theopistamwenga2061

    @theopistamwenga2061

    2 жыл бұрын

    ahahaha

  • @yakobomkristo872

    @yakobomkristo872

    2 жыл бұрын

    Bila Kusahau Kwenye Kupiga Jeki Piga Jeki Piga Jeki Mpaka Ikainuka

  • @sweetluc2660

    @sweetluc2660

    2 жыл бұрын

    @@yakobomkristo872 Yaani Mungu nifundishe kunyamaza maana amejuwa kutoa maerezo

  • @shabanseif5774
    @shabanseif57742 жыл бұрын

    Hongera sana mwananchi kwa kuchimba chimba chimba chimba hongera kwa masaada

  • @walidsultan7486
    @walidsultan74862 жыл бұрын

    Mtanzania akisimulis utamjua tu lazma akwambie mpk nati zote zilivyo funguliwa. Mwenyezimungu awaponye majeruhi

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujione aisee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @sweetluc2660
    @sweetluc26602 жыл бұрын

    Pole Sana kaka angu kwa kuvunjika miguu yote 2 masikini jamani

  • @siyehara4898
    @siyehara48982 жыл бұрын

    Pole sana kwa waliopata ajali Mungu awaponye haraka pole sana kwa kaka aliyepoteza Miguu Mungu yuko pamoja nae

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Dah! Poleni sana Majerui wote, subhannallah.

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr45142 жыл бұрын

    Allah awape shifaa majeruhi wote InshaAllah

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14032 жыл бұрын

    Miaka Ya Mbere Utasikia Mtu Anasema Yeye Freemason Na Ajali Alisababosha Yeye Kupata Utajili Dunia Hi Hatar Japo Salama

  • @tausilazaro2477

    @tausilazaro2477

    2 жыл бұрын

    Yaaaani acha tu mungu ndo mkubwa

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga12472 жыл бұрын

    Poleni sana abiria wote Mungu awepe nguvu mpone haraka majeruhi

  • @abdallahjuma242
    @abdallahjuma2422 жыл бұрын

    Poleni sana InshaAllah Allah awape shifaa na atunusuru na kila mabalaa

  • @shabanjaffar2726
    @shabanjaffar27262 жыл бұрын

    POLEN SANA MAISHA YAMWANADAMU NIHATUA KUBWA MNO UKIWA UPO HAI NA AFYA NJEMA HAKIKA MSHUKURU SANA MOLA WAKO MAANA UNAJUA KUNAVOKUCHA ILA HUJUI UTAKAVYO SHINDA YAARABBI TUDUMISHE NYOYO ZETU KATIKA KUKUOMBA NAKUKUABUDU WEWE PEKEE

  • @lomayanikamete5103
    @lomayanikamete51032 жыл бұрын

    Mungu tunusuru na ajali za kilasiku

  • @hamidaala2832

    @hamidaala2832

    2 жыл бұрын

    AaminaYaarabi

  • @peragiaisdor6315
    @peragiaisdor63152 жыл бұрын

    Chimba chimba chimba chimba chimba chimba chimba chimba pole sana majeruw mungu awaponye

  • @nooroman2535
    @nooroman25352 жыл бұрын

    Poleni sana ndungu zetu Mungu hawasaidie wapone

  • @medyyusuf5233
    @medyyusuf52332 жыл бұрын

    Pole sana majeruh wote. Mungu Awatangulie mpone mapema

  • @kefasonseth6842
    @kefasonseth68422 жыл бұрын

    Duuuuh, mungu awaponye warud kazini mapema

  • @gadielkasunzu8522
    @gadielkasunzu85222 жыл бұрын

    Haya magari ya kwena Mpanda KG yanakimbia sana tena madereva hawajari hata watumiaji wengine kanakwamba barabara niyakwao. Police wayafuatilie

  • @YFM-rq9td

    @YFM-rq9td

    2 жыл бұрын

    Safi,,Ase nilidhani ni Mimi nayaonaga vibaya,,,kiukweli Magari ya Kigoma yanakimbizwa Sana ase kanakwamba yamebeba Karanga au Mawese,,,

