One Africa Show is an online tv that updates the general public with news and infotainments from local and international African celebrities.
Celeb Africa is Strongly African in feel and tone, reflecting the rich diversity of Africa in the 21st Century, and its place in the world. The show is accessible to all sectors of society with a particular remit to reach under-served audiences and the disengaged.
Пікірлер
4/8 mbona km mbali jmn💛💚
I love you guys am proud of you
I love this you ever please nkane abakie
Raha tupu jaman
Watengeneze robot za kulima tumechoka na jembe la mkono
Roboti mgonjwa
Barth day ya manara
Tembo
Good brother
Akun musan alishawah gufany vitu ivi kujid mwan inchîiiii ata moja ko!d boy yàng oyeeeeeeeeee yang tam xan❤❤
Hiro wigi jamani Nani alimwambia anapendeza
Jmn kwanni kila siku mahojiano south Africa hakuna nchi zengine kwani south Africa kuna kipi kikubwa.
Pongezi kwa konde Kaka la yanga, yanga juuu💚💚💛
Hapana chezea wananchi wewe utaumia💛💛💚💚
Mnavivuta vinjunga kwa nn ?? Simmevaa wenyewe shidann?
Shikamoo kondee boy kazi kubwa kuwahi kushushudiwa
Yang oyee Tanzania oyee❤ m mungu aibariki tanzania
Yanga mpo
Yanga oooye💐🥰🥰🥰🥰🥰💗💗💗🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🇹🇿
Thank you 💕 so much 🥰
huyu ni mjinga sna anajipendekeza tutu kwawanawake
😂😂😂😅
ebu wafundishe adabu wt wasio kuishimu apa tanzania
Nice
Xxx Xxx 0:19
Kwasababu gn sio uwandishi
Saw saw
Kwa kweli ni Tanzania ndiyo ilimupa baba yenu Ramy Ongala nafasi anaye stahili kama mwana muziki. Kwetu Bukavu, Congo, ndugu huyu Ramazani Mtoro Ongala alikuwa mtu wa watu. Hakukuwa na ubanguzi ao kiburi mbele ya wengine. Nilimujuwa wakati alikuwa mwana muziki wa bendi ya Grand Mike Jazz ya Rachidi King. Mwenyezi Mungu alinde roho yake. Ramy (Remmy) ni mwenyezi wa Kindu-Maniema, Congo. Wa kabila ya WAKUSU.
mdg elishaa hal❤
Unafanya mchezo na dola laki mbili nn ? Ata kama mm nauza kwn ushindi xi mara nyingi anapata tu n kila mtu anamjua kuwa yuko fiti.
Kwani sisi tunaoishi huku Tanzania tunautofauti gani ??naona hatujawahi ata kupata mda wa kumsogelea rais wetu wakati sisi ndio tuliemchagua..maajabu kweli utumwa wa fikra hata chizi akiishi ughaibuni hupewa thamani kuliko professor aishie Tanzania.
Masikini weee dah
Bluce 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Zuchu music from Tanzania
Alivokua hana aibu uyu mange kweli kauzu
Nan kaona 2024 hii
.
Aman karume
Ungejua ungekutana na mange unge mbeba lukamba mama
Unge juwa hutamuona huyo jini ungembeba lukamba ukaenda nae😂😂😂
Nzuki
🎉🎉🎉
Konde is really next level
Nampenda mpaka kufa kwangu
Ilikua Kali sana hakika konde anajua aliipendezesha mnoooooooo
Kaka wew noma ❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉😂 pigakazi wache waombe matusi tuuu
Jamaniiii huyuuuu ni hatareeee
Nibala🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥uyu Mutoto nimwajeshi mana anatisha 💐💐💐💐💐💐💐💐🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋
❤