Welcome to Digital News Tanzania.
Contact Us Via
[email protected] or Call Us via Phone No. +255747905086 OR +255621209086
Karibu Digital News Tanzania kwa Habari za Uhakika.
Ndugu mfuatiliaji wetu wa Chanel hii Sisi kama Digitalnewstz tumeamua kukusogezea Habari mbalimbali kutoka pande zote za Tanzania na Duniani kwa Ujumla hivyo tutahakikisha kuwa hupitwi na Jambo lolote linaloendelea Hapa Nchini.
Digital News Tanzania tutakuleta habari mbalimbali kama vile Michezo,Burudani, Kilimo,Afya,uchumi,na Nyinginezo.
Kwa kuzingatia Tamaduni zetu za Kiafrika na Miongozo mbalimbali ya Nchi yetu Unaombwa kutoa maoni Mazuri yasio na lugha ya matusi ama Kejeri yeyote kwa Mtu binafsi ama Serikali yetu.
Hivyo basi sisi kama Digitalnewstz hatutahusika na Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na Miongozo mbalimbali ya Nchi yetu.
CLICK HERE TO VIEW : kzread.info/dron/bG7VXCcE8KrK2vtbCRVKJw.html
Пікірлер
Huyu ndo yule chiz alyerogwa tena
Naomba mawasiliano
UMETUTENDEA HAKIII MTANGAZAJIIIIII😀😀😀😀😀😀😀
Thanks for watching
Balozi ni kofia na bendera kwake. Hawana ijara na hawawezi kukumbukwa
Nimevutiwa na hiyo speach
We mwanya bange nini
Naomba mnipe mtoto mmoja nimlee napenda sana watoto nami sina hata mtoto naomba mnisaidie
Huyu alikuwa na akili vibaya. Genius
Mpaka nimecheka sehem za siri za nguruwe mmoja ni sawa na nguruwe wa kawaida
Hawa watanzania wanaoenda kilabu bigwa hakuna atakaefika makundi
Ya Leo ama marudio Tena
Simba nguvu moja
Safiiiiiiiiiii simba nguvu moja
Gym lazima waende lazima kaka
Simba wanarudia jambo lilelile mzoezi ya Jim muhimu sana wachwzaji wanakosa fizic
Timu yangu pendwa
Gym muhimu speed its very important
Where is kibu Denis a,k a mkandaji? I hope this season kibu will be great great the same as chasambi and mwenda, love you all
Great
Hongera mr msnguruwe
Mpete ni Diwani mwenye maono na ni kiongozi bora sana. Mpenda maendeleo na mtetezi wa kweli wa wananchi bila kubagua. Tuzidi kumuunga mkono katika kila hatua ya Uongozi wake.
Yote mema utukufu kwa Mungu wetu
Munaharibu nchi yenu bure gharama za maisha zimepanda dunia nzima fungeni mikanda
Mbona hata miti bado Wana vuna wamekuja kuvuna nakuondoka kwahiyo tumepigwa hata hivo wamevumilia sana
Safi sana Msigwa achana nao hicho ni chama cha kanda tangu nazaliwa jamaa ni chairman😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Mbona umeogopa
Wewe mnyiha ni kiboko nmekukubar yn hakuna mnyiha Kama wewe watu wa vwawa pigen kelele kwa Mr manguruwe mkoa wa sogwe Sasa pamekua mujini
Hii nchi ngumu sana....inaanza hivi mwisho kikombe cha Babu
Hiyo ni cross breed ya ngiri
Hawa jamaa sijui wanatokea wapi?....
Hivi huyu SI ndio alikuwa na Vanilla
Nawapata vilivyo,nimevutiwa sana,hongera Sana,nashukuru kwa maelekezo mazuri
Magufuli 🎉
huyu jamaaa siiui km anakili
Yaan hakuna rais km ww.. nakupenda bure❤❤
Mizinga yenye nyuki inauzwa bei gani ?
Mji hautoweza kuendelea kama Kuna watu wanakwamisha maendeleo ya mji wanamakambako wanahitaji Makambako iwe wilaya Sasa kama mnapinga ukuwaji wa mji mnafikiri hadhi ya mji kupandisha daraja unakuja tu hebu maamuzi sahihi yafuatwe Hawa wafanyabiashara wahame tu miji yote iliyoendelea watu wake hasa wafanyabiashara lazima wakubali maendeleo ya mji yatekerezeke
Ww ndiye ulie kuwa raisi pekee❤❤❤❤❤
Mwana inchi huyo amakuja kuomboleza amenisulika kuuwawa. Tena aliinua mikono kuonyesha hana ubaya.
Hizo lugha za asili atajua lugha ya kigen mhm
Kisii is not forgotten
Kweli😊
😂😂😂
Video quality mbovuu
Thanks for watching our channel
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tutafute Cha z.
Mzuri Sana kwali 💖
0759337959
Hataliii sanaaa
Kweli🎉🎉🎉🎉