AHADI YA RAIS IMETIMIA, KIVUKO KIPYA NDANI YA ZIWA VICTORIA, KITATOA HUDUMA KATI YA UKARA NA UKEREWE
Kwa mara ya kwanza kivuko cha MV. Ukara II kimeingizwa ndani ya ziwa Victoria baada ya kukamilika kwa muda wa miaka miwili tangu Rais Magufuli atoe ahadi ya kujenga kivuko kipya, MV. Ukara itatoa huduma kati ya Kisiwa cha Bugolola na kijiji cha Bwisya Ukara Ukerewe na kitakuwa mbadala wa kile kiviko cha MV. Nyerere kilichozama sep 20, 2018 na kuuwa watu 227
Пікірлер: 24
Tunao mkubali jpm tujuane hapa raisi wa dunia
Tanzania inasonga mbele. Asante sana Mh Magufuli. Tuko nyuma yako. Mafisadi wote usiwapepesee macho. Kamata sukuma ndani. Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Magufuli na wasaidizi wake wote.
MashaAllah kazi nzur jpm miaka kama yote timu maguful
Kusema kweli President wa tanzania anafanya job poa sana natamani kenya ipate kiongozi mwenye kupemda inchi hii ya kenya ili sisi wanainchi tujivunie tuko kenya
Rais magufuli ndo rais pekee atakaye kumbukwa na vizazi vijavyo baada ya nyerere
⚘Thanks and Praise be to God forever. Amen
inaumiza sana unapofanya kazi kwa bidii alafu kuna watu wanaona unacheza kama una roho ndongo unasusa
@juliethhouseofdesigns147
3 жыл бұрын
Kabisa ,mimi binafsi naumia kuona baadhi ya watu wanabeza
Ahsante Jpm
MUNGU atufanyie mema
Hiv vitu vilikuwa wapi
@eischerschwederm7876
3 жыл бұрын
Matumboni mwa wahujumu uchumi bro
Safi
Huyu JPM ni Rais liyekuwa anasubiliwa na wananchi hakika anajua
Mi kura yangu JPM baasi hakuna mwingine Zaid yake
Kazi imeisha hongera jpm
welldone/good job hon.jpm
22billion down to 4billion....what a big save of tax payers money 💪💪.
Tutake nn tena watanzania vitu muhumu kwa watu ndo hivyo magufuli anazifanya leo mwehu mmoja anapotosha
ooooo! ndio zetu kazi tu, magu baba lao tafuta popote kama yeye, awa wengine bado wanakuna nazi
Jpm endelea kupiga bundasiliga 2mechewa sana miaka 5tena
Songoro marine awamu ya tano utapiga kazi hadi useme poo.
Hakuna raisi yeyote katika Afrika anayeahidi na kutimiza ahadi. Kwa nini asiendelee?Angela Merkel wa ujerumani amekaa madarakani miaka 20, na wengine wengi. Mendeleo ni maamuzi. Tupange na tuchague. Imechukua miaka 30 ya pata potea kumpata huyu. Bado tunamhitaji. ni maoni yangu.
Hello sisi ni mapacha pls subscribe to our channel 🙏🙏