Mmerudishiwa fedha si mumua he? Kwani hakuna wachezaji wengine nyie ni matapeli awesu poa mmepelekwa TFF piaa
@abuuaisha9095Күн бұрын
Sijaelewa unaposema wachezaji wametoka ligi za madaraja ya Kati..!!Ina maana hawajatoka ligi za daraja la kwanza..? Kwa kauli hii tu inadhihirisha kwamba hakuna unachokijua pamoja na kusifiwa kwamba mchambuzi..!!Mchambuzi gani hajui hata wachezaji..? Daaah...!! Jifunze kwanza kujua wachezaji wanapotoka bro..!!
@chriskudilla53552 күн бұрын
Muongo bana
@rajabually88942 күн бұрын
Unaumwa ww
@abdulmsofe80172 күн бұрын
Naona huyo Mchambuzi Ameishiwa cha Kuongea Unaweza ukashiriki Ligi ya Mabingwa Na ukatolewa Hatua ya Mwanzo ss Utaonekana Wapi? Hapo kinachoongea Ni Pesa Muwe Mtafuta Wachambuzi wenye zupeo kwa Hiyo Viongozi wa Simba Na Scout yake ni ZIRO ww Ndiye Mwenye Ufahamu Mkubwa?
@jonamnyone80142 күн бұрын
Simba huwa wachezaji wakubwa hatuwawezi mifano halisi ipo tuliwashindwa wafuatao 1. Adebayo 2. Aziz Ki 3. Manzoki 4. Sergie Pokue 5. Elie Mpanzu Sasa tutajiitaje club kubwa kama hatuwezi kusajili wachezaji wakubwa. Hatuwezi kuvunja mikataba tunataka wachezaji ambao wako free!!! Mbona Yanga na Azam wanaweza. Mimi nimesikitika kurudisha Onana Hana tofauti na Jobe wote hawana impact uwanjani tuwe serious tusipoangalia tutachezea vichapo Kwa Yanga. Mimi naamini ili kuidhibiti Yanga tulipaswa kuwa na Joshua Mutale upande mmoja na mwingine awepo Elie Mpanzu. Hapo Yanga asingeweza kufurukuta lakini Kwa Onana hakuna kitu.
@jonamnyone80142 күн бұрын
Simba kwanini hawapendi kuvunja mkataba? Kwani tunapenda chelezo. Kama kweli sisi ni timu kubwa tuvunje mkataba. Deal la Manzoki lilikufa hivyo hivyo. Onana hatatufikisha popote.
@robertjohn8352 күн бұрын
Mo jitahidi utuletee Mpanzu.
@AmaniKasekwa-uw8hp2 күн бұрын
Viongozi wetu Wana shindwa kutowa milioni 660 kweli mpila ni pesa wavunje benk wamuletee mpanzu
@anithawidambe75432 күн бұрын
SIMBA WAVUNJE KIBUBU. KWA MPANZU AU WAMCHUKUE MAYELE MO UMEFELI WAPI KWA MPANZU?KM ULIWEZA KWA MICKISONUNASHINDWA VPI?VIONGOZIACHENI HBAHILI WAKUTOA HELA ZA SAJILI.
@rexgodwill73532 күн бұрын
Mzee magoma alikuwepo kwenye mkutano Ndani ya ukumbi mpaka mzee kikwete anaondoka ukumbini kwa dharula wakati magoma akitaka kuhoji jambo lakini hakupewa nafasi... Magoma alikuwepo mkutanoni
@hassankumba69382 күн бұрын
Magoma alinyamaza kimya na hukumu (ujanja) akisubiri muda wa kukata rufaa upite, kabla njama yaowkujulikana na Yanga.
@hassankumba69382 күн бұрын
Muulizeni Magoma hiyo Katiba yake ya 1968/2010 inamfanya yeye kuwa Mwanachama hai maisha? Kama anadai Wanachama wenzake wa sasa ni batili, akipewa Yanga, ataiendesha bila Wanachama?
