Пікірлер

  • @mariamkabanya
    @mariamkabanyaАй бұрын

    naomba unilushie namba zako nina mgonjwa wa vitiligo

  • @PiliSwabrina
    @PiliSwabrina3 ай бұрын

    Mm nko Mombasa naomba kuongea na ww Mimi pia Niko nao

  • @JaneWavinya-up3ux
    @JaneWavinya-up3ux3 ай бұрын

    Nitampata huyu kujana

  • @user-jb4li1un9x
    @user-jb4li1un9x5 ай бұрын

    naomba nambayako namimi ninaugonjwahuo nipo Tanzanian

  • @neemamatinde4162
    @neemamatinde41627 ай бұрын

    Naomba namba zako tena me imenishika kwenye lips

  • @neemamatinde4162
    @neemamatinde41627 ай бұрын

    Habari me nipia ni muhanga wa ugonjwa huo nakupataje nipo tanzania

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su8 ай бұрын

    Saidia watu ata wewe ulisaidiwa

  • @user-wc1jf3vj4w
    @user-wc1jf3vj4w9 ай бұрын

    Naomba mawasiliano yako uweze kunitibu vitiligo

  • @nassirjuma5780
    @nassirjuma578010 ай бұрын

    Hajafananae lolote lote ah

  • @ayanaatfat297
    @ayanaatfat297 Жыл бұрын

    Mbona nyengine zawasha

  • @omarhamad6358
    @omarhamad6358 Жыл бұрын

    As ? hapo ni unguja ama ni wapi ?

  • @aminamohamed1054
    @aminamohamed1054 Жыл бұрын

    Jamny Niko Arusha napataje hii daw Na vetiligo

  • @joanithadeogratias5009
    @joanithadeogratias5009 Жыл бұрын

    Mtu akitaka mafunzo kwa wale waliomaliza darasa la saba ninafanyaje?Niko Tanzania.

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline Жыл бұрын

    Hawa wapo Kenya, Mombasa

  • @habiyetarra3854
    @habiyetarra3854 Жыл бұрын

    Samahani hizo namba unapiga whatsup au

  • @salmaally4883
    @salmaally4883 Жыл бұрын

    Kwann milango ya friji haifung tatiz nn

  • @goodlucktv6593
    @goodlucktv65932 жыл бұрын

    Kazi nzuri kaka

  • @khadijazuberi3672
    @khadijazuberi36722 жыл бұрын

    Nahitaji vyungu niko Tanzania .. nampataje hakuna mawasiliano

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline2 жыл бұрын

    +254715680394 Ahsante kwa kutazama. Endelea kutazama

  • @mathawalii4545
    @mathawalii45452 жыл бұрын

    Naomben iyo dawa jaman

  • @bleauncheatieno4199
    @bleauncheatieno41992 жыл бұрын

    Double T

  • @absolomndyamkama50
    @absolomndyamkama502 жыл бұрын

    I'm from Tanzania, also suffering from Vitrigo, can you please Add your email?

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline2 жыл бұрын

    +254 702 296011 wasiliana na mwenye dawa hapa

  • @frankmarwa1313
    @frankmarwa1313 Жыл бұрын

    Ulimpata huyu jamaa

  • @alfredinaarbogast1433
    @alfredinaarbogast1433 Жыл бұрын

    @@swahilitvonline Msaada please

  • @accramasuu_tv
    @accramasuu_tv2 жыл бұрын

    Kazi safi swahili tv indeed mbele

  • @rehemaamri4561
    @rehemaamri45612 жыл бұрын

    Sana2 tito

  • @chalakomgomba5183
    @chalakomgomba51832 жыл бұрын

    Big up xana bro

  • @absolomndyamkama50
    @absolomndyamkama502 жыл бұрын

    Huyu bwana hajibu

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline2 жыл бұрын

    +254702296011/+254705573664. Jina lake anaitwa Kumbe, wasiliana naye kwa wale wote waliohitaji nambari ya simu.

  • @habiyetarra3854
    @habiyetarra3854 Жыл бұрын

    Nina tatizo ilo naomba msaada

  • @rajabushedo3208
    @rajabushedo32082 жыл бұрын

    Kwa Tanzania dawa tutapaje???

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline2 жыл бұрын

    Wasiliana na muhusika anaye hojiwa kwa video alipeana nambari yake ya simu hapo .Anza kuweka code 254 kissable nambari ya simu.

  • @rajabushedo3208
    @rajabushedo32082 жыл бұрын

    @@swahilitvonline asante sana

  • @neemaalute5995
    @neemaalute59952 жыл бұрын

    @@rajabushedo3208 namba yake haipatikan

  • @mariamkabanya
    @mariamkabanyaАй бұрын

    nisaidie namba

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_2 жыл бұрын

    Hii iko wapi?

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline2 жыл бұрын

    Kisauni

  • @shamyinshallahshekh7778
    @shamyinshallahshekh77782 жыл бұрын

    Nilitaka friji ya Bei ndogo naweza kupata?

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline2 жыл бұрын

    Mpigie muhusika anayehojiwa, alitoa nambari yake ya simu hapo kwa mahojiano yetu.

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice80772 жыл бұрын

    Vitiligo ndiyo ugonjwa gani? Niasaidien

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline2 жыл бұрын

    Jambo Boniface, ni ugonjwa wa kuharibika ngozi kama kuchomeka vile ila sio kuchomeka.

  • @fettymsuye5187
    @fettymsuye51872 жыл бұрын

    Nataka iyo dawa

  • @yasriyboy5069
    @yasriyboy50692 жыл бұрын

    Kwan nawewe unao

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline2 жыл бұрын

    Mambo Fetty, fuatilia mahojiano yetu kwenye video hii utapata nambari ya mawasiliano.

