Abby Chams afunguka kushirikishwa na Ray Vanny, alichoambiwa studio na Harmonize, kutumbuiza Dubai
Ойын-сауық
May 7 mwaka huu Abby Chams (Abigail) ametimiza umri wa miaka 19. Anaelezea mwaka huu umekuaje kwake na mengi aliyofanya ikiwemo kushirikishwa na Ray Vanny, Harmonize na wengine
Пікірлер: 98
I love her, she's going places. She's already a star. She knows what she's doing. I like how she involves her family in what she's doing
Nadhani SNS mjaribu kuweka kipindi ambacho unaongea kingereza na watu kama hawa. Kwakua naona tanzania Kuna lugha mpya inaitwa Swanglish.
@RamazaniMulongeca
2 жыл бұрын
Hichi ndo kipindi chenyewe bro..😂😂
@leylaiddy5815
2 жыл бұрын
Na hapo kajitaid kuongea kiswanglish. Interview zingine naona km alikuwa akipata tabu kuongea hata hiyo swanglish
Abigail ni jina lenye kibali na akili njema ukisoma biblia 1 Samweli 25:20 utaona jinsi Abigail wa wakati huo alivyokuwa na kibali hekima na akili njema.Ndivyo atakavyokuwa huyu dada she will continue to shine and shine cz jina la mtu linabeba destiny pia.
Sijui kwa nn Huwa naona hiki ninachokiona kwa huyu binti. Mungu amtunzie hiki kitu maana ni kizuri na atakuwa mtu mkubwa mno siku za usoni iwe ktk music ama ktk serikal.
@asanteoriginal6938
2 жыл бұрын
🤣🤣
Daah yaan napenda kuangalia interview za huyu dada lazima upate kitu hujutii haki 🙏✨🙏
Huyu dada ni mzuri sana ingefaa akuwe model
I like her confidence,maturity,beauty with brains,,perfect English 🥰
Ni mtt mzuri msomi anajuwa kutafuta na ana avidence ktk maongezi
@mandelanelson7106
2 жыл бұрын
Sio kama akina Mwijaku
She's amazing
Abby chams ana speed ya kuongea kama cherehan
Mashallah voice actor English very good
duuu anaongea kama kameza redio ya gwajima 😁😁🤣
@dorisfabian4776
2 жыл бұрын
Hahahaha
Huyu hapotez hata second moja ana speed hatare
Uyu dada nampenda Sana Mwenyezi Mungu azidi kumlinda popot alipo .
natamani siku itokee wamefanya collabo na ZUCHU
Anajua kujieleza sana mpaka raha
Anaongea kama cherehn
@scholahmwelange1406
2 жыл бұрын
🤣🤣
Da hongera sna ,kama utaweza kuutunza usichana wako ,ukakaambali na mambo ya mapenzi utafika mbali,wenzio wenye umli kama wako wengi wamekimbilia mapenzi na mastaa wakubwa,kiki za kijinga na mwisho wameishiwa kuchezewa na kufilisika kabisa kimziki, MUNGU akusimamie lkn Shetani nae Yuko kazini ,kupanga nikuchagua ,
#Abby anaji-explain utafikiri Ni job interview..😂😂😂😂
@Abbychams amefanana na Vanessa Bell Yule demu ambae Eddy Murphy alimkataa kumuoa katika Movie ya @Coming_to_America
Kiswahili chake na rafudhi yake ni kama sio Kiswahili chetu cha bongo....ila yuko vizuri
Naic hata mtangazaji unaachwa siyokwa speed hiyo ya kuongea 😂😂
Watanzania tunalea na kukuza wamarekani nyumbani mwetu, dunia haijajaa marekani tu!! Hata Vanessa alikua hivi mwanzoni.
@lightnesselirehema1464
2 жыл бұрын
😀😀😀
@ahz6907
2 жыл бұрын
Ni kinyume chake...wale unaowaona kule marekani babu zao walikuwa watumwa
Anaongea Kama ametafuna pilipili😀😀😀😀😀😀
@hieljoe1017
2 жыл бұрын
😀😀😀😀
@shangwefisima3993
2 жыл бұрын
😂😂😀 nimecheka Kwa sauti
@ARAFATVSHOW
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@khalidseif8402
2 жыл бұрын
😂😂😂
Daah mbona anaongea kama amemeza kaset hana step
Waaah she talk alot uuuwiiiiiiiii
Cute girl
😂😅😃😆 blaaa blaa mingi mtoto wa kikee mmh! Kama cherahani
Anajua san kujieleza ila sasa kanaongea kam redio mbao
I would wish working with her😜🎶✳️
Huyu dada ana jielewa hadi nina ogopa aisee huyu siyo mtu wa kum tongoza tuu aku kubali 😂
Sky mbona sijawahi kukuona ukimufanyia intavyuuu jmn tunatani jmn kumuona ukimuhoji
😀😀😀😀😀unaongea sana naona kama cjashika hata moja.😀😀😀😀
Karembo kweli haka
Nikiki.tena
Ameingia kwenye circular music amemuacha Yesu
@hieljoe1017
2 жыл бұрын
Hiki ndio kinanisikitisha binafsi
@yunusrnb5227
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@angelageofrey9756
2 жыл бұрын
Heeee kwani kuingia kwa mziki ndio kumwacha yesu 😲 acha kuchanganya mambo
@hieljoe1017
2 жыл бұрын
@@angelageofrey9756 nafikiri iko waz bint kutoka kumuimbia Mungu hadi kuiburudisha dunia ni kumuacha Mungu.Mungu hachanganywi ndugu yangu.
