Africa TV2

Africa TV2

Пікірлер

  • @user-wb2wp5pe9p
    @user-wb2wp5pe9p18 сағат бұрын

    Mashaallah ❤❤

  • @SalamaBakari-eh1mz
    @SalamaBakari-eh1mzКүн бұрын

    Yaani shekhe umenifurahisha ulivyojibu suwala la talaka maana huku kwetu pamoja na kuwa na mahama ya ndowa lakini watu wamapenda saana kuchezea talaka halafu wakatafuta njia ya mkato ingekuwa uko huku basi wangetia akili maana wana kitu kama kibri wanapenda kuchezea talaka

  • @MahmoudSniper-bi2qy
    @MahmoudSniper-bi2qy2 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @YahayaKwayu
    @YahayaKwayu2 күн бұрын

    Kwel kabisa

  • @BurhaniSaidi
    @BurhaniSaidi3 күн бұрын

    Je ukivunja kisha ukamuowa huyo mwanamke

  • @user-lw3kp8ns2o
    @user-lw3kp8ns2o4 күн бұрын

    Allah akuweke wajina wangu nduli

  • @SalmaMwakileta
    @SalmaMwakileta4 күн бұрын

    Congrats brother Muhammad for that step with your team, watching from kwale kmtc

  • @YussufMossi
    @YussufMossi5 күн бұрын

    Good

  • @SalamaBakari-eh1mz
    @SalamaBakari-eh1mz5 күн бұрын

    Sauti ndogo

  • @SalamaBakari-eh1mz
    @SalamaBakari-eh1mz5 күн бұрын

    Tunalia na sauti inakuwa ndogo tunaomba iongezwa kidogo

  • @rehemawalters8226
    @rehemawalters82266 күн бұрын

    Kazi nzur Daktar Joshua

  • @justrelax0999
    @justrelax09996 күн бұрын

    Kwa kweli hiki kipindi ni kizuri, karibu tena daktari kwa elimu nyingine zaidi

  • @EliaMhiro
    @EliaMhiro6 күн бұрын

    Tunawapa vema kabisa na tunabarikiwa na maelezo ya daktari

  • @MakayIsmail
    @MakayIsmail6 күн бұрын

    MashaAllah❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢🎉😂😂

  • @SalamaBakari-eh1mz
    @SalamaBakari-eh1mz9 күн бұрын

    Jamani jamani jamani tunaomba kwa wale wanaotaka kujisikia wakati wa wanauliza hebu tuachane nao wanatuudhi wanatupotezea muda wakati muda huo tungefaidika kwa wengine na sisi tuna haki ya kusikilizwa ni kweli tunawahitaji lakini wanatukera

  • @yussufshaaban1013
    @yussufshaaban10139 күн бұрын

    Assalaam alyakum warahmatullah wabarakatuh Sheikh samahan je unaweza kuswali swala ya usiku peke yako amby ni ya Faradh kama Isha na ukatoa sauti? Kama upo mazingira amby uko mwenyewe tu tofaut na mskitini

  • @user-yu9gy6dg3g
    @user-yu9gy6dg3g11 күн бұрын

    SHUKRAN SANA AFRICA TV2 ALLAH AWALIPE KWA KUSIMAMIA HIKI KIPINDI & VENGINEVYO VENYE MANUFAA KWETU, BARAKALLAH MASHALLAH TEAM YA AFRICA TV WOTE.

  • @ramadhanshabani6845
    @ramadhanshabani684511 күн бұрын

    Allah akulipe kila la kheri sheikh wetu kutuwakilisha vyema

  • @janethngowi2029
    @janethngowi202912 күн бұрын

    Wewe ni mwl mzuri sana wa mazoezi . Asante

  • @mohammedamour4930
    @mohammedamour493012 күн бұрын

    maashaallah

  • @NammanaMobile
    @NammanaMobile12 күн бұрын

    Hana elimu uyo anatafuta kiki..... Mwenyezi Mungu alishayamaliza ayo kwa lengo la kutokufanya uislam uonekane mgumu ... Kwenye safar kila mmoja na iman yake huwez kuuzi watu kwa ajili ya iman ya mwingine... Msafiri ameambiwa asifinge kwenye safari na ktk kipengele cha sala.. Zipo sala za safari unaruhusiwa kusali ukiwa umekaa au kusali rakaa za safar kabisa kabla ya safari