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji26372 жыл бұрын

    Daah..khatari poleni sana wahanga

  • @elidaraphael490
    @elidaraphael4902 жыл бұрын

    Jaman polen mungu awanusur na kuwaponya majeruhi

  • @faliiirichard274
    @faliiirichard2742 жыл бұрын

    Daah polen sana ndug zang

  • @hamadiselemani1110
    @hamadiselemani11102 жыл бұрын

    Da poleni sana ila naikubali sana hiyo kampuni basi TU ajari Haina kinga

  • @husseinmaula4361
    @husseinmaula43612 жыл бұрын

    Mzee huyu aangaliwe na serikali tushazoea inapotokea ajali Cha Kwanza ni kuibiwa.

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv81482 жыл бұрын

    Mungu wangu adventure yetu tusaidie poleni nduguzetu

  • @happymacha9053
    @happymacha90532 жыл бұрын

    Mungu wanguuu...poleni aiseee

  • @fatimahants1526
    @fatimahants15262 жыл бұрын

    Subahnallah allah awape taafifu majeruhi

  • @rudhwanjumbe2970
    @rudhwanjumbe29702 жыл бұрын

    Poleni sana ndugu zetu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali39182 жыл бұрын

    Mtihani huo mungu awafanyie wepesi mupowe

  • @joshuakyando7341
    @joshuakyando73412 жыл бұрын

    Mungu awaponye majeruhi wote🙏

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah68252 жыл бұрын

    Mungu awaponye maheruhi wote insha allah

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora11802 жыл бұрын

    Innalilah wainnaillah rajiuun polen sana Allah awape subra njemaa

  • @tausilazaro2477
    @tausilazaro24772 жыл бұрын

    Yaaaani mungu tunusuru na huyu mwovu ibilisi anaekunywa dam za watu

  • @sundaymussa5654
    @sundaymussa56542 жыл бұрын

    Poleni huko Om!

  • @frankmassawe2251
    @frankmassawe22512 жыл бұрын

    Duh!polezao nyingisana

  • @uwezoamosi7656
    @uwezoamosi76562 жыл бұрын

    Poleni xan ndugu zang kwaajali

  • @sudiyahya9276
    @sudiyahya92762 жыл бұрын

    Hongera sana mzee

  • @stanymccary7136
    @stanymccary71362 жыл бұрын

    POLENI Sana hapo Kuna mteremko mkali sana, miundo mbinu bado kigoma

  • @bahatihashimu5780
    @bahatihashimu57802 жыл бұрын

    Poleni Sana ndugu zangu

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba42082 жыл бұрын

    Pole sana kwa wote mungu awaponye na awape uvumilivu katika kipindi hiki kigumu😭🙏

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujione aisee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74752 жыл бұрын

    Mungu awape Nguvu majeruh wote 🙏🙏🙏

  • @benardmuzzazzi4916
    @benardmuzzazzi49162 жыл бұрын

    Mzee utakilipa kioo cha mwarabu yaani we we ndio ulikivunja mamaaaa

  • @mamachris6811

    @mamachris6811

    2 жыл бұрын

    Huwazi miguu ya konda !!!!!

  • @maumangunda1111
    @maumangunda11112 жыл бұрын

    Daaaa mungu awape nguvu aiseee

  • @husseinhaji8459
    @husseinhaji84592 жыл бұрын

    Eeeh Jamaniii pole I saana

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti86382 жыл бұрын

    Poleni sana .harafu hiro sio bus ni roli

  • @crepinakatundu1831
    @crepinakatundu18312 жыл бұрын

    Poleni sana majeruhi?.

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel77522 жыл бұрын

    Poleni sana majeruhi wote Mungu awape uzima mpone mapema 😢😢😢😢 Dah!!!!!!!

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujionee aiseeee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @godfreymasondaabel1904
    @godfreymasondaabel19042 жыл бұрын

    Poleni sana ndugu

  • @dianasago9214
    @dianasago92142 жыл бұрын

    Duuuuuh jamani poleni ndugu zetu🙏🙏

  • @Alexander-thomas04
    @Alexander-thomas042 жыл бұрын

    Poleni Sana jaman daa

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv96202 жыл бұрын

    Jamaa anavyosimulia sasa

  • @seba_sports2553
    @seba_sports25532 жыл бұрын

    Dah poleni sana

  • @theophilyedward2448
    @theophilyedward24482 жыл бұрын

    Mungu awaponye

  • @kijahnikwelinyalinga1740
    @kijahnikwelinyalinga17402 жыл бұрын

    Bara bara mbay jamni

  • @yuzowakitaa4379
    @yuzowakitaa43792 жыл бұрын

    Kuma jina wee mzee

  • @skjjsj1889
    @skjjsj18892 жыл бұрын

    Pole kk yangu uliyevunjika miguu yote miwili

  • @chrispinboniface3329
    @chrispinboniface33292 жыл бұрын

    Duuu polen Sana

  • @fredvaanysambai3379
    @fredvaanysambai33792 жыл бұрын

    Mungu awaponyee

  • @safinkeyemba2174
    @safinkeyemba21742 жыл бұрын

    Poleni saana

  • @alfredmwakasala8936
    @alfredmwakasala89362 жыл бұрын

    Poleni sana hiyo barabara mvua ikinyesha kidogo tuu ina uterezi sana yan ni barabara moja ya hovyo sana

  • @samsonmagesa3959

    @samsonmagesa3959

    2 жыл бұрын

    Serikali ela za Corona zijenge hiyo barabara

  • @alfredmwakasala8936

    @alfredmwakasala8936

    2 жыл бұрын

    @@samsonmagesa3959 hela ya corona ipi wkt wamesema zinaenda kwenye shule na afya ha ha ha!

  • @danielimikaeli2104
    @danielimikaeli21042 жыл бұрын

    Polenisana nduguzangu

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын

    Dah poleni saaana nduguzanguni watanzania woote mlio pata majeraha na ndugu wa waliopata majeraha poleni saaana 😭😭😭

  • @masudinangololo3672
    @masudinangololo36722 жыл бұрын

    Poleni sana

  • @gangmore9091
    @gangmore90912 жыл бұрын

    Poleni Watanganyika

  • @lenardijengela4072
    @lenardijengela40722 жыл бұрын

    Polen Sana majeruh wote

  • @khalfanibobewe4278
    @khalfanibobewe42782 жыл бұрын

    Maelezo marefu kama unalipwa bana

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc89412 жыл бұрын

    Serikari achen ubaguzi tieni rami mbona kigoma mnatubagua sana mwka 24 balabla aishi kutengenezwa

  • @valentinerockstymwanafunzi6374
    @valentinerockstymwanafunzi63742 жыл бұрын

    Daah poleni

  • @jeshilamtu863
    @jeshilamtu8632 жыл бұрын

    Poleni sana 🙏

  • @adamfundikira1620
    @adamfundikira16202 жыл бұрын

    Hizo gar zinakimbia Sana hiyo barabara

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza78712 жыл бұрын

    poleni sana

  • @issaissah8832
    @issaissah88322 жыл бұрын

    Adivencha zimesha choka ni Gari za miaka mingi Sana

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82762 жыл бұрын

    Oooh jamani ata na barabara si lami! Tabuni tupoooo salama

  • @rahmasaid1261
    @rahmasaid12612 жыл бұрын

    Mungu awasaidie majeluw wote waweze kupona

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe98152 жыл бұрын

    Yani barabara mbaya Sana CCM watoke madarakani

  • @mossilamanne3350
    @mossilamanne33502 жыл бұрын

    Kiukweli kuna mabasi mabovu Sana barabarani jeshi la police chukuweni hatua stahiki ili kunusuru maisha ya watu wasio na hatia .

  • @nestorymathiasgj9075

    @nestorymathiasgj9075

    2 жыл бұрын

    Hello I'm int

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania63012 жыл бұрын

    SUB-HANNALLAH !!!' HAUA MATATIZO YA GARI KUFELI BREAK MBONA YAMEZIDI JAMANI?😭😭😭😭😭' EE MUNGU WETU TUNUSURU YARRABI TUJAALIE UMRI MREFU NA UTUPE MWISHO MWEMA YAILAHI

  • @pcpoint1224
    @pcpoint12242 жыл бұрын

    Victa moshi, a.k.a masao bwire, poleni

  • @priscarsalum9326
    @priscarsalum9326 Жыл бұрын

    Poleniiii jaman

  • @ramlanassir1559
    @ramlanassir15592 жыл бұрын

    hio ajali ni hao mafreemason ndio wanatumaliza mola tulinde inshaallah

  • @susanraphael5894

    @susanraphael5894

    2 жыл бұрын

    Ndio

  • @alalwialalwiii8194
    @alalwialalwiii81942 жыл бұрын

    Yesu wangu wanusuru wajawakoo

  • @bidadijumasaid7188
    @bidadijumasaid71882 жыл бұрын

    Pole sana jamani

  • @mwljuliuskiwovele223
    @mwljuliuskiwovele2232 жыл бұрын

    Mungu awape nguvu majeruhi aisee

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujione aisee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @ashadaudi2535
    @ashadaudi25352 жыл бұрын

    Poleni Sana mungu atawaponya

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujione aisee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @elishasolomon9742
    @elishasolomon97422 жыл бұрын

    Hapo dereva kasepa

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei11332 жыл бұрын

    Fremasson mutatumaliza kiukweli kila cku ajali hazimalizi💪👌😭

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku9912 жыл бұрын

    Bongoman mbn anafanana na Masau bwire

  • @emmanuelkato9122
    @emmanuelkato91222 жыл бұрын

    Poleni sana mtegemee mungu

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujionee aiseeee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @nassoropigauwa2503
    @nassoropigauwa25032 жыл бұрын

    Polen sana majeruh ila magar ya kigoma yanakimbia sana na barabara ni ya vumbi na kona zipo nying na kali yanafukuzana wa mbele umuone serikar uangalie kwa makin miez kadhaa imetokea ajar njia iyo iyo kwel polis wanafanya kaz gan magar pia ya kaguliwe kabla ya kutoka 😠😠😠

  • @ignaspius
    @ignaspius2 жыл бұрын

    Masikini...hiyo ajali lini jamani..😭😭😭😭😭😭

  • @yusuphngamela5611
    @yusuphngamela56112 жыл бұрын

    Lazima ifike wakati jeshi la polisi lijitasmini hasa mkuu wa police anatakiwa ajiuzuru maana hawanibiki tikes magufuri afe hakuna usarama barabarani ni hatari ajari ni mfululizo watu maisha magumu Tena mnawaletea ulema up

  • @naihfrank7306
    @naihfrank73062 жыл бұрын

    Jmn polen sn mung awasaidie

  • @msabahamechanism5874
    @msabahamechanism58742 жыл бұрын

    Poleni

  • @zahraalhabsi7931
    @zahraalhabsi79312 жыл бұрын

    Innalillah wain illah rajiun polen Sanaa abiria wote mliopata ajali 😭😭

  • @affaanothmaan6287

    @affaanothmaan6287

    2 жыл бұрын

    👉 Innalillahi wa inna ilayhi rajiuun.

  • @eliahenry8881
    @eliahenry88812 жыл бұрын

    Polen sana

  • @sabatosabibi2191
    @sabatosabibi21912 жыл бұрын

    Gali lina bima litalipwa jipya wengine hutaka mapya hutumia njia hiyo poleni wana kasulu

  • @musaabdiely1644
    @musaabdiely16442 жыл бұрын

    Basi namba A mpaka leo

  • @alexsimon5576
    @alexsimon55762 жыл бұрын

    Muha bana, chimba chimba chimba chimba chimba chimba

  • @mdzainb3722
    @mdzainb37222 жыл бұрын

    Poleni sana mungu awatie nguvu 😭😭😭

  • @patrickclavery4799

    @patrickclavery4799

    2 жыл бұрын

    Fungua ujione aisee🤭🤭 kzread.info/dron/8IrCFHu1DSEvrYtaTQ19dg.html

  • @mrbolt8194

    @mrbolt8194

    2 жыл бұрын

    acheni umbea galihizo hazinaga wenge hiyoniajalituu

Келесі