Denis Mpagaze TV

Denis Mpagaze TV

Mara baada ya kupata Uhuru wa Bendera, Mwl. Julius Nyerere alielekeza nguvu katika Uhuru wa Fikra maana aliamini bila Ukombozi wa Fikra, watanzania wataendelea kuishi utumwani. Kwahiyo akapeleka vijana wengi karibu kila kona ya dunia kuutafuta Ukombozi wa Fikra katika vyuo mbalimbali.

Lakini kwa bahati mbaya wengi wakaenda kupambana na mitihani badala ya kupambana na ujinga, wakarudi kutuibia na kwenda kuficha huko nje walikosoma. Mpaka mwalimu anaondoka duniani watanzania bado tunateseka na Uhuru wa Bendera; uhuru wa wachache kuishi kama malaika na wengi kuishi kama mashetani. Uhuru unaowagawa watu kwa kipato na elimu. Ili tuwe salama tunahitaji Uhuru wa Kifikra na channel ya Denis MpagazeTV imeanzishwa kutimiza lengo hili.

Ikiwa wewe ni mgeni katika channeli yetu, usisahau kuungana nasi kwa ku-SUBSCRIBE ili kupata taarifa kila tunapoweka video mpya nawe usipitwe na video zetu kila tunapoweka makala mpya.

Пікірлер

  • @NehemiaZakeo
    @NehemiaZakeo3 сағат бұрын

    😢😢😢😢😢 achakunikumbusha habalihizi bwana jpm simba pori 😢😢😢😢

  • @KalebeNsomba-d9f
    @KalebeNsomba-d9f8 сағат бұрын

    Hakika ww ni mwalim mzuri

  • @SangaliPower
    @SangaliPower9 сағат бұрын

    Kwa ukubwa huo sitokosa pa kupiga 😂😂😂 nipo hapa 2024

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan70062 күн бұрын

    HAYATI MAGUFULI AMEWEKA MFUMO MZURI WA UENDESHAJI SEREKALI HASA ALIPO WEKA AC MOJA YA SEREKALI HUYU ALIKUWA MWAMBA WA TANZANIA NA AFRICA

  • @EzekielJayden-gi5cm
    @EzekielJayden-gi5cm3 күн бұрын

    Mtu makini

  • @popularPopular-z3x
    @popularPopular-z3x4 күн бұрын

    somo zuri mwalimu

  • @YassinKatampa
    @YassinKatampa4 күн бұрын

    @yassinkatampa

  • @YassinKatampa
    @YassinKatampa4 күн бұрын

    Laa umekumbusha mengi nduguyetu😂

  • @KashindiWilondja-d3b
    @KashindiWilondja-d3b4 күн бұрын

    Mungu azidi kubariki uyo raisi nakwenye yupoazidi kumuweka slm

  • @RamadanKassim-up9st
    @RamadanKassim-up9st5 күн бұрын

    Hongera sana kaka

  • @godwinmwanisawa2828
    @godwinmwanisawa28286 күн бұрын

    Mpagaze uko vizuri sana kaka.

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq7 күн бұрын

    Denis mungu akubariki kwa kutuelimisha. M.mungu amlazee mahala pema peponi jembe letu magufuli ❤❤❤

  • @user-gn7xd1yg3t
    @user-gn7xd1yg3t7 күн бұрын

    R.I.P JPM

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj10 күн бұрын

    Nilimuelewa sana mzee Jpm

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba11 күн бұрын

    Daaaah ni huzuni sana

  • @user-kt3zw8bv9b
    @user-kt3zw8bv9b11 күн бұрын

    kazi safi

  • @FaustineKapoli
    @FaustineKapoli12 күн бұрын

    Kaka wew ni ufunguo wa fikra kwangu❤..

  • @RashidiHussein-zi1mc
    @RashidiHussein-zi1mc13 күн бұрын

    Denis mpagaze ndo Tanzania one🎉🎉🎉 mpenimauayake

  • @MichaelMoshy-k6w
    @MichaelMoshy-k6w16 күн бұрын

    Huyu Dr Magufuli hukika alikuwa ni chaguo la Mungu kuifanya Tz iwe ya kipekee sana.Mungu akuweke mahali pema peponi.Amina.

