Mara baada ya kupata Uhuru wa Bendera, Mwl. Julius Nyerere alielekeza nguvu katika Uhuru wa Fikra maana aliamini bila Ukombozi wa Fikra, watanzania wataendelea kuishi utumwani. Kwahiyo akapeleka vijana wengi karibu kila kona ya dunia kuutafuta Ukombozi wa Fikra katika vyuo mbalimbali.
Lakini kwa bahati mbaya wengi wakaenda kupambana na mitihani badala ya kupambana na ujinga, wakarudi kutuibia na kwenda kuficha huko nje walikosoma. Mpaka mwalimu anaondoka duniani watanzania bado tunateseka na Uhuru wa Bendera; uhuru wa wachache kuishi kama malaika na wengi kuishi kama mashetani. Uhuru unaowagawa watu kwa kipato na elimu. Ili tuwe salama tunahitaji Uhuru wa Kifikra na channel ya Denis MpagazeTV imeanzishwa kutimiza lengo hili.
Ikiwa wewe ni mgeni katika channeli yetu, usisahau kuungana nasi kwa ku-SUBSCRIBE ili kupata taarifa kila tunapoweka video mpya nawe usipitwe na video zetu kila tunapoweka makala mpya.
Пікірлер
😢😢😢😢😢 achakunikumbusha habalihizi bwana jpm simba pori 😢😢😢😢
Hakika ww ni mwalim mzuri
Kwa ukubwa huo sitokosa pa kupiga 😂😂😂 nipo hapa 2024
HAYATI MAGUFULI AMEWEKA MFUMO MZURI WA UENDESHAJI SEREKALI HASA ALIPO WEKA AC MOJA YA SEREKALI HUYU ALIKUWA MWAMBA WA TANZANIA NA AFRICA
Mtu makini
somo zuri mwalimu
@yassinkatampa
Laa umekumbusha mengi nduguyetu😂
Mungu azidi kubariki uyo raisi nakwenye yupoazidi kumuweka slm
Hongera sana kaka
Mpagaze uko vizuri sana kaka.
Denis mungu akubariki kwa kutuelimisha. M.mungu amlazee mahala pema peponi jembe letu magufuli ❤❤❤
R.I.P JPM
Nilimuelewa sana mzee Jpm
Daaaah ni huzuni sana
kazi safi
Kaka wew ni ufunguo wa fikra kwangu❤..
Denis mpagaze ndo Tanzania one🎉🎉🎉 mpenimauayake
Huyu Dr Magufuli hukika alikuwa ni chaguo la Mungu kuifanya Tz iwe ya kipekee sana.Mungu akuweke mahali pema peponi.Amina.
Duuh hatar umenitia nguvu bro asante sanaaa
Meelewa
🎉🎉🎉
Be blessed,
Courage
Najenjwa sana 🎉
Tupe vtu kaka❤❤❤
Naomba uje ugombee urais wa Tanzania
Umesema vizuri Mpagazi
Hatarii sana.
Barikiwa ila tunakupata kwakutumia simu tu sasa isingekuwa simu tusingekupata ila shukrani kwakutuamsha fikra kuwa tuitawale simu badala ya yenyewe kututawala ❤❤❤❤
Mwenyezi Mungu azidi kukujaza mafundisho ya kuwafungua watu ubongo
Ujumbe mzuri sana
Maneno konki sana bro blessed
Hakika Magufulli alikuwa kiongozi shujaa wa Tanzania na Afrika kongole Mpagaze kuitoa hii historia ya yule mwamba
I got it
❤❤❤❤❤ big up kwako brother
Nikweli kbs bro
Ryambo sana. Naitaji vitabu vinaongelea kuhusu maisha Ya Magufuli
dah wajina huyoo👊big up sna
You ara indeed brilliant brother.
Mwalimu Wangu 100
Nakumbuka kuna siku ba mkubwa alirudi nyumbani asubuhi akitoka kwenye mishe zake, alifika akakaribishwa na mkewe akampatia chakula, tulivyosnda kumsalimia tulikuta anakula, huruhusiwi kumsalimia akiwa anakula, tulikaa nje tusubiri amalize tumsalimie, kilichofata alipo maliza alitaja majina yetu wote tulikuwa wa4, njooni na fimbo nzuri ambayo haivunjiki "mmenisalimia: hapana "Lala chini kifudi fudi, tulipigwa kwa kusalimiwa usipoitikia ulikula bakora mpaka uitikie nae alidhike. Huyu jamaa akanikumbusha nyakati hizo.
Nakubali
Kaka nahitaj unipe documents ya hii misemo yote ulosema nijifunze ntafurahi sana cost zote juu yangu just say how I can get them napendaga sana quotes
Thanks
Unajua kutoa makala na sauti unayo
I have subscribed to your channel. Am from Kenya niite Owen Ngeywo
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante kk ubarikiwe
Kaka wasiliana na crown media kwa kiba una kitu nakukubali sana