AHADI YA RAIS IMETIMIA, KIVUKO KIPYA NDANI YA ZIWA VICTORIA, KITATOA HUDUMA KATI YA UKARA NA UKEREWE

Kwa mara ya kwanza kivuko cha MV. Ukara II kimeingizwa ndani ya ziwa Victoria baada ya kukamilika kwa muda wa miaka miwili tangu Rais Magufuli atoe ahadi ya kujenga kivuko kipya, MV. Ukara itatoa huduma kati ya Kisiwa cha Bugolola na kijiji cha Bwisya Ukara Ukerewe na kitakuwa mbadala wa kile kiviko cha MV. Nyerere kilichozama sep 20, 2018 na kuuwa watu 227

Пікірлер: 24

  • @mafulublessedharuni4609
    @mafulublessedharuni46093 жыл бұрын

    Tunao mkubali jpm tujuane hapa raisi wa dunia

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel46713 жыл бұрын

    Tanzania inasonga mbele. Asante sana Mh Magufuli. Tuko nyuma yako. Mafisadi wote usiwapepesee macho. Kamata sukuma ndani. Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Magufuli na wasaidizi wake wote.

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir73 жыл бұрын

    MashaAllah kazi nzur jpm miaka kama yote timu maguful

  • @durkasmaghuwa2201
    @durkasmaghuwa22013 жыл бұрын

    Kusema kweli President wa tanzania anafanya job poa sana natamani kenya ipate kiongozi mwenye kupemda inchi hii ya kenya ili sisi wanainchi tujivunie tuko kenya

  • @edwardjoseph9552
    @edwardjoseph95523 жыл бұрын

    Rais magufuli ndo rais pekee atakaye kumbukwa na vizazi vijavyo baada ya nyerere

  • @doreengomes3489
    @doreengomes34893 жыл бұрын

    ⚘Thanks and Praise be to God forever. Amen

  • @salimmapunda7393
    @salimmapunda73933 жыл бұрын

    inaumiza sana unapofanya kazi kwa bidii alafu kuna watu wanaona unacheza kama una roho ndongo unasusa

  • @juliethhouseofdesigns147

    @juliethhouseofdesigns147

    3 жыл бұрын

    Kabisa ,mimi binafsi naumia kuona baadhi ya watu wanabeza

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili61913 жыл бұрын

    Ahsante Jpm

  • @khamisrashidy1079
    @khamisrashidy10793 жыл бұрын

    MUNGU atufanyie mema

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile15233 жыл бұрын

    Hiv vitu vilikuwa wapi

  • @eischerschwederm7876

    @eischerschwederm7876

    3 жыл бұрын

    Matumboni mwa wahujumu uchumi bro

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum21503 жыл бұрын

    Safi

  • @lechiboymaster691
    @lechiboymaster6913 жыл бұрын

    Huyu JPM ni Rais liyekuwa anasubiliwa na wananchi hakika anajua

  • @damianmakala2913
    @damianmakala29133 жыл бұрын

    Mi kura yangu JPM baasi hakuna mwingine Zaid yake

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud90883 жыл бұрын

    Kazi imeisha hongera jpm

  • @stuwartsosthenes8946
    @stuwartsosthenes89463 жыл бұрын

    welldone/good job hon.jpm

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo21163 жыл бұрын

    22billion down to 4billion....what a big save of tax payers money 💪💪.

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91563 жыл бұрын

    Tutake nn tena watanzania vitu muhumu kwa watu ndo hivyo magufuli anazifanya leo mwehu mmoja anapotosha

  • @bongobongo1755
    @bongobongo17553 жыл бұрын

    ooooo! ndio zetu kazi tu, magu baba lao tafuta popote kama yeye, awa wengine bado wanakuna nazi

  • @hassanmpwepwe8258
    @hassanmpwepwe82583 жыл бұрын

    Jpm endelea kupiga bundasiliga 2mechewa sana miaka 5tena

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian96683 жыл бұрын

    Songoro marine awamu ya tano utapiga kazi hadi useme poo.

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle66353 жыл бұрын

    Hakuna raisi yeyote katika Afrika anayeahidi na kutimiza ahadi. Kwa nini asiendelee?Angela Merkel wa ujerumani amekaa madarakani miaka 20, na wengine wengi. Mendeleo ni maamuzi. Tupange na tuchague. Imechukua miaka 30 ya pata potea kumpata huyu. Bado tunamhitaji. ni maoni yangu.

  • @somalitwinsbro4462
    @somalitwinsbro44623 жыл бұрын

    Hello sisi ni mapacha pls subscribe to our channel 🙏🙏

Келесі