Je mnakagua wavuvi wanao chota mchanga kwenye mafungu
@latiphajackson490110 күн бұрын
Ipo sehemu gani?!
@SudiKhamisi11 күн бұрын
Mangu atasikia kilio chenu watu wapemba mupo kwenye kudai haki yenu kweli mwinyi siomwezenu juweni Nifiriauni huyo
@Jabal_Khiraa201712 күн бұрын
kzread.info/dash/bejne/p6aal9Wimrurj9I.htmlsi=prx4WN6t5TEtHzHz Dr.Hussen Aly Mwinyi nasheed ❤ Hii si ya kukosa
@nassorseif790714 күн бұрын
Hujajengq wewe pesa za covid kaleta mama Samia wewe kazi yako kupiga mapesa na jamaa zako dunia ni ya kupita tu kusanya hata dunia nzima lkn vyote utaviacha hapa hapa duniani ulokua hutosheki loooooooo
@mohdseif245918 күн бұрын
Hamna jipya
@user-lp1gh7im3f19 күн бұрын
Hata kwenye kura za uchaguzi museme ukweli musiibe kura na kupara visanduku vya kura na kupiga watu bure
@FatmaAbdulhalim20 күн бұрын
Kweli muheshimwa
@Feilafiy915522 күн бұрын
😊
@uwawatatanzania324323 күн бұрын
Hongera sana Juu media ," kwa kweli Jamii inanufaika kulingana na Elimu zako za kupitia UWAWATA kwa kuifikia Jamii yetu:
@uwawatatanzania324323 күн бұрын
UWAWATA Tunahitaji kuungwa Mkono na serikali yetu Tukufu, Hongera sana Juu media kwa ushirikiano wako:
@uwawatatanzania324326 күн бұрын
Kweli UWAWATA,Wamedhamilia kuisimamia vyema Tuba asili kupitia Chama cha UWAWATA:
@hamidamussa-sy4fmАй бұрын
Wao rais wetu
@user-hu4sd7bg8nАй бұрын
Huna lako wewe na lipumba wako kahare uko. Sahau kupata ata diwani. Alafu tangaza sera sio unawataja act wazalendo hukiwezi kile chama umeishiwa wewe
@harithmohd6318Ай бұрын
Kazi yenu nikutujengea mahoteli t kuiitia Nch yetu mibalaa zanzibar saiv haina tena samahn yk ya iman imepoteza dir kabisa
@ayubujuma8346Ай бұрын
Mashallah, hongera sana, ALLAH(SW) akuhifadhi
@sihariomari35372 ай бұрын
Juu media upo kisiwa kweny maj
@sihariomari35372 ай бұрын
Juu media upo kisiwa kweny maj
@mrgoatsmile2 ай бұрын
How are you doing for sure so please?
@mrgoatsmile2 ай бұрын
Hi for sure so please?
@elmercifulabdul2 ай бұрын
Hongera comred Zawadi endelea kupij kz sisi tuko na ww pega kwa bega
@jeremiahelijah38742 ай бұрын
mimi sipigi picha, na hata sipost 😀😀
@pyuga_simulizi2 ай бұрын
🎉🎉🎉
@masdiy92542 ай бұрын
Hakika baada ya dhiki faraja kzread.info/dash/bejne/c6ias6yHZpfOcrA.htmlsi=xZMA6Y_nFcXjC-iJ
@NoufelSalim2 ай бұрын
Hongera mh mwinyi
@user-en9tw7pv1g2 ай бұрын
Nice
@alinassor3913 ай бұрын
Munampa kidooogooooo
@user-jr1te1gu7g3 ай бұрын
Hamna.akili.wajimga.kabisa
@user-xj5vm7ig2d3 ай бұрын
😂😂😂😂
@AbdallahJuma-wb8lq3 ай бұрын
Haram,nimziki,tu,dam,zawatu,kumwagika,siharam
@bakarseif96223 ай бұрын
Skuli pia hakuna fanyeni mpango kuimaliza kujenga
@bakarseif96223 ай бұрын
Afadhali nyumbani kunaanza kunawirika
@omarmohammed51573 ай бұрын
Hasbillah waneema lawakili usiwape watu mawaidha wakati unajuwa umezama kwenye uchafu jielimishe wewe kwanza nafsi yako
@AbdillahSOthman3 ай бұрын
Maajabu
@ramzsule76783 ай бұрын
Ungeyajua hayo usingekuali kuiba kura na kuunga mkono dhulma na mauwaji ili upate madaraka
@princesaha32623 ай бұрын
We cku zako zinehesabika hapo!! Jimbo litarudi nyumbani. Mshukuruni sana Ankali
@user-yh4ge7gc3o3 ай бұрын
Mashaalah
@user-pm7yo3xi3h3 ай бұрын
Wazanzibari wanadhulumiwa tu. La haula wala kuwaua illa billah
@saluchua83603 ай бұрын
Sio km zamani
@user-zn4bo2vk8l3 ай бұрын
Ccm mbeleeee nyuma mwiko 💚🖤💚💛
@user-ks6wj1uf9k3 ай бұрын
Mm nataka kiwanja uk bei gni kiuyu mbuyuni lakin
@saluchua83603 ай бұрын
Vzr
@user-vg7be7ic5e4 ай бұрын
Ahadi zipi hizo kiongozi tutajie na sis ambao hatukuwepo kwenye makubaliano hayo wakati yanafanyika tujue
@user-gh5ms5jn1k4 ай бұрын
Sawa ni vema ila hiyo si sadaka sadaka haitangazwi na wala hamutuhadai msimamo uleule
@murattywamuratty97784 ай бұрын
Nyie mnajizonga Zanzibar hamjielewi, Mafuta Ni yenu ila Tanganyika lazima tutayaongoza sie ayoo nyie tamkeni tu kuwazima ao wananchi,,na Madini,Tanzanite, makaa ya mawe gesi, na madini mengine ni yetu sie Tanganyika nyie hamuhusiki ila yenu tutahusika na mtaona😂😂
@adamstour5736-kb6zq4 ай бұрын
Hakupaswakufanya ria
@adamstour5736-kb6zq4 ай бұрын
Ni vyema sannna kwa ALLAH lkn asisahau pia kutimiza ahadi walizoafikiana na Maalim seif juu ya GNU
@NoufelSalim4 ай бұрын
Atoe tu lkn hapati thawabu,lengo la swadaka bado hajalifikia.