  • @JaneWavinya-up3ux
    @JaneWavinya-up3ux3 ай бұрын

    Mtoto wangu akonayo nisaidie

  • @yasriyboy5069
    @yasriyboy50692 жыл бұрын

    Asalam alaykum jaman Mimi mwenyewe. Naumwa ugonjwa wa vitiligo jamqn naomben namba ya uyo aliye pona ugonjwa wa vitiligo

  • @yasriyboy5069
    @yasriyboy50692 жыл бұрын

    Npeni namba za uyo mtu aliye pona ugonjwa wavitiligo

  • @fettymsuye5187
    @fettymsuye51872 жыл бұрын

    Nataka iyo dawa napataje

  • @rajabushedo3208
    @rajabushedo32082 жыл бұрын

    Kwa tanzania dawa tunapataje????

  • @jamaliwallady5260
    @jamaliwallady52602 жыл бұрын

    Habali naomba kuuliza kwani ulisha pata dawa ya vitiligo

  • @benardnyema4038
    @benardnyema4038 Жыл бұрын

    Duh

  • @rebeccamichael4209
    @rebeccamichael42092 жыл бұрын

    Mawasiliano

  • @yasriyboy5069
    @yasriyboy50692 жыл бұрын

    Ndyo anapatikana wap jaman ugonjwa umezidi jaman nateseka sana jaman cna laaa majina yote niyangu jaman au kama kawatajia niambien tu jamani

  • @yasriyboy5069
    @yasriyboy50692 жыл бұрын

    Yakwangu au

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline2 жыл бұрын

    Mambo Rebecca, fuatilia mahojiano yetu kwenye video hii utapata nambari ya mawasiliano.

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline2 жыл бұрын

    @@yasriyboy5069 , fuatilia mahojiano yetu kwenye video hii utapata nambari ya mawasiliano yupo Kenya

  • @hyacintagugu7
    @hyacintagugu7 Жыл бұрын

    @@yasriyboy5069helooo..Ulipata dawa?

  • @allymugendi7229
    @allymugendi72292 жыл бұрын

    Mawasiliano yake

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline2 жыл бұрын

    Mambo Ally, fuatilia mahojiano yetu kwenye video hii utapata nambari ya mawasiliano.

  • @rhodakujura8227
    @rhodakujura82273 жыл бұрын

    Hatutaki maneno mengi tuonesheni namna mnavyotengeneza vyungu tuuu

  • @salimjeffa4748
    @salimjeffa47483 жыл бұрын

    Gud job kk bora

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline3 жыл бұрын

    Tunashukuru, usikose ku subscribe, like na kushare

  • @ChemichemiStudiosLtd
    @ChemichemiStudiosLtd3 жыл бұрын

    Story kiasi iendelee....eehhe!

  • @ChemichemiStudiosLtd
    @ChemichemiStudiosLtd3 жыл бұрын

    Watoto warudi Shule.. Mwalimu mkuu uko Makini Mtangazaji Unafanya kazi Safi Asante kwa kutupa Habari. #Swahili Online Tv #Hamisi Bora

  • @agnesymndewa5498
    @agnesymndewa54983 жыл бұрын

    Nice

  • @enockdaniel2762
    @enockdaniel27623 жыл бұрын

    Verý nice jo

  • @nassorjuma2964
    @nassorjuma29643 жыл бұрын

    Wazi jamaa wanaweza mbaya. Naona Daddy chicks apo.

  • @adambakari3797
    @adambakari37973 жыл бұрын

    Oe hamisi bora ingekua fresh ungeanza kipindi cha kitaa chako, yani watembelea mitaa unawauliza watu kila maskan kitaa chao kiko vp na changa moto wanazopata na kuhusu kazi naamini kitafanya vizuri

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline3 жыл бұрын

    Shukran, tutazingatia. Nakuelewa ujue!

  • @helenwailly1558
    @helenwailly15583 жыл бұрын

    Nice

  • @jumast22
    @jumast223 жыл бұрын

    keep up the good work. this is amazing

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline3 жыл бұрын

    Shukran. Tuko pamoja

  • @bayarungua2259
    @bayarungua22593 жыл бұрын

    Sawa jamaa zangu natumaini wahusika wamepata habari kama kiongozi yeyote ataina hii hamna budi kusaidika.

  • @jumast22
    @jumast223 жыл бұрын

    Khamis Bora kweli kioo cha jamii

  • @saumuhamisi1603
    @saumuhamisi16033 жыл бұрын

    Sawasawa mrume 🥰

  • @saumuhamisi1603
    @saumuhamisi16033 жыл бұрын

    Kabisaa mzee ushasema buda boss

  • @saumuhamisi1603
    @saumuhamisi16033 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 subiri nimpigie dadako 🤣🤣🤣 balaaa piga mtu 🤣🤣🤣🤣

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline3 жыл бұрын

    Hahaha

  • @saumuhamisi1603
    @saumuhamisi16033 жыл бұрын

    Uyo muuzaji atatia hasara watu 😜

  • @saumuhamisi1603
    @saumuhamisi16033 жыл бұрын

    Wow my cute Sharon you look beautiful and amazing 🥰

  • @am_fashabi3888
    @am_fashabi38883 жыл бұрын

    Camera tujaribu kuituliza

  • @swahilitvonline
    @swahilitvonline3 жыл бұрын

    Kweli bro, hilo tutafanyia kazi kwa sana tu. Shukran zaidi. Usemi wako ndio macho kwetu. Ahsante

  • @foreverhommies599
    @foreverhommies5993 жыл бұрын

    Sawa bhana kikekeeee