BONGO STORIES TV

BONGO STORIES TV

KARIBU KUFUATILIA CHANNEL YETU, CHANNEL YETU INAJIHUSISHA NA BURUDANI, MICHEZO, SIASA, PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE
KARIBU SANA.

Пікірлер

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hpКүн бұрын

    Ubaya ubwela lazima kieleweke

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569Күн бұрын

    Mmerudishiwa fedha si mumua he? Kwani hakuna wachezaji wengine nyie ni matapeli awesu poa mmepelekwa TFF piaa

  • @abuuaisha9095
    @abuuaisha9095Күн бұрын

    Sijaelewa unaposema wachezaji wametoka ligi za madaraja ya Kati..!!Ina maana hawajatoka ligi za daraja la kwanza..? Kwa kauli hii tu inadhihirisha kwamba hakuna unachokijua pamoja na kusifiwa kwamba mchambuzi..!!Mchambuzi gani hajui hata wachezaji..? Daaah...!! Jifunze kwanza kujua wachezaji wanapotoka bro..!!

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla53552 күн бұрын

    Muongo bana

  • @rajabually8894
    @rajabually88942 күн бұрын

    Unaumwa ww

  • @abdulmsofe8017
    @abdulmsofe80172 күн бұрын

    Naona huyo Mchambuzi Ameishiwa cha Kuongea Unaweza ukashiriki Ligi ya Mabingwa Na ukatolewa Hatua ya Mwanzo ss Utaonekana Wapi? Hapo kinachoongea Ni Pesa Muwe Mtafuta Wachambuzi wenye zupeo kwa Hiyo Viongozi wa Simba Na Scout yake ni ZIRO ww Ndiye Mwenye Ufahamu Mkubwa?

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone80142 күн бұрын

    Simba huwa wachezaji wakubwa hatuwawezi mifano halisi ipo tuliwashindwa wafuatao 1. Adebayo 2. Aziz Ki 3. Manzoki 4. Sergie Pokue 5. Elie Mpanzu Sasa tutajiitaje club kubwa kama hatuwezi kusajili wachezaji wakubwa. Hatuwezi kuvunja mikataba tunataka wachezaji ambao wako free!!! Mbona Yanga na Azam wanaweza. Mimi nimesikitika kurudisha Onana Hana tofauti na Jobe wote hawana impact uwanjani tuwe serious tusipoangalia tutachezea vichapo Kwa Yanga. Mimi naamini ili kuidhibiti Yanga tulipaswa kuwa na Joshua Mutale upande mmoja na mwingine awepo Elie Mpanzu. Hapo Yanga asingeweza kufurukuta lakini Kwa Onana hakuna kitu.

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone80142 күн бұрын

    Simba kwanini hawapendi kuvunja mkataba? Kwani tunapenda chelezo. Kama kweli sisi ni timu kubwa tuvunje mkataba. Deal la Manzoki lilikufa hivyo hivyo. Onana hatatufikisha popote.

  • @robertjohn835
    @robertjohn8352 күн бұрын

    Mo jitahidi utuletee Mpanzu.

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp2 күн бұрын

    Viongozi wetu Wana shindwa kutowa milioni 660 kweli mpila ni pesa wavunje benk wamuletee mpanzu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe75432 күн бұрын

    SIMBA WAVUNJE KIBUBU. KWA MPANZU AU WAMCHUKUE MAYELE MO UMEFELI WAPI KWA MPANZU?KM ULIWEZA KWA MICKISONUNASHINDWA VPI?VIONGOZIACHENI HBAHILI WAKUTOA HELA ZA SAJILI.

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill73532 күн бұрын

    Mzee magoma alikuwepo kwenye mkutano Ndani ya ukumbi mpaka mzee kikwete anaondoka ukumbini kwa dharula wakati magoma akitaka kuhoji jambo lakini hakupewa nafasi... Magoma alikuwepo mkutanoni

  • @hassankumba6938
    @hassankumba69382 күн бұрын

    Magoma alinyamaza kimya na hukumu (ujanja) akisubiri muda wa kukata rufaa upite, kabla njama yaowkujulikana na Yanga.

  • @hassankumba6938
    @hassankumba69382 күн бұрын

    Muulizeni Magoma hiyo Katiba yake ya 1968/2010 inamfanya yeye kuwa Mwanachama hai maisha? Kama anadai Wanachama wenzake wa sasa ni batili, akipewa Yanga, ataiendesha bila Wanachama?

  • @YohanaHeneriko
    @YohanaHeneriko2 күн бұрын

    Mnatisha sana

  • @gye9975
    @gye99753 күн бұрын

    Ubaya ubwela

  • @SalimAl-mahrooqi
    @SalimAl-mahrooqi3 күн бұрын

    😂na ubwela ubaya . Tabu mpaka Leo kesi haijaesha bado hiyu enajulikana huyu tayari ni mchezaji WA simba.

  • @drallan6879
    @drallan68794 күн бұрын

    hiyo headline kuna ukweli?

  • @bongostoriestv
    @bongostoriestv4 күн бұрын

    @@drallan6879 Ndio

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko16605 күн бұрын

    Uzuri wenu ninyi hamuwekii ushabiki kazini. Mko neutral kama kazi yenu inavyotakiwa kuwa. Ur very good. Keep it up.

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko16605 күн бұрын

    Channel yenu ni Channel ya Ukweli na Uwazi. Nawapongeza sana. Endeleeni kuwa wakweli siyo kama hawa wachambuzi wa mchongo. Mungu awabariki.

