AHMED ALLY AJIBU KUHUSU HATMA YA LAMECK LAWI NA AUBIN KRAMO SIMBA SC | KILA MCHEZAJI MZURI HATUACHI
Спорт
Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Пікірлер: 26
Semaji washauri sana bodi kuboresha namba sita iliyo bora
Vip kuhusu babakari sary thenkiyu tiyari
Semaji vipi kuhusu Onana bado yupo?
Kramo ni bora sana msifanye mchezo kwa uyo kramo na ndo mvp wa msimu ujao tena mtanitafuta kwa unabii huu
Shemeji la caf. Vipi kuhusu kocha wetu Juma Mgunda
Lawi Yuko Kambi ya coastal ninyi ni wababaishaji semen ukweli tu hapo mlikurupuka Sana tu
Simba acheni ushamba🎉
INAMAANA KUNAWACHEZAJI WATAENDA KWA MAFUNGU, MAFUNGU AU
Vp kaka jobe anaondoka au bado yupo?
Acheni utata tunataka vitu rasmi
Mwambie bos atuletehe fei
Semaji
Jaman kramo abak bado hatujaona uwezo wake
Kramo abaki
vp kuhusu Debora frenendez na augustine pia na valentine nouma
Jamani lameki lawi semaji yupo simba au utopolo
Kuusu fei vipi tutegemee?
Vp kuhusu yao jean charles
Mpanzu vip
Kuhusu Phiri
Tunamhitaji feisali Simba mipango yakumsajili ikoje
Mafungu mafungu kwa Simba ni kawaida Sana tu
@mkamilamartin
3 күн бұрын
Ahamed naomba namba yako
VIp kuhusu feitoto ?
Kramo abak
Kuhusu feitoto