Nan huyooo😮
Naitwa ratifah maurdy kaka mashine gan hiyo
Andrew Andrew kutokana sad
Jaman Nan huyo
Naitwa Nathan Chavula nipo mbezi
❤MIMI NIPO TANGA MUHEZA MAGUZONI
Leo ni beki kitasa CHIKAMSO OKECHUKWU
Nakupata nikiwa jijini dar slam yanga kazi ienderee
nikweli feitot jaman au uzushi tuu
nakupata nipo kimandaguri shinyanga
Ni kweli yanga wamemusajiri bareke
Mm kama mwana yanga siku zote Huwa na sisitiza kuwamakini na team yoyote duniaani
Punguzeni basi hiyo sauti ya ala ....naona km kelele tu
Mimi Mary mwashiwawa namba kuuliza yanga ataanzia nyumbani au ugenini?
Atanzia ugenini
Ugenini
Wana Yanga wote wa Kigoma wote tushirikiane kwenda Burundi kuishangilia Yanga.😅
Miminiko Bujumbura nakufahamishakwamba hawowote wacezaji umetaja wotehawowameisha elekeya rwanda
Nakupata vizuri kutokea Hedaru Same Kilimanjaro Yanga nimoto
Tunakupata vizuri tukiwa iringa town
Simon Thomas nakupata vizur sana kutoka Majimoto katavi
waooo
tupo pamoia
Naomba yanga wakamae msimu huu Hadi fainali by mwl moyo hulia tunduru
Elimpanzu anauwezogani
Hamis machiya. Vitaro ameyatimba kwayanga
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba tunaanza nani?
Simba vp kka nakupta nikiwa kenya
Wacha kulalama
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba vipi wamemaliza usajili mbona kimya
NIKIWA MANYARA TANZANIA MIMI NAOMBA UONGOZI WA YANGA. WAMUACHE TU AZIZ KEY 🗝️ AENDE TUU
Bola aondoke gedee aje bareke
Barekeee apewe mauwa yakeee🎉🎉🎉🎉
Wakati mwingine mnachambua uongo
Mambo vipi kaka nakupata nikiwa congo lubumbashi live bila chenga
Kwa yanga hii wawape kombe lao.Ligi ianze upya
PAKUA APP NAMBA 1 YA MIKEKA TANZANIA HAPA 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 www.appcreator24.com/app2856031-meyric
Kaka vp kuhusu kibu denisi ameeda kabi
Mbona hatuelewi apo Azizi anaenda Simba au yanga
Mdugu wane kayega unajidannganya@mwanakalala et aziz ki😂
hawatoboi
Mayele na fei waje na karibuni unyalusini
Azizi k.akaribie simba
Poa poa
Abaki asibaki kwetu ss wananchi ni heli
Azzi ki karibu nyumbani msimbazi
Aziz ki kalibu msimbazi
Acheni ukuda nyie watangazaji azizi k ataenda wapi
nyinyi waongo hata walikuwa hawamhitaji simba
Amependezwa na iyo jezi ila ameshasaini yanga
Azizi K, sio Bora sana ni anaitaji ushirikiano tu
Mimi ni mwanasimba sio nafas ya azizi ki Simba kiukweli
MO anaweza ila Azizi K ni Njaa tu, Yanga awawezi kuondoka Yanga ni Muhongo tu
nimeflahi san kikos kimekamilika,nawafatilia vyema nikiwa boda ya tunduma
Пікірлер
Nan huyooo😮
Naitwa ratifah maurdy kaka mashine gan hiyo
Andrew Andrew kutokana sad
Jaman Nan huyo
Naitwa Nathan Chavula nipo mbezi
❤MIMI NIPO TANGA MUHEZA MAGUZONI
Leo ni beki kitasa CHIKAMSO OKECHUKWU
Nakupata nikiwa jijini dar slam yanga kazi ienderee
nikweli feitot jaman au uzushi tuu
nakupata nipo kimandaguri shinyanga
Ni kweli yanga wamemusajiri bareke
Mm kama mwana yanga siku zote Huwa na sisitiza kuwamakini na team yoyote duniaani
Punguzeni basi hiyo sauti ya ala ....naona km kelele tu
Mimi Mary mwashiwawa namba kuuliza yanga ataanzia nyumbani au ugenini?
Atanzia ugenini
Ugenini
Ugenini
Wana Yanga wote wa Kigoma wote tushirikiane kwenda Burundi kuishangilia Yanga.😅
Miminiko Bujumbura nakufahamishakwamba hawowote wacezaji umetaja wotehawowameisha elekeya rwanda
Nakupata vizuri kutokea Hedaru Same Kilimanjaro Yanga nimoto
Tunakupata vizuri tukiwa iringa town
Simon Thomas nakupata vizur sana kutoka Majimoto katavi
waooo
tupo pamoia
Naomba yanga wakamae msimu huu Hadi fainali by mwl moyo hulia tunduru
Elimpanzu anauwezogani
Hamis machiya. Vitaro ameyatimba kwayanga
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba tunaanza nani?
Simba vp kka nakupta nikiwa kenya
Wacha kulalama
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba vipi wamemaliza usajili mbona kimya
NIKIWA MANYARA TANZANIA MIMI NAOMBA UONGOZI WA YANGA. WAMUACHE TU AZIZ KEY 🗝️ AENDE TUU
Bola aondoke gedee aje bareke
Barekeee apewe mauwa yakeee🎉🎉🎉🎉
Wakati mwingine mnachambua uongo
Mambo vipi kaka nakupata nikiwa congo lubumbashi live bila chenga
Kwa yanga hii wawape kombe lao.Ligi ianze upya
PAKUA APP NAMBA 1 YA MIKEKA TANZANIA HAPA 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 www.appcreator24.com/app2856031-meyric
Kaka vp kuhusu kibu denisi ameeda kabi
Mbona hatuelewi apo Azizi anaenda Simba au yanga
Mdugu wane kayega unajidannganya@mwanakalala et aziz ki😂
hawatoboi
Mayele na fei waje na karibuni unyalusini
Azizi k.akaribie simba
Poa poa
Abaki asibaki kwetu ss wananchi ni heli
Azzi ki karibu nyumbani msimbazi
Aziz ki kalibu msimbazi
Acheni ukuda nyie watangazaji azizi k ataenda wapi
nyinyi waongo hata walikuwa hawamhitaji simba
Amependezwa na iyo jezi ila ameshasaini yanga
Azizi K, sio Bora sana ni anaitaji ushirikiano tu
Mimi ni mwanasimba sio nafas ya azizi ki Simba kiukweli
MO anaweza ila Azizi K ni Njaa tu, Yanga awawezi kuondoka Yanga ni Muhongo tu
nimeflahi san kikos kimekamilika,nawafatilia vyema nikiwa boda ya tunduma