ماشاءاللہ Mwenyezi Mungu akuridhie na akupe afya njema #upendokwawote
@upendokwawoteАй бұрын
Nomeipenda sana Hoja zako Sheikh Bakri sahib #upendokwawote
@MahambaMustafaАй бұрын
Maashaa Allah,umejibu kwaufasahamno shekh sahib, Allah akusaidie
@upendokwawoteАй бұрын
MashaAllah , Sheikh Bakri katika ujana wake #upendokwawote
@abuyunusmohamed6961 Жыл бұрын
Wanataka na wao wahindi wawe na mtume wao
@mohammedtamimiddi3548 Жыл бұрын
Shekhe kazi ya mahubir inahitaji msaada wa mungu na ubongo mwepesi sana lasivyo mtu anakuzunguka anakwendazake....lkn ulimshika mana hata akisema wengi ni mmoja...haya mmojamwenyewe ni nani wakati muhammad alishakuepo! Very interesting
@seifuhassan68894 жыл бұрын
Uyo mtume baada ya Bwana Mtume MUHAMMAD SAW ametajwa ktk aya gani kwenye Quran au hadithi ipi
@rehemaswalehe64234 жыл бұрын
mwamini kua mungu ni mmoja na muhammad amani ya mungu juu yake ni mtume wake.tena ni " khatamul-anbiya'"(muhuri wa manabii)na ni bora kuliko wote..wala hapana nabii baada yake,ila yule aliovalishwa shuka la muhammad anani ya mungu juu yake kwa njia ya mfano.kwan mtumishi c mbali na bwana wake wala tawai si mbali na shina lake.kwaiyo mwenye kujitoa kwelikweli kumfuata bwana wake anapata kwa mungu jina la nabii.na yeye havunji U-KHATAMUN NUBUWWAT.kama vile unapojitazama kwenye kioo,hamwez kua wa2 bali ni prke yako.na ikionekana kwako wa2 hapana tofauti baina yao ila tofaut ya kivuli na asili.HIVI NDIVYO ALLAH ALIVYOTAKA KWA MASIHI ALIYEAHIDIWA..allah umfunulia amtakae kwakati autakae.tuitafakari qur'an tupate mwisho mwema inshaallah.
@abuunufaysah5328
Жыл бұрын
Mhhhh
@jamalilitamba40436 жыл бұрын
khelef Omar mbona hujibu swali hilo yesu yu hai or amekufa???
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Inalilah wainaillah rajighuun wallah huu nimcba inatakiwa tusome quruan sana natafsir yake navitab vingine wallah ushia ni bidaat
@maysammahbub5804
4 ай бұрын
Jamani hawa makadiani sio mashia tena waametoka kutoka usunni ndio wakaleta dini yao
@twalibhassan66995 жыл бұрын
hakuna mtume baada ya mtume s.a.w mtasubiri sana mpaka kiama
@mohammedtamimiddi3548
Жыл бұрын
Kwahio na Issa ndio hatarudi hadi kiama? Au kuna mtume anaevuliwa utume mara baada yakupewa utume? Au kama utumewake niule wa zamani tu, kwanini waislam mnamsubir wakati alikua ni mtume wa waisraeli tu sawa na Qur an 61:7 na biblia Matayo 15:24.... Kwahio ukiona muislam unachakaza ndevu kumsubir Issa wakati alikua ni wa wana wa israeli tambua atarudi kabla ya kiyama na kuna utume mpya atakujanao ingekua sivyo wewe usingekua na haja ya kumtazamia.
@user-lh9oy8hw8f
3 ай бұрын
Kweli kabisa
@deathrow80044 жыл бұрын
HATA DALILI MOJA WAPO YA QIYYAMA NI KUKOMA KWA UTUME AU KUFIKA KWA MTUME((SWALA LLAHU ALEYHI WASALAM))sasa wew ahmadiyya vipi UNAKUA KM KAHAMZA IYSA KABUKOBA
@hombelozabroni92263 жыл бұрын
Allah akufahamishe na kama utaedelewa wewe hamadiya kupoteza watu allah akuzalilishee
@kassimulugajo65124 жыл бұрын
na kama utume bado unaendelea mbona nyie hamjiiti mitume? je huo utume ni wa makadiani tu?