  • @MahaSaeed-hf3gs
    @MahaSaeed-hf3gs17 күн бұрын

    Duuh hatar umenitia nguvu bro asante sanaaa

  • @rehemahomange7204
    @rehemahomange720419 күн бұрын

    Meelewa

  • @FaustinaMgallah
    @FaustinaMgallah19 күн бұрын

    🎉🎉🎉

  • @user-xq7ex6lc1z
    @user-xq7ex6lc1z20 күн бұрын

    Be blessed,

  • @MichaelSadiki-xe6dz
    @MichaelSadiki-xe6dz21 күн бұрын

    Courage

  • @MichaelSadiki-xe6dz
    @MichaelSadiki-xe6dz21 күн бұрын

    Najenjwa sana 🎉

  • @derickjuma4251
    @derickjuma425121 күн бұрын

    Tupe vtu kaka❤❤❤

  • @AzahOmary-kd2db
    @AzahOmary-kd2db22 күн бұрын

    Naomba uje ugombee urais wa Tanzania

  • @mwema5009
    @mwema500923 күн бұрын

    Umesema vizuri Mpagazi

  • @edmundmtega7011
    @edmundmtega701128 күн бұрын

    Hatarii sana.

  • @user-we5zc7xk8x
    @user-we5zc7xk8x28 күн бұрын

    Barikiwa ila tunakupata kwakutumia simu tu sasa isingekuwa simu tusingekupata ila shukrani kwakutuamsha fikra kuwa tuitawale simu badala ya yenyewe kututawala ❤❤❤❤

  • @user-we5zc7xk8x
    @user-we5zc7xk8x28 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu azidi kukujaza mafundisho ya kuwafungua watu ubongo

  • @joramphidelis41
    @joramphidelis41Ай бұрын

    Ujumbe mzuri sana

  • @FrankWilliam-bc3iv
    @FrankWilliam-bc3ivАй бұрын

    Maneno konki sana bro blessed

  • @user-md2xk9js3d
    @user-md2xk9js3dАй бұрын

    Hakika Magufulli alikuwa kiongozi shujaa wa Tanzania na Afrika kongole Mpagaze kuitoa hii historia ya yule mwamba

  • @user-eq4sz3wb8r
    @user-eq4sz3wb8rАй бұрын

    I got it

  • @Thomas-gm9ml
    @Thomas-gm9mlАй бұрын

    ❤❤❤❤❤ big up kwako brother

  • @Dismance
    @DismanceАй бұрын

    Nikweli kbs bro

  • @abischagjitimay5232
    @abischagjitimay5232Ай бұрын

    Ryambo sana. Naitaji vitabu vinaongelea kuhusu maisha Ya Magufuli

  • @denislouis3613
    @denislouis3613Ай бұрын

    dah wajina huyoo👊big up sna

  • @JuniorSimkonda
    @JuniorSimkondaАй бұрын

    You ara indeed brilliant brother.

  • @issahatibu
    @issahatibuАй бұрын

    Mwalimu Wangu 100

  • @anathshabani2952
    @anathshabani2952Ай бұрын

    Nakumbuka kuna siku ba mkubwa alirudi nyumbani asubuhi akitoka kwenye mishe zake, alifika akakaribishwa na mkewe akampatia chakula, tulivyosnda kumsalimia tulikuta anakula, huruhusiwi kumsalimia akiwa anakula, tulikaa nje tusubiri amalize tumsalimie, kilichofata alipo maliza alitaja majina yetu wote tulikuwa wa4, njooni na fimbo nzuri ambayo haivunjiki "mmenisalimia: hapana "Lala chini kifudi fudi, tulipigwa kwa kusalimiwa usipoitikia ulikula bakora mpaka uitikie nae alidhike. Huyu jamaa akanikumbusha nyakati hizo.

  • @MustaphaMuhamadi
    @MustaphaMuhamadiАй бұрын

    Nakubali

  • @williamlyimo2038
    @williamlyimo20382 ай бұрын

    Kaka nahitaj unipe documents ya hii misemo yote ulosema nijifunze ntafurahi sana cost zote juu yangu just say how I can get them napendaga sana quotes

  • @merylatieno3731
    @merylatieno37312 ай бұрын

    Thanks

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su2 ай бұрын

    Unajua kutoa makala na sauti unayo

  • @BORNTACTICIAN
    @BORNTACTICIAN2 ай бұрын

    I have subscribed to your channel. Am from Kenya niite Owen Ngeywo

  • @Ommyjr-en9fc
    @Ommyjr-en9fc2 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Ommyjr-en9fc
    @Ommyjr-en9fc2 ай бұрын

    Asante kk ubarikiwe

  • @ThomasFrancis-hh7cm
    @ThomasFrancis-hh7cm2 ай бұрын

    Kaka wasiliana na crown media kwa kiba una kitu nakukubali sana