9. Chuki Zinapaliliwa Zanzibar

Sheikh Ali Muhsin anaeleza mbinu za Wangereza kujenga na kupalilia chuki za siasa visiwani Zanzibar.
Anahojiwa na Profesa Ibrahim Noor.

Пікірлер: 5

  • @rashidseif6103
    @rashidseif61037 жыл бұрын

    Babu tuandikie kitabu cha history ya Zanzibar,maana hadi leo hii CCM wanatupotosha juu ya kuijua history ya visiwa vyetu viwili Unguja na Pemba.

  • @hajimakame1062
    @hajimakame10624 жыл бұрын

    Sante sana mzee ukweli hua hufichiki mzee

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 Жыл бұрын

    Haya mambo tangu zamani kumbeee

  • @ludacrissrangiyabank3737
    @ludacrissrangiyabank37375 жыл бұрын

    Tumeipenda washatudanganya sana

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    2 жыл бұрын

    Unafiki wazanzibari wenyewe walipoteza nchi yao wakatoka kwa himaya ya wa koloni wakaengia katika ukoloni ya tanganika yani wa zanzibari mpaka hii leo wanachapwa kama watoto