@ramzsule76784 ай бұрын
Allah atamlipa kwa nia yake ila bado hatudanganyiki
Пікірлер
Je mnakagua wavuvi wanao chota mchanga kwenye mafungu
Ipo sehemu gani?!
Mangu atasikia kilio chenu watu wapemba mupo kwenye kudai haki yenu kweli mwinyi siomwezenu juweni Nifiriauni huyo
kzread.info/dash/bejne/p6aal9Wimrurj9I.htmlsi=prx4WN6t5TEtHzHz Dr.Hussen Aly Mwinyi nasheed ❤ Hii si ya kukosa
Hujajengq wewe pesa za covid kaleta mama Samia wewe kazi yako kupiga mapesa na jamaa zako dunia ni ya kupita tu kusanya hata dunia nzima lkn vyote utaviacha hapa hapa duniani ulokua hutosheki loooooooo
Hamna jipya
Hata kwenye kura za uchaguzi museme ukweli musiibe kura na kupara visanduku vya kura na kupiga watu bure
Kweli muheshimwa
😊
Hongera sana Juu media ," kwa kweli Jamii inanufaika kulingana na Elimu zako za kupitia UWAWATA kwa kuifikia Jamii yetu:
UWAWATA Tunahitaji kuungwa Mkono na serikali yetu Tukufu, Hongera sana Juu media kwa ushirikiano wako:
Kweli UWAWATA,Wamedhamilia kuisimamia vyema Tuba asili kupitia Chama cha UWAWATA:
Wao rais wetu
Huna lako wewe na lipumba wako kahare uko. Sahau kupata ata diwani. Alafu tangaza sera sio unawataja act wazalendo hukiwezi kile chama umeishiwa wewe
Kazi yenu nikutujengea mahoteli t kuiitia Nch yetu mibalaa zanzibar saiv haina tena samahn yk ya iman imepoteza dir kabisa
Mashallah, hongera sana, ALLAH(SW) akuhifadhi
Juu media upo kisiwa kweny maj
Juu media upo kisiwa kweny maj
How are you doing for sure so please?
Hi for sure so please?
Hongera comred Zawadi endelea kupij kz sisi tuko na ww pega kwa bega
mimi sipigi picha, na hata sipost 😀😀
🎉🎉🎉
Hakika baada ya dhiki faraja kzread.info/dash/bejne/c6ias6yHZpfOcrA.htmlsi=xZMA6Y_nFcXjC-iJ
Hongera mh mwinyi
Nice
Munampa kidooogooooo
Hamna.akili.wajimga.kabisa
😂😂😂😂
Haram,nimziki,tu,dam,zawatu,kumwagika,siharam
Skuli pia hakuna fanyeni mpango kuimaliza kujenga
Afadhali nyumbani kunaanza kunawirika
Hasbillah waneema lawakili usiwape watu mawaidha wakati unajuwa umezama kwenye uchafu jielimishe wewe kwanza nafsi yako
Maajabu
Ungeyajua hayo usingekuali kuiba kura na kuunga mkono dhulma na mauwaji ili upate madaraka
We cku zako zinehesabika hapo!! Jimbo litarudi nyumbani. Mshukuruni sana Ankali
Mashaalah
Wazanzibari wanadhulumiwa tu. La haula wala kuwaua illa billah
Sio km zamani
Ccm mbeleeee nyuma mwiko 💚🖤💚💛
Mm nataka kiwanja uk bei gni kiuyu mbuyuni lakin
Vzr
Ahadi zipi hizo kiongozi tutajie na sis ambao hatukuwepo kwenye makubaliano hayo wakati yanafanyika tujue
Sawa ni vema ila hiyo si sadaka sadaka haitangazwi na wala hamutuhadai msimamo uleule
Nyie mnajizonga Zanzibar hamjielewi, Mafuta Ni yenu ila Tanganyika lazima tutayaongoza sie ayoo nyie tamkeni tu kuwazima ao wananchi,,na Madini,Tanzanite, makaa ya mawe gesi, na madini mengine ni yetu sie Tanganyika nyie hamuhusiki ila yenu tutahusika na mtaona😂😂
Hakupaswakufanya ria
Ni vyema sannna kwa ALLAH lkn asisahau pia kutimiza ahadi walizoafikiana na Maalim seif juu ya GNU
Atoe tu lkn hapati thawabu,lengo la swadaka bado hajalifikia.
Allah atamlipa kwa nia yake ila bado hatudanganyiki
vichekesho