Beauty academy located at dar es salaam ,mabibo
Dada Mimi naomba unifundishe jinsi ya kusuka Mambo twist
Nimeelewa dada asanty 🙏🙏🙏 mungu akubariki
Nashukuru dada unafundisha vzr mistari ya mbele nimeelewa naomba nione na nyuma unakataje mstari
Asante dada mm najua kusuka lakin nashindwa kukata mstar mtu akitaka nywele za katikati nifanyeje?
@@LilianFelix-ip7hx ooh sawa nitaweka ila soma lakin chukua namba tuwasiliaane zaid 0655396829
Mim sijui kabsa hyo hata kushikk
@@TUMAINIMWAKILIMA hatakam huwezi kabisa tutakufundisha mbak utajua kabisa
Umetumia gel gani madam
@@SahleenyHussein All sun, mumy
Asante Sana dada mm nimejifunza leo na nimejua
@@PiliSetembo waoh! Karbu san san kwa somo lingine
Ongera dada yangu kwakutupa elimu bule mungu akulinde kwakweli
@@KhadijaDimppoz Amen dear karbu tena kwa darasa lingine
Kwakweli da marietha 🙌🙌🙌upewe maua yako 🎉🎉🎉🎉
@@cristaezekiel1036 Jaman asanten wanafunzi wangu kwa kunielewa san ni Mungu tuu
Unafundisha vizur kwa utaratubu Hadi mtu anaelewa
@@MAGRETHSAMSON-yp6vt Waoh asante san Magreth na karb kwa mafunzo mengne
Unastahili kuitwa mwalimu wa urembo dada uko vizuri
@@JanethMendrad waoh ni Mungu tu mumy karbu san kwa somo lingne
Ninashida na mdada
Dada naomba namba Yako samahan
@@priscerabdallah7798 sawa mumy 0655396829
Madam nashindwa kuficha nywele yani sijui nakosea wapi..... Madam mimeangalia video vizuri sana 8
Madam nashindwa kuficha nywele yani sijui nakosea wapi..... Madam mimeangalia video vizuri sana
Madam mie najaribu sana tena sana ika nashindwa sehemu moja tu yani nasuka nywele inakuwa juu rasta chini sielewi nakosea wapi
@@SahleenyHussein sawa chukua namba nichek nitakupa maelekezo
Una weza honesha gisi yaku gawa nywele mara 3 ulizo add please
@@LouiseMsafiri yes dia njoo whatsp
@@mariethabeautyschooldada number ina homba code
@@LouiseMsafiri nipe mm namba yako nikucheki
Munguu akubarikii kazi ya mikonoo akoo🎉🎉
@@RachelMsofe ameen dia wang
Nimeelewa San madam
@@JenifaSamson Waoh! karibu san kwa mafunzo mengine
@@JenifaSamson waoh karbu san kwa mafunzo mengne
Madamu nimeelewa lakini kwenye upachikaji wa last ndo bado
Sawa nitakuelekeza kabisa
Nataka kufungua salon lakin cjui kusuka vizur jamaniiii hususan nywele ya mkono
@@PhinaNassoro sawa njoo tuta kufundisha utajua
Nzur sana namm nataman sana kujua
@@JuliethZuberi karbu san tunapokea wanafunz bado
Hongera sana my dear mwenyezi mungu akufanyie wepesi katika kazi hii ya ufundishaji
@@mwanahamisimanglepa418Asante dia wang
Asante sana dada nimejifunza na nime elewa mungu akubariki sana
@@MariaBoniface-me9tb Ameen dia karbu kwa somo lingne
Dada samahan sijaona jina la ger vizur naomba nisaidie kwa ilo
@@JemmyMakindah sawa mumy njoo watsp
Kwa kweli uwalimu wako nimeupenda bure nashukru kwa darasa
@@EsterKhamis-t5u Waoh karbu tena kwa darasa lingne
Yeboyebo je wanasukaje
@@user-wt6un3is2r nimeshaweka hilo soma mumy lipo tayari
Iyo Jeri shingap
Upo vizuri sana madam may god bless you
@@CharityBaran Amen mdg wang karibu sana kwa mafunzo endelevu
Nahitaj sink la kuoshea bei gani
0655-396829
Apo mwisho dada unachomeka nn ili isiachie
Cjui nsemeje jaman nmepata kitu nlkua najaza manywele yoote
😀😀😀 pole sasa zigawe ndo inakuwa rahsi💋
Mungu akutunze kwaajil yetu yan nina saloon ila nlijfunzaga nkawa cjaweza saiv naona napata ujasir wa kujarb tena
