Abby Chams afunguka kushirikishwa na Ray Vanny, alichoambiwa studio na Harmonize, kutumbuiza Dubai

Ойын-сауық

May 7 mwaka huu Abby Chams (Abigail) ametimiza umri wa miaka 19. Anaelezea mwaka huu umekuaje kwake na mengi aliyofanya ikiwemo kushirikishwa na Ray Vanny, Harmonize na wengine

Пікірлер: 98

  • @shirzn
    @shirzn2 жыл бұрын

    I love her, she's going places. She's already a star. She knows what she's doing. I like how she involves her family in what she's doing

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana62702 жыл бұрын

    Nadhani SNS mjaribu kuweka kipindi ambacho unaongea kingereza na watu kama hawa. Kwakua naona tanzania Kuna lugha mpya inaitwa Swanglish.

  • @RamazaniMulongeca

    @RamazaniMulongeca

    2 жыл бұрын

    Hichi ndo kipindi chenyewe bro..😂😂

  • @leylaiddy5815

    @leylaiddy5815

    2 жыл бұрын

    Na hapo kajitaid kuongea kiswanglish. Interview zingine naona km alikuwa akipata tabu kuongea hata hiyo swanglish

  • @sizyamigila7385
    @sizyamigila73852 жыл бұрын

    Abigail ni jina lenye kibali na akili njema ukisoma biblia 1 Samweli 25:20 utaona jinsi Abigail wa wakati huo alivyokuwa na kibali hekima na akili njema.Ndivyo atakavyokuwa huyu dada she will continue to shine and shine cz jina la mtu linabeba destiny pia.

  • @deusntobi1450
    @deusntobi14502 жыл бұрын

    Sijui kwa nn Huwa naona hiki ninachokiona kwa huyu binti. Mungu amtunzie hiki kitu maana ni kizuri na atakuwa mtu mkubwa mno siku za usoni iwe ktk music ama ktk serikal.

  • @asanteoriginal6938

    @asanteoriginal6938

    2 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @zuwenazuwena7764
    @zuwenazuwena77642 жыл бұрын

    Daah yaan napenda kuangalia interview za huyu dada lazima upate kitu hujutii haki 🙏✨🙏

  • @king-size8114
    @king-size81142 жыл бұрын

    Huyu dada ni mzuri sana ingefaa akuwe model

  • @lylyanefletcher6958
    @lylyanefletcher69582 жыл бұрын

    I like her confidence,maturity,beauty with brains,,perfect English 🥰

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud7632 жыл бұрын

    Ni mtt mzuri msomi anajuwa kutafuta na ana avidence ktk maongezi

  • @mandelanelson7106

    @mandelanelson7106

    2 жыл бұрын

    Sio kama akina Mwijaku

  • @millymack1370
    @millymack13702 жыл бұрын

    She's amazing

  • @nathanjunior7694
    @nathanjunior76942 жыл бұрын

    Abby chams ana speed ya kuongea kama cherehan

  • @king-size8114
    @king-size81142 жыл бұрын

    Mashallah voice actor English very good

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali84592 жыл бұрын

    duuu anaongea kama kameza redio ya gwajima 😁😁🤣

  • @dorisfabian4776

    @dorisfabian4776

    2 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @moviesandinfotv9933
    @moviesandinfotv99332 жыл бұрын

    Huyu hapotez hata second moja ana speed hatare

  • @kennyandrea8766
    @kennyandrea87662 жыл бұрын

    Uyu dada nampenda Sana Mwenyezi Mungu azidi kumlinda popot alipo .

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali84592 жыл бұрын

    natamani siku itokee wamefanya collabo na ZUCHU

  • @shokonamara8541
    @shokonamara85412 жыл бұрын

    Anajua kujieleza sana mpaka raha

  • @groveyagroya1280
    @groveyagroya12802 жыл бұрын

    Anaongea kama cherehn

  • @scholahmwelange1406

    @scholahmwelange1406

    2 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @akidajulius8397
    @akidajulius83972 жыл бұрын

    Da hongera sna ,kama utaweza kuutunza usichana wako ,ukakaambali na mambo ya mapenzi utafika mbali,wenzio wenye umli kama wako wengi wamekimbilia mapenzi na mastaa wakubwa,kiki za kijinga na mwisho wameishiwa kuchezewa na kufilisika kabisa kimziki, MUNGU akusimamie lkn Shetani nae Yuko kazini ,kupanga nikuchagua ,

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca2 жыл бұрын

    #Abby anaji-explain utafikiri Ni job interview..😂😂😂😂

  • @yunusrnb5227
    @yunusrnb52272 жыл бұрын

    @Abbychams amefanana na Vanessa Bell Yule demu ambae Eddy Murphy alimkataa kumuoa katika Movie ya @Coming_to_America

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi12472 жыл бұрын

    Kiswahili chake na rafudhi yake ni kama sio Kiswahili chetu cha bongo....ila yuko vizuri

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Жыл бұрын

    Naic hata mtangazaji unaachwa siyokwa speed hiyo ya kuongea 😂😂

  • @jmuhomeadi
    @jmuhomeadi2 жыл бұрын

    Watanzania tunalea na kukuza wamarekani nyumbani mwetu, dunia haijajaa marekani tu!! Hata Vanessa alikua hivi mwanzoni.

