SIRI ZA BIBLIA NA UTAJIRI
SIRI ZA BIBLIA NA UTAJIRI
We let you know in depth our Mighty God ( King of Kings ), Our Savior Jesus Christ ( Lord of Lords) and Our Friend Holy Spirit( One and only Assistant)
Yes, Let's Be Heroes in the Kingdom of Earth & Heaven.
Get Inspired know the hidden secrets Easily.. Live The Life Of Abundance & Prosperity You Admire.
Don't Hesitate to be a Member of Our Channel.
We promise We'll Never Let you down.
And your Life Will Never Be the Same Any More.
For Whatsapp / Call / Text / Professional Advice on Life secrets, Heavenly Success tips, relationship hints, and Heavenly most hidden info and secrets for Success.
All of them we have it for You.
We love you, Let's Learn Together the secrets of Kingdom of Heaven
And become the better version of yourself
SHINING STAR HEAVENLY EMBASSY
" Be A Shining Star 🌟 "
Phone 📞📱 No. +255768275795
Get our Books for Call/Sms
+255768275795
For Offerings and Donation
+255768275795
Thanks, for Lifting the Kingdom of God 🙏🙏🙏 Worldwide.
Пікірлер
5:54
♥️♥️♥️♥️❤️❤️❤️
Nahitaji Niwetajiri
Hyu jamaa kabadilisha sana maisha yangu kiukwel yuko sahh sana yaan nataman kujua anapatikana wap au namba zake ni zipi kwa bahat mbaya haja wah taja namba zake ila mungu ambariki sana yuko poa Hana baya ukimfuatilia na kumsikiliza vizur Tena kwa imana hakika mambo yatakuwa sawa ndugu zangu
Sawaaa,lakini Siri zenyewe mbona kama hujafunguka?Naona kama unazunguruka.
Kwani sirienye ipi mbona kuelewi kwa vitu ambavyo umetoka kuvieleza? Mimi apana taka unipe maelekezo ndoki tu kyamu himu kwangu.
Asante sana
Amen🙏🙏
Nipe namba tuzungumuze
Asante sana umenipa ufahamu mkubwa sana
Amin
wew ushakuw tajir sas au nikutufokea tu
Amen baba
Hawa watu wanatudanganya tu.hakuna jambo linalokuja kwa mawazo ya mtu mwingine..yy anatupuna kwa mb.
Nataka kuwa tajiri
Amina
W-❤❤
Mungu Baba Timiza Mapenzi Yako kwangu
Nipo tayari kufanya
Amina,Mungu baba ninakutegemea wew Sina nguvu zozote zile za kibinadam ninazozitegemea🙌🙌🙌🙌
Emung nibarik npate pesa
Amen baba
Assante sana kua mafundisho yako muhalim.
Ninda kwaujumbe malamoja usiongee mingi unapoteza muda
Amen
Amen nashukuru nimeweza kupata pesa na kulipa madeni, asante kwa jina la Yesu
Hongera sana Mungu AKUBARIKI sana! Kwa Jina LA Yesu KRISTO
Amen
Amen mtumishi wa Mungu tunasubiri mapenzi ya baba muumba wa mbingu na dunia kupitia yale tunae muomba.Amen
Ebaba Mungu wangu,ulieniumba kwa vitanga vyako vitakatifu,naomba unite ndee muujiza wakupata pesa kwa kukamilisha matatizo yangu Mungu wangu. Kupitia jina la kristu bwana na mwokozi wangu.Amen
Amen❤
Wewe mwenye uko tajiri ??😊
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amen
Kweli kabisa kaka
Sijakuelewa kwenye baadhi ya mambo😊
Ahsantee Kakaa..
Shukrani
Asante sana
😂😂😂😂sound of mtangazaji
Asant sn ubalikiw
Ubalikiw san
Asant sn
Akuna kitu ume fuza apo sija sikia siri tatu ume pinga kelele to bas
Nipe namba Yako ya watssap
Ilitakiwa uwe mchungaji sio mtangazaji
Haujasema hayo mambo matatu ,umeongeya ongeya tu
hio urembo leta namba
Nataka utajiri
Asante
Amen🙏🙏