Ameen dear na ukihitaji darasa karbu hutajutia kabisa
Hongeraaa Sana dada unafundishaaa vizuriiii
Asante sana mumy karbu kwa somo lingne
Mungu akubari dada
Ameen mumy karibu sana
Asante kipenz Mungu aendelee kukulinda
Ameen kipnz na karbu tena kwa soma lingne
Nimeelewa kabisaaa, nimefurahia mafunzo yako, naomba ufanye video ya stich lines
Asante san kaka ila ilo soma tayari lipo kwa channel yetu
Ok naomba link @@mariethabeautyschool
@@isaacnyaberi5948 ok njoo O655-396829
Utufundshe yebo fasta znatakiwa ziwe ngap na zsukwaje Yan nakuelewa mnoo
Ok sawa nitaweka somo hilo asante kwa kutuelewa Ukilipta tuu uniambie
Mungu akutunze sana
Ameen na karbu sana
🤔🫶🫶🙏
😊🙏🏻🙏🏻
Nimependa sana❤
Waoh karbu san
Nikulize laki moja na nusu nipesagapi kenya
❤
9:20
Kaz nzur dada nimekupenda sana
Ok karbu san san
Karbu sana
Kiukweli dada wewe ni mwalimu bora sana unajua kufundisha, asieelewa hapo wakati ni mgumu kuelewa , Mungu aendelee kukutumia kwaajiri ya wengine ❤❤❤
Ameen Mungu ni mwema na karbu tena
Asantee dada ake
Ameen mumy wang Kwakweli Ni Mungu Asante kwa kunielewa
Asante dada kwa mafundisho shukran saana
Asante kwa somo nimeelewa vizuri
Umeelewa sasa eeh
Sawa karbu tena❤️
@@mariethabeautyschool nimeelewa vizuri kabisa asante kwa kutufundisha
@@MariaMgasa-xr2tc ok karbu san
Ntafurah kupata mafunzo yako vizur naitwa love ness kutoka boma
Ok karbu san
Asante ila mm nikisuka inajikusanya yan haijiachii
Saw nitumie picha nione ikoje
Bei gan yebo ilikuwa inansumbua Ila unafundusha mama nimeona tu nimeelewq
Waoh karb san ten kwa soma lingne
❤❤nahitaji kusoma
Karbu olivamushi 0655-396829 Tupigie Kwamaelezo zaidi
Dada nilikuwa naomba unifundishe mkeka
Пікірлер
Dada Mimi naomba unifundishe jinsi ya kusuka Mambo twist
Nimeelewa dada asanty 🙏🙏🙏 mungu akubariki
Nashukuru dada unafundisha vzr mistari ya mbele nimeelewa naomba nione na nyuma unakataje mstari
Asante dada mm najua kusuka lakin nashindwa kukata mstar mtu akitaka nywele za katikati nifanyeje?
@@LilianFelix-ip7hx ooh sawa nitaweka ila soma lakin chukua namba tuwasiliaane zaid 0655396829
Mim sijui kabsa hyo hata kushikk
@@TUMAINIMWAKILIMA hatakam huwezi kabisa tutakufundisha mbak utajua kabisa
Umetumia gel gani madam
@@SahleenyHussein All sun, mumy
Asante Sana dada mm nimejifunza leo na nimejua
@@PiliSetembo waoh! Karbu san san kwa somo lingine
Ongera dada yangu kwakutupa elimu bule mungu akulinde kwakweli
@@KhadijaDimppoz Amen dear karbu tena kwa darasa lingine
Kwakweli da marietha 🙌🙌🙌upewe maua yako 🎉🎉🎉🎉
@@cristaezekiel1036 Jaman asanten wanafunzi wangu kwa kunielewa san ni Mungu tuu
Unafundisha vizur kwa utaratubu Hadi mtu anaelewa
@@MAGRETHSAMSON-yp6vt Waoh asante san Magreth na karb kwa mafunzo mengne
Unastahili kuitwa mwalimu wa urembo dada uko vizuri
@@JanethMendrad waoh ni Mungu tu mumy karbu san kwa somo lingne
Ninashida na mdada
Dada naomba namba Yako samahan
@@priscerabdallah7798 sawa mumy 0655396829
Madam nashindwa kuficha nywele yani sijui nakosea wapi..... Madam mimeangalia video vizuri sana 8
Madam nashindwa kuficha nywele yani sijui nakosea wapi..... Madam mimeangalia video vizuri sana
Madam mie najaribu sana tena sana ika nashindwa sehemu moja tu yani nasuka nywele inakuwa juu rasta chini sielewi nakosea wapi
@@SahleenyHussein sawa chukua namba nichek nitakupa maelekezo
