THE WORD OF RECONCILIATION MINISTRIES (WRM) THE HOME OF BLESSING AND HEALING Founded by Prophet Nicolaus Suguye. The core values for the ministry is to be Led by Holy Spirit - We are led by the Holy Spirit to develop genuine relationships and share the Gospel in a way that reaches the heart of people. The Holy Spirit’s power and presence are observable in our church. (1Corinthians 2:4-5)
WRM TV-TRANSFORMING LIVES
Пікірлер
Hatari sanaaaaaa
Dstv inaonyeshwa no ngapi
Very insightful! 🙏🏾
Napokea
I receive
Amen
Amen
Amen
Amina baba ubarikiwe notation neno lako❤❤❤
Ameeen prophet napokea uponyaji
😢😢😢😢😢napokea uponyaj ktk jina la yesu
Amen
Amen
Yesu ananguvu za ajabu
Amina baba najua namm rdhiki yngu japo wanaichelewesha lkn kwa Iman najua mungu attenda
Ameen baba
Amina baba
Naungamanisha mitihani yangu ya Leo nikifanya nikapokee habari njema Kwa jina la yesu
Amina naomba mungu awekeunzio wamoto kwenye mazao yangu niliyolima maan maadui niwengi
Kutoka ujerumani prophet niombe
Eemungu naomba nikapokee mujiza wangu wamtoto kwa jina layesu amin
Eemungu naomba ukazidi kunijibia kwa jina la yesu
kupitia maombi hay eemungu naomba nikapokee majibu niliyo yaomba leo katika jina layesu kristo mapaka haya yalio jizilisha leo yakateketee kwa jina rayesu kwa jina layesu yakanate hapo nje mpaka asubui tuyakute amina
Nabii ninakua.ini sana naomba maobi yako na sumbuliwa na presha Nipste kupona Bwana yesu asifiwe
Baba mungu akubari napitia wakati mgumu sana kila nipangapo jambo halitimii lakini sasa ivi naenda kupokea katika jina la yesu
Tena wafe kabisa siwataki hta bule maana wamenihalibia sana maisha yagu kiuchumi
Amina
Ameen Ameen baba ubarikiwe sana sana🙏
Amni baba kwakweli kwa maombi hay na muona MUNGU katika maisha yagu
Napokea haya mambi maana niukombozi kwagu maan nimezaliwa kwenye familia ya wagaga wakienyeji
amen
Ameen
Amina
52:29 Napokea kupona kichwa changu
Nipone mawazo mabawa na maumivu ya mishipa ya kichwa
Baba niombee kichwa changu baba cpo sawa na roho ya hofu ya mauti mungu wa baba yangu suguye niponye mungu wangu
Baba naomba unionekanie katika unabii wako jumapili 16/6/2024 naiwe ivyo
Baba mimi wananivuruga sana kichwa kinauma sana roho ya hofu ya umauti kuhisi kupiga kelele nisaidie baba angu yesu usiniache
Ameeen napokea kwajina la yesu
❤good prophet 😂😂
Mungu wa prophet suguye naomba unisaidie
Najiungamanisha na ibada hii nipate kazi
Asate baba ubalikiwe sana kwamawombe
Baba xhikamo
Naomba uombe family yetu baba natuma picture
Amina baba😅
Nasumbuliwa na ndoto mbaya na kumuota mfanyakaz mwenzangu mara Kwa mara na mara nying namuota vibaya prophet
👏👏👏👏🤔🤔
Napokea
Amen bana❤
Ameen🙏