AALIYAH KUONGEZA SHEPU ?! LULU DIVA KU-CHEAT NA WIVU WA MC GARA B - HELLO MR. RIGHT

Ойын-сауық

►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Пікірлер: 32

  • @scholagichana300
    @scholagichana3006 ай бұрын

    I wish ningekua hapo🎉nawapenda sana kutoka 🇰🇪🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 ❤❤❤

  • @JoiceWanjiku-to6nl

    @JoiceWanjiku-to6nl

    3 ай бұрын

    Nawapenda aki

  • @neemageorgesanga4276
    @neemageorgesanga42766 ай бұрын

    Mungu awatangulie daima but ata wangekua wanavaa vizuri nguo yenye stara kama jweli mke wa mtu mtarajiwa asa magoti yotee njee jaman some time ata mr right kukataliwa anafurahi mnoo mana anaoba tú huyu hapana wameniokoa mana huenda ukarnda ukweni likakupata jambo userious wa ndoa uwepo akina dada hiyo sio maigizo yasijetokea ya kutokea

  • @user-fo8yc8xo8s

    @user-fo8yc8xo8s

    6 ай бұрын

    Bora wavae Ivo wakivaa nguo ndefu utashangaa unavamia mtu mwenyewe mangeu makovu miguu Kama spoke Yani ukajutw

  • @sofiasophia9018
    @sofiasophia90186 ай бұрын

    Ila lulu umezidi kuvaa nguo fupi nakuonyesha mapaja haipendezi hivyo mtoto wakike ficha maumbile yako

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40546 ай бұрын

    Nipo makini kwa program yenu kutoka Athens upo vizuri sana mungu Akubarikini kwa super program ❤

  • @sambicharles3378
    @sambicharles33783 ай бұрын

    Nakupendaga sana aliah sana sana t

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila2926 ай бұрын

    Huyu bwana anauliza maswali ya udhalilishaji kwa wanawake, rubish. nywele na vigodoro, si sehemu ya show!!!

  • @januarioernesto1972
    @januarioernesto19726 ай бұрын

    Florah mzuri, nankalibisha Mozambique 🇲🇿

  • @user-gq5yd2hh5j
    @user-gq5yd2hh5j4 ай бұрын

    Nawapenda buree🎉 4:03 4:03

  • @Tiffany340
    @Tiffany3406 ай бұрын

    Tangu lini shepu ya kichaga inakubali mlogazira 😂😂 waho c wa miguu wala trakoo

  • @JudyLee-hf9cy

    @JudyLee-hf9cy

    6 ай бұрын

    Na wala cyo mchaga huyo

  • @emmaculatebarasa4609
    @emmaculatebarasa46096 ай бұрын

    Sautiiii

  • @alimakame6807
    @alimakame68075 ай бұрын

    Gara b , wacha maswali rabish

  • @JosephMpondaTz
    @JosephMpondaTz6 ай бұрын

    Me nimemuelewa saaana dayana nasijui kwanini Hadi sasa yupo ❤❤❤

  • @sidikassim6759
    @sidikassim67596 ай бұрын

    Anglia hvyo vinguo jamanii atarii

  • @user-no8mp7yg1m
    @user-no8mp7yg1m5 ай бұрын

    Kwahiyo uturuki tusiende kuuliza tuu😂

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np6 ай бұрын

    Shep haimat humata Mambo mnavaa nusu uchi unategemea update mume utaoata gumegume

  • @benkare7194
    @benkare71944 ай бұрын

    Mimi ni Ben natokea Kenya, napenda sana Aaliyah jinsi alivyo comment kuhusu nyash yani ningekuwa karibu ningempeleka tour kwa bill yangu😂

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji58696 ай бұрын

    Huyu Aliya Hana hata mpango WA kunyang'anyana li Diamond

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila45726 ай бұрын

    Nivibaya ukimroga waweza muuwa

  • @hassansammy1076
    @hassansammy10766 ай бұрын

    Warembo niwengi

  • @jacobjb4515
    @jacobjb45156 ай бұрын

    Tatizo mnaongea sanaa vitu sio vya msingi

  • @BerylSeer1

    @BerylSeer1

    6 ай бұрын

    Wanajishusha thamani sijapenda

  • @benkare7194
    @benkare71944 ай бұрын

    Aaliyah ni mrembo kiukweli

  • @sheikhadnandjuma9780
    @sheikhadnandjuma97805 ай бұрын

    Aliyah Diva nyote niwarembo kwani Nyashi kazi yake nigani kama nisoyo kutowa haja kubwa kwa tumbo acheneni na hawo ambawo wanavo sema kwamba big nyashi ni Irembo

  • @naswiheart5687
    @naswiheart56874 ай бұрын

    Yaani Aaliyah nimekupenda bure kujiamini kunabeba taswira nzima ya wewe ulivyo

  • @zmccenter123
    @zmccenter1236 ай бұрын

    Mbn nywele za bandia kama kweli umerizika na ulivyozaliwa aliyah,ukiach ivy mamekup n vitu tele mnawek kiufup hakun mwanamke atakaerizik alivyoumbwa labd awe ni mtu wa dini haswa waislam ila wakristo ndipo wanaposuka nywele haswa

  • @marklaire8880

    @marklaire8880

    6 ай бұрын

    Nywele Ni upodozi ndugu yangu,,huwe linganisha na kuongeza shepu,,hivyo wewe hapo upaki mafuta???

  • @zmccenter123

    @zmccenter123

    6 ай бұрын

    @@marklaire8880 kujipaka mafuta pia inategemea ni mafuta gan km ni mafuta tu y kawaid bc n saw n kuvaa nguo t wala haifanan n kubandika nywele sabab kujipak mafut y kawaid haitobadilish rang kutok nyeus kuwa nyeup ila kubandik nywele maan umetok kwenye hatua moj kwend nyengine. Hata hizo nguo kiimani pia zina mipak yake kuna dini zinakubal nguo fulan nyengin fulan hii inaonesha ni namn gan uvae nguo ambay haikutoi kwenye imani yako.

  • @nacmahassan7554

    @nacmahassan7554

    6 ай бұрын

    So Kila mtu anapenda kujiongeza

  • @vicentjulius
    @vicentjulius6 ай бұрын

    Ila watangazaji wa kike ipo siku watakuja wamevaa chupi tu kwa mavazi hayo mmmh! Mbona Gara B anavaa vizuri tu kiheshima na anapendeza.

Келесі