  • @lightnesselirehema1464

    @lightnesselirehema1464

    2 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @ahz6907

    @ahz6907

    2 жыл бұрын

    Ni kinyume chake...wale unaowaona kule marekani babu zao walikuwa watumwa

  • @cyrusharper2355
    @cyrusharper23552 жыл бұрын

    Anaongea Kama ametafuna pilipili😀😀😀😀😀😀

  • @hieljoe1017

    @hieljoe1017

    2 жыл бұрын

    😀😀😀😀

  • @shangwefisima3993

    @shangwefisima3993

    2 жыл бұрын

    😂😂😀 nimecheka Kwa sauti

  • @ARAFATVSHOW

    @ARAFATVSHOW

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @khalidseif8402

    @khalidseif8402

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @murtan5027
    @murtan50272 жыл бұрын

    Daah mbona anaongea kama amemeza kaset hana step

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r2 жыл бұрын

    Waaah she talk alot uuuwiiiiiiiii

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Cute girl

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g2 жыл бұрын

    😂😅😃😆 blaaa blaa mingi mtoto wa kikee mmh! Kama cherahani

  • @gloryjohn1746
    @gloryjohn17462 жыл бұрын

    Anajua san kujieleza ila sasa kanaongea kam redio mbao

  • @sinarikakka
    @sinarikakka Жыл бұрын

    I would wish working with her😜🎶✳️

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Huyu dada ana jielewa hadi nina ogopa aisee huyu siyo mtu wa kum tongoza tuu aku kubali 😂

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir92 жыл бұрын

    Sky mbona sijawahi kukuona ukimufanyia intavyuuu jmn tunatani jmn kumuona ukimuhoji

  • @BongoPlatformTv
    @BongoPlatformTv2 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀unaongea sana naona kama cjashika hata moja.😀😀😀😀

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49732 жыл бұрын

    Karembo kweli haka

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Жыл бұрын

    Nikiki.tena

  • @chapter2719
    @chapter27192 жыл бұрын

    Ameingia kwenye circular music amemuacha Yesu

  • @hieljoe1017

    @hieljoe1017

    2 жыл бұрын

    Hiki ndio kinanisikitisha binafsi

  • @yunusrnb5227

    @yunusrnb5227

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @angelageofrey9756

    @angelageofrey9756

    2 жыл бұрын

    Heeee kwani kuingia kwa mziki ndio kumwacha yesu 😲 acha kuchanganya mambo

  • @hieljoe1017

    @hieljoe1017

    2 жыл бұрын

    @@angelageofrey9756 nafikiri iko waz bint kutoka kumuimbia Mungu hadi kuiburudisha dunia ni kumuacha Mungu.Mungu hachanganywi ndugu yangu.

  • @charlesmatesorehani5012
    @charlesmatesorehani50122 жыл бұрын

    Muhanga saana uyu binti MUNGU akusaidiye kwa kipaji cako 🙏🙏

  • @messaabbas739
    @messaabbas7392 жыл бұрын

    Uyu anakaagaa kama si mtz og,,, the way she's speaking,,,and anaongeagaa hataree duh 🙆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ni kama amekulagaa khat!🙊

  • @messaabbas739

    @messaabbas739

    2 жыл бұрын

    @Humai_d8 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aisee,,,,ni shiidaa

  • @catherinewilliam6841

    @catherinewilliam6841

    2 жыл бұрын

    @Humai_d8 ni mbondei sema ni wa kishua kasoma zile international schools

  • @africanbeadwork9434

    @africanbeadwork9434

    2 жыл бұрын

    @Humai_d8 ni mtanzania huyo kasomea shule za intrnational kwao wana hela sanaa

  • @daluckyFinancialServices
    @daluckyFinancialServices2 жыл бұрын

    Biblia na umevaa uchi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @lucylucy3678
    @lucylucy36782 жыл бұрын

