Namsifu Maduhu Mwita

Namsifu Maduhu Mwita

Ni wewe Mungu ninakuimbia. Asante sana kwa kunisikia nikiongea na wewe kwa njia ya nyimbo. Pokea sifa na utukufu maana ni wewe uliye Mkuu. Wakati wengine wanasifu watu, majumba, mali na umaarufu wa dunia hii mimi nimechagua kuliinua juu jina Lako takatifu. Nisaidie kuuelekeza moyo na maisha yangu yote kwako.
Wasaidie na wengine wakisia nyimbo hizi ziwaguse kukuelekea wewe. Bado nakuhitaji usiondoke, kaa nami tuimbe pamoja.

19 July 2022

19 July 2022

Пікірлер

  • @JuliethNyenza
    @JuliethNyenza2 күн бұрын

    Amina Mumy Kwa wimbo mzuri

  • @FraceFadhi-w3b
    @FraceFadhi-w3b4 күн бұрын

    Nabarikiwa sana, cozi sichoki kusikiliza ibada yanyimbo za mama yangu namaifu,Mungu akupe kila lenye kheri❤

  • @FraceFadhi-w3b
    @FraceFadhi-w3b4 күн бұрын

    ❤ huyu ndie mwana kondoo wetu

  • @AminaelMachunda
    @AminaelMachunda4 күн бұрын

    Barikiwa sana wii

  • @daudnyore4696
    @daudnyore46965 күн бұрын

    Mungu atanikumbuka Hallelujah Amen

  • @daudnyore4696
    @daudnyore46965 күн бұрын

    Sitasahau Maneno Yako Ya Pekee, Kanisani ukihubiri ya Kwamba "Umekuja ili Roho Moja ipone" Ninabarikiwa Na Nyimbo zako na Wimbo wa Pekee kama Huu umenisogeza karibu na Mungu

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24955 күн бұрын

    Amen jina la Bwana litukuzwe

  • @samwelmwazini
    @samwelmwazini5 күн бұрын

    Mungu atanikumbuka 🧎‍♂️‍➡️🙏🏾🤲

  • @ngusubilambope9122
    @ngusubilambope91225 күн бұрын

    Amen! Amen!

  • @kiyenzensomi904
    @kiyenzensomi9045 күн бұрын

    Nice sister tunabarikiwa sana na wanao kwa nyimbo zako 🙏

  • @calebmaduhu4901
    @calebmaduhu49015 күн бұрын

    Ahsante sana kwa mbaraka wa wimbo maana, kwa neno hili, tunabarikiwa sote. Bwana akubariki sana kwa Huduma yako katika Mambo yako yote.

  • @mtumishitv34
    @mtumishitv345 күн бұрын

    Barikiwa

  • @sylivestermachunda6427
    @sylivestermachunda64275 күн бұрын

    Ameeen 🙏Bwana akutangulie ktk kazi yako ya utumishi kwa njia ya nyimbo.Barikiwa mdogo wangu🤝🤝

  • @FotunataSilivery
    @FotunataSilivery5 күн бұрын

    Ameeni barikiwa sana kwa wimbo wenye ujumbe mzuri mama Angu kipenzi

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24955 күн бұрын

    Fortu wewe❤

  • @LizG4
    @LizG45 күн бұрын

    Whaooo nimeipenda mate wangu. Ubarikiwe sana

  • @AdventTVOnline777
    @AdventTVOnline7775 күн бұрын

    *Kama si Bwana Israeli na aseme sasa.* *Mungu atukuzwe katika ujumbe huu🙏🙏🙏*

  • @joshuaowindi2979
    @joshuaowindi29795 күн бұрын

    Watching from Eldoret, Kenya. To God be the glory.

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24955 күн бұрын

    Amen. God bless you

  • @mathiastemba4784
    @mathiastemba47845 күн бұрын

    Amen mungu azidi kukuongoza dada yangu

  • @waltermahembe9488
    @waltermahembe94885 күн бұрын

    Barikiwa sana

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga36265 күн бұрын

    hakika:Mungu atujaalie mioyo ya subra barikiwa sana mama deborah,mwita ma caleb make sure this talent goes out to deborah

  • @erickkitali
    @erickkitali5 күн бұрын

    Dada Maduhu, Mungu wetu aendelee kutunza huduma njema (Taifa na Kanisa) ndani yako.

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24955 күн бұрын

    Amina Director

  • @EmmanuelSamwelMasunga
    @EmmanuelSamwelMasunga5 күн бұрын

    Ilumbuyu wanheja gete,kulaga uhamgame,Barikiwa sana dada

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24955 күн бұрын

    Wabeja sana nkoyi

  • @namsifumaduhu2183
    @namsifumaduhu21835 күн бұрын

    Mungu Unikumbuke kwa utukufu wako

  • @asifiwemsilu5524
    @asifiwemsilu55245 күн бұрын

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, wimbo mzuri sana, Mafuta ya Roho mtakatifu yazidi sana kuachiliwa juu yako

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24955 күн бұрын

    ❤ Asifiwe wetu

  • @hassanfadhili245
    @hassanfadhili2455 күн бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU bwana akaguse WATU wake kupitia huu wimbo.

