Semeni ukweli kama Aziz ki amesajiliwa simba maana siku hisi Wana habari wamekua waongo sana ana tudanganya kumbe Amna usajili
@RehemaGisombi12 күн бұрын
Kweli azizi ankuja simba
@ZuberiMlanzi12 күн бұрын
MDOMO wa msemaji wa YANGA ndio matokeo yke haya Aziz K kujiunga Simba. Ubabe ubabe udavya undavya kuonyeshana nani mwenye Fedhaa na vihera . Simba ni jeuri kuliko Yanga. Lkn bdo NAE huyu msemaji wa Azam tumkate kilimilimi CHAKE dawa yke ipo jikoni FEI atakuwa mjengoni MSIMBAZI. hapo tunafunga KAZI ytu.
@AlamPascal13 күн бұрын
Naww mayele siuje uokoe jahazi au hadi upewe gali ndo utakuja ,ksma hutaki ongea ,ili waache maneno maneno yasio kuwa na msingi
@AlamPascal13 күн бұрын
Mbona mnakalia maneno tyu uyomayele hafiki, maneno kidgo vitendo kwa sana ,msikalie maneno ,mkafanya usajili mbovu ,tukaanza kupgwa GOLI -5.
@halimalachpat192713 күн бұрын
Hii kama ni kweli inaitwa mwaga mboga nami nimwage unga tulale na njaa Aziz ni mchezaji hodari anapenda kazi yake
@DeodathChinyamba14 күн бұрын
Ngedere wakae hapo yangaaa Simba hatufugi ngedere wala nyani
Jamani simba mchukueni Joseph Ngede waliomwacha yanga ni mzuri sana atatusaidia sana
@davidChisilani15 күн бұрын
Marcelo anatufaa Wana Simba anabalaa
@davidChisilani15 күн бұрын
Hizo ni machine za kazi
@AnnaRuwenge16 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@AyubuKagoma16 күн бұрын
😢
@user-eo3cd9xd5n17 күн бұрын
Jaman mbona utata ki anakuja Simba kwel?
@BahatiMussa-f2r17 күн бұрын
Ata mm napongeza
@PeterMganji18 күн бұрын
Pongez kwa viongoz wa Simba kwa uxajir mtare
@simonndunguru162918 күн бұрын
Kazi kuu ya CEO wa Thimbaa Yeye ni kupiga Picha na Wachezaji wasio wasajili ndio furaha yake Hana mbinu ingine halafu anafurahi Wenzio Makolo Chakavu Madunduka wamenununa ni Utani wa kipuuzi
@CosmasMakongoro19 күн бұрын
watupe uhakika
@JoshuaAmosi-km7yg19 күн бұрын
Sawa lakini mbona wanatanganza Joshua peke yake tu wengine lini
Пікірлер
Sio kwel
Card
😮🎉 1:59 1:59 1:59
Kama ni kweli mungu ametuona
Semeni ukweli kama Aziz ki amesajiliwa simba maana siku hisi Wana habari wamekua waongo sana ana tudanganya kumbe Amna usajili
Kweli azizi ankuja simba
MDOMO wa msemaji wa YANGA ndio matokeo yke haya Aziz K kujiunga Simba. Ubabe ubabe udavya undavya kuonyeshana nani mwenye Fedhaa na vihera . Simba ni jeuri kuliko Yanga. Lkn bdo NAE huyu msemaji wa Azam tumkate kilimilimi CHAKE dawa yke ipo jikoni FEI atakuwa mjengoni MSIMBAZI. hapo tunafunga KAZI ytu.
Naww mayele siuje uokoe jahazi au hadi upewe gali ndo utakuja ,ksma hutaki ongea ,ili waache maneno maneno yasio kuwa na msingi
Mbona mnakalia maneno tyu uyomayele hafiki, maneno kidgo vitendo kwa sana ,msikalie maneno ,mkafanya usajili mbovu ,tukaanza kupgwa GOLI -5.
Hii kama ni kweli inaitwa mwaga mboga nami nimwage unga tulale na njaa Aziz ni mchezaji hodari anapenda kazi yake
Ngedere wakae hapo yangaaa Simba hatufugi ngedere wala nyani
Mayele mbona hamuchui nyie mchukuen nimzur atatusaidia
Jamani simba mchukueni Joseph Ngede waliomwacha yanga ni mzuri sana atatusaidia sana
Marcelo anatufaa Wana Simba anabalaa
Hizo ni machine za kazi
❤❤❤❤❤❤
😢
Jaman mbona utata ki anakuja Simba kwel?
Ata mm napongeza
Pongez kwa viongoz wa Simba kwa uxajir mtare
Kazi kuu ya CEO wa Thimbaa Yeye ni kupiga Picha na Wachezaji wasio wasajili ndio furaha yake Hana mbinu ingine halafu anafurahi Wenzio Makolo Chakavu Madunduka wamenununa ni Utani wa kipuuzi
watupe uhakika
Sawa lakini mbona wanatanganza Joshua peke yake tu wengine lini
hv niukweli macelo ayend amesajiliwa ama tetes 2