Oe hamisi bora ingekua fresh ungeanza kipindi cha kitaa chako, yani watembelea mitaa unawauliza watu kila maskan kitaa chao kiko vp na changa moto wanazopata na kuhusu kazi naamini kitafanya vizuri
@swahilitvonline3 жыл бұрын
Shukran, tutazingatia. Nakuelewa ujue!
@helenwailly15583 жыл бұрын
Nice
@jumast223 жыл бұрын
keep up the good work. this is amazing
@swahilitvonline3 жыл бұрын
Shukran. Tuko pamoja
@bayarungua22593 жыл бұрын
Sawa jamaa zangu natumaini wahusika wamepata habari kama kiongozi yeyote ataina hii hamna budi kusaidika.
@jumast223 жыл бұрын
Khamis Bora kweli kioo cha jamii
@saumuhamisi16033 жыл бұрын
Sawasawa mrume 🥰
@saumuhamisi16033 жыл бұрын
Kabisaa mzee ushasema buda boss
@saumuhamisi16033 жыл бұрын
🤣🤣🤣 subiri nimpigie dadako 🤣🤣🤣 balaaa piga mtu 🤣🤣🤣🤣
@swahilitvonline3 жыл бұрын
Hahaha
@saumuhamisi16033 жыл бұрын
Uyo muuzaji atatia hasara watu 😜
@saumuhamisi16033 жыл бұрын
Wow my cute Sharon you look beautiful and amazing 🥰
@am_fashabi38883 жыл бұрын
Camera tujaribu kuituliza
@swahilitvonline3 жыл бұрын
Kweli bro, hilo tutafanyia kazi kwa sana tu. Shukran zaidi. Usemi wako ndio macho kwetu. Ahsante
Пікірлер
naomba unilushie namba zako nina mgonjwa wa vitiligo
Mm nko Mombasa naomba kuongea na ww Mimi pia Niko nao
Nitampata huyu kujana
naomba nambayako namimi ninaugonjwahuo nipo Tanzanian
Naomba namba zako tena me imenishika kwenye lips
Habari me nipia ni muhanga wa ugonjwa huo nakupataje nipo tanzania
Saidia watu ata wewe ulisaidiwa
Naomba mawasiliano yako uweze kunitibu vitiligo
Hajafananae lolote lote ah
Mbona nyengine zawasha
As ? hapo ni unguja ama ni wapi ?
Jamny Niko Arusha napataje hii daw Na vetiligo
Mtu akitaka mafunzo kwa wale waliomaliza darasa la saba ninafanyaje?Niko Tanzania.
Hawa wapo Kenya, Mombasa
Samahani hizo namba unapiga whatsup au
Kwann milango ya friji haifung tatiz nn
Kazi nzuri kaka
Nahitaji vyungu niko Tanzania .. nampataje hakuna mawasiliano
+254715680394 Ahsante kwa kutazama. Endelea kutazama
Naomben iyo dawa jaman
Double T
I'm from Tanzania, also suffering from Vitrigo, can you please Add your email?
+254 702 296011 wasiliana na mwenye dawa hapa
Ulimpata huyu jamaa
@@swahilitvonline Msaada please
Kazi safi swahili tv indeed mbele
Sana2 tito
Big up xana bro
Huyu bwana hajibu
+254702296011/+254705573664. Jina lake anaitwa Kumbe, wasiliana naye kwa wale wote waliohitaji nambari ya simu.
Nina tatizo ilo naomba msaada
Kwa Tanzania dawa tutapaje???
Wasiliana na muhusika anaye hojiwa kwa video alipeana nambari yake ya simu hapo .Anza kuweka code 254 kissable nambari ya simu.
@@swahilitvonline asante sana
@@rajabushedo3208 namba yake haipatikan
nisaidie namba
Hii iko wapi?
Kisauni
Nilitaka friji ya Bei ndogo naweza kupata?
Mpigie muhusika anayehojiwa, alitoa nambari yake ya simu hapo kwa mahojiano yetu.
Vitiligo ndiyo ugonjwa gani? Niasaidien
Jambo Boniface, ni ugonjwa wa kuharibika ngozi kama kuchomeka vile ila sio kuchomeka.
Nataka iyo dawa
Kwan nawewe unao
Mambo Fetty, fuatilia mahojiano yetu kwenye video hii utapata nambari ya mawasiliano.
Mtoto wangu akonayo nisaidie
Asalam alaykum jaman Mimi mwenyewe. Naumwa ugonjwa wa vitiligo jamqn naomben namba ya uyo aliye pona ugonjwa wa vitiligo
Npeni namba za uyo mtu aliye pona ugonjwa wavitiligo
Nataka iyo dawa napataje
Kwa tanzania dawa tunapataje????
Habali naomba kuuliza kwani ulisha pata dawa ya vitiligo
Duh
Mawasiliano
Ndyo anapatikana wap jaman ugonjwa umezidi jaman nateseka sana jaman cna laaa majina yote niyangu jaman au kama kawatajia niambien tu jamani
Yakwangu au
Mambo Rebecca, fuatilia mahojiano yetu kwenye video hii utapata nambari ya mawasiliano.
@@yasriyboy5069 , fuatilia mahojiano yetu kwenye video hii utapata nambari ya mawasiliano yupo Kenya
@@yasriyboy5069helooo..Ulipata dawa?
Mawasiliano yake
Mambo Ally, fuatilia mahojiano yetu kwenye video hii utapata nambari ya mawasiliano.
Hatutaki maneno mengi tuonesheni namna mnavyotengeneza vyungu tuuu
Gud job kk bora
Tunashukuru, usikose ku subscribe, like na kushare
Story kiasi iendelee....eehhe!
Watoto warudi Shule.. Mwalimu mkuu uko Makini Mtangazaji Unafanya kazi Safi Asante kwa kutupa Habari. #Swahili Online Tv #Hamisi Bora
Nice
Verý nice jo
Wazi jamaa wanaweza mbaya. Naona Daddy chicks apo.
Oe hamisi bora ingekua fresh ungeanza kipindi cha kitaa chako, yani watembelea mitaa unawauliza watu kila maskan kitaa chao kiko vp na changa moto wanazopata na kuhusu kazi naamini kitafanya vizuri
Shukran, tutazingatia. Nakuelewa ujue!
Nice
keep up the good work. this is amazing
Shukran. Tuko pamoja
Sawa jamaa zangu natumaini wahusika wamepata habari kama kiongozi yeyote ataina hii hamna budi kusaidika.
Khamis Bora kweli kioo cha jamii
Sawasawa mrume 🥰
Kabisaa mzee ushasema buda boss
🤣🤣🤣 subiri nimpigie dadako 🤣🤣🤣 balaaa piga mtu 🤣🤣🤣🤣
Hahaha
Uyo muuzaji atatia hasara watu 😜
Wow my cute Sharon you look beautiful and amazing 🥰
Camera tujaribu kuituliza
Kweli bro, hilo tutafanyia kazi kwa sana tu. Shukran zaidi. Usemi wako ndio macho kwetu. Ahsante
Sawa bhana kikekeeee