PHINU MEDIA is Owned by PHINU TANZANIA COMPANY LIMITED a Company registered under Tanzania act of Companies in 24th day of March 2023 with Registration Number164593797
The Company is Dealing with Radio Broadcasting, P.A system, Online Contents and General Entertainments.
We do not own any copyright of any Videos, Pictures, or any contents .
This Chanel is for Educating, Entertaining, and Informing different News, tourism attraction, culture, we also produce various Programs to educate the Community.
Please Subscribe to our Chanel and Follow us to our social Network.
FOR MORE INFORMATION CONTACT US :
P.O.BOX 137 MPANDA ,KATAVI,
MOB: +255 767803433 / +255 757544454,
Website: www.phinu.co.tz ,
EMAIL: [email protected]
Пікірлер
Tunaomba location
@@ntulimwakimonga6966 IPO HALMASHAURI YA NSIMBO
safi
Hongera phinu
Kuna kazi ila tutafika
Yaani hapo unge ulizia Moira au Mziki unge pewa ese za kutosha😂😂😂😅😅
Inaonesha jinsi ambavyo tumekuwa wavivu wa kufuatilia Mambo ya msingi badala yake mda mwingi ni soga za mpira na kubeti.
Afike mbali
Daah huyo mtoto aliyesoma habari ana kitu alike mbali❤❤
Katavi yetuu❤
Mheshimiwa Anna Richard Lupembe,mbunge wa Nsimbo kwa zaidi ya mwaka zaidi ameanzisha ligi ya Lupembe Cup ambayo timu kadhaa za mpira wa miguu kwenye kata ndani ya jimbo lake hushindana. Nampongeza sana kwa jitihada hizo. Nashauri sasa ageukie au aanzishe sambamba na ligi ya wanaume iwepo na ligi ya mpira wa kikapu na pete na wabunge na wadau wengine waanzishe ligi hizi kwa mkoa mzima.
Netball Mpanda ilikuwa juu sana miaka ya. 1970 na siyo Netball tu hata football Tatizo ni viongozi wengi waliokuja baadaye wakawa hawana mwamko kimichezo.Kwa Sasa mna bahati Mkuu wa mkoa na pia RAS wote Ni wanamichezo Wapeni ushirikiano
Sasa kama utaipeleka kwenye makumbusho unaomba wakusaidie kutengeneza ili iweje peleka hivohivo na matobo yake ikiwezekana ijengewe kajumba kadogo
N hatare tupu yaaan watu wanajipatia ridhiki wao wamekaa tu ofisin wananchi wanateseka tu...Tz hii
Hao ndio snaipar wa kisukuma hivi hana nyoka humo au siafu
Hawagopi nyoka?
Tunaomba namba simu yako doctor
wakishua kapewa maiki 😅
Haya siyo mafuriko ni maji ya mvua kubwa mafuriko uwa yana tokana na mito iliyo Fura
Kwani huwa mito inafurishwa na nini kama siyo mvua kubwa? 😅
Why did Ruto kill the General Ogola ? Now look how he is crying
Nikweli tumezidi dhambi nabado
Alhamdulillah Allah is washing his lands Allahu-Akbar
Nimecheka😂😂😂❤
Katavi ng'aring'ari
Poleni sana
Gunia la mpunga bei gan kwa sasa
Katika yote Mungu awalinde
Hii ni is haraka ya ghadhabu ya Mungu
Pole sana
Poleni sana. Mungu atusamehe tulipokosea yarab
wapi
dunia yote imepata mafuriko kwa mwezi mmoja tu kiama kweli hakichukuwi sekunde kishasafisha
Duuh mtanifanya nije leo 😂😂
👍
Kakaaaa
Wapi hapo
✌️✌️
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Dubai hapo?
😂😂😂Dubai ten
Nchi gani hii
Tanzania 🇹🇿
Rukwa katavi Tanzania
😢
Phinu nawapata, hongereni sana
Pole wapendwa
🙆🙆
Poleni wapendwa
Poleni Sana
MPANDA SIYO YA CHADEMA NIYAWATA ZANIA ACHENI UHUNI
Wanaopinga wote ni chawa ukweli utaendeleaje na mfumo kandamizi na akili za kuunga unga.
EM ACHEN MAWAZO YA OVYO TUNATAKA HOJA ZA MAANA ZITAKAZO TUFANYA TUSONGE MBELE SIO KILA SIKU MNAWAZA KUANDAMANA HIV MMEWAH SKIA TAIFA LIMEENDELEA KWA KUANDAMANA 😢😢😢
mwaka wa masembe
Bado hamja sema umalaya uvaaji uchi upunga umezidi kwetu nahii nilaana itaeendelea kutunyoosha