  • @eliasmagere3990
    @eliasmagere39905 күн бұрын

    Mtumishi wa Bwana Yesu umenibariki, 🎉❤

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24955 күн бұрын

    Amina sana shemeji yangu. Jina la Bwana libarikiwe sana

  • @barakabahini31
    @barakabahini315 күн бұрын

    Ameen

  • @happyjosephat1729
    @happyjosephat17295 күн бұрын

    Hallelujah. Barikiwa sana Namsifu pamoja na familia yako.

  • @ruthyona9058
    @ruthyona90585 күн бұрын

    Wimbo mzuri nabarikiwa saana 🙏🙏

  • @modestersamwel6684
    @modestersamwel66845 күн бұрын

    Ubarikiwe mtumishi kwa kazi njema.

  • @user-xe2ed6kj5w
    @user-xe2ed6kj5w5 күн бұрын

    Hongera sana kivyele wangu Baba wa mbinguni azidi kukutumia ktk huduma hii

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24955 күн бұрын

    Asnte sana kivyele wangu. Miss you

  • @mosestumaini8022
    @mosestumaini80225 күн бұрын

    Hongera Sana ,kwa kazi njema yenye kutia moyo.Nakuombea Mungu aendelee kukutia moyo.

  • @samwelibyalelo8627
    @samwelibyalelo86275 күн бұрын

    Amen stay Blessed.

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24955 күн бұрын

    Unapitia uzoefu gani maishani mwako? Unatafuta ajira, anahitaji mke au mme na pengine watoto, uko mbali na familia yako, siku zimepita sana hauna matumaini? Mwamini Mungu atakukumbuka na kwa wakati sahihi atakujibu haja yako. Asante kwa comment yako, like na ku share na wengine wapate matumaini. Kama hauja subscribe kwenye channel yetu tafadhali fanya hivyo na Mungu akubariki sana

  • @ruthyona9058
    @ruthyona90585 күн бұрын

    Oooh barikiwa

  • @modestersamwel6684
    @modestersamwel66845 күн бұрын

    Amen Mungu ni mwema

  • @calebmaduhu4901
    @calebmaduhu49015 күн бұрын

    Ahsante sana kwa mbaraka wa wimbo. Bwana akubariki na akuongoze zaidi na zaidi.

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24955 күн бұрын

    ​@@calebmaduhu4901asante baba yangu.Mungu aikumbuke familia yetu pia, akupe afya njema wewe na mama. 🙏

  • @jackykiwelu4128
    @jackykiwelu41285 күн бұрын

    Hongera sana mtumishi wa Mungu wimbo mzuri sana. Mwenyezi Mungu aendelee kunyanyua kipaji chako ❤❤❤

  • @buyambalameck4821
    @buyambalameck48215 күн бұрын

    Mungu hawezi kutusahau Daima atatukumbuka , Ubarikiwe sana kwa wimbo mzuri unaomtukuza Mwenyezi Mungu wa Mbinguni🙏

  • @mwitajohn9153
    @mwitajohn91535 күн бұрын

    Amen

  • @joelelias9771
    @joelelias97715 күн бұрын

    Wow!! Nabarikiwa sana na nyimbo zako Dada yangu Namsifu, Unazidi tu kupaa juu na juu zaidi!! Barikiwa sana sana sana!!!

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24955 күн бұрын

    ​@@joelelias9771amina sana sana pia

  • @user-fo5kg7zq9l
    @user-fo5kg7zq9l6 күн бұрын

    May God bless you am proud of your song

  • @naetwemyombo6041
    @naetwemyombo60416 күн бұрын

    Amina Barikiwa

  • @naetwemyombo6041
    @naetwemyombo60416 күн бұрын

    Bwana azidi kukubariki kwa nyimbo zinazotusogeza karibu na Msalaba

  • @decotha8020
    @decotha80206 күн бұрын

    Ubarikiwe Mama 🙏🙏mimi ni Nyanjara Shimbe.

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita24956 күн бұрын

    Nyanjala wangu ubarikiwe sana mwanangu. Asante kwa kunitia moyo. Mungu akubariki sana. NAKUPENDA MWANANGU

  • @buyambalameck4821
    @buyambalameck48218 күн бұрын

    Waamuzi 16:20 Ubarikiwe sana kwa wimbo mzuri🙏

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita249510 күн бұрын

    Amina kwa Yesu

  • @winniemongina7884
    @winniemongina788422 күн бұрын

    Nice song with good voices

  • @JoyceMbia
    @JoyceMbia23 күн бұрын

    Hakika nimebarikiwa

  • @dinahmanyangu2705
    @dinahmanyangu270523 күн бұрын

    Mungu akubariki Kwa huduma Yako Hakika Bwana unazo nguvu

  • @PendoKachingwe
    @PendoKachingwe24 күн бұрын

    Barikiwa. Sana Dada

  • @danielmagohe4801
    @danielmagohe480124 күн бұрын

    Okorire buya mama

  • @mercychepkorir3751
    @mercychepkorir375128 күн бұрын

    I love this song so much,may you continue being a blessing through songs.

  • @Naom2021
    @Naom202129 күн бұрын

    Can't stop playing this song,,,am blessed through this 🙏🙏🙏🙏

  • @michelntirurashira8303
    @michelntirurashira830329 күн бұрын

    Ubarikiwe işipozimiya kiroho Mungu atakulipa.