Yaliyojiri Online

Yaliyojiri Online

Karibu Yaliyojiri Online
Hapa tunakuelimisha kuhusu Afya yako na mambo yote muhimu ya kuelimisha na kuburudisha yanayotokea Tanzania na Duniani Kote
Kama Bado hauja Subscribe, tafadhi fanya hivyo kisha bonyeza alama ya kengele
Shirikiana na nasi kwa kutupatia taarifa mbalimbali ama matangazo kwa namba hizi
+255768317812
+255628676255
"Wekeza bando lako"
©2024

SIMU YA MAKONDA KWA RAIS SAMIA

SIMU YA MAKONDA KWA RAIS SAMIA

Пікірлер

  • @delinevamwakapasa6948
    @delinevamwakapasa694814 күн бұрын

    Tunashukuru kwa kutuwakilisha Kama taifa

  • @mlangiralameck9158
    @mlangiralameck915814 күн бұрын

    Amen, good creativity, God bless RC makonda.

  • @alexmeshi867
    @alexmeshi867Ай бұрын

    Tunaomba serikali watuimarishie kile kivuko

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3iАй бұрын

    wanapita tuu😂😂😂😂

  • @yaliyojirionline410
    @yaliyojirionline410Ай бұрын

    Watu ni watukutu sana 😂

  • @FestoAdam
    @FestoAdamАй бұрын

    Sijapima Figo ila napatwa na maumivu makali sana ya mgongo na magoti kuuma naitaji ushauli doctor

  • @FestoAdam
    @FestoAdamАй бұрын

    Ukiwa mgonjwa wa Figo unaweza kupata mtoto ya kubeba mamba na kujifungua

  • @anordlaurent8751
    @anordlaurent8751Ай бұрын

    🤣 🤣 🤣

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3iАй бұрын

    magufuli alsemajee

  • @MafieOnlineTv
    @MafieOnlineTvАй бұрын

    Hivi walishindwa kuonyeshana umwambaaaa😅😅😅

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043Ай бұрын

    Ongea vzuri ww kwa mtindo huo lazima upigwe tu

  • @yaliyojirionline410
    @yaliyojirionline410Ай бұрын

    😂 Asante kwa Maoni yako Ndg. @Davidmalisa8043

  • @UpeoMinistryofMedia
    @UpeoMinistryofMediaАй бұрын

    It makes sense of course

  • @yaliyojirionline410
    @yaliyojirionline410Ай бұрын

    Thanks 👍

  • @DamarisOsward
    @DamarisOswardАй бұрын

    Hongera mama yetu kipenzi.

  • @QueenJohnson-cw8kq
    @QueenJohnson-cw8kqАй бұрын

    Dooh!

  • @KISABOSHINENEKO
    @KISABOSHINENEKOАй бұрын

    Hiki ni nini viongozi mnajua mna mechi kubwa mnafungua mlango mmoja ni kutafuta kuiba fedha na kuondoa dhana ya burudani starehe haihitaji kupigwa

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303Ай бұрын

    Safi kabisa Mr Makonda ivi DC wako wap jamani??wateule mnatia aibu jamani watu kufata Uduma za Msingi adi wahandamane na mna Magari ya kutembelea mmepewa ya nini?kazi yake nini?

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4lАй бұрын

    😂😂😂😂😂 hembu tokeni hapa nyie polisi au nanyie mnakero

  • @yaliyojirionline410
    @yaliyojirionline410Ай бұрын

    🙆

  • @zakariakapinga9862
    @zakariakapinga9862Ай бұрын

    good idea

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063Ай бұрын

    Wasomi wasio na maarifa ndio hawa sasa

  • @ViolethMazengo-nd8cy
    @ViolethMazengo-nd8cyАй бұрын

    Mbona kama anasema sio kitongoji chote umeme utawafilia sasa kitongoji si kidg jamn trna ligawe dahhh sijaielewa apo

  • @lootawillson
    @lootawillsonАй бұрын

    Asanteh kwa kutujuzaaaa

  • @yaliyojirionline410
    @yaliyojirionline410Ай бұрын

    Asante kwa Maoni yako Ndg. @Lootawillson.. 🙏💪

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577Ай бұрын

    Mbona jamaa hajawapa hata pesa ya mafuta ya hiyo kitu

  • @esterswai9454
    @esterswai9454Ай бұрын

    Makonda kz ipo

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908Ай бұрын

    Malonda kua na hekima wewe una wa harasi watuu kama vile hawako kazini nizamu yauonhozi hunaa kanisaa

  • @tuntufyemwasyete3834
    @tuntufyemwasyete3834Ай бұрын

    Haaaaaa safi mheshimiwa mungu kwanza

  • @tuntufyemwasyete3834
    @tuntufyemwasyete3834Ай бұрын

    Mungu akuongee miaka ya kuishi mheshimiwa mkuu wa mkoa pia mama Samia salaam zako popote ulipo kwa kumludisha kazin mkuu wa mkoa.

