Mbwana Mohamed Ally know as MBDOGGMASTER he is a local based Tanzania artist born in TANGA REGIONAL JUNE 17 Founder of lavdav style 1999) From a family of 5 children family of FATHER and MATHER, come from a tribe of WADIGO.Arist, singer,Actor,musician,song writer,composer. WHY.MBDOGGMASTER...M B [mbwana] DOGG[the name was given to him by his mother,reason that he was a good friend to their DOGGS and disliked any body who could abuse the DOGGS then he was nominated [DOGG] MASTER come from karate man...MDOGGMASTER ,his afro hair and dredrocks look big boy.Have 4 children who is WARDA,DIGNAA,ADILI and MOHHAMED.Have 2 ALBUM First realeased 2005 have 10 song like LATIFAH,MAPENI KITUGANI,SI ULINAMBIA,INAMANA and other 5 song.Which come top selling album of the year 2005/2006 and AWARDED the best ALBUM of KILIMANJARO MUSIC AWARD also is the best upcoming artist winner of 2004/2005 KILIMANJARO MUSIC AWARD&BEST MALE ARTIST OF THE YEAR 2009 IN KTMA AWARDS. Second ALBUM realeased 2010.
Пікірлер
🎉🎉🎉
Best song ever…
Kweli huu wimbo hauchuji, nakumbuka miaka ya 2004
2005 Hii!
We latifah we
Nakubali san
2024🎉🎉🎉🎉🎉
Tunaoangalia hili song 2024 tujuane🎉🎉
Come niku-show.
Classic hit🔥
“Na uliposema waja wengi walikungojea, ila…Muda umepita Abdu Bonge umeshamboa. Vivi kangoja mpaka Mola amemchukua…” (hapa kwenye Vivi anamaanisha Vivian mtangazaji wa clouds ambaye alikua girlfriend wa Complex. Enzi hizo walipata ajali wakafa pamoja. Watu wanachanganya wanadhani anasema “Abdul Bonge, hivi kangoja mpaka mola amemchukua” Kipindi hichi Bonge alikua hajafa bado. Hawa jamaa walikua masela wetu na Complex enzi hizo Kimara. Vivian alikua na Complex kila mahali wanadundana wanarudiana. Siku chache kabla hawajasafiri walitaniana Complex alimwambia Vivi, wewe tutagombana tu ila tutakufa pamoja. Days later, wakaondoka pamoja. Katika watu mafundi Tanzania wakucheza na maneno, Dogg ni number one. Wachache sana wenye wanaweza kuelewa mistari ya verse ya kwanza ya ile ngoma yake ya Mapenzi Kitu Gani. Jamaa alitumia akili sana kuandika hii nyimbo. Verse ya mwanzo ameficha kwa kutaja RADIOS zote kipindi hicho bongo na KWAFUJO DJ. UHURU, FREE (RADIO FREE AFRICA), MLIMANI RADIO, ONE (Radio ONE), TIMES (time zishafika), RTD (Radio Tanzania), KISS FM(nikiss nnapotoka) etc. Kichwa Verse 1 Huamini miujiza mchumba Sauti ya NYUKI inasikika Sogea karibu baby, TIME zishafika Unipe UHURU 'dear NiKISS' nnapotoka Tukae MLIMANI dear Niwe FREE ndani ya kopa Penzi KWA FUJO my boo Moyo wangu ushauteka RAHA ya Afrika RTD Mimi ndo ONE naskika Hivi kwanini dear Moyo wangu unautesa Hivi hushoboki dear Inavyonipenda EAST AFRICA Yii yii dear
Them vocals🔥
Is there anyone from Kurasini Temeke municipality listening to this track in 2024?
2024 June ❤
Bro are you a time traveler? We are in 27th of May 2024😂
Finally umeingia youtube rasmi kwa channel yako, Big up sana Man Dog Man aka MB DOGG..... DADY MASTER
Old is gold
Nc🥰🥰🥰🥰🙏🙏
MB Doggs umkuwa wapi all this time bro? Ngoma zako bado zipo na zinatikisa anga ya kizazi kipya. Rudi na mapya hawa wenzako wameharibu mziki wa pa Africa mashariki kabisa.
Kwan uyu mkaka yupo wap saiv jmn aje nimpe mauwa yake ilov it 🎉🎉
Inanikumbusha kipindi msichana
I hope diamond wa Zari huskiza mashairi humu.....
Amefanana na kakayangu alipotea siku chache baada ya huu wimbo kutoka, am crying every time nikiuskia huu wimbo, now 2024,
Jina langu niLatifah, you have no idea how this song makes me feel 😢❤, Haya umenipata😅
Safi sana
Mad love from Kenya. This song was so soothing.❤❤❤❤ memories brought me here. 2024
😢❤
Kwann hamuimbi wazee wa zamani❤
Mb Dogg still Rocking living legend
Wewe kiba achawe
Sagaplashe
Japo niakitambo lkn naikumbuka sana
Hii nyimbo haitokuja kuchuja milele
Bongo project imenirudisha huku.
Still love the song
Wanaoskiza 2024 gonga like,
Diamond anaharibifa numinous za tanzania kbsa
Ngomakali saiy
Mb dogg katudanganya mbn sioni mond popote
2024❤❤
hatuwezi kusahau tuliko toka men😍😍
True❤
1:17 nakubuka kipindi nasoma ug na Airun bukoba ilikua fire
nilikua daraasa la 3 iyo 2008 kuna dogo mkali sana alikua anaitwa zerah sasa nilikuaga namuona kwa nadra sana maana alikua anasoma shule za kishua ,sasa hii song ilikua nikiiskia nilikua naifeel sana😂
Aloooh maisha yalikuwa nabuhalisia sana muda huo mitaa ilikuwa kama ndugu wa ukoo mmoja daaaah respect mb dogg
❤❤❤ inanikubusha mbali
Nakubali ❤
Nyimbo nzuri sana inanikumbusha miaka ya 2002 _2004
2005 Ndo imetoka!
❤️
2080 mkiwa mnasikiliza hii nyimbo mkumbuke cc ndo babu zenu
22.02.2024
Achen imenigusa sana
Niko apa niende wapi tena
Enzi hizo, nostalgie totale 😢😢
latifah alikua amechanganya mchizi,this was/is a classic,hi ngoma ilisumbua
Wow really? Thats so sad