AGGREY MWANRI NA SHAVU LA UBALOZI "LIWALO NA LIWE"

Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambaye kwa sasa ni Balozi wa zao la Pamba Agrey Mwanri akiwa Wilayani Busega Mkoa wa Simiyu kinapotekelezwa kilimo cha pamna kwa kiwango kikubwa ametoa mafunzo kwa wadau kujadiliana namna ya utekelezaji wa agizo la Serikali la kuzalisha tani laki tano kwa Mkoa wa Simiyu.

Пікірлер: 43

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Matunda ya viongozi waliojengeka uzalendo. Hongera RC mstaafu mzee wa "White Gold Pamba". Hongera Balozi Mwanri.

  • @ismailothman8063
    @ismailothman80633 жыл бұрын

    Aanayekumbuka soma hiyooooo gonga like yako hapa

  • @augustinomigilimo6093
    @augustinomigilimo60933 жыл бұрын

    A father of Public Administration #GeniusMwanry

  • @platnumzkawiche1861
    @platnumzkawiche18613 жыл бұрын

    mwanri back again tulikumiss mzee wetu

  • @binurusm8886
    @binurusm88863 жыл бұрын

    Liwalo Na Liwe na Pamba inafia hapo, Sukuma Ndani, Soma hiyo, Tunakukumbuka kwa Utendaji wako wa kazi Mh. Mwanri, Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza.

  • @focuseric4109
    @focuseric41093 жыл бұрын

    nimefurai sana sana kurudi kutumika kama balozi wa pamba tume ku miss sana sana!!😂😂😂😂😂,soma iyoooooo!!!

  • @honestytimber956
    @honestytimber9563 жыл бұрын

    Bora umerud mzee baba

  • @veronicambunda
    @veronicambunda3 жыл бұрын

    💪💪kiongozi ,,,,,nakukubali Sana 😂😂😂

  • @piusjuma4864
    @piusjuma48643 жыл бұрын

    😂😂😂😂 mwaniri kiongozi wangu bora muda ote

  • @joycephillip8926
    @joycephillip89263 жыл бұрын

    Nchi ilizizima kwa ukimya wako mheshimiwa

  • @khadijakiba3587
    @khadijakiba35873 жыл бұрын

    Soma ngap huko🤣🤣🤣🤣daah baba jmni

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 жыл бұрын

    Ohooo ninakukumbuka sana MKUU, MUNGU AKULINDE AFYA AKUPE MAONO MENGI NA KAZI ZAKO SIKU ZOTE NI PAMOJA NA KUELIMISHA VEMA WATU RIKA ZOTE, ARUSHA JIJI INAKUKUMBUKA SANA, UPANDAJI MITI, BUCHA ZOTE ZA NYAMA , KUTOKUOSHA MAGARI MTONI, NA MENGI MENGI MAZYRI. HONGERA SAAAAAANA BOSS WANGU.

  • @jomba6514
    @jomba65143 жыл бұрын

    Baba wewe ni kiongozi kabisa chapa kazi

  • @alfinmbilinyi1326
    @alfinmbilinyi13263 жыл бұрын

    Tabora wamekumiss Sana mzee mwamri!mungu akubariki Sana!

  • @joshuawenje2365
    @joshuawenje23653 жыл бұрын

    Baba yangu niliumia sana ulivyo sitafu kwa uongozi wako bora maana bado uko na nguvu ya kujenga taifa ila saivi nimefurahi kurudi tena msimamo wako nimeupenda

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha63133 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣mzee wa Toronto

  • @ayubumoha6313

    @ayubumoha6313

    3 жыл бұрын

    @Esperance Sumaili 😂😂

  • @medlucas5686
    @medlucas56863 жыл бұрын

    Asnte piga kaz nilikumic

  • @suleimansalim7194
    @suleimansalim71943 жыл бұрын

    NIPE NUMBER YAKO,

  • @vipajihalisi376
    @vipajihalisi3763 жыл бұрын

    Injinia soma hiyo

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup683 жыл бұрын

    Safi balozi chapa kazi

  • @mootelahamongus633
    @mootelahamongus6333 жыл бұрын

    Sukuma Ndani

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini6453 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣mzee noma sana pamba

  • @afrahrajab5747
    @afrahrajab57473 жыл бұрын

    Chuma kimerudi tena hewani

  • @fatemaligalawa1918
    @fatemaligalawa19182 жыл бұрын

    Anastahili Saana Ubolozi 🤲🤲🤲

  • @frankkaijage9726
    @frankkaijage97263 жыл бұрын

    Nimefurahi sana .Mungu akulinde mzee wetu.

  • @kelvinmgendwa477

    @kelvinmgendwa477

    3 жыл бұрын

    Soma hiyoooo

  • @emmanuelademba7919
    @emmanuelademba79192 жыл бұрын

    Mkulima "KOMAAA NA PAMBA IYOOOO" dah! angalau tuwe tunamuona kwenye social media, huyu ni mtu muhimu sana katika nchi hii.

  • @leskarmeikok8956
    @leskarmeikok89563 жыл бұрын

    Mze wa pima hiyooo amerudi

  • @hjhj6230

    @hjhj6230

    3 жыл бұрын

    😃😃

  • @rosewilson1260
    @rosewilson12603 жыл бұрын

    Safi kabisa

  • @johnmwangove9928
    @johnmwangove99283 жыл бұрын

    Jamani sisi bodi ya kahawa mbona kimya?

  • @emmanueljohn5162
    @emmanueljohn51623 жыл бұрын

    Liwalo ma liwe

  • @lemburismolle4481

    @lemburismolle4481

    2 жыл бұрын

    Samiya vp Hy cy nafasi sahihi kwa uyo bwana mubandishe

  • @mereyamhomesmariamhomes3464
    @mereyamhomesmariamhomes34642 жыл бұрын

    Natamani baada ya miaka 5 huyu baba awe Rais wa Tz

  • @ignasiissaya1718
    @ignasiissaya17183 жыл бұрын

    nawaza hapa kimya kimya huyu mzee tukimpa nchi wale waliopandisha makato ya nchi kwenye huduma za miamala ya Cm sijuo watakua na hali ganii hii chata kila nikiiona na kuisikia ikiongea namkumbuka JPM daaa

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Wasikopwe na pamba isiuzwe ghafi nje. Marobota ya pamba marufuku bandari na boda zote. Tuchakate pamba ya Tz.

  • @mabaujames3632
    @mabaujames36323 жыл бұрын

    Nc

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo53703 жыл бұрын

    Hahaaaa jifanye Kama unajikuna

  • @haidarymwansumbule1882
    @haidarymwansumbule18823 жыл бұрын

    Soma iyoooooooooooo

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup683 жыл бұрын

    Comerdian

  • @kelvinmgendwa477
    @kelvinmgendwa4773 жыл бұрын

    Kumekucha