Bwana ni mwemaa, tunaendelea kubarikiwa na ujumbee mzurii kutoka Kwa mtumishi wa Mungu na nyimbo nzurii mbarikiwe sana 🙏🙏
@MECKSONMAILE3 күн бұрын
Tunawapata vema live kabisa asante kwa neno
@kigwashokanyelele87213 күн бұрын
Amina mch
@gladnessseverine50554 күн бұрын
Mungu azidi kukabariki pastor
@SIWAJIBUMPANDUKA4 күн бұрын
Aminaaa
@ZakayoYohana17 күн бұрын
Mtishi wamungu daudi alipewa kuchagua aangamie kwamkono wabwa au aangamie kwamkono waadui zake daudi alichagua tauni kutoka kwabwana ila wachungaji waleo mpo kufundisha eti kwamungu nirahatu inamaana ikina yakobo walikufa kwasababu sheta aliwaua kaa ukijua walio upande wa mungu kila liwapatalo niwe nijema au nibaya hutoka kwamungu
@ZakayoYohana17 күн бұрын
Mchungaji usidanganye watu soma ayubu 1:16 moto kutoka mbinguni kwamungu ukashuka ukateketeza vitu vya ayubu nanyinyi mnao danganya kua kwamungu kunakupata mema tu poleni naayubu alisema tupate mema tu mbele zamungu namabaya tusiyapate pamoja nahayo ayubu hakumuasi mungu
@ElizaphanKamando18 күн бұрын
Amina hakika maneno ya Mungu ni ya faraja tu na sio huzuni, ubarikiwe sanaaa mtumishi wa Mungu
@naomiqaymo310618 күн бұрын
Aaaamen
@TABITHAOLOO-f3o18 күн бұрын
we sehemu yako ni jehanamu
@TABITHAOLOO-f3o18 күн бұрын
we shall know them by there feet
@ibrahimurubaka724023 күн бұрын
Ukiamini tu juu ya nguvu za YESU KRISTO hakika utafika salama
@jailomhengilolo289825 күн бұрын
Amina barikiwa watumishi wa mfalme,hakika dhambi ni mbaya.
@kigwashokanyelele8721Ай бұрын
Aminaaaaaaaaaaaa Barikiweni sana watumishi wa MUNGU, Injili ya MUNGU na iende juu, juu zaidi
@MosesSimon-hs8ymАй бұрын
Ameen
@lucynjeri-rr1wfАй бұрын
Wow
@MosesSimon-hs8ymАй бұрын
Ameen
@stevengervas8533Ай бұрын
Hallelujah
@fatorymleleu9073Ай бұрын
nikweli kabia
@fatorymleleu9073Ай бұрын
Aminaaa
@fatorymleleu9073Ай бұрын
Aminaaa
@fatorymleleu90732 ай бұрын
nawapata vizuri mbashara
@kesterkanyala77182 ай бұрын
MZEE WA UPAKO...NAONA ELIMU YA BIBLIA TAKATIFU....INAKUPOTEA... SANA.... - UBORA WAKO UNAPOTEA...MPAKA UNAMKANA ,KRISTU SIO MUNGU....BASI WEWE SIO MKRISTU KABISA. -TAFAKARI SANA...
@verynicemakundi57282 ай бұрын
Mzee waupako sikuzake zaukuhesabika tuu mwongo sana hana jipya nani mwingine mimba yake nikwa uwezo wa Rohomtakati ispokuw Yesu .yohana mtakatifu 1:1-5 hapomwanzo kulikuwa na neno nayeneno alikuwa kwa naye neno alikuwa Mungu ambaye neno ni Yesu . Yesu anasema Baba natukuze mm kama uleutukufu tukiekuwanao kabla yaulimwengu kueko je hatoshi kumema Yesu ni mwana wa Mungu nani Mungu pia
@fahamucshedura5962 ай бұрын
aamen
@SIWAJIBUMPANDUKA2 ай бұрын
Aminaaa
@NMY-UInternationalMinistry2 ай бұрын
Barikiwa
@OVIDIOKIBUGA3 ай бұрын
Barikiwa sana
@OVIDIOKIBUGA3 ай бұрын
Karibuni sana Matui watu wa Mungu.Nawapenda upeo
@OVIDIOKIBUGA3 ай бұрын
MUNGU awabariki sana, mlikuwa Mbaraka mkubwa sana katika siku ya kufunga ndoa yangu Matui SDA CHURCH . HAMNA MARINGO,KIBURI WALA KUJIONA MTAENDELEA KUWA MBARAKA DAIMA KATIKA MAISHA YANGU. MUNGU AWABARIKI SANA
@kigwashokanyelele87213 ай бұрын
Aminaaaaaaaaaaaa
@jailomhengilolo28983 ай бұрын
Amina barikiwa watumishi wa mfalme.
@SIWAJIBUMPANDUKA3 ай бұрын
Amina mbarikiwe sana msakasaka
@musamgeta32703 ай бұрын
Be blessed you people bof God.
@StephanoPetro-wv7mr3 ай бұрын
Bwana aiinue channel hii ya Marejeo Tv ili wengi tuzidi kubarikiwa.
@jailomhengilolo28983 ай бұрын
Amina barikiwa mtumishi wa mfalme kwa ujumbe huu,Bwana azidi kukutumia ahsante.
@makaosdachoir53823 ай бұрын
Amen mbarikiwe sana, kwa ujumbe huu Bwana aendelee kuwatia nguvu
@edwinmuyabi56603 ай бұрын
Barikiwa kwa watu wa Mungu kuwakarbisha kuna cku watajuja
Пікірлер
Amen pr
Barikiwa pr
Tumebarikiwa sana mchungaji
Safiiiiiiiii
Tunazidi kubarikiwa
Bwana ni mwemaa, tunaendelea kubarikiwa na ujumbee mzurii kutoka Kwa mtumishi wa Mungu na nyimbo nzurii mbarikiwe sana 🙏🙏
Tunawapata vema live kabisa asante kwa neno
Amina mch
Mungu azidi kukabariki pastor
Aminaaa
Mtishi wamungu daudi alipewa kuchagua aangamie kwamkono wabwa au aangamie kwamkono waadui zake daudi alichagua tauni kutoka kwabwana ila wachungaji waleo mpo kufundisha eti kwamungu nirahatu inamaana ikina yakobo walikufa kwasababu sheta aliwaua kaa ukijua walio upande wa mungu kila liwapatalo niwe nijema au nibaya hutoka kwamungu
Mchungaji usidanganye watu soma ayubu 1:16 moto kutoka mbinguni kwamungu ukashuka ukateketeza vitu vya ayubu nanyinyi mnao danganya kua kwamungu kunakupata mema tu poleni naayubu alisema tupate mema tu mbele zamungu namabaya tusiyapate pamoja nahayo ayubu hakumuasi mungu
Amina hakika maneno ya Mungu ni ya faraja tu na sio huzuni, ubarikiwe sanaaa mtumishi wa Mungu
Aaaamen
we sehemu yako ni jehanamu
we shall know them by there feet
Ukiamini tu juu ya nguvu za YESU KRISTO hakika utafika salama
Amina barikiwa watumishi wa mfalme,hakika dhambi ni mbaya.
Aminaaaaaaaaaaaa Barikiweni sana watumishi wa MUNGU, Injili ya MUNGU na iende juu, juu zaidi
Ameen
Wow
Ameen
Hallelujah
nikweli kabia
Aminaaa
Aminaaa
nawapata vizuri mbashara
MZEