Karibu Yaliyojiri Online
Hapa tunakuelimisha kuhusu Afya yako na mambo yote muhimu ya kuelimisha na kuburudisha yanayotokea Tanzania na Duniani Kote
Kama Bado hauja Subscribe, tafadhi fanya hivyo kisha bonyeza alama ya kengele
Shirikiana na nasi kwa kutupatia taarifa mbalimbali ama matangazo kwa namba hizi
+255768317812
+255628676255
"Wekeza bando lako"
©2024
Пікірлер
Tunashukuru kwa kutuwakilisha Kama taifa
Amen, good creativity, God bless RC makonda.
Tunaomba serikali watuimarishie kile kivuko
wanapita tuu😂😂😂😂
Watu ni watukutu sana 😂
Sijapima Figo ila napatwa na maumivu makali sana ya mgongo na magoti kuuma naitaji ushauli doctor
Ukiwa mgonjwa wa Figo unaweza kupata mtoto ya kubeba mamba na kujifungua
🤣 🤣 🤣
magufuli alsemajee
Hivi walishindwa kuonyeshana umwambaaaa😅😅😅
Ongea vzuri ww kwa mtindo huo lazima upigwe tu
😂 Asante kwa Maoni yako Ndg. @Davidmalisa8043
It makes sense of course
Thanks 👍
Hongera mama yetu kipenzi.
Dooh!
Hiki ni nini viongozi mnajua mna mechi kubwa mnafungua mlango mmoja ni kutafuta kuiba fedha na kuondoa dhana ya burudani starehe haihitaji kupigwa
Safi kabisa Mr Makonda ivi DC wako wap jamani??wateule mnatia aibu jamani watu kufata Uduma za Msingi adi wahandamane na mna Magari ya kutembelea mmepewa ya nini?kazi yake nini?
😂😂😂😂😂 hembu tokeni hapa nyie polisi au nanyie mnakero
🙆
good idea
Wasomi wasio na maarifa ndio hawa sasa
Mbona kama anasema sio kitongoji chote umeme utawafilia sasa kitongoji si kidg jamn trna ligawe dahhh sijaielewa apo
Asanteh kwa kutujuzaaaa
Asante kwa Maoni yako Ndg. @Lootawillson.. 🙏💪
Mbona jamaa hajawapa hata pesa ya mafuta ya hiyo kitu
Makonda kz ipo
Malonda kua na hekima wewe una wa harasi watuu kama vile hawako kazini nizamu yauonhozi hunaa kanisaa
Haaaaaa safi mheshimiwa mungu kwanza
Mungu akuongee miaka ya kuishi mheshimiwa mkuu wa mkoa pia mama Samia salaam zako popote ulipo kwa kumludisha kazin mkuu wa mkoa.
😂 hatari
Kwa makonda mmefika mnaenda kupata umeme hivi hao viongozi wengine walikua wanafanya nini had hali ikafika namna hii
Yani TANESCO Iyo Ni Fulusa Lakini Mnaona Kama Mnalazimishwa Wakati Umeme Awatatumia Bule Wanalipa Mbona Waafrika Tunafeli Wapi
Mh Nakupenda Nakuombea Sana kwa kazi nzuri unayoifanya🙏💯, Ila happy kwa Maasikari hujafanya vema, Au Ulikuwa unawatania?? Mana Wtz tuna utani Hadi kazini.
Mwende kwa mkuu wa mkoa nawahakikishia kesho nguzo mgeziona
Msikubali nendeni kwa Makonda,..huyo ni mbabaishaji
weee kiongozi acha kujibu jeuri unajibu ujiuri
Viongozi mngekuwa kama makonda sisiwananchi tungefalijika na kuwa na Imani na chama chetu
Daaah huyo dada hata ukiangalia hapi nyuma yupo mbelembele anamlinda maskini juhudi zake zote hazijazaa matunda makonda unasaidia sana watu ila tatizo lako hujui mkubwa,wala mdogo busara ni kitu bora zaidi yani uwe na uprsietion tafadhali jitahidi sana utasaidia sana sana ila tatizo sogo tuu nakuomba jitahidi sana ktk kipengele hicho
Huyu bwana yuaogea kwa kiburi,ili hali mali ya serkali ilitengwa kwa ajili ya wanainchi,asubiri hadi waandamane ndio katake uamini....kweli?????😢😢
Hapo mheshimiwa umezingua binafsi sijapenda ulivyo speak up na askari hao wako hapo kuhakikisha usalama ni niwajibu wao mkuu.
Unapaswa kuwaomba msamaa Hao wasilikhale, wako kukazi acha kuwadalilisha
Jifunze kusoma nakuandika
pia wao walitaka maana uyo mwamba anajiendesha kasha sema yeye ni jini anabadilika sa nyie apo mnamfata fata duu chap kazi
Mwezi wa nane mbali sana
Tanesco WANAKULA MSHAHARA WEA BUREEEE REREKAAA
Giza la uongozi
Nchi yetu inawatumishi mshahara hawanakz wamejipanga kupora tu
Kwani hakukuwa na wakuu wa mkoa?
Nendeni Kwa Makonda Mtenda Haki mtafanikiwa msiwasikilize waongo hao msiwasikilize huyo anawatoa njian Bora Kwa Makonda
Ubarikiwe mkuu wa mkoa mwanza kwa kuweka sawa deals la bodaboda
Nyie si mna Mbunge mwambie ni mbunge wenu
Hee sasa wananchi wanaanza kufata uduma
Mheshimiwa makonda pole sana.hao ndio shemeji zako 😂😂😂
Yani Makonda unabeba mizigo ya watu walopitaga miaka hiyo. Ila pambana maana Mungu hakupi mtihani bila majibu. Tunakuamini na tunajua unaweza baba
Kwamakonda kila kiti kipo