    Yan mbk anamaliz sjaelewa kitu wala kusikia eti anasema nini vile😀😀

  • @rachelphilbert7394

    @rachelphilbert7394

    2 жыл бұрын

    Hahaha

  • @lucylucy3678

    @lucylucy3678

    2 жыл бұрын

    @@rachelphilbert7394 kweli sas amekuwa ameshaanz mambo yak

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu95872 жыл бұрын

    Dd tulia bc kuongea wallau kidg tuelew hicho kinger mfyuuu

  • @alantonio855
    @alantonio8552 жыл бұрын

    Tatizo anahisi alishakua star

  • @ahz6907

    @ahz6907

    2 жыл бұрын

    Think BIG start small

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud7632 жыл бұрын

    Yani huyu binti mtu ataebahatika kuwa mume wake atastarehe

  • @christianluvanga7515

    @christianluvanga7515

    2 жыл бұрын

    Ni mimi apa naomba mniombee

  • @ahz6907

    @ahz6907

    2 жыл бұрын

    Kivipi?

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba70852 жыл бұрын

    Abby hebu jaribu kuongea taratibu. Unaongea sanaaa... Jitahidi kuongea vizur km unagombana na mtu. Hata pumz uvut jamani

  • @nanaritho6850

    @nanaritho6850

    2 жыл бұрын

    Ndiyo mtakoma umbea🤣🤣🤣

  • @rachelphilbert7394

    @rachelphilbert7394

    2 жыл бұрын

    Nina zani ni athiri yake huyu na anaongea ka mkenya hivi

  • @jenivagosbert7632

    @jenivagosbert7632

    Жыл бұрын

    Ana akili nying ndo maana,safi Sana nampenda

  • @angelashitindi5427

    @angelashitindi5427

    10 ай бұрын

    Ndo alivyoumbwa

  • @rukiaissa5180
    @rukiaissa51802 жыл бұрын

    Huyu kila mara anahojiwa hivi hakunaga wengine😌

  • @RamazaniMulongeca

    @RamazaniMulongeca

    2 жыл бұрын

    Njoo nawewe uhojiwe basi😂😂

  • @scholahmwelange1406

    @scholahmwelange1406

    2 жыл бұрын

    Achen wivu kila mtu na nafas yake

  • @aminahassan8292

    @aminahassan8292

    Жыл бұрын

    Money talks

  • @zou7470
    @zou74702 жыл бұрын

    My dear ongea kwa kituo ili tuelewe unaco kiongea mana unarapua kwakwel 🤣🤣🤣

  • @barakakusa7606

    @barakakusa7606

    2 жыл бұрын

    Kweli Kuna muda anatuacha.

  • @mymunamymuna4807

    @mymunamymuna4807

    2 жыл бұрын

    Very smart girl❤❤👍

  • @millymack1370

    @millymack1370

    2 жыл бұрын

    Too bad u both r slow...it ain't her fault at all.

  • @amoury1481
    @amoury14812 жыл бұрын

    Duuh!Anaongea Kama Kapakwa Pilipili Kwa Matako

  • @angelageofrey9756

    @angelageofrey9756

    2 жыл бұрын

    Wivu acha

  • @rachelexaut387

    @rachelexaut387

    Жыл бұрын

    Kwani anaongea kwa kutumia matako ila watu nao daaa

  • @nasiryabdala2692
    @nasiryabdala26922 жыл бұрын

    Huyu dada ni mtazania au na kama mtanzania kwanini hajui vizur kiswahili?

  • @leylaiddy5815

    @leylaiddy5815

    2 жыл бұрын

    Kazaliwa mambele kakulia mambele.

  • @africanbeadwork9434

    @africanbeadwork9434

    2 жыл бұрын

    @@leylaiddy5815 we kazaliwa dar kasomea dar international school kuna interview kafanyiwa clouds akasema akiwa mdogo alianza kufundishwa kingereza nyumbani

  • @king-size8114
    @king-size81142 жыл бұрын

    Kwani huyo sio mkenya ama me ndiyo si elew

  • @africanbeadwork9434

    @africanbeadwork9434

    2 жыл бұрын

    Masai manyara uyo kazaliwa dar

  • @scholahmwelange1406

    @scholahmwelange1406

    2 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @mandelanelson7106
    @mandelanelson71062 жыл бұрын

    English na speed yake ya kuongea ni hatari utadhani kawameza Obama na Michelle Obama.

  • @naimayussuf2502

    @naimayussuf2502

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kibabysaid6692

    @kibabysaid6692

    2 жыл бұрын

    😅😅😅😅jamani shikamoo @Mandela Nelson

  • @mandelanelson7106

    @mandelanelson7106

    2 жыл бұрын

    @@kibabysaid6692 marahaba .huyu bintu anakutesa ukiwa wapi?

  • @scholahmwelange1406

    @scholahmwelange1406

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @kibabysaid6692

    @kibabysaid6692

    2 жыл бұрын

    @Mandela Nelson ...mi npo qatar🇶🇦

Келесі