  • @agathasungura5047
    @agathasungura5047Ай бұрын

    😂 hatari

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602Ай бұрын

    Kwa makonda mmefika mnaenda kupata umeme hivi hao viongozi wengine walikua wanafanya nini had hali ikafika namna hii

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403Ай бұрын

    Yani TANESCO Iyo Ni Fulusa Lakini Mnaona Kama Mnalazimishwa Wakati Umeme Awatatumia Bule Wanalipa Mbona Waafrika Tunafeli Wapi

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088Ай бұрын

    Mh Nakupenda Nakuombea Sana kwa kazi nzuri unayoifanya🙏💯, Ila happy kwa Maasikari hujafanya vema, Au Ulikuwa unawatania?? Mana Wtz tuna utani Hadi kazini.

  • @CharlesSomeke-ml7ju
    @CharlesSomeke-ml7juАй бұрын

    Mwende kwa mkuu wa mkoa nawahakikishia kesho nguzo mgeziona

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575Ай бұрын

    Msikubali nendeni kwa Makonda,..huyo ni mbabaishaji

  • @oscarcharles9624
    @oscarcharles9624Ай бұрын

    weee kiongozi acha kujibu jeuri unajibu ujiuri

  • @user-ws2uw5rd8i
    @user-ws2uw5rd8iАй бұрын

    Viongozi mngekuwa kama makonda sisiwananchi tungefalijika na kuwa na Imani na chama chetu

  • @bongo39
    @bongo39Ай бұрын

    Daaah huyo dada hata ukiangalia hapi nyuma yupo mbelembele anamlinda maskini juhudi zake zote hazijazaa matunda makonda unasaidia sana watu ila tatizo lako hujui mkubwa,wala mdogo busara ni kitu bora zaidi yani uwe na uprsietion tafadhali jitahidi sana utasaidia sana sana ila tatizo sogo tuu nakuomba jitahidi sana ktk kipengele hicho

  • @nyiqatonyiqa7114
    @nyiqatonyiqa7114Ай бұрын

    Huyu bwana yuaogea kwa kiburi,ili hali mali ya serkali ilitengwa kwa ajili ya wanainchi,asubiri hadi waandamane ndio katake uamini....kweli?????😢😢

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699Ай бұрын

    Hapo mheshimiwa umezingua binafsi sijapenda ulivyo speak up na askari hao wako hapo kuhakikisha usalama ni niwajibu wao mkuu.

  • @mugishagerard8241
    @mugishagerard8241Ай бұрын

    Unapaswa kuwaomba msamaa Hao wasilikhale, wako kukazi acha kuwadalilisha

  • @NepporSabith
    @NepporSabithАй бұрын

    Jifunze kusoma nakuandika

  • @raymondmjebe2412
    @raymondmjebe2412Ай бұрын

    pia wao walitaka maana uyo mwamba anajiendesha kasha sema yeye ni jini anabadilika sa nyie apo mnamfata fata duu chap kazi

  • @demicratia4071
    @demicratia4071Ай бұрын

    Mwezi wa nane mbali sana

  • @demicratia4071
    @demicratia4071Ай бұрын

    Tanesco WANAKULA MSHAHARA WEA BUREEEE REREKAAA

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4qАй бұрын

    Giza la uongozi

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4qАй бұрын

    Nchi yetu inawatumishi mshahara hawanakz wamejipanga kupora tu

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505Ай бұрын

    Kwani hakukuwa na wakuu wa mkoa?

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468Ай бұрын

    Nendeni Kwa Makonda Mtenda Haki mtafanikiwa msiwasikilize waongo hao msiwasikilize huyo anawatoa njian Bora Kwa Makonda

  • @user-pi5uc3ke3n
    @user-pi5uc3ke3nАй бұрын

    Ubarikiwe mkuu wa mkoa mwanza kwa kuweka sawa deals la bodaboda

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qsАй бұрын

    Nyie si mna Mbunge mwambie ni mbunge wenu

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7lАй бұрын

    Hee sasa wananchi wanaanza kufata uduma

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7lАй бұрын

    Mheshimiwa makonda pole sana.hao ndio shemeji zako 😂😂😂

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958Ай бұрын

    Yani Makonda unabeba mizigo ya watu walopitaga miaka hiyo. Ila pambana maana Mungu hakupi mtihani bila majibu. Tunakuamini na tunajua unaweza baba

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gxАй бұрын

    Kwamakonda kila kiti kipo