AALIYAH KUONGEZA SHEPU ?! LULU DIVA KU-CHEAT NA WIVU WA MC GARA B - HELLO MR. RIGHT
Ойын-сауық
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Пікірлер: 32
I wish ningekua hapo🎉nawapenda sana kutoka 🇰🇪🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 ❤❤❤
@JoiceWanjiku-to6nl
3 ай бұрын
Nawapenda aki
Mungu awatangulie daima but ata wangekua wanavaa vizuri nguo yenye stara kama jweli mke wa mtu mtarajiwa asa magoti yotee njee jaman some time ata mr right kukataliwa anafurahi mnoo mana anaoba tú huyu hapana wameniokoa mana huenda ukarnda ukweni likakupata jambo userious wa ndoa uwepo akina dada hiyo sio maigizo yasijetokea ya kutokea
@user-fo8yc8xo8s
6 ай бұрын
Bora wavae Ivo wakivaa nguo ndefu utashangaa unavamia mtu mwenyewe mangeu makovu miguu Kama spoke Yani ukajutw
Ila lulu umezidi kuvaa nguo fupi nakuonyesha mapaja haipendezi hivyo mtoto wakike ficha maumbile yako
Nipo makini kwa program yenu kutoka Athens upo vizuri sana mungu Akubarikini kwa super program ❤
Nakupendaga sana aliah sana sana t
Huyu bwana anauliza maswali ya udhalilishaji kwa wanawake, rubish. nywele na vigodoro, si sehemu ya show!!!
Florah mzuri, nankalibisha Mozambique 🇲🇿
Nawapenda buree🎉 4:03 4:03
Tangu lini shepu ya kichaga inakubali mlogazira 😂😂 waho c wa miguu wala trakoo
@JudyLee-hf9cy
6 ай бұрын
Na wala cyo mchaga huyo
Sautiiii
Gara b , wacha maswali rabish
Me nimemuelewa saaana dayana nasijui kwanini Hadi sasa yupo ❤❤❤
Anglia hvyo vinguo jamanii atarii
Kwahiyo uturuki tusiende kuuliza tuu😂
Shep haimat humata Mambo mnavaa nusu uchi unategemea update mume utaoata gumegume
Mimi ni Ben natokea Kenya, napenda sana Aaliyah jinsi alivyo comment kuhusu nyash yani ningekuwa karibu ningempeleka tour kwa bill yangu😂
Huyu Aliya Hana hata mpango WA kunyang'anyana li Diamond
Nivibaya ukimroga waweza muuwa
Warembo niwengi
Tatizo mnaongea sanaa vitu sio vya msingi
@BerylSeer1
6 ай бұрын
Wanajishusha thamani sijapenda
Aaliyah ni mrembo kiukweli
Aliyah Diva nyote niwarembo kwani Nyashi kazi yake nigani kama nisoyo kutowa haja kubwa kwa tumbo acheneni na hawo ambawo wanavo sema kwamba big nyashi ni Irembo
Yaani Aaliyah nimekupenda bure kujiamini kunabeba taswira nzima ya wewe ulivyo
Mbn nywele za bandia kama kweli umerizika na ulivyozaliwa aliyah,ukiach ivy mamekup n vitu tele mnawek kiufup hakun mwanamke atakaerizik alivyoumbwa labd awe ni mtu wa dini haswa waislam ila wakristo ndipo wanaposuka nywele haswa
@marklaire8880
6 ай бұрын
Nywele Ni upodozi ndugu yangu,,huwe linganisha na kuongeza shepu,,hivyo wewe hapo upaki mafuta???
@zmccenter123
6 ай бұрын
@@marklaire8880 kujipaka mafuta pia inategemea ni mafuta gan km ni mafuta tu y kawaid bc n saw n kuvaa nguo t wala haifanan n kubandika nywele sabab kujipak mafut y kawaid haitobadilish rang kutok nyeus kuwa nyeup ila kubandik nywele maan umetok kwenye hatua moj kwend nyengine. Hata hizo nguo kiimani pia zina mipak yake kuna dini zinakubal nguo fulan nyengin fulan hii inaonesha ni namn gan uvae nguo ambay haikutoi kwenye imani yako.
@nacmahassan7554
6 ай бұрын
So Kila mtu anapenda kujiongeza
Ila watangazaji wa kike ipo siku watakuja wamevaa chupi tu kwa mavazi hayo mmmh! Mbona Gara B anavaa vizuri tu kiheshima na anapendeza.