dini sio bangi tulia wewe kwanza una kesi yako kwa mungu ulimtukana alipokufa magufuli nakukumbusha tu tubia kabla kifo hakijakufika
@WernerSanga-hu5qq2 ай бұрын
Dini umeletewa acha kujiona uko sahihi
@AffectionateFishWaffle-pn4cr5 ай бұрын
Ngoma Safi hakuna matusi
@rosesesala91315 ай бұрын
2024
@user-we6bp2me4j7 ай бұрын
Huyu kafiri pagani mwenye chuki dhidi ya uislamu lakini hapa alikuwa bado anajificha ficha Uislam sio dini ya waarabu wala ya vurugu Sababu ya vurugu ni wakoloni wazungu na sio uislamu
@gracekitoko10 ай бұрын
Nani anasikiya iyo nyimbo nzuri mu 2023,gonga like apa.
@user-uo9xd8rl2k10 ай бұрын
wa atrika tuji funje uzalendo afrika inahitaji msaada wetu tusi malizane sisi kwa sisi sisi ni ndugu tuache utapeli wa dini si geni 😢😢😢😢😢
@MartinEtabo-dw4ds11 ай бұрын
Hizi ndio nyimbo za kupewa tunzo lakini zinanyongewa tu lakini nyimbo za matusi ndo pendwa sana na BASATA😂😂😂😂
@MartinEtabo-dw4ds11 ай бұрын
Tunaofatilia hii ngoma hadi leo nakuiskiliza tupane liké nyingi shabiki wenzangu ❤
@kingntakiyiruta43167 ай бұрын
Nakubali
@fasterwalker14647 ай бұрын
@@kingntakiyiruta4316AfandeSele anaongea yakweli sema watu wanamdharau tu
@gerald5456 Жыл бұрын
Me naamini hakuna mwafrica muislamu wala mkristo
@ayubumwachaga5888 Жыл бұрын
hii nyimbo ni nzuri sana hususani sis iWAFRIKA . Inaleta kumbukumbu . Inafaa itafsiriwe kwa lugha zote za KItaifa hapa Afrika
@nonijonathan-mr2rx Жыл бұрын
Afande sele ni nomaaaaa napenda nyimbo zake zote maana zina mafunzo
@tekala8778 Жыл бұрын
👍👍👍👍🏿
@molengoodlever5561 Жыл бұрын
Say back to African movement even I ,I hate them
@mastaplan Жыл бұрын
2023
@justoriungu Жыл бұрын
listening in 2023 and the message is still alive, big up.
@themountaintv6625 Жыл бұрын
Good news
@shevshenko3614 Жыл бұрын
Yani bangi Kuna watu inawazulu lkn uyu afande akilikwega yani analeta hisia Kali ktk nyimbo zake mungu akujalie usiache bangi selemani msindi🤣🤣🤣🤣
@samuelcharo612 Жыл бұрын
Your man and half bro hip-hop big up...
@hassansalum1209 Жыл бұрын
2022
@vivianoforo4760 Жыл бұрын
Ndonakuja kuiona hii nyimbo leo na imejaa ukweli wote
@oscarjoseph3513 Жыл бұрын
Mfalme wa rymes
@ericzimba8745 Жыл бұрын
Hii ni ukweli mtupu!.
@berybenya5610 Жыл бұрын
Simba King Selemani Msindi tisha sana
@wowo15462 жыл бұрын
Love 💞 it from Congo 🇨🇩
@siaminihalfan90642 жыл бұрын
Dar ikasome mara zote
@siaminihalfan90642 жыл бұрын
Kaka zangu jmn
@siaminihalfan90642 жыл бұрын
Moro hiyo
@hassankaizil22852 жыл бұрын
King of wa Tanzania hip hip namkubali
@eutiniovalente38902 жыл бұрын
Ama
@eutiniovalente38902 жыл бұрын
Ama
@damsonmabala29642 жыл бұрын
Mkali wa rhymes
@shadrackmwakalinga60372 жыл бұрын
Uko vzr Afande
@denismtoma18272 жыл бұрын
Nimekubali huu ni ujinga tuliretewa
@malipochris44452 жыл бұрын
afande Yani wewe no afande bila Noma
@skulfees54532 жыл бұрын
True Rasta
@zepherniah65652 жыл бұрын
2022 still ngoma yanguu pendwq
@gbetter47133 жыл бұрын
Afande mungu amemleta kwa makusudi dunian na hakumpa akili za kawaida....huyu jamaa ana ona mbali sana
@sadickndende18408 ай бұрын
Sure
@ernestlameck55233 жыл бұрын
2021
@habibnjowele77513 жыл бұрын
WAAFRICA WENZANGU! DINI ZILILETWA TU! WANGEKUJA WACHINA TUNGEKUWA BUDHHA, CONFUSIUS!
