5 - OMBA MUNGU IMANI YAKO ILINDWE UNAPOPITA KATIKA MAJARIBU || Mwl Christopher Mwakasege || DODOMA

Semina ya Neno la Mungu Dodoma Tarehe 21 Aprili 2024 || Day 5
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Пікірлер: 27

  • @azaransari7307
    @azaransari73073 ай бұрын

    Somo hili ni la kwangu napita katika jaribu kubwa la Mtoto miaka mitatu, nimeomba kila aina ya maombi sadaka kula mfungo lkn kila siku ni afadhali ya jana, Sijakata tamaa Mungu aliyewatoa miaka 400 na mimi atanitoa kupitia Damu ya YESU ya kunyunyiza. Mungu aendelee kukubariki Mwalimu. Salamu nyingi kutoka Germay

  • @judithmiyeye2109

    @judithmiyeye2109

    3 ай бұрын

    Nikutie moyo pia somo hili ni langu pia name napita pito hilo hilo sijakata tamaa amini Mungu atatutendea

  • @aksantimirindijohn3415

    @aksantimirindijohn3415

    3 ай бұрын

    Kama vile maika alimu towa Petro jelani, Yesu pasaka wetu ata kutoa

  • @user-hb6re9ze1v
    @user-hb6re9ze1v3 ай бұрын

    Namshukuru Mungu sana kwa ajili yenu, hakika Mungu ni mwaminifu sana nimebarikiwa sana na semina hii kwa siku zote tano Mungu ameliandaa hili somo kwa ajili yangu, nina amani na furaha kiasi ambacho nashindwa kueleza, sifa eshima na utukufu vimrudie Mungu

  • @Monicamruma
    @Monicamruma3 ай бұрын

    Mungu akubariki sana Mwl kwa utumishi Mungu aliokupa tupate wapi mtu kama wewe Mungu akupe miaka mingiiiiiiiiiiii❤

  • @AugusterJackson-eb6er
    @AugusterJackson-eb6er3 ай бұрын

    Asante mungu wangu kupitia watumishi wako nimehudulia semina nimeongezeka imani mbarikiwa Sanaa watumishi wa mungu

  • @julietemu3753
    @julietemu37533 ай бұрын

    Mungu kama uishivyo uwatunze watumishi wako Mwl Mwakasege na mama Diana eeh. YESU tutunzie watumishi wako

  • @eng.kivuyo12
    @eng.kivuyo123 ай бұрын

    Naachilia damu ya Yesu, damu ya agano kwenye maisha yangu na kizazi changu chote

  • @fabiolajaphet6690
    @fabiolajaphet66903 ай бұрын

    Hakika mingu anawwza nam nim nipitia majarbu mwqka wakum sasa lakin naamin mungu atatenda sikat tamaa nakila nikiskiliza mahubil yahuyu mwalim mteule wa mungu nafarjika sana napata nguvu yakusonga mbele mungu akutunze mahubil haya yana gusa kwel kwel

  • @Eliwanzita
    @Eliwanzita3 ай бұрын

    Kwa kweli mtumishi wa Mungu somo hili Mungu amekutumia limenivusha

  • @benadethamlay3395
    @benadethamlay33953 ай бұрын

    Nakushukru MUNGU leo ikiwa ni siku ya mwisho ya semina hapa Dodoma tuhudumie tena siku hii sema nasi Bwana kupitia mtumishi wako Mwl Mwakasege

  • @jisraelel2334
    @jisraelel23343 ай бұрын

    ROHO MTAKATIFU NIPE NEEMA YA KUKUBALIKA KATIKA SIKU YA BWANA

  • @elizabethbukelebe138
    @elizabethbukelebe1383 ай бұрын

    Tuzidi kumushukuru mungu wetu

  • @evaristammassy6377
    @evaristammassy63773 ай бұрын

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen 🙏

  • @priscadavid6913
    @priscadavid69132 ай бұрын

    Munguu wa mbinguni. Azid kuiinua na kubariki hudama hii nimeponaa maumivu nilioteseka nayo kwa miaka miwil aiuliwe Mungu wa isaka na Yakoboo Mungu azid kuwabariki mama mwakasege na mwalimu kwa huduma hii

  • @QUEENJoseph-kh6cb
    @QUEENJoseph-kh6cb2 ай бұрын

    Asante baba

  • @eliudrushaka8932
    @eliudrushaka89323 ай бұрын

    What a blessed day…

  • @user-sn9lh6gv7t
    @user-sn9lh6gv7t3 ай бұрын

    Natamani sana kupata hicho kitabu nakipataje huku njombe

  • @muxajacob7733-op5ww
    @muxajacob7733-op5ww3 ай бұрын

    Asante YESU kwa semina hii siku 5 nmefuatilia kutoka katavi mpanda MUNGU kupitia upendo media na nmefunguliwa ktk majaribu yangu

  • @JemaLuseke
    @JemaLuseke3 ай бұрын

    Mungu mwema sana kwa semina hiii imenibariki

  • @misstee102
    @misstee1022 ай бұрын

    🙏🙏

  • @ArestidaKonyani
    @ArestidaKonyani2 ай бұрын

    Asante yesu , watumze watumishi wako hawa , kumbuka na vizazi vyao vitunze 1:28:25

  • @ArestidaKonyani
    @ArestidaKonyani2 ай бұрын

    Nimeguswa kutoka canada , neno limenibadilisha mimi niliyepotea

  • @Neema-wy4mh
    @Neema-wy4mh2 ай бұрын

    Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako kutulisha chakua hichi ulicho tuandalia. Damu yako ininenee mema ktk uchumi wangu❤❤❤❤Jesus

  • @ElimrimaKimambo
    @ElimrimaKimambo3 ай бұрын

    Namshukuru Mungu Kwa watumishi Hawa WA MUNGU Kwa kutimiza kusudi la MUNGU alilokusudia Kwa MAIsha ya watu WA Dodoma. MUNGU awalinde SANA na kuwapa afya njema. Ameni.

  • @ArestidaKonyani
    @ArestidaKonyani2 ай бұрын

    Asante yesu , watumze watumishi wako hawa , kumbuka na vizazi vyao vitunze

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter17093 ай бұрын

    Ameen

Келесі