Ni wewe Mungu ninakuimbia. Asante sana kwa kunisikia nikiongea na wewe kwa njia ya nyimbo. Pokea sifa na utukufu maana ni wewe uliye Mkuu. Wakati wengine wanasifu watu, majumba, mali na umaarufu wa dunia hii mimi nimechagua kuliinua juu jina Lako takatifu. Nisaidie kuuelekeza moyo na maisha yangu yote kwako.
Wasaidie na wengine wakisia nyimbo hizi ziwaguse kukuelekea wewe. Bado nakuhitaji usiondoke, kaa nami tuimbe pamoja.
Пікірлер
Amina Mumy Kwa wimbo mzuri
Nabarikiwa sana, cozi sichoki kusikiliza ibada yanyimbo za mama yangu namaifu,Mungu akupe kila lenye kheri❤
❤ huyu ndie mwana kondoo wetu
Barikiwa sana wii
Mungu atanikumbuka Hallelujah Amen
Sitasahau Maneno Yako Ya Pekee, Kanisani ukihubiri ya Kwamba "Umekuja ili Roho Moja ipone" Ninabarikiwa Na Nyimbo zako na Wimbo wa Pekee kama Huu umenisogeza karibu na Mungu
Amen jina la Bwana litukuzwe
Mungu atanikumbuka 🧎♂️➡️🙏🏾🤲
Amen! Amen!
Nice sister tunabarikiwa sana na wanao kwa nyimbo zako 🙏
Ahsante sana kwa mbaraka wa wimbo maana, kwa neno hili, tunabarikiwa sote. Bwana akubariki sana kwa Huduma yako katika Mambo yako yote.
Barikiwa
Ameeen 🙏Bwana akutangulie ktk kazi yako ya utumishi kwa njia ya nyimbo.Barikiwa mdogo wangu🤝🤝
Ameeni barikiwa sana kwa wimbo wenye ujumbe mzuri mama Angu kipenzi
Fortu wewe❤
Whaooo nimeipenda mate wangu. Ubarikiwe sana
*Kama si Bwana Israeli na aseme sasa.* *Mungu atukuzwe katika ujumbe huu🙏🙏🙏*
Watching from Eldoret, Kenya. To God be the glory.
Amen. God bless you
Amen mungu azidi kukuongoza dada yangu
Barikiwa sana
hakika:Mungu atujaalie mioyo ya subra barikiwa sana mama deborah,mwita ma caleb make sure this talent goes out to deborah
Dada Maduhu, Mungu wetu aendelee kutunza huduma njema (Taifa na Kanisa) ndani yako.
Amina Director
Ilumbuyu wanheja gete,kulaga uhamgame,Barikiwa sana dada
Wabeja sana nkoyi
Mungu Unikumbuke kwa utukufu wako
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, wimbo mzuri sana, Mafuta ya Roho mtakatifu yazidi sana kuachiliwa juu yako
❤ Asifiwe wetu
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU bwana akaguse WATU wake kupitia huu wimbo.
Mtumishi wa Bwana Yesu umenibariki, 🎉❤
Amina sana shemeji yangu. Jina la Bwana libarikiwe sana
Ameen
Hallelujah. Barikiwa sana Namsifu pamoja na familia yako.
Wimbo mzuri nabarikiwa saana 🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi kwa kazi njema.
Hongera sana kivyele wangu Baba wa mbinguni azidi kukutumia ktk huduma hii
Asnte sana kivyele wangu. Miss you
Hongera Sana ,kwa kazi njema yenye kutia moyo.Nakuombea Mungu aendelee kukutia moyo.
Amen stay Blessed.
Unapitia uzoefu gani maishani mwako? Unatafuta ajira, anahitaji mke au mme na pengine watoto, uko mbali na familia yako, siku zimepita sana hauna matumaini? Mwamini Mungu atakukumbuka na kwa wakati sahihi atakujibu haja yako. Asante kwa comment yako, like na ku share na wengine wapate matumaini. Kama hauja subscribe kwenye channel yetu tafadhali fanya hivyo na Mungu akubariki sana
Oooh barikiwa
Amen Mungu ni mwema
Ahsante sana kwa mbaraka wa wimbo. Bwana akubariki na akuongoze zaidi na zaidi.
@@calebmaduhu4901asante baba yangu.Mungu aikumbuke familia yetu pia, akupe afya njema wewe na mama. 🙏
Hongera sana mtumishi wa Mungu wimbo mzuri sana. Mwenyezi Mungu aendelee kunyanyua kipaji chako ❤❤❤
Mungu hawezi kutusahau Daima atatukumbuka , Ubarikiwe sana kwa wimbo mzuri unaomtukuza Mwenyezi Mungu wa Mbinguni🙏
Amen
Wow!! Nabarikiwa sana na nyimbo zako Dada yangu Namsifu, Unazidi tu kupaa juu na juu zaidi!! Barikiwa sana sana sana!!!
@@joelelias9771amina sana sana pia
May God bless you am proud of your song
Amina Barikiwa
Bwana azidi kukubariki kwa nyimbo zinazotusogeza karibu na Msalaba
Ubarikiwe Mama 🙏🙏mimi ni Nyanjara Shimbe.
Nyanjala wangu ubarikiwe sana mwanangu. Asante kwa kunitia moyo. Mungu akubariki sana. NAKUPENDA MWANANGU
Waamuzi 16:20 Ubarikiwe sana kwa wimbo mzuri🙏
Amina kwa Yesu
Nice song with good voices
Hakika nimebarikiwa
Mungu akubariki Kwa huduma Yako Hakika Bwana unazo nguvu
Barikiwa. Sana Dada
Okorire buya mama
I love this song so much,may you continue being a blessing through songs.
Can't stop playing this song,,,am blessed through this 🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe işipozimiya kiroho Mungu atakulipa.