  • @allyhamad3723
    @allyhamad372313 күн бұрын

    Mungu akubarrq shk wetu dakika 5 had 25 cio nying hyvo lazma liangaliw

  • @MpumaLanga-vc4zh
    @MpumaLanga-vc4zh13 күн бұрын

    Mashaallah. Kweli kabisa

  • @mudiali4506
    @mudiali450615 күн бұрын

    Askm. Maalim Ma asha Allah. Alhamullillah. Vizuri saana, Allah ata kulipa kwa, ujumbe huu

  • @NgamoNcubuaIssufo
    @NgamoNcubuaIssufo15 күн бұрын

    Eu amo mais este meu irmão.que ALLAH lhe dà facilidade de saber mais

  • @NgamoNcubuaIssufo
    @NgamoNcubuaIssufo15 күн бұрын

    Eu amo mais este meu irmão.que ALLAH lhe dà facilidade de saber mais

  • @bibahhadith
    @bibahhadith16 күн бұрын

    MaashaaAllah MaashaaAllah MaashaaAllah mada nzuri

  • @mkasi-g6z
    @mkasi-g6z17 күн бұрын

    Assalam Allykum je anae dai talaka hlf hajapewa talaka kasema kwa hasira t ana hukmu hy hy

  • @SuleimanHassan-zq7dv
    @SuleimanHassan-zq7dv18 күн бұрын

    Mashallah

  • @user-bm8wd3sk7i
    @user-bm8wd3sk7i20 күн бұрын

    ماشاءاللہ

  • @HalfatMo
    @HalfatMo21 күн бұрын

    . mashaallah tuwape maua Yao raudha

  • @mwajohari4385
    @mwajohari438522 күн бұрын

    Alhamdulillah,, Masha Allah

  • @leilasaid3623
    @leilasaid362323 күн бұрын

    Nahitaji dawa doctor kwa ajili ya mdogo wangu anae sumbuluwa na tatizo ilo dalili zote anazo

  • @leilasaid3623
    @leilasaid362323 күн бұрын

    Kwa iyo naomba niunganishe nikupate ulipo

  • @leilasaid3623
    @leilasaid362323 күн бұрын

    Doctor mim nina mdgo wangu anasumbuliwa na tatizo hilo nakupataje

  • @user-mm5tg7ny6x
    @user-mm5tg7ny6x23 күн бұрын

    Allah akupe mwisho mwema

  • @sorrowslave2062
    @sorrowslave206223 күн бұрын

    اللهم صل وسلم وبارك على نبينا محمد

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed24 күн бұрын

    Ishaalwa

  • @user-hp1im5ek4r
    @user-hp1im5ek4r25 күн бұрын

    Umeseama jiwe jeusi yaani na hakiri zangu timamu nisujudie jiwe jeusi Kweli uislamu ni ushetani kabisa

  • @Agness-q6h
    @Agness-q6h25 күн бұрын

    Maa sha Allah ❤

  • @salumjumasaid1266
    @salumjumasaid126625 күн бұрын

    ❤❤❤Mashallah

  • @maryamhassan1154
    @maryamhassan115425 күн бұрын

    Jazaka wallahu lkheir sheikh

  • @SalamaBakari-eh1mz
    @SalamaBakari-eh1mz26 күн бұрын

    Unaona usumbufu huo anaposhikiliwa mpaka ajisikie wanatupotezea muda wanatu udhi

  • @SalamaBakari-eh1mz
    @SalamaBakari-eh1mz26 күн бұрын

    Nilikuwa naomba nikweli watazamaji na wasikilizaji tuna wahitaji lakini wale wanaofanya ugaidi wa kuwa lazima wajisikie bora anapofanya hivyo muachane nae ili kutowa nafasi kwa wenge na wanatupotezea muda ambao ni muhimu sana kwetu please

  • @AkilidjumaMundu-ub9os
    @AkilidjumaMundu-ub9os26 күн бұрын

    Hapana inbox utawahomba hela watu iyandike hapahapa

  • @AbdulrazakiMiraji
    @AbdulrazakiMiraji27 күн бұрын

    mashaallah kaka affaiz Allah akupe umri mref

  • @MasturaMohd-e7w
    @MasturaMohd-e7w27 күн бұрын

    157 2lee vyema watto we2 masha ALLAH affaizu luheta🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😂😂😂

  • @SalamaBakari-eh1mz
    @SalamaBakari-eh1mz28 күн бұрын

    Tunaomba munapotangaza vipindi karibu ya vyote muangalie sauti munatunyima hatusikii vizuri please!;:

  • @kudrakane3866
    @kudrakane386629 күн бұрын

    Masha laah

  • @kudrakane3866
    @kudrakane386629 күн бұрын

    Masha laah