@mohamedalichitekwacho82783 жыл бұрын
King forever❤❤❤
@omarmomadesufo53033 жыл бұрын
Walahi tusomeni tujuwe elimu yamungu kuhusu hukumuyake ndugu zangu waislamu dunia nimapito ahi alicho kio ngeya leo wanauu wana waislamu kawa islamu kwasababu wame beba sila ndugu zetu yarabi wape elimu lama mtume wetu
Пікірлер
Moro Gang On Fire
Bonge la wimbo
2024 bado Ngoma ni kali
Kweli kabisa,dini tume letewa tu!😅
Stupid fellow black people wanaovhukiana kwa dini
Kwer din tumeletewa❤❤
2024 nimekuja kuielewa leo Africa tuamke
Best
Leo 01/04/2024 nasikializa ngoma moto❤
2024 dini zililetwa
dini sio bangi tulia wewe kwanza una kesi yako kwa mungu ulimtukana alipokufa magufuli nakukumbusha tu tubia kabla kifo hakijakufika
Dini umeletewa acha kujiona uko sahihi
Ngoma Safi hakuna matusi
2024
Huyu kafiri pagani mwenye chuki dhidi ya uislamu lakini hapa alikuwa bado anajificha ficha Uislam sio dini ya waarabu wala ya vurugu Sababu ya vurugu ni wakoloni wazungu na sio uislamu
Nani anasikiya iyo nyimbo nzuri mu 2023,gonga like apa.
wa atrika tuji funje uzalendo afrika inahitaji msaada wetu tusi malizane sisi kwa sisi sisi ni ndugu tuache utapeli wa dini si geni 😢😢😢😢😢
Hizi ndio nyimbo za kupewa tunzo lakini zinanyongewa tu lakini nyimbo za matusi ndo pendwa sana na BASATA😂😂😂😂
Tunaofatilia hii ngoma hadi leo nakuiskiliza tupane liké nyingi shabiki wenzangu ❤
Nakubali
@@kingntakiyiruta4316AfandeSele anaongea yakweli sema watu wanamdharau tu
Me naamini hakuna mwafrica muislamu wala mkristo
hii nyimbo ni nzuri sana hususani sis iWAFRIKA . Inaleta kumbukumbu . Inafaa itafsiriwe kwa lugha zote za KItaifa hapa Afrika
Afande sele ni nomaaaaa napenda nyimbo zake zote maana zina mafunzo
👍👍👍👍🏿
Say back to African movement even I ,I hate them
2023
listening in 2023 and the message is still alive, big up.
Good news
Yani bangi Kuna watu inawazulu lkn uyu afande akilikwega yani analeta hisia Kali ktk nyimbo zake mungu akujalie usiache bangi selemani msindi🤣🤣🤣🤣
Your man and half bro hip-hop big up...
2022
Ndonakuja kuiona hii nyimbo leo na imejaa ukweli wote
Mfalme wa rymes
Hii ni ukweli mtupu!.
Simba King Selemani Msindi tisha sana
Love 💞 it from Congo 🇨🇩
Dar ikasome mara zote
Kaka zangu jmn
Moro hiyo
King of wa Tanzania hip hip namkubali
Ama
Ama
Mkali wa rhymes
Uko vzr Afande
Nimekubali huu ni ujinga tuliretewa
afande Yani wewe no afande bila Noma
True Rasta
2022 still ngoma yanguu pendwq
Afande mungu amemleta kwa makusudi dunian na hakumpa akili za kawaida....huyu jamaa ana ona mbali sana
Sure
2021
WAAFRICA WENZANGU! DINI ZILILETWA TU! WANGEKUJA WACHINA TUNGEKUWA BUDHHA, CONFUSIUS!
King forever❤❤❤
Walahi tusomeni tujuwe elimu yamungu kuhusu hukumuyake ndugu zangu waislamu dunia nimapito ahi alicho kio ngeya leo wanauu wana waislamu kawa islamu kwasababu wame beba sila ndugu zetu yarabi wape elimu lama mtume wetu
Mbona hueleweki unaandika sms kama mlevi