Habari Wilaya Magharibi 'B'

Habari Wilaya Magharibi 'B'

DC HAMIDA MSAADA

DC HAMIDA MSAADA

Пікірлер

  • @sawegasper9670
    @sawegasper967019 күн бұрын

    Ndo mkome kununua nissan😂😂

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l24 күн бұрын

    MANENO MENGI HAYANA MAANA YOYOTE. HUKU WATU WANAKOSA HUDUMA YA AMBULANCE NCHI HII HAPAFUNGWI MILANGO MPAKA PABIWE. DEREVA WA GARI LA TAKA AKAENDESHE AMBULANCE NI VITU VIWILI TOFAUTI

  • @SaidIssa-tq3yv
    @SaidIssa-tq3yv27 күн бұрын

    Bi hamida hebu ipeleke garage kwa juma buda aitengeze ishe tafrani na hawa wandishi wa habari .

  • @user-nn2hl1tw3z
    @user-nn2hl1tw3z28 күн бұрын

    Huna hoja huna suala la maana.ktk hayo maongezi yako kaa.hapo upate tonge yako ndio m avyo wazuga walala.hoi.ili.wakuchumieni. na baadae kila aina ya msemo.itawahusu nanyi mufahamu tu.asie na mtu ana Mungu ndie mlipaji.wa yote

  • @lusakaone7782
    @lusakaone778228 күн бұрын

    Betri laki moja

  • @lusakaone7782
    @lusakaone778228 күн бұрын

    Tusubiri mpk aongezewe miaka 2 , itatengenezwa

  • @sahiyasaid7163
    @sahiyasaid716328 күн бұрын

    Na kituo chetu cha afya mtofaani msikisahau nako wanaishi watu kule

  • @sahiyasaid7163
    @sahiyasaid716328 күн бұрын

    Hatutaki hatua tunatak gari itembee kuweni serious waheshimiwa

  • @rolandlarsson1883
    @rolandlarsson1883Ай бұрын

    This man must be really crazy mentaly destroyed. Isn't someone who can take him to mentaly hospital

  • @MpiganajiFundi
    @MpiganajiFundi4 ай бұрын

    Uniform imevaa😂😂😂😂

  • @user-fc1pc5ko2e
    @user-fc1pc5ko2e4 ай бұрын

    Hongera rc

  • @mohammednyemaga4793
    @mohammednyemaga47935 ай бұрын

    SASA wewe kamanda unamakosa huwezi kusema HIVYO kumbe SASA huyo mtu inamfaham haujatoa taarifa polisi likafanyiwa kaxi

  • @user-yx3ex4vy7o
    @user-yx3ex4vy7o5 ай бұрын

    Alie msikia mwanafunzi akikariri mfukoni.kweli gonga like

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud81386 ай бұрын

    watu watakuja kufa kwa joto naona

  • @nasraissa4873
    @nasraissa48736 ай бұрын

    Jengeni viwanda vijana wapate ajira

  • @mudizotz6617
    @mudizotz66177 ай бұрын

    Kwanza umepona shingo ilo

  • @mudizotz6617
    @mudizotz66177 ай бұрын

    Namjua msenge ww uliniweka ndani mwera kipindi upo mwera umenikamata bila sababu mpaka nimehama zanzibar

  • @fathiyaomar4448
    @fathiyaomar44487 ай бұрын

    😂👍 good

  • @user-hs8fu1ut8r
    @user-hs8fu1ut8r8 ай бұрын

    Asalam alaykm,tunaomba namba ya simu..pia tunaomba kujua ada ni kiasi gani?

  • @matipashankanawaaooo1199
    @matipashankanawaaooo11999 ай бұрын

    Haya sasa

  • @user-uo6qt6rl1m
    @user-uo6qt6rl1m10 ай бұрын

    Shuqran mama

  • @zamzammohd00
    @zamzammohd0010 ай бұрын

    Asante Mhe. Kwa kututoa hofu, kazi iendelee 🇹🇿

  • @hamadmakame6040
    @hamadmakame604010 ай бұрын

    Allah akupe muongozo mwema

  • @user-ns4cj1rf7c
    @user-ns4cj1rf7c10 ай бұрын

    Wenye hiriz zao watafkia wap biashara itakua ngum apo watatoka to nnje 🤣 MUNGU tusaidie sana hili soko lisiingie kwenye mikono ya waswahil

