DIGITAL NEWS TZ

DIGITAL NEWS TZ

Welcome to Digital News Tanzania.
Contact Us Via
[email protected] or Call Us via Phone No. +255747905086 OR +255621209086
Karibu Digital News Tanzania kwa Habari za Uhakika.
Ndugu mfuatiliaji wetu wa Chanel hii Sisi kama Digitalnewstz tumeamua kukusogezea Habari mbalimbali kutoka pande zote za Tanzania na Duniani kwa Ujumla hivyo tutahakikisha kuwa hupitwi na Jambo lolote linaloendelea Hapa Nchini.

Digital News Tanzania tutakuleta habari mbalimbali kama vile Michezo,Burudani, Kilimo,Afya,uchumi,na Nyinginezo.

Kwa kuzingatia Tamaduni zetu za Kiafrika na Miongozo mbalimbali ya Nchi yetu Unaombwa kutoa maoni Mazuri yasio na lugha ya matusi ama Kejeri yeyote kwa Mtu binafsi ama Serikali yetu.

Hivyo basi sisi kama Digitalnewstz hatutahusika na Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na Miongozo mbalimbali ya Nchi yetu.

CLICK HERE TO VIEW : kzread.info/dron/bG7VXCcE8KrK2vtbCRVKJw.html

Пікірлер

  • @enockthefirstboy8893
    @enockthefirstboy88935 сағат бұрын

    Huyu ndo yule chiz alyerogwa tena

  • @HamisIdd-oe5xt
    @HamisIdd-oe5xt17 сағат бұрын

    Naomba mawasiliano

  • @ludewayetutv
    @ludewayetutvКүн бұрын

    UMETUTENDEA HAKIII MTANGAZAJIIIIII😀😀😀😀😀😀😀

  • @digitalnewstz
    @digitalnewstz6 сағат бұрын

    Thanks for watching

  • @nelsonkyando3146
    @nelsonkyando31465 күн бұрын

    Balozi ni kofia na bendera kwake. Hawana ijara na hawawezi kukumbukwa

  • @jbmgm4970
    @jbmgm49706 күн бұрын

    Nimevutiwa na hiyo speach

  • @user-lw4hr8xh6v
    @user-lw4hr8xh6v7 күн бұрын

    We mwanya bange nini

  • @user-vy6yy6ic2u
    @user-vy6yy6ic2u7 күн бұрын

    Naomba mnipe mtoto mmoja nimlee napenda sana watoto nami sina hata mtoto naomba mnisaidie

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l11 күн бұрын

    Huyu alikuwa na akili vibaya. Genius

  • @ibrahimkahebo7062
    @ibrahimkahebo706211 күн бұрын

    Mpaka nimecheka sehem za siri za nguruwe mmoja ni sawa na nguruwe wa kawaida

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d11 күн бұрын

    Hawa watanzania wanaoenda kilabu bigwa hakuna atakaefika makundi

  • @MZAMILUMNYOTI
    @MZAMILUMNYOTI11 күн бұрын

    Ya Leo ama marudio Tena

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp12 күн бұрын

    Simba nguvu moja

  • @lullebolle808
    @lullebolle80812 күн бұрын

    Safiiiiiiiiiii simba nguvu moja

  • @lullebolle808
    @lullebolle80812 күн бұрын

    Gym lazima waende lazima kaka

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha305513 күн бұрын

    Simba wanarudia jambo lilelile mzoezi ya Jim muhimu sana wachwzaji wanakosa fizic

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d13 күн бұрын

    Timu yangu pendwa

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko808813 күн бұрын

    Gym muhimu speed its very important

  • @BADILIJUSTUS-fs3oo
    @BADILIJUSTUS-fs3oo13 күн бұрын

    Where is kibu Denis a,k a mkandaji? I hope this season kibu will be great great the same as chasambi and mwenda, love you all

  • @SMILE-df1wc
    @SMILE-df1wc13 күн бұрын

    Great

  • @davidisamson7401
    @davidisamson740114 күн бұрын

    Hongera mr msnguruwe

  • @mohdmood9726
    @mohdmood972614 күн бұрын

    Mpete ni Diwani mwenye maono na ni kiongozi bora sana. Mpenda maendeleo na mtetezi wa kweli wa wananchi bila kubagua. Tuzidi kumuunga mkono katika kila hatua ya Uongozi wake.

