MANENO MENGI HAYANA MAANA YOYOTE. HUKU WATU WANAKOSA HUDUMA YA AMBULANCE NCHI HII HAPAFUNGWI MILANGO MPAKA PABIWE. DEREVA WA GARI LA TAKA AKAENDESHE AMBULANCE NI VITU VIWILI TOFAUTI
@SaidIssa-tq3yv27 күн бұрын
Bi hamida hebu ipeleke garage kwa juma buda aitengeze ishe tafrani na hawa wandishi wa habari .
@user-nn2hl1tw3z28 күн бұрын
Huna hoja huna suala la maana.ktk hayo maongezi yako kaa.hapo upate tonge yako ndio m avyo wazuga walala.hoi.ili.wakuchumieni. na baadae kila aina ya msemo.itawahusu nanyi mufahamu tu.asie na mtu ana Mungu ndie mlipaji.wa yote
@lusakaone778228 күн бұрын
Betri laki moja
@lusakaone778228 күн бұрын
Tusubiri mpk aongezewe miaka 2 , itatengenezwa
@sahiyasaid716328 күн бұрын
Na kituo chetu cha afya mtofaani msikisahau nako wanaishi watu kule
This man must be really crazy mentaly destroyed. Isn't someone who can take him to mentaly hospital
@MpiganajiFundi4 ай бұрын
Uniform imevaa😂😂😂😂
@user-fc1pc5ko2e4 ай бұрын
Hongera rc
@mohammednyemaga47935 ай бұрын
SASA wewe kamanda unamakosa huwezi kusema HIVYO kumbe SASA huyo mtu inamfaham haujatoa taarifa polisi likafanyiwa kaxi
@user-yx3ex4vy7o5 ай бұрын
Alie msikia mwanafunzi akikariri mfukoni.kweli gonga like
@masoudmasoud81386 ай бұрын
watu watakuja kufa kwa joto naona
@nasraissa48736 ай бұрын
Jengeni viwanda vijana wapate ajira
@mudizotz66177 ай бұрын
Kwanza umepona shingo ilo
@mudizotz66177 ай бұрын
Namjua msenge ww uliniweka ndani mwera kipindi upo mwera umenikamata bila sababu mpaka nimehama zanzibar
@fathiyaomar44487 ай бұрын
😂👍 good
@user-hs8fu1ut8r8 ай бұрын
Asalam alaykm,tunaomba namba ya simu..pia tunaomba kujua ada ni kiasi gani?
@matipashankanawaaooo11999 ай бұрын
Haya sasa
@user-uo6qt6rl1m10 ай бұрын
Shuqran mama
@zamzammohd0010 ай бұрын
Asante Mhe. Kwa kututoa hofu, kazi iendelee 🇹🇿
@hamadmakame604010 ай бұрын
Allah akupe muongozo mwema
@user-ns4cj1rf7c10 ай бұрын
Wenye hiriz zao watafkia wap biashara itakua ngum apo watatoka to nnje 🤣 MUNGU tusaidie sana hili soko lisiingie kwenye mikono ya waswahil
@mafiatv547910 ай бұрын
Litakua lkn si kwa mchoro km huo
@mafiatv547910 ай бұрын
Waandishi hua waongeza mambo kua makubwa,,, kwa znz tutaskia paani soko km hili
@Zaibskov___10 ай бұрын
😂😂😂
@is-hakaame11 ай бұрын
Ayo ni mambo ya siri ya kua PUBLIC inatia Aibu
@seifmohd535711 ай бұрын
Ccm waache kuiba pesa wakajenge soko kama ilo
@Fooz2AlBattash Жыл бұрын
Shukran kwa kurudi tena
@suleimanahmadaali5989 Жыл бұрын
Asanteni kwa taarifa
@is-hakaalkindi9220 Жыл бұрын
ماشاءاللہ
@mohddelo Жыл бұрын
Safi sana dokta mwinyi
@ndimimaskati3641 Жыл бұрын
Wazuieni watu wanaoingiaa ovyo na wasiokuwa na kazi maalum.
@ndimimaskati3641 Жыл бұрын
Nyie ndio mlioruhusu mambo yasiyokuwa na Desturi za WAZANZIBAR, mmeondoa mila na desturi na asili zao , mkawaleta wauza Pombe mitaani na Malaya kila mtaa.
@user-fd7vi4xv5x11 ай бұрын
Hao kaka wanatuzuga tu hawawaondoi na wala hawawafungii kwa maana hao ndio wapiga kura wao.. Wamejaa kila kona Zanzibar na na wanampango maalum hao wa kuharibu maadili ya kizanzibar
@fauzenkassim8424 Жыл бұрын
Allah atakusimamia inshaAllah kwa uwezo wake 😢😢
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
Duuu aisee boranirudi kijijini au nirudi chekechea ?
@adilsaid1994 Жыл бұрын
Big up, safisha kinuni mjapani👍
@husseinkonz5192 Жыл бұрын
Yote njaa na ukosefu wa ajira
@zuhrahamza9077 Жыл бұрын
Safi sana maafisa👏👏👏
@eastafricaqualitychickenfa9916 Жыл бұрын
Wakwaza jamani msione wivu kunapa like zangu
@eastafricaqualitychickenfa9916 Жыл бұрын
Wa kwaza kuangalia nipewe like zangu apo
@nurudinjafferji Жыл бұрын
Where is this?