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Huyu jamaa anakichwa kigumu cjawahi ona
@libandafarajizo37645 жыл бұрын
mh watu hawana uelewa hat kdogo ubongo wao baridiiiiii mnasubir yesu mtakesha miaka birion elfu kumi kamweee hafiki amekufa muhammad mbora wa mitume araf abaki yesu hana ujanja huo mwiko wake
@abdallahkawambwa2666 Жыл бұрын
Allah akuangamize we kadiani
@bakarimgeni54245 жыл бұрын
mi nasema ukitaka kumjua kadian kuwa kafir au muisla. SOMENI KITABU kinaitwa MAKUBALIAN KATI YA NYERERE NA KADIANI .....kadian ni upotovu mkubwa.....no comment
@yussufdaudi9408
4 жыл бұрын
Walahi fitna mtume swa dio wa muisho
@ashamasudi94415 жыл бұрын
ss baada ya kupigania makafiri waingie katika uislam nyinyi mwapigania wenyewe kwa wenyewe hata mwafurahisha
@m.othman8664 жыл бұрын
Makadiani ni makafiri bila shaka.
@osmannassir15153 жыл бұрын
Ndugu zrtu Ahmadiya wana shida ya lugha na history ya Quran.
@osmannassir15153 жыл бұрын
Kila ayah ina sababu ya kushuka, tukijua sababu ya kushuka iyo ayah ndio tutajua tafsir ya sawa.
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Naona kipindi hicho ni baisekeli ndo usafiri mkubwa
@khalifanassor53495 жыл бұрын
Msishindane na watu kama hawa, washaangamia
@khamissalum92855 жыл бұрын
Uyu.ahmdiya.mwenziwe.ni.hamza.kadhaabuu
@mpolesmart6385 жыл бұрын
Nyie mnataikiwa muu wawe kwa sherea ya qur aan, mungu alivyo tuambia sababu we Ni kafiri hakuna mtume mwingine muhamad ndo wamwisho
@user-lh9oy8hw8f
3 ай бұрын
Tena wajuwa Quran kweli?
@sadambakari97564 жыл бұрын
Ww cjui unavuta bangi asee
@alimaalima60165 жыл бұрын
So which is which
@alishariff86575 жыл бұрын
Kadiani alikufa ndani ya choo Vipi mtume atakufa ndani ya uchafu.
@zukhairsaid2194
4 жыл бұрын
kwani kuna aya inayosema MTU akifia chooni anakwenda Motoni? au baba yako alikuwa anafanya kazi kwenye choo cha saydina ahmad
@khalifanassor53495 жыл бұрын
Astaghfirullah wewe hujui kiarab, na tafsiri, unatafsiri unavyotaka wewe mwenyewe
@user-qe8xp6ii1u4 жыл бұрын
hapo wote hawana Elimu wanachoshindana kwa Kusema na ufasaha wa kuzungumza.Muwe mnataja reference.
@hutisaleh2320
3 жыл бұрын
Samahan ndug yng we ni mvuta bangi au??
@hutisaleh2320
3 жыл бұрын
Hv ww una ilimi gn wa kuxem Shekh Shekh abdul qadir hana ilim??unayo ww hyo ilim au??
@user-qe8xp6ii1u
3 жыл бұрын
@@hutisaleh2320 Sijui mana unauliza swali la kipuuz.
@user-qe8xp6ii1u
3 жыл бұрын
@@hutisaleh2320 Mim nina Elimu ya Quraan na Sunna(hadithi) kwa ufaham wa salafu swaalehe
@mohammedally2289
3 жыл бұрын
@@user-qe8xp6ii1u wahabi 😂😂😂😂😂😂😂
@rapafata11086 жыл бұрын
Shida ni lugha. Huu ni ushahidi kuwa mambo ya kiarabu na mtume wao watanzania hamuwezi. Ona sasa mnabishania lugha
@jamilsaidi9848
5 жыл бұрын
Rapa Fata we unadhani hata uyo yesu alikua akiongea kiswahili? Hiyo bibili ni kitabu kilicho tafsiliwa.
@jamilsaidi9848
5 жыл бұрын
Rapa Fata we umesoma wapi ulikoambiwa muhammadi s.w.a ni wamwisho.
@barackmugatsia4714
5 жыл бұрын
Mbona waislami wamsubiri issa ili aporomoke kutoka mawinguni ilhali mtume saw ni Wa mwisho
@mussasaid4072 Жыл бұрын
acha ufisad
@twalibhassan66995 жыл бұрын
shekh uchwra huyu
@hashimprofessor56643 жыл бұрын
H
@khelefomar38677 жыл бұрын
Mtume s.a.w ni Mtume wa mwisho. hakuna ajae tena. nenda kasome tena. au umetumwa na Manasara uje utie shaka. mpumbavu we.
@mgudeeone8636
6 жыл бұрын
Khelef Omar Nabii Issa as ameshakufa hajitena au??
@jamilsaidi9848
5 жыл бұрын
Khelef Omar thibitisha unacho ongea, kusema sio kazi ,kazi ni kuthibitisha.
@youtubeisyours6417
5 жыл бұрын
we embu acheni ubish nyie kukataa kama mtume muhaamad ni mtume Wa mwisho ni ukafirr
@youtubeisyours6417
5 жыл бұрын
mnAtakiwa mjue kwmba nabii isaa atarud Kwa sababu gani na pia nabii issa mkumbuke kwamba yy alikua tayar anaumati wake tayaree alikuja kisha akaondoka na kurud kwake haimaaniash kwamba yeye ndo atakuwa Wa mwisho ila atakuja kukanusha kuusu wakristo kumuita yeye mungu au mwna Wa mungu na kupambana na masih dajar hivyo tu lakin Muhammad saw ndo Wa mwisho
@simbillamachiyya
10 ай бұрын
مضارع المتثني كيف ذالك
@abushams24512 жыл бұрын
Ww una maneno ya kikafiri chunga ww
@mussasaid4072 Жыл бұрын
wewe sio shkhe acha ufisadi
@lilianmakwati52283 жыл бұрын
Mh...niaa ni shida
@zukhairsaid21944 жыл бұрын
huyu sheikh wa sunni amechemka hana hata aya ya Qur'an
@abubakarmudir1147
4 жыл бұрын
zukhair Saide sio kila kitu kina dalilu qatwey
@drudeshub31884 жыл бұрын
ahmadiya ni makafiri
@Biziman-pu4kf5 ай бұрын
Mbona unakata
@rajabumzuwanda75055 жыл бұрын
Kadiani kafiri haeliwi lugha wala nnasi
@drudeshub31884 жыл бұрын
AHMADIYA NI MAKAFIRI KULIKO MAKAFIRI
@BakriAbedi9 жыл бұрын
@bakarimgeni5424
5 жыл бұрын
rudi kwa Allah acha upotovu tamaa ya pesa ili kupoteza haki ya kweli utajuta mbele ya Allah
@ashamahamudu16085 жыл бұрын
ahmadiyya ndiyo njia pekee ya kuingia Peponi.amadiyya idumu milele
@fahadjuma5150
5 жыл бұрын
Duh Kwa ushahidi gani? Dada @Asha Mahamudu
@husseinahmed5216
5 жыл бұрын
Asha Mahamudu tupe dalili katika quraan na Sunna sahihi tafadhal ili kuthibitisha hoja yako
@AbouBurhan
5 жыл бұрын
Ameen
@AbouBurhan
5 жыл бұрын
Ahmadiyya Zindabaad
@abuhassan9552
4 жыл бұрын
Ahmadiya ndio njia ya kwenda motoni kwa yule atakae kwenda motoni
@khelefomar38677 жыл бұрын
Mtume s.a.w ni Mtume wa mwisho. hakuna ajae tena. nenda kasome tena. au umetumwa na Manasara uje utie shaka. mpumbavu we.
@mgudeeone8636
6 жыл бұрын
Khelef Omar Kwahiyo Nabii Issa as hatokuja tena??
@almamri9245
5 жыл бұрын
Huyo anafaham vizur sana anakasoma vizur kiarab anajuwa lkn ajipumbaza tu kwajili ameshanunuliwa na kadian
@AbouBurhan
5 жыл бұрын
Nabii issa hatukuja tena mbn mnakimbia ilo swali
@adasonnondo1263
5 жыл бұрын
@@AbouBurhan kwan nabii ISSA alikuwa hayupo kuja kwake haimaanishi sio mtume wa mwisho
@AbouBurhan
5 жыл бұрын
Nabii Issa ndio atakua wa mwisho kwa mafano ata mm nikija kwako halaf nikaondoka akaja mtu mwengine halaf akaondoka halaf nikarudi mm tena nikaondoka tena na hakuja mtu mwengine nan atakua wa mwisho @adason nondo
Пікірлер: 90
ماشاءاللہ Mwenyezi Mungu akuridhie na akupe afya njema #upendokwawote
Nomeipenda sana Hoja zako Sheikh Bakri sahib #upendokwawote
Maashaa Allah,umejibu kwaufasahamno shekh sahib, Allah akusaidie
MashaAllah , Sheikh Bakri katika ujana wake #upendokwawote
Wanataka na wao wahindi wawe na mtume wao
Shekhe kazi ya mahubir inahitaji msaada wa mungu na ubongo mwepesi sana lasivyo mtu anakuzunguka anakwendazake....lkn ulimshika mana hata akisema wengi ni mmoja...haya mmojamwenyewe ni nani wakati muhammad alishakuepo! Very interesting
Uyo mtume baada ya Bwana Mtume MUHAMMAD SAW ametajwa ktk aya gani kwenye Quran au hadithi ipi
mwamini kua mungu ni mmoja na muhammad amani ya mungu juu yake ni mtume wake.tena ni " khatamul-anbiya'"(muhuri wa manabii)na ni bora kuliko wote..wala hapana nabii baada yake,ila yule aliovalishwa shuka la muhammad anani ya mungu juu yake kwa njia ya mfano.kwan mtumishi c mbali na bwana wake wala tawai si mbali na shina lake.kwaiyo mwenye kujitoa kwelikweli kumfuata bwana wake anapata kwa mungu jina la nabii.na yeye havunji U-KHATAMUN NUBUWWAT.kama vile unapojitazama kwenye kioo,hamwez kua wa2 bali ni prke yako.na ikionekana kwako wa2 hapana tofauti baina yao ila tofaut ya kivuli na asili.HIVI NDIVYO ALLAH ALIVYOTAKA KWA MASIHI ALIYEAHIDIWA..allah umfunulia amtakae kwakati autakae.tuitafakari qur'an tupate mwisho mwema inshaallah.
@abuunufaysah5328
Жыл бұрын
Mhhhh
khelef Omar mbona hujibu swali hilo yesu yu hai or amekufa???
Inalilah wainaillah rajighuun wallah huu nimcba inatakiwa tusome quruan sana natafsir yake navitab vingine wallah ushia ni bidaat
@maysammahbub5804
4 ай бұрын
Jamani hawa makadiani sio mashia tena waametoka kutoka usunni ndio wakaleta dini yao
hakuna mtume baada ya mtume s.a.w mtasubiri sana mpaka kiama
@mohammedtamimiddi3548
Жыл бұрын
Kwahio na Issa ndio hatarudi hadi kiama? Au kuna mtume anaevuliwa utume mara baada yakupewa utume? Au kama utumewake niule wa zamani tu, kwanini waislam mnamsubir wakati alikua ni mtume wa waisraeli tu sawa na Qur an 61:7 na biblia Matayo 15:24.... Kwahio ukiona muislam unachakaza ndevu kumsubir Issa wakati alikua ni wa wana wa israeli tambua atarudi kabla ya kiyama na kuna utume mpya atakujanao ingekua sivyo wewe usingekua na haja ya kumtazamia.