  • @user-bm2ry6jy5m
    @user-bm2ry6jy5m18 күн бұрын

    Yote mema utukufu kwa Mungu wetu

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor852818 күн бұрын

    Munaharibu nchi yenu bure gharama za maisha zimepanda dunia nzima fungeni mikanda

  • @IbrahimMgaya-i1o
    @IbrahimMgaya-i1o19 күн бұрын

    Mbona hata miti bado Wana vuna wamekuja kuvuna nakuondoka kwahiyo tumepigwa hata hivo wamevumilia sana

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana808420 күн бұрын

    Safi sana Msigwa achana nao hicho ni chama cha kanda tangu nazaliwa jamaa ni chairman😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @godypatrick6485
    @godypatrick648522 күн бұрын

    Mbona umeogopa

  • @KiredioChayanga
    @KiredioChayanga22 күн бұрын

    Wewe mnyiha ni kiboko nmekukubar yn hakuna mnyiha Kama wewe watu wa vwawa pigen kelele kwa Mr manguruwe mkoa wa sogwe Sasa pamekua mujini

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima528126 күн бұрын

    Hii nchi ngumu sana....inaanza hivi mwisho kikombe cha Babu

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima528126 күн бұрын

    Hiyo ni cross breed ya ngiri

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima528126 күн бұрын

    Hawa jamaa sijui wanatokea wapi?....

  • @khajirashid3455
    @khajirashid345529 күн бұрын

    Hivi huyu SI ndio alikuwa na Vanilla

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206Ай бұрын

    Nawapata vilivyo,nimevutiwa sana,hongera Sana,nashukuru kwa maelekezo mazuri

  • @nicodemusfidelis3772
    @nicodemusfidelis3772Ай бұрын

    Magufuli 🎉

  • @immadangote6001
    @immadangote6001Ай бұрын

    huyu jamaaa siiui km anakili

  • @user-cl7km9ob3m
    @user-cl7km9ob3mАй бұрын

    Yaan hakuna rais km ww.. nakupenda bure❤❤

  • @eliakasalile6527
    @eliakasalile6527Ай бұрын

    Mizinga yenye nyuki inauzwa bei gani ?

  • @djkakachannel4292
    @djkakachannel4292Ай бұрын

    Mji hautoweza kuendelea kama Kuna watu wanakwamisha maendeleo ya mji wanamakambako wanahitaji Makambako iwe wilaya Sasa kama mnapinga ukuwaji wa mji mnafikiri hadhi ya mji kupandisha daraja unakuja tu hebu maamuzi sahihi yafuatwe Hawa wafanyabiashara wahame tu miji yote iliyoendelea watu wake hasa wafanyabiashara lazima wakubali maendeleo ya mji yatekerezeke

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2vАй бұрын

    Ww ndiye ulie kuwa raisi pekee❤❤❤❤❤

  • @alexntahiraja2974
    @alexntahiraja2974Ай бұрын

    Mwana inchi huyo amakuja kuomboleza amenisulika kuuwawa. Tena aliinua mikono kuonyesha hana ubaya.

  • @user-od6dt1yr9o
    @user-od6dt1yr9oАй бұрын

    Hizo lugha za asili atajua lugha ya kigen mhm

  • @benedictamokinu8190
    @benedictamokinu8190Ай бұрын

    Kisii is not forgotten

  • @YOUNGDIDANMASEREKA
    @YOUNGDIDANMASEREKAАй бұрын

    Kweli😊

  • @aminahassani-jh5rp
    @aminahassani-jh5rpАй бұрын

    😂😂😂

  • @njbtv2982
    @njbtv2982Ай бұрын

    Video quality mbovuu

  • @digitalnewstz
    @digitalnewstzАй бұрын

    Thanks for watching our channel

  • @user-ix8rf4of9i
    @user-ix8rf4of9iАй бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SAMSONNDONDOLE
    @SAMSONNDONDOLEАй бұрын

    Tutafute Cha z.

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9czАй бұрын

    Mzuri Sana kwali 💖

  • @digitalnewstz
    @digitalnewstzАй бұрын

    0759337959

  • @RogathaHaule
    @RogathaHauleАй бұрын

    Hataliii sanaaa

  • @dainizotz
    @dainizotzАй бұрын

    Kweli🎉🎉🎉🎉