Africa magharib wanawafukuza wafaransa hao sio watu kushirikiana nao
Msituganganye hampo na ukweli huo mmeona uchaguzi upo karibu ndio mnatutamanisha tu
Ikiwa barabara ya chake/wete imechukua miaka 15,hio bandari sijui itachukua mingapi
Inshallah
Kila sku story ni izo izo
👁️👁️👂👂🤭
Mutujengee bandari ya kisasa musije kujenga km ya mkoani,tutakuja walaaani mpk kufa kwenu.
Tushukuru ikiwa watafanya angalau kama hio ya Mkoani
Ufaransa nchi zingine zunikataa etisisi
Lini mwatujengea ss
safi sana muhimu serkali yetu inapata pato, nampongeza Mh Raisi wa Zanzibar
Пікірлер
Africa magharib wanawafukuza wafaransa hao sio watu kushirikiana nao
Msituganganye hampo na ukweli huo mmeona uchaguzi upo karibu ndio mnatutamanisha tu
Ikiwa barabara ya chake/wete imechukua miaka 15,hio bandari sijui itachukua mingapi
Inshallah
Kila sku story ni izo izo
👁️👁️👂👂🤭
Mutujengee bandari ya kisasa musije kujenga km ya mkoani,tutakuja walaaani mpk kufa kwenu.
Tushukuru ikiwa watafanya angalau kama hio ya Mkoani
Ufaransa nchi zingine zunikataa etisisi
Lini mwatujengea ss
safi sana muhimu serkali yetu inapata pato, nampongeza Mh Raisi wa Zanzibar