@YohanaHeneriko2 күн бұрын
Mnatisha sana
@gye99753 күн бұрын
Ubaya ubwela
@SalimAl-mahrooqi3 күн бұрын
😂na ubwela ubaya . Tabu mpaka Leo kesi haijaesha bado hiyu enajulikana huyu tayari ni mchezaji WA simba.
@drallan68794 күн бұрын
hiyo headline kuna ukweli?
@bongostoriestv4 күн бұрын
@@drallan6879 Ndio
@charleskuyeko16605 күн бұрын
Uzuri wenu ninyi hamuwekii ushabiki kazini. Mko neutral kama kazi yenu inavyotakiwa kuwa. Ur very good. Keep it up.
@charleskuyeko16605 күн бұрын
Channel yenu ni Channel ya Ukweli na Uwazi. Nawapongeza sana. Endeleeni kuwa wakweli siyo kama hawa wachambuzi wa mchongo. Mungu awabariki.
@GabrielAmma-jp1oo5 күн бұрын
Simba waachane na hiyo sajili 1 ya kimataifa endapo wameshindwa kumtoa cramo kwa mkopo kwa muda mfupi imeshindikana wabaki na cramo
@OmaryHabibu-en1iy6 күн бұрын
😂😂
@mitinjemaziku7 күн бұрын
Ivi bongo tumekosa Cha kufanya eti au Kwa kuwa ni kiangazi ndo maana
@murshidyabdallah13567 күн бұрын
nyote akili hamna
@user-bl1tx8fc9v8 күн бұрын
Huyu alionaje hilo ziwa jmn eeh
@EvaristNgoge9 күн бұрын
Oy
@HajiSimai-pp9cm9 күн бұрын
Siyo watafute cha kutueleza bado tunatakiwa tuwapemuda.
Jamani nasisitiza matola Abadilishwe aludi kwa wanawake
@user-ze2bf7mh5m16 күн бұрын
Vp feitoto kashashuka unyamani
@bushiringamba697117 күн бұрын
Kramo asiachwe simba.tafadharini viongozi
@user-vm5og4np4k21 күн бұрын
Acha tuone panapovuja
@LukaPaalnda24 күн бұрын
0:11
@rashiditekway324224 күн бұрын
Chama aondoke tu anasumbua sana kila msimu ukifika
@BarakaKayange-cj8ud26 күн бұрын
We chama asiondoke
@georgegregory841426 күн бұрын
Viongozi kubalini kiachana na chama huyu hawezi kuleta tena kitu simba mwacheni aende huko, simba ni kubwa kuliko chama
@georgegregory841426 күн бұрын
Mwacheni aende huko anakotumikaga viongozi msiogope chama ni kirusi hii miaka mitatu amefanya nini leteni wachezaji wengine tujenge simba yetu.
@alfoncekasanyi658426 күн бұрын
Kumwacha Chama aende Yanga Ni sawa na kumuuzia adui silaha.Hatukatai Chama kuondoka lakini siyo kwenda Yanga.Mnaosema Chama ni msaliti hamko sahihi.Wasaliti wa Simba wanafahamika lakini siyo Chama tuwe wakweli.Ametoa Assist nyingi lakini wafungaji hatuna pia amekuwa akifunga magoli muhimu.Tusimkashifu kwakuwa anaondoka au kwa namna yoyote si busara.
@YussuphHaji-oc9rk26 күн бұрын
Mm ni mpenzi mkubwa wa Simba nachomba kwa rais wa Simba SC ili ni moo afanye juhudi ya kumbakisha chama kikosini asiende yanga kabisa
@michaelashery344426 күн бұрын
Chama anawatikisa sana simba.na wanaogopa kumuachia kisa ataenda yanga.sasa anataka milioni 700 Kwa umri ule.pia ni msariti.mwacheni
@SaidMana-dp4et26 күн бұрын
Hivi moo umelogwa na chama?tunakuomba moo muache chama usimbembeleze muache aondoke sisi simba hatumtaki chama usiwasikilize waandishi wa habari chama kazeeka sasa hivi hatufai tafuta vijana usipoteze pesa zako bure kwa chama chama ndiyo kiini cha utovu wa nidhamu simba hatufai muache aondoke hatumtaki
@user-bt6ep3yb2h28 күн бұрын
Apps ya Yanga wametangaza hivyo kuwa wamemlipia dube?.