Una weza honesha gisi yaku gawa nywele mara 3 ulizo add please
@@LouiseMsafiri yes dia njoo whatsp
@@mariethabeautyschooldada number ina homba code
@@LouiseMsafiri nipe mm namba yako nikucheki
Munguu akubarikii kazi ya mikonoo akoo🎉🎉
@@RachelMsofe ameen dia wang
Nimeelewa San madam
@@JenifaSamson Waoh! karibu san kwa mafunzo mengine
@@JenifaSamson waoh karbu san kwa mafunzo mengne
Madamu nimeelewa lakini kwenye upachikaji wa last ndo bado
Sawa nitakuelekeza kabisa
Nataka kufungua salon lakin cjui kusuka vizur jamaniiii hususan nywele ya mkono
@@PhinaNassoro sawa njoo tuta kufundisha utajua
Nzur sana namm nataman sana kujua
@@JuliethZuberi karbu san tunapokea wanafunz bado
Hongera sana my dear mwenyezi mungu akufanyie wepesi katika kazi hii ya ufundishaji
@@mwanahamisimanglepa418Asante dia wang
Asante sana dada nimejifunza na nime elewa mungu akubariki sana
@@MariaBoniface-me9tb Ameen dia karbu kwa somo lingne
Dada samahan sijaona jina la ger vizur naomba nisaidie kwa ilo
@@JemmyMakindah sawa mumy njoo watsp
Kwa kweli uwalimu wako nimeupenda bure nashukru kwa darasa
@@EsterKhamis-t5u Waoh karbu tena kwa darasa lingne
Yeboyebo je wanasukaje
@@user-wt6un3is2r nimeshaweka hilo soma mumy lipo tayari
Iyo Jeri shingap
Upo vizuri sana madam may god bless you
@@CharityBaran Amen mdg wang karibu sana kwa mafunzo endelevu
Nahitaj sink la kuoshea bei gani
0655-396829
Apo mwisho dada unachomeka nn ili isiachie
Cjui nsemeje jaman nmepata kitu nlkua najaza manywele yoote
😀😀😀 pole sasa zigawe ndo inakuwa rahsi💋
Mungu akutunze kwaajil yetu yan nina saloon ila nlijfunzaga nkawa cjaweza saiv naona napata ujasir wa kujarb tena
Ameen dear na ukihitaji darasa karbu hutajutia kabisa
Hongeraaa Sana dada unafundishaaa vizuriiii
Asante sana mumy karbu kwa somo lingne
Mungu akubari dada
Ameen mumy karibu sana
Asante kipenz Mungu aendelee kukulinda
Ameen kipnz na karbu tena kwa soma lingne
Nimeelewa kabisaaa, nimefurahia mafunzo yako, naomba ufanye video ya stich lines
Asante san kaka ila ilo soma tayari lipo kwa channel yetu
Ok naomba link @@mariethabeautyschool
@@isaacnyaberi5948 ok njoo O655-396829
Utufundshe yebo fasta znatakiwa ziwe ngap na zsukwaje Yan nakuelewa mnoo
Ok sawa nitaweka somo hilo asante kwa kutuelewa Ukilipta tuu uniambie
Mungu akutunze sana
Ameen na karbu sana
🤔🫶🫶🙏
😊🙏🏻🙏🏻
Nimependa sana❤
Waoh karbu san
Nikulize laki moja na nusu nipesagapi kenya
❤
9:20
Kaz nzur dada nimekupenda sana
Ok karbu san san
Karbu sana
Kiukweli dada wewe ni mwalimu bora sana unajua kufundisha, asieelewa hapo wakati ni mgumu kuelewa , Mungu aendelee kukutumia kwaajiri ya wengine ❤❤❤
Ameen Mungu ni mwema na karbu tena
Asantee dada ake
Ameen mumy wang Kwakweli Ni Mungu Asante kwa kunielewa
Asante dada kwa mafundisho shukran saana
Asante kwa somo nimeelewa vizuri
Umeelewa sasa eeh
Sawa karbu tena❤️
@@mariethabeautyschool nimeelewa vizuri kabisa asante kwa kutufundisha
@@MariaMgasa-xr2tc ok karbu san
Ntafurah kupata mafunzo yako vizur naitwa love ness kutoka boma
Ok karbu san
Asante ila mm nikisuka inajikusanya yan haijiachii
Saw nitumie picha nione ikoje
Bei gan yebo ilikuwa inansumbua Ila unafundusha mama nimeona tu nimeelewq
Waoh karb san ten kwa soma lingne
❤❤nahitaji kusoma
Karbu olivamushi 0655-396829 Tupigie Kwamaelezo zaidi
Dada nilikuwa naomba unifundishe mkeka