@zubeirkhamiskhamisabdallah6351 Жыл бұрын
Hiyo raman ilishafeli saiv bora liishe tuh
@michaelndilima6210 Жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu , mungu akusimamie.
@mohddelo Жыл бұрын
Safi
@kassim1262 Жыл бұрын
Naamini huyu mwanafunzi ataongoza kwanidhamu shuleni kwasababu kwanza kalelewa namtu ambae hajamtegemea maishani mwake c mchezo umekaa unaambiwa mkuu wamkoa leo anakuja tena kukutia bakora sipati picha hapo kwaio huyu mwanafunzi naamini atanyooka tu
@mahfoudhjuma4833 Жыл бұрын
Super black hongera sana mkuu wa mkoa
@fumbukashangwe3173 Жыл бұрын
Mwenendo wa Vijana katika shule zetu una changamoto nyingi sana ,wazazi tushirikiane na walimu kuwarekebisha wanetu ili Kujenga mustakabari mzuri wa maisha yake.
Пікірлер
Ndo mkome kununua nissan😂😂
MANENO MENGI HAYANA MAANA YOYOTE. HUKU WATU WANAKOSA HUDUMA YA AMBULANCE NCHI HII HAPAFUNGWI MILANGO MPAKA PABIWE. DEREVA WA GARI LA TAKA AKAENDESHE AMBULANCE NI VITU VIWILI TOFAUTI
Bi hamida hebu ipeleke garage kwa juma buda aitengeze ishe tafrani na hawa wandishi wa habari .
Huna hoja huna suala la maana.ktk hayo maongezi yako kaa.hapo upate tonge yako ndio m avyo wazuga walala.hoi.ili.wakuchumieni. na baadae kila aina ya msemo.itawahusu nanyi mufahamu tu.asie na mtu ana Mungu ndie mlipaji.wa yote
Betri laki moja
Tusubiri mpk aongezewe miaka 2 , itatengenezwa
Na kituo chetu cha afya mtofaani msikisahau nako wanaishi watu kule
Hatutaki hatua tunatak gari itembee kuweni serious waheshimiwa
This man must be really crazy mentaly destroyed. Isn't someone who can take him to mentaly hospital
Uniform imevaa😂😂😂😂
Hongera rc
SASA wewe kamanda unamakosa huwezi kusema HIVYO kumbe SASA huyo mtu inamfaham haujatoa taarifa polisi likafanyiwa kaxi
Alie msikia mwanafunzi akikariri mfukoni.kweli gonga like
watu watakuja kufa kwa joto naona
Jengeni viwanda vijana wapate ajira
Kwanza umepona shingo ilo
Namjua msenge ww uliniweka ndani mwera kipindi upo mwera umenikamata bila sababu mpaka nimehama zanzibar
😂👍 good
Asalam alaykm,tunaomba namba ya simu..pia tunaomba kujua ada ni kiasi gani?
Haya sasa
Shuqran mama
Asante Mhe. Kwa kututoa hofu, kazi iendelee 🇹🇿
Allah akupe muongozo mwema
Wenye hiriz zao watafkia wap biashara itakua ngum apo watatoka to nnje 🤣 MUNGU tusaidie sana hili soko lisiingie kwenye mikono ya waswahil
Litakua lkn si kwa mchoro km huo
Waandishi hua waongeza mambo kua makubwa,,, kwa znz tutaskia paani soko km hili
😂😂😂
Ayo ni mambo ya siri ya kua PUBLIC inatia Aibu
Ccm waache kuiba pesa wakajenge soko kama ilo
Shukran kwa kurudi tena
Asanteni kwa taarifa
ماشاءاللہ
Safi sana dokta mwinyi
Wazuieni watu wanaoingiaa ovyo na wasiokuwa na kazi maalum.
Nyie ndio mlioruhusu mambo yasiyokuwa na Desturi za WAZANZIBAR, mmeondoa mila na desturi na asili zao , mkawaleta wauza Pombe mitaani na Malaya kila mtaa.
Hao kaka wanatuzuga tu hawawaondoi na wala hawawafungii kwa maana hao ndio wapiga kura wao.. Wamejaa kila kona Zanzibar na na wanampango maalum hao wa kuharibu maadili ya kizanzibar
Allah atakusimamia inshaAllah kwa uwezo wake 😢😢
Duuu aisee boranirudi kijijini au nirudi chekechea ?
Big up, safisha kinuni mjapani👍
Yote njaa na ukosefu wa ajira
Safi sana maafisa👏👏👏
Wakwaza jamani msione wivu kunapa like zangu
Wa kwaza kuangalia nipewe like zangu apo
Where is this?
Hiyo raman ilishafeli saiv bora liishe tuh
Hongera sana mdogo wangu , mungu akusimamie.
Safi
Naamini huyu mwanafunzi ataongoza kwanidhamu shuleni kwasababu kwanza kalelewa namtu ambae hajamtegemea maishani mwake c mchezo umekaa unaambiwa mkuu wamkoa leo anakuja tena kukutia bakora sipati picha hapo kwaio huyu mwanafunzi naamini atanyooka tu
Super black hongera sana mkuu wa mkoa
Mwenendo wa Vijana katika shule zetu una changamoto nyingi sana ,wazazi tushirikiane na walimu kuwarekebisha wanetu ili Kujenga mustakabari mzuri wa maisha yake.
Walimu wenyewe wanavuta bangi wanafunzi wafanye nini ?