Muhanga saana uyu binti MUNGU akusaidiye kwa kipaji cako 🙏🙏
Uyu anakaagaa kama si mtz og,,, the way she's speaking,,,and anaongeagaa hataree duh 🙆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ni kama amekulagaa khat!🙊
@messaabbas739
2 жыл бұрын
@Humai_d8 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aisee,,,,ni shiidaa
@catherinewilliam6841
2 жыл бұрын
@Humai_d8 ni mbondei sema ni wa kishua kasoma zile international schools
@africanbeadwork9434
2 жыл бұрын
@Humai_d8 ni mtanzania huyo kasomea shule za intrnational kwao wana hela sanaa
Biblia na umevaa uchi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
Yan mbk anamaliz sjaelewa kitu wala kusikia eti anasema nini vile😀😀
@rachelphilbert7394
2 жыл бұрын
Hahaha
@lucylucy3678
2 жыл бұрын
@@rachelphilbert7394 kweli sas amekuwa ameshaanz mambo yak
Dd tulia bc kuongea wallau kidg tuelew hicho kinger mfyuuu
Tatizo anahisi alishakua star
@ahz6907
2 жыл бұрын
Think BIG start small
Yani huyu binti mtu ataebahatika kuwa mume wake atastarehe
@christianluvanga7515
2 жыл бұрын
Ni mimi apa naomba mniombee
@ahz6907
2 жыл бұрын
Kivipi?
Abby hebu jaribu kuongea taratibu. Unaongea sanaaa... Jitahidi kuongea vizur km unagombana na mtu. Hata pumz uvut jamani
@nanaritho6850
2 жыл бұрын
Ndiyo mtakoma umbea🤣🤣🤣
@rachelphilbert7394
2 жыл бұрын
Nina zani ni athiri yake huyu na anaongea ka mkenya hivi
@jenivagosbert7632
Жыл бұрын
Ana akili nying ndo maana,safi Sana nampenda
@angelashitindi5427
10 ай бұрын
Ndo alivyoumbwa
Huyu kila mara anahojiwa hivi hakunaga wengine😌
@RamazaniMulongeca
2 жыл бұрын
Njoo nawewe uhojiwe basi😂😂
@scholahmwelange1406
2 жыл бұрын
Achen wivu kila mtu na nafas yake
@aminahassan8292
Жыл бұрын
Money talks
My dear ongea kwa kituo ili tuelewe unaco kiongea mana unarapua kwakwel 🤣🤣🤣
@barakakusa7606
2 жыл бұрын
Kweli Kuna muda anatuacha.
@mymunamymuna4807
2 жыл бұрын
Very smart girl❤❤👍
@millymack1370
2 жыл бұрын
Too bad u both r slow...it ain't her fault at all.
Duuh!Anaongea Kama Kapakwa Pilipili Kwa Matako
@angelageofrey9756
2 жыл бұрын
Wivu acha
@rachelexaut387
Жыл бұрын
Kwani anaongea kwa kutumia matako ila watu nao daaa
Huyu dada ni mtazania au na kama mtanzania kwanini hajui vizur kiswahili?
@leylaiddy5815
2 жыл бұрын
Kazaliwa mambele kakulia mambele.
@africanbeadwork9434
2 жыл бұрын
@@leylaiddy5815 we kazaliwa dar kasomea dar international school kuna interview kafanyiwa clouds akasema akiwa mdogo alianza kufundishwa kingereza nyumbani
Kwani huyo sio mkenya ama me ndiyo si elew
@africanbeadwork9434
2 жыл бұрын
Masai manyara uyo kazaliwa dar
@scholahmwelange1406
2 жыл бұрын
🤣🤣
English na speed yake ya kuongea ni hatari utadhani kawameza Obama na Michelle Obama.
@naimayussuf2502
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kibabysaid6692
2 жыл бұрын
😅😅😅😅jamani shikamoo @Mandela Nelson
@mandelanelson7106
2 жыл бұрын
@@kibabysaid6692 marahaba .huyu bintu anakutesa ukiwa wapi?
@scholahmwelange1406
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@kibabysaid6692
2 жыл бұрын
@Mandela Nelson ...mi npo qatar🇶🇦