@Jemsi-xz4jvАй бұрын
Waizi wengine mo ndo abebe lawama, muacheni mo wa watu apumue
@user-ce3tx7mr8vАй бұрын
TIMU AMEINUNUA ANA HAKI YA KUFANYA CHOCHOTE NI MALI YAKE,
@drallan6879Ай бұрын
cheating us;serkali unaikosea kushindwa kununua chai ya wakulima
Пікірлер
Ubaya ubwela lazima kieleweke
Mmerudishiwa fedha si mumua he? Kwani hakuna wachezaji wengine nyie ni matapeli awesu poa mmepelekwa TFF piaa
Sijaelewa unaposema wachezaji wametoka ligi za madaraja ya Kati..!!Ina maana hawajatoka ligi za daraja la kwanza..? Kwa kauli hii tu inadhihirisha kwamba hakuna unachokijua pamoja na kusifiwa kwamba mchambuzi..!!Mchambuzi gani hajui hata wachezaji..? Daaah...!! Jifunze kwanza kujua wachezaji wanapotoka bro..!!
Muongo bana
Unaumwa ww
Naona huyo Mchambuzi Ameishiwa cha Kuongea Unaweza ukashiriki Ligi ya Mabingwa Na ukatolewa Hatua ya Mwanzo ss Utaonekana Wapi? Hapo kinachoongea Ni Pesa Muwe Mtafuta Wachambuzi wenye zupeo kwa Hiyo Viongozi wa Simba Na Scout yake ni ZIRO ww Ndiye Mwenye Ufahamu Mkubwa?
Simba huwa wachezaji wakubwa hatuwawezi mifano halisi ipo tuliwashindwa wafuatao 1. Adebayo 2. Aziz Ki 3. Manzoki 4. Sergie Pokue 5. Elie Mpanzu Sasa tutajiitaje club kubwa kama hatuwezi kusajili wachezaji wakubwa. Hatuwezi kuvunja mikataba tunataka wachezaji ambao wako free!!! Mbona Yanga na Azam wanaweza. Mimi nimesikitika kurudisha Onana Hana tofauti na Jobe wote hawana impact uwanjani tuwe serious tusipoangalia tutachezea vichapo Kwa Yanga. Mimi naamini ili kuidhibiti Yanga tulipaswa kuwa na Joshua Mutale upande mmoja na mwingine awepo Elie Mpanzu. Hapo Yanga asingeweza kufurukuta lakini Kwa Onana hakuna kitu.
Simba kwanini hawapendi kuvunja mkataba? Kwani tunapenda chelezo. Kama kweli sisi ni timu kubwa tuvunje mkataba. Deal la Manzoki lilikufa hivyo hivyo. Onana hatatufikisha popote.
Mo jitahidi utuletee Mpanzu.
Viongozi wetu Wana shindwa kutowa milioni 660 kweli mpila ni pesa wavunje benk wamuletee mpanzu
SIMBA WAVUNJE KIBUBU. KWA MPANZU AU WAMCHUKUE MAYELE MO UMEFELI WAPI KWA MPANZU?KM ULIWEZA KWA MICKISONUNASHINDWA VPI?VIONGOZIACHENI HBAHILI WAKUTOA HELA ZA SAJILI.
Mzee magoma alikuwepo kwenye mkutano Ndani ya ukumbi mpaka mzee kikwete anaondoka ukumbini kwa dharula wakati magoma akitaka kuhoji jambo lakini hakupewa nafasi... Magoma alikuwepo mkutanoni
Magoma alinyamaza kimya na hukumu (ujanja) akisubiri muda wa kukata rufaa upite, kabla njama yaowkujulikana na Yanga.
