AIC Dodoma Vijana Choir - Usitishwe na Dunia (Official Video 4k)

Lyrics
Dunia dunia sio kwetu ndugu
Usitishwe na Dunia na mikikimikiki yake
Haijalishi wana damu wanadharau Maisha yako
Haijalishi dunia wanadharau wokovu yako
Haijalishi wana damu wanadharau wokovu wako
Isikusumbue Dunia ikidharau ujana wako
Haijalishi wana damu wanadharau wokovu yako
Matatizo yako yana mwisho wake wewe
Hayo mapito yako yana mwisho wake wewe
Matatizo yako mama yangu weeee yana mwisho wake
Mungu wetu ni mwema,Ni mwema anaweza
Yesu ni uzima wetu tena ni mwamba wetu
tunapomwita yeye hatatuacha kamwe anaweza
Wema wake yesu yesu mwkozi ulidhihirika pale Calvary
Yule mwizi alitambua nguvu ya mungu kisha akasema
Yesu unikumbuke katika ufalme wako
Yule mwizi alitambua nguvu ya Mungu kisha akasema
Yesu unikumbuke katika ufalme wako
Iweje leo mwanadamu wewe hauna hofu yake Mungu wewe
Iweje leo mwanadamu wa leo hauna hofu yake Mungu wewe
Nakusihi mwambie akukumbuke akukumbuke
Yesu ni uzima wetu tena ni mwamba wetu
Tunapomwita yeye hatatuacha kamwe
Anaweza

Пікірлер: 42

  • @fatumamichael5664
    @fatumamichael5664 Жыл бұрын

    Nmebarikiwa Sana mungu awainue zaidi

  • @innosjeje4808
    @innosjeje48082 жыл бұрын

    Mwimbo mzuri sana endeleeni mnaweza

  • @danielnella6309
    @danielnella63092 жыл бұрын

    Kumbe mpo hadi utube....safi...

  • @samsonmahelo3336
    @samsonmahelo33362 жыл бұрын

    Kaz nzr sana

  • @mariamboaz3232
    @mariamboaz32322 жыл бұрын

    Nimebarikiwa mungu azidi kuwainua zaidi mimi nipo dodoma makole nimelitafuta kanisa hili sjafanikiwa kujua lilipo naomba nijue lipo sehemu gani

  • @charlesmethusela3675

    @charlesmethusela3675

    Жыл бұрын

    Lipo barabara ya Meliwa Sec

  • @barakasadock9915
    @barakasadock9915 Жыл бұрын

    Hongereni sana bwana azidi kuwaongozaaaaaaaaaaaa

  • @jerrybuya3694
    @jerrybuya369410 ай бұрын

    Mungu ashukuriwe

  • @stanslausjosephdaudi1163
    @stanslausjosephdaudi11632 жыл бұрын

    Saf

  • @jackieemnl6468
    @jackieemnl64683 жыл бұрын

    Wangapi mmeurudia wimbo huu mtamu km mm

  • @omosombambakajaredwright8779
    @omosombambakajaredwright87793 жыл бұрын

    Karibu Kisii Kenya

  • @marthayohana2489
    @marthayohana24893 жыл бұрын

    Barikiwa

  • @happynelson2193
    @happynelson21933 жыл бұрын

    Mbarikiwe

  • @titotimotheo3759
    @titotimotheo37593 жыл бұрын

    Mmefanya vizuri Utukufu kwa Mungu wetu aliye juu MBINGUNI hongera sana. D.V.Choir✋

  • @isackkandonga3694
    @isackkandonga36943 жыл бұрын

    Download ais Dodoma vijana

  • @maryivan1783
    @maryivan17833 жыл бұрын

    Juliana penda San mung akubaliki

  • @eliahmashala5180
    @eliahmashala51803 жыл бұрын

    Amina

  • @rhodasengenge5329
    @rhodasengenge53293 жыл бұрын

    Hatutishwi na dunia..

  • @user-nt7ij4gg2e
    @user-nt7ij4gg2e4 ай бұрын

    🙏

  • @josephassenga5602
    @josephassenga56023 жыл бұрын

    Nimependa Huduma

  • @charlesmethusela3675
    @charlesmethusela36753 жыл бұрын

    Kabisa matatozo ya namwisho wake nao ni Kumlingana Mungu tuu barikiwa sana watumishi

  • @graciemahundo9031
    @graciemahundo90313 жыл бұрын

    Ameen ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @zachariaisongalimo7486
    @zachariaisongalimo74863 жыл бұрын

    Hongereni watumwa wa Kristo Msichoke kuitenda kazi yake Mungu

  • @totalgospelministry
    @totalgospelministry3 жыл бұрын

    Barikiwa sana watumishi

  • @mpinaluchemba4871

    @mpinaluchemba4871

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @kaswalalamatala4612

    @kaswalalamatala4612

    3 жыл бұрын

    Ahsante sana watumishi kwa kuendelea kututizama kupitia mitandao yetu ya kijamii Mungu awabariki nyote. Kuwa karibu nasi Tafadhali!

  • @makoyemusa6615

    @makoyemusa6615

    3 жыл бұрын

    Mbarikiwe watoto wa MUNGU

  • @jannethsebastian313
    @jannethsebastian3133 жыл бұрын

    Ongerenii

  • @jackieemnl6468
    @jackieemnl64683 жыл бұрын

    Mnajua mpk mnakera , MUNGU awabariki xnaaaaaa, nawapenda

  • @gracechacha7126
    @gracechacha71263 жыл бұрын

    dinna ..jack..juliana nawakubali sana kwa uimbaji wenu GOD blessing 😙😍😘

  • @pendoshimo1903
    @pendoshimo19033 жыл бұрын

    Mpo vizur nawapenda

  • @mariamaloda5447
    @mariamaloda54473 жыл бұрын

    Amen

  • @joseymhina5025
    @joseymhina50253 жыл бұрын

    Chuma hiko, Yesu uzima wetu..... imesima vizuri na mmedanya vizuri, utukufu kwa Mungu.

  • @zephaniapaul9592
    @zephaniapaul95923 жыл бұрын

    Mpo vizuri

  • @markpaulsilvester9637
    @markpaulsilvester96373 жыл бұрын

    Wimbo mtamu kweli

  • @lukelomalila8896
    @lukelomalila88963 жыл бұрын

    Thanks for good song

  • @alexwilyson4602
    @alexwilyson46023 жыл бұрын

    Mambo Ni moto🔥🔥🔥🔥 Barikiwa sanaaa

  • @latiphajackson4901
    @latiphajackson49013 жыл бұрын

    Ameeeeeeeen ♥️❤️❤️❤️

  • @godluckmgomba6365
    @godluckmgomba63653 жыл бұрын

    Nice song

  • @jonathanjosiah100
    @jonathanjosiah1003 жыл бұрын

    Asanteni wa makao makuu ya tz

  • @suzanmwita5568
    @suzanmwita55683 жыл бұрын

    Be blessed

  • @amanidickson1527

    @amanidickson1527

    3 жыл бұрын

    Hogela kwa huduma nzuri sifa apewe mungu