5 - OMBA MUNGU IMANI YAKO ILINDWE UNAPOPITA KATIKA MAJARIBU || Mwl Christopher Mwakasege || DODOMA
Semina ya Neno la Mungu Dodoma Tarehe 21 Aprili 2024 || Day 5
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Пікірлер: 27
Somo hili ni la kwangu napita katika jaribu kubwa la Mtoto miaka mitatu, nimeomba kila aina ya maombi sadaka kula mfungo lkn kila siku ni afadhali ya jana, Sijakata tamaa Mungu aliyewatoa miaka 400 na mimi atanitoa kupitia Damu ya YESU ya kunyunyiza. Mungu aendelee kukubariki Mwalimu. Salamu nyingi kutoka Germay
@judithmiyeye2109
3 ай бұрын
Nikutie moyo pia somo hili ni langu pia name napita pito hilo hilo sijakata tamaa amini Mungu atatutendea
@aksantimirindijohn3415
3 ай бұрын
Kama vile maika alimu towa Petro jelani, Yesu pasaka wetu ata kutoa
Namshukuru Mungu sana kwa ajili yenu, hakika Mungu ni mwaminifu sana nimebarikiwa sana na semina hii kwa siku zote tano Mungu ameliandaa hili somo kwa ajili yangu, nina amani na furaha kiasi ambacho nashindwa kueleza, sifa eshima na utukufu vimrudie Mungu
Mungu akubariki sana Mwl kwa utumishi Mungu aliokupa tupate wapi mtu kama wewe Mungu akupe miaka mingiiiiiiiiiiii❤
Asante mungu wangu kupitia watumishi wako nimehudulia semina nimeongezeka imani mbarikiwa Sanaa watumishi wa mungu
Mungu kama uishivyo uwatunze watumishi wako Mwl Mwakasege na mama Diana eeh. YESU tutunzie watumishi wako
Naachilia damu ya Yesu, damu ya agano kwenye maisha yangu na kizazi changu chote
Hakika mingu anawwza nam nim nipitia majarbu mwqka wakum sasa lakin naamin mungu atatenda sikat tamaa nakila nikiskiliza mahubil yahuyu mwalim mteule wa mungu nafarjika sana napata nguvu yakusonga mbele mungu akutunze mahubil haya yana gusa kwel kwel
Kwa kweli mtumishi wa Mungu somo hili Mungu amekutumia limenivusha
Nakushukru MUNGU leo ikiwa ni siku ya mwisho ya semina hapa Dodoma tuhudumie tena siku hii sema nasi Bwana kupitia mtumishi wako Mwl Mwakasege
ROHO MTAKATIFU NIPE NEEMA YA KUKUBALIKA KATIKA SIKU YA BWANA
Tuzidi kumushukuru mungu wetu
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen 🙏
Munguu wa mbinguni. Azid kuiinua na kubariki hudama hii nimeponaa maumivu nilioteseka nayo kwa miaka miwil aiuliwe Mungu wa isaka na Yakoboo Mungu azid kuwabariki mama mwakasege na mwalimu kwa huduma hii
Asante baba
What a blessed day…
Natamani sana kupata hicho kitabu nakipataje huku njombe
Asante YESU kwa semina hii siku 5 nmefuatilia kutoka katavi mpanda MUNGU kupitia upendo media na nmefunguliwa ktk majaribu yangu
Mungu mwema sana kwa semina hiii imenibariki
🙏🙏
Asante yesu , watumze watumishi wako hawa , kumbuka na vizazi vyao vitunze 1:28:25
Nimeguswa kutoka canada , neno limenibadilisha mimi niliyepotea
Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako kutulisha chakua hichi ulicho tuandalia. Damu yako ininenee mema ktk uchumi wangu❤❤❤❤Jesus
Namshukuru Mungu Kwa watumishi Hawa WA MUNGU Kwa kutimiza kusudi la MUNGU alilokusudia Kwa MAIsha ya watu WA Dodoma. MUNGU awalinde SANA na kuwapa afya njema. Ameni.
Asante yesu , watumze watumishi wako hawa , kumbuka na vizazi vyao vitunze
Ameen