  • @mafiatv5479
    @mafiatv547910 ай бұрын

    Litakua lkn si kwa mchoro km huo

  • @mafiatv5479
    @mafiatv547910 ай бұрын

    Waandishi hua waongeza mambo kua makubwa,,, kwa znz tutaskia paani soko km hili

  • @Zaibskov___
    @Zaibskov___10 ай бұрын

    😂😂😂

  • @is-hakaame
    @is-hakaame11 ай бұрын

    Ayo ni mambo ya siri ya kua PUBLIC inatia Aibu

  • @seifmohd5357
    @seifmohd535711 ай бұрын

    Ccm waache kuiba pesa wakajenge soko kama ilo

  • @Fooz2AlBattash
    @Fooz2AlBattash Жыл бұрын

    Shukran kwa kurudi tena

  • @suleimanahmadaali5989
    @suleimanahmadaali5989 Жыл бұрын

    Asanteni kwa taarifa

  • @is-hakaalkindi9220
    @is-hakaalkindi9220 Жыл бұрын

    ماشاءاللہ

  • @mohddelo
    @mohddelo Жыл бұрын

    Safi sana dokta mwinyi

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Жыл бұрын

    Wazuieni watu wanaoingiaa ovyo na wasiokuwa na kazi maalum.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Жыл бұрын

    Nyie ndio mlioruhusu mambo yasiyokuwa na Desturi za WAZANZIBAR, mmeondoa mila na desturi na asili zao , mkawaleta wauza Pombe mitaani na Malaya kila mtaa.

  • @user-fd7vi4xv5x
    @user-fd7vi4xv5x11 ай бұрын

    Hao kaka wanatuzuga tu hawawaondoi na wala hawawafungii kwa maana hao ndio wapiga kura wao.. Wamejaa kila kona Zanzibar na na wanampango maalum hao wa kuharibu maadili ya kizanzibar

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 Жыл бұрын

    Allah atakusimamia inshaAllah kwa uwezo wake 😢😢

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Жыл бұрын

    Duuu aisee boranirudi kijijini au nirudi chekechea ?

  • @adilsaid1994
    @adilsaid1994 Жыл бұрын

    Big up, safisha kinuni mjapani👍

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Жыл бұрын

    Yote njaa na ukosefu wa ajira

  • @zuhrahamza9077
    @zuhrahamza9077 Жыл бұрын

    Safi sana maafisa👏👏👏

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 Жыл бұрын

    Wakwaza jamani msione wivu kunapa like zangu

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 Жыл бұрын

    Wa kwaza kuangalia nipewe like zangu apo

  • @nurudinjafferji
    @nurudinjafferji Жыл бұрын

    Where is this?

  • @zubeirkhamiskhamisabdallah6351
    @zubeirkhamiskhamisabdallah6351 Жыл бұрын

    Hiyo raman ilishafeli saiv bora liishe tuh

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Жыл бұрын

    Hongera sana mdogo wangu , mungu akusimamie.

  • @mohddelo
    @mohddelo Жыл бұрын

    Safi

  • @kassim1262
    @kassim1262 Жыл бұрын

    Naamini huyu mwanafunzi ataongoza kwanidhamu shuleni kwasababu kwanza kalelewa namtu ambae hajamtegemea maishani mwake c mchezo umekaa unaambiwa mkuu wamkoa leo anakuja tena kukutia bakora sipati picha hapo kwaio huyu mwanafunzi naamini atanyooka tu

  • @mahfoudhjuma4833
    @mahfoudhjuma4833 Жыл бұрын

    Super black hongera sana mkuu wa mkoa

  • @fumbukashangwe3173
    @fumbukashangwe3173 Жыл бұрын

    Mwenendo wa Vijana katika shule zetu una changamoto nyingi sana ,wazazi tushirikiane na walimu kuwarekebisha wanetu ili Kujenga mustakabari mzuri wa maisha yake.

  • @bablasbulludozer-be3ww
    @bablasbulludozer-be3ww Жыл бұрын

    Walimu wenyewe wanavuta bangi wanafunzi wafanye nini ?