Muulizeni Magoma hiyo Katiba yake ya 1968/2010 inamfanya yeye kuwa Mwanachama hai maisha? Kama anadai Wanachama wenzake wa sasa ni batili, akipewa Yanga, ataiendesha bila Wanachama?
Mnatisha sana
Ubaya ubwela
😂na ubwela ubaya . Tabu mpaka Leo kesi haijaesha bado hiyu enajulikana huyu tayari ni mchezaji WA simba.
hiyo headline kuna ukweli?
@@drallan6879 Ndio
Uzuri wenu ninyi hamuwekii ushabiki kazini. Mko neutral kama kazi yenu inavyotakiwa kuwa. Ur very good. Keep it up.
Channel yenu ni Channel ya Ukweli na Uwazi. Nawapongeza sana. Endeleeni kuwa wakweli siyo kama hawa wachambuzi wa mchongo. Mungu awabariki.
Simba waachane na hiyo sajili 1 ya kimataifa endapo wameshindwa kumtoa cramo kwa mkopo kwa muda mfupi imeshindikana wabaki na cramo
😂😂
Ivi bongo tumekosa Cha kufanya eti au Kwa kuwa ni kiangazi ndo maana
nyote akili hamna
Huyu alionaje hilo ziwa jmn eeh
Oy
Siyo watafute cha kutueleza bado tunatakiwa tuwapemuda.
Ni usajiri bora sana. Karibu sana Duke.
Duke. Abuya. Karibu. Sanna. Jangwani. Utimize. Majukumu. Husika
Asante. Karibu. Sana. Jangwani. Duke. Abuya. Karibu. Timu. La. Makombe. Bingwa. Mara. 30
Yanga lahaaa jaman aziz kabaki daaaah siamin
Jamani nasisitiza matola Abadilishwe aludi kwa wanawake
Vp feitoto kashashuka unyamani
Kramo asiachwe simba.tafadharini viongozi
Acha tuone panapovuja
0:11
Chama aondoke tu anasumbua sana kila msimu ukifika
We chama asiondoke
Viongozi kubalini kiachana na chama huyu hawezi kuleta tena kitu simba mwacheni aende huko, simba ni kubwa kuliko chama
Mwacheni aende huko anakotumikaga viongozi msiogope chama ni kirusi hii miaka mitatu amefanya nini leteni wachezaji wengine tujenge simba yetu.
Kumwacha Chama aende Yanga Ni sawa na kumuuzia adui silaha.Hatukatai Chama kuondoka lakini siyo kwenda Yanga.Mnaosema Chama ni msaliti hamko sahihi.Wasaliti wa Simba wanafahamika lakini siyo Chama tuwe wakweli.Ametoa Assist nyingi lakini wafungaji hatuna pia amekuwa akifunga magoli muhimu.Tusimkashifu kwakuwa anaondoka au kwa namna yoyote si busara.
Mm ni mpenzi mkubwa wa Simba nachomba kwa rais wa Simba SC ili ni moo afanye juhudi ya kumbakisha chama kikosini asiende yanga kabisa
Chama anawatikisa sana simba.na wanaogopa kumuachia kisa ataenda yanga.sasa anataka milioni 700 Kwa umri ule.pia ni msariti.mwacheni
Hivi moo umelogwa na chama?tunakuomba moo muache chama usimbembeleze muache aondoke sisi simba hatumtaki chama usiwasikilize waandishi wa habari chama kazeeka sasa hivi hatufai tafuta vijana usipoteze pesa zako bure kwa chama chama ndiyo kiini cha utovu wa nidhamu simba hatufai muache aondoke hatumtaki
Apps ya Yanga wametangaza hivyo kuwa wamemlipia dube?.
Waizi wengine mo ndo abebe lawama, muacheni mo wa watu apumue
TIMU AMEINUNUA ANA HAKI YA KUFANYA CHOCHOTE NI MALI YAKE,
cheating us;serkali unaikosea kushindwa kununua chai ya wakulima
😂😂😂😂😂😂😂 weee Aya bana awakuchomi TENA hao
Hongereni wananchi
❤❤❤ yanga yangu jamaniiii nakupenda