@user-lh9oy8hw8f
3 ай бұрын
Kweli kabisa
HATA DALILI MOJA WAPO YA QIYYAMA NI KUKOMA KWA UTUME AU KUFIKA KWA MTUME((SWALA LLAHU ALEYHI WASALAM))sasa wew ahmadiyya vipi UNAKUA KM KAHAMZA IYSA KABUKOBA
Allah akufahamishe na kama utaedelewa wewe hamadiya kupoteza watu allah akuzalilishee
na kama utume bado unaendelea mbona nyie hamjiiti mitume? je huo utume ni wa makadiani tu?
Huyu jamaa anakichwa kigumu cjawahi ona
mh watu hawana uelewa hat kdogo ubongo wao baridiiiiii mnasubir yesu mtakesha miaka birion elfu kumi kamweee hafiki amekufa muhammad mbora wa mitume araf abaki yesu hana ujanja huo mwiko wake
Allah akuangamize we kadiani
mi nasema ukitaka kumjua kadian kuwa kafir au muisla. SOMENI KITABU kinaitwa MAKUBALIAN KATI YA NYERERE NA KADIANI .....kadian ni upotovu mkubwa.....no comment
@yussufdaudi9408
4 жыл бұрын
Walahi fitna mtume swa dio wa muisho
ss baada ya kupigania makafiri waingie katika uislam nyinyi mwapigania wenyewe kwa wenyewe hata mwafurahisha
Makadiani ni makafiri bila shaka.
Ndugu zrtu Ahmadiya wana shida ya lugha na history ya Quran.
Kila ayah ina sababu ya kushuka, tukijua sababu ya kushuka iyo ayah ndio tutajua tafsir ya sawa.
Naona kipindi hicho ni baisekeli ndo usafiri mkubwa
Msishindane na watu kama hawa, washaangamia
Uyu.ahmdiya.mwenziwe.ni.hamza.kadhaabuu
Nyie mnataikiwa muu wawe kwa sherea ya qur aan, mungu alivyo tuambia sababu we Ni kafiri hakuna mtume mwingine muhamad ndo wamwisho
@user-lh9oy8hw8f
3 ай бұрын
Tena wajuwa Quran kweli?
Ww cjui unavuta bangi asee
So which is which
Kadiani alikufa ndani ya choo Vipi mtume atakufa ndani ya uchafu.
@zukhairsaid2194
4 жыл бұрын
kwani kuna aya inayosema MTU akifia chooni anakwenda Motoni? au baba yako alikuwa anafanya kazi kwenye choo cha saydina ahmad
Astaghfirullah wewe hujui kiarab, na tafsiri, unatafsiri unavyotaka wewe mwenyewe
hapo wote hawana Elimu wanachoshindana kwa Kusema na ufasaha wa kuzungumza.Muwe mnataja reference.
@hutisaleh2320
3 жыл бұрын
Samahan ndug yng we ni mvuta bangi au??
@hutisaleh2320
3 жыл бұрын
Hv ww una ilimi gn wa kuxem Shekh Shekh abdul qadir hana ilim??unayo ww hyo ilim au??
@user-qe8xp6ii1u
3 жыл бұрын
@@hutisaleh2320 Sijui mana unauliza swali la kipuuz.
@user-qe8xp6ii1u
3 жыл бұрын
@@hutisaleh2320 Mim nina Elimu ya Quraan na Sunna(hadithi) kwa ufaham wa salafu swaalehe
@mohammedally2289
3 жыл бұрын
@@user-qe8xp6ii1u wahabi 😂😂😂😂😂😂😂
Shida ni lugha. Huu ni ushahidi kuwa mambo ya kiarabu na mtume wao watanzania hamuwezi. Ona sasa mnabishania lugha
@jamilsaidi9848
5 жыл бұрын
Rapa Fata we unadhani hata uyo yesu alikua akiongea kiswahili? Hiyo bibili ni kitabu kilicho tafsiliwa.
@jamilsaidi9848
5 жыл бұрын
Rapa Fata we umesoma wapi ulikoambiwa muhammadi s.w.a ni wamwisho.
@barackmugatsia4714
5 жыл бұрын
Mbona waislami wamsubiri issa ili aporomoke kutoka mawinguni ilhali mtume saw ni Wa mwisho
acha ufisad
shekh uchwra huyu
H
Mtume s.a.w ni Mtume wa mwisho. hakuna ajae tena. nenda kasome tena. au umetumwa na Manasara uje utie shaka. mpumbavu we.
@mgudeeone8636
6 жыл бұрын
Khelef Omar Nabii Issa as ameshakufa hajitena au??
@jamilsaidi9848
5 жыл бұрын
Khelef Omar thibitisha unacho ongea, kusema sio kazi ,kazi ni kuthibitisha.
@youtubeisyours6417
5 жыл бұрын
we embu acheni ubish nyie kukataa kama mtume muhaamad ni mtume Wa mwisho ni ukafirr
@youtubeisyours6417
5 жыл бұрын
mnAtakiwa mjue kwmba nabii isaa atarud Kwa sababu gani na pia nabii issa mkumbuke kwamba yy alikua tayar anaumati wake tayaree alikuja kisha akaondoka na kurud kwake haimaaniash kwamba yeye ndo atakuwa Wa mwisho ila atakuja kukanusha kuusu wakristo kumuita yeye mungu au mwna Wa mungu na kupambana na masih dajar hivyo tu lakin Muhammad saw ndo Wa mwisho
@simbillamachiyya
10 ай бұрын
مضارع المتثني كيف ذالك
Ww una maneno ya kikafiri chunga ww
wewe sio shkhe acha ufisadi
Mh...niaa ni shida
huyu sheikh wa sunni amechemka hana hata aya ya Qur'an
@abubakarmudir1147
4 жыл бұрын
zukhair Saide sio kila kitu kina dalilu qatwey
ahmadiya ni makafiri
Mbona unakata
Kadiani kafiri haeliwi lugha wala nnasi
AHMADIYA NI MAKAFIRI KULIKO MAKAFIRI
@bakarimgeni5424
5 жыл бұрын
rudi kwa Allah acha upotovu tamaa ya pesa ili kupoteza haki ya kweli utajuta mbele ya Allah
ahmadiyya ndiyo njia pekee ya kuingia Peponi.amadiyya idumu milele
@fahadjuma5150
5 жыл бұрын
Duh Kwa ushahidi gani? Dada @Asha Mahamudu
@husseinahmed5216
5 жыл бұрын
Asha Mahamudu tupe dalili katika quraan na Sunna sahihi tafadhal ili kuthibitisha hoja yako
@AbouBurhan
5 жыл бұрын
Ameen
@AbouBurhan
5 жыл бұрын
Ahmadiyya Zindabaad
@abuhassan9552
4 жыл бұрын
Ahmadiya ndio njia ya kwenda motoni kwa yule atakae kwenda motoni
Mtume s.a.w ni Mtume wa mwisho. hakuna ajae tena. nenda kasome tena. au umetumwa na Manasara uje utie shaka. mpumbavu we.
@mgudeeone8636
6 жыл бұрын
Khelef Omar Kwahiyo Nabii Issa as hatokuja tena??
@almamri9245
5 жыл бұрын
Huyo anafaham vizur sana anakasoma vizur kiarab anajuwa lkn ajipumbaza tu kwajili ameshanunuliwa na kadian
@AbouBurhan
5 жыл бұрын
Nabii issa hatukuja tena mbn mnakimbia ilo swali
@adasonnondo1263
5 жыл бұрын
@@AbouBurhan kwan nabii ISSA alikuwa hayupo kuja kwake haimaanishi sio mtume wa mwisho
@AbouBurhan
5 жыл бұрын
Nabii Issa ndio atakua wa mwisho kwa mafano ata mm nikija kwako halaf nikaondoka akaja mtu mwengine halaf akaondoka halaf nikarudi mm tena nikaondoka tena na hakuja mtu mwengine nan atakua wa mwisho @adason nondo