  • @GabrielAmma-jp1oo
    @GabrielAmma-jp1oo5 күн бұрын

    Simba waachane na hiyo sajili 1 ya kimataifa endapo wameshindwa kumtoa cramo kwa mkopo kwa muda mfupi imeshindikana wabaki na cramo

  • @OmaryHabibu-en1iy
    @OmaryHabibu-en1iy6 күн бұрын

    😂😂

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku7 күн бұрын

    Ivi bongo tumekosa Cha kufanya eti au Kwa kuwa ni kiangazi ndo maana

  • @murshidyabdallah1356
    @murshidyabdallah13567 күн бұрын

    nyote akili hamna

  • @user-bl1tx8fc9v
    @user-bl1tx8fc9v8 күн бұрын

    Huyu alionaje hilo ziwa jmn eeh

  • @EvaristNgoge
    @EvaristNgoge9 күн бұрын

    Oy

  • @HajiSimai-pp9cm
    @HajiSimai-pp9cm9 күн бұрын

    Siyo watafute cha kutueleza bado tunatakiwa tuwapemuda.

  • @alexchiwenda9540
    @alexchiwenda95409 күн бұрын

    Ni usajiri bora sana. Karibu sana Duke.

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u9 күн бұрын

    Duke. Abuya. Karibu. Sanna. Jangwani. Utimize. Majukumu. Husika

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl9 күн бұрын

    Asante. Karibu. Sana. Jangwani. Duke. Abuya. Karibu. Timu. La. Makombe. Bingwa. Mara. 30

  • @christianbernad-ge2nz
    @christianbernad-ge2nz11 күн бұрын

    Yanga lahaaa jaman aziz kabaki daaaah siamin

  • @ConfusedBeachYoga-pj5ow
    @ConfusedBeachYoga-pj5ow16 күн бұрын

    Jamani nasisitiza matola Abadilishwe aludi kwa wanawake

  • @user-ze2bf7mh5m
    @user-ze2bf7mh5m16 күн бұрын

    Vp feitoto kashashuka unyamani

  • @bushiringamba6971
    @bushiringamba697117 күн бұрын

    Kramo asiachwe simba.tafadharini viongozi

  • @user-vm5og4np4k
    @user-vm5og4np4k21 күн бұрын

    Acha tuone panapovuja

  • @LukaPaalnda
    @LukaPaalnda24 күн бұрын

    0:11

  • @rashiditekway3242
    @rashiditekway324224 күн бұрын

    Chama aondoke tu anasumbua sana kila msimu ukifika

  • @BarakaKayange-cj8ud
    @BarakaKayange-cj8ud26 күн бұрын

    We chama asiondoke

  • @georgegregory8414
    @georgegregory841426 күн бұрын

    Viongozi kubalini kiachana na chama huyu hawezi kuleta tena kitu simba mwacheni aende huko, simba ni kubwa kuliko chama

  • @georgegregory8414
    @georgegregory841426 күн бұрын

    Mwacheni aende huko anakotumikaga viongozi msiogope chama ni kirusi hii miaka mitatu amefanya nini leteni wachezaji wengine tujenge simba yetu.

  • @alfoncekasanyi6584
    @alfoncekasanyi658426 күн бұрын

    Kumwacha Chama aende Yanga Ni sawa na kumuuzia adui silaha.Hatukatai Chama kuondoka lakini siyo kwenda Yanga.Mnaosema Chama ni msaliti hamko sahihi.Wasaliti wa Simba wanafahamika lakini siyo Chama tuwe wakweli.Ametoa Assist nyingi lakini wafungaji hatuna pia amekuwa akifunga magoli muhimu.Tusimkashifu kwakuwa anaondoka au kwa namna yoyote si busara.

  • @YussuphHaji-oc9rk
    @YussuphHaji-oc9rk26 күн бұрын

    Mm ni mpenzi mkubwa wa Simba nachomba kwa rais wa Simba SC ili ni moo afanye juhudi ya kumbakisha chama kikosini asiende yanga kabisa

  • @michaelashery3444
    @michaelashery344426 күн бұрын

    Chama anawatikisa sana simba.na wanaogopa kumuachia kisa ataenda yanga.sasa anataka milioni 700 Kwa umri ule.pia ni msariti.mwacheni

  • @SaidMana-dp4et
    @SaidMana-dp4et26 күн бұрын

    Hivi moo umelogwa na chama?tunakuomba moo muache chama usimbembeleze muache aondoke sisi simba hatumtaki chama usiwasikilize waandishi wa habari chama kazeeka sasa hivi hatufai tafuta vijana usipoteze pesa zako bure kwa chama chama ndiyo kiini cha utovu wa nidhamu simba hatufai muache aondoke hatumtaki

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h28 күн бұрын

    Apps ya Yanga wametangaza hivyo kuwa wamemlipia dube?.

  • @Jemsi-xz4jv
    @Jemsi-xz4jvАй бұрын

    Waizi wengine mo ndo abebe lawama, muacheni mo wa watu apumue

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8vАй бұрын

    TIMU AMEINUNUA ANA HAKI YA KUFANYA CHOCHOTE NI MALI YAKE,

  • @drallan6879
    @drallan6879Ай бұрын

    cheating us;serkali unaikosea kushindwa kununua chai ya wakulima

  • @OmaryKupawa-xn1oo
    @OmaryKupawa-xn1ooАй бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 weee Aya bana awakuchomi TENA hao

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124Ай бұрын

    Hongereni wananchi

  • @PhinaNassoro
    @PhinaNassoroАй бұрын

    ❤❤❤ yanga yangu jamaniiii nakupenda