AGGREY MWANRI NA SHAVU LA UBALOZI "LIWALO NA LIWE"
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambaye kwa sasa ni Balozi wa zao la Pamba Agrey Mwanri akiwa Wilayani Busega Mkoa wa Simiyu kinapotekelezwa kilimo cha pamna kwa kiwango kikubwa ametoa mafunzo kwa wadau kujadiliana namna ya utekelezaji wa agizo la Serikali la kuzalisha tani laki tano kwa Mkoa wa Simiyu.
Пікірлер: 43
Matunda ya viongozi waliojengeka uzalendo. Hongera RC mstaafu mzee wa "White Gold Pamba". Hongera Balozi Mwanri.
Aanayekumbuka soma hiyooooo gonga like yako hapa
A father of Public Administration #GeniusMwanry
mwanri back again tulikumiss mzee wetu
Liwalo Na Liwe na Pamba inafia hapo, Sukuma Ndani, Soma hiyo, Tunakukumbuka kwa Utendaji wako wa kazi Mh. Mwanri, Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza.
nimefurai sana sana kurudi kutumika kama balozi wa pamba tume ku miss sana sana!!😂😂😂😂😂,soma iyoooooo!!!
Bora umerud mzee baba
💪💪kiongozi ,,,,,nakukubali Sana 😂😂😂
😂😂😂😂 mwaniri kiongozi wangu bora muda ote
Nchi ilizizima kwa ukimya wako mheshimiwa
Soma ngap huko🤣🤣🤣🤣daah baba jmni
Ohooo ninakukumbuka sana MKUU, MUNGU AKULINDE AFYA AKUPE MAONO MENGI NA KAZI ZAKO SIKU ZOTE NI PAMOJA NA KUELIMISHA VEMA WATU RIKA ZOTE, ARUSHA JIJI INAKUKUMBUKA SANA, UPANDAJI MITI, BUCHA ZOTE ZA NYAMA , KUTOKUOSHA MAGARI MTONI, NA MENGI MENGI MAZYRI. HONGERA SAAAAAANA BOSS WANGU.
Baba wewe ni kiongozi kabisa chapa kazi
Tabora wamekumiss Sana mzee mwamri!mungu akubariki Sana!
Baba yangu niliumia sana ulivyo sitafu kwa uongozi wako bora maana bado uko na nguvu ya kujenga taifa ila saivi nimefurahi kurudi tena msimamo wako nimeupenda
🤣🤣🤣🤣mzee wa Toronto
@ayubumoha6313
3 жыл бұрын
@Esperance Sumaili 😂😂
Asnte piga kaz nilikumic
NIPE NUMBER YAKO,
Injinia soma hiyo
Safi balozi chapa kazi
Sukuma Ndani
🤣🤣🤣🤣🤣mzee noma sana pamba
Chuma kimerudi tena hewani
Anastahili Saana Ubolozi 🤲🤲🤲
Nimefurahi sana .Mungu akulinde mzee wetu.
@kelvinmgendwa477
3 жыл бұрын
Soma hiyoooo
Mkulima "KOMAAA NA PAMBA IYOOOO" dah! angalau tuwe tunamuona kwenye social media, huyu ni mtu muhimu sana katika nchi hii.
Mze wa pima hiyooo amerudi
@hjhj6230
3 жыл бұрын
😃😃
Safi kabisa
Jamani sisi bodi ya kahawa mbona kimya?
Liwalo ma liwe
@lemburismolle4481
2 жыл бұрын
Samiya vp Hy cy nafasi sahihi kwa uyo bwana mubandishe
Natamani baada ya miaka 5 huyu baba awe Rais wa Tz
nawaza hapa kimya kimya huyu mzee tukimpa nchi wale waliopandisha makato ya nchi kwenye huduma za miamala ya Cm sijuo watakua na hali ganii hii chata kila nikiiona na kuisikia ikiongea namkumbuka JPM daaa
Wasikopwe na pamba isiuzwe ghafi nje. Marobota ya pamba marufuku bandari na boda zote. Tuchakate pamba ya Tz.
Nc
Hahaaaa jifanye Kama unajikuna
Soma iyoooooooooooo
Comerdian
Kumekucha