AIC Dodoma Vijana Choir - Usitishwe na Dunia (Official Video 4k)
Lyrics
Dunia dunia sio kwetu ndugu
Usitishwe na Dunia na mikikimikiki yake
Haijalishi wana damu wanadharau Maisha yako
Haijalishi dunia wanadharau wokovu yako
Haijalishi wana damu wanadharau wokovu wako
Isikusumbue Dunia ikidharau ujana wako
Haijalishi wana damu wanadharau wokovu yako
Matatizo yako yana mwisho wake wewe
Hayo mapito yako yana mwisho wake wewe
Matatizo yako mama yangu weeee yana mwisho wake
Mungu wetu ni mwema,Ni mwema anaweza
Yesu ni uzima wetu tena ni mwamba wetu
tunapomwita yeye hatatuacha kamwe anaweza
Wema wake yesu yesu mwkozi ulidhihirika pale Calvary
Yule mwizi alitambua nguvu ya mungu kisha akasema
Yesu unikumbuke katika ufalme wako
Yule mwizi alitambua nguvu ya Mungu kisha akasema
Yesu unikumbuke katika ufalme wako
Iweje leo mwanadamu wewe hauna hofu yake Mungu wewe
Iweje leo mwanadamu wa leo hauna hofu yake Mungu wewe
Nakusihi mwambie akukumbuke akukumbuke
Yesu ni uzima wetu tena ni mwamba wetu
Tunapomwita yeye hatatuacha kamwe
Anaweza
Пікірлер: 42
Nmebarikiwa Sana mungu awainue zaidi
Mwimbo mzuri sana endeleeni mnaweza
Kumbe mpo hadi utube....safi...
Kaz nzr sana
Nimebarikiwa mungu azidi kuwainua zaidi mimi nipo dodoma makole nimelitafuta kanisa hili sjafanikiwa kujua lilipo naomba nijue lipo sehemu gani
@charlesmethusela3675
Жыл бұрын
Lipo barabara ya Meliwa Sec
Hongereni sana bwana azidi kuwaongozaaaaaaaaaaaa
Mungu ashukuriwe
Saf
Wangapi mmeurudia wimbo huu mtamu km mm
Karibu Kisii Kenya
Barikiwa
Mbarikiwe
Mmefanya vizuri Utukufu kwa Mungu wetu aliye juu MBINGUNI hongera sana. D.V.Choir✋
Download ais Dodoma vijana
Juliana penda San mung akubaliki
Amina
Hatutishwi na dunia..
🙏
Nimependa Huduma
Kabisa matatozo ya namwisho wake nao ni Kumlingana Mungu tuu barikiwa sana watumishi
Ameen ❤️❤️❤️❤️❤️
Hongereni watumwa wa Kristo Msichoke kuitenda kazi yake Mungu
Barikiwa sana watumishi
@mpinaluchemba4871
3 жыл бұрын
Amen
@kaswalalamatala4612
3 жыл бұрын
Ahsante sana watumishi kwa kuendelea kututizama kupitia mitandao yetu ya kijamii Mungu awabariki nyote. Kuwa karibu nasi Tafadhali!
@makoyemusa6615
3 жыл бұрын
Mbarikiwe watoto wa MUNGU
Ongerenii
Mnajua mpk mnakera , MUNGU awabariki xnaaaaaa, nawapenda
dinna ..jack..juliana nawakubali sana kwa uimbaji wenu GOD blessing 😙😍😘
Mpo vizur nawapenda
Amen
Chuma hiko, Yesu uzima wetu..... imesima vizuri na mmedanya vizuri, utukufu kwa Mungu.
Mpo vizuri
Wimbo mtamu kweli
Thanks for good song
Mambo Ni moto🔥🔥🔥🔥 Barikiwa sanaaa
Ameeeeeeeen ♥️❤️❤️❤️
Nice song
Asanteni wa makao makuu ya tz
Be blessed
@amanidickson1527
3 жыл бұрын
Hogela kwa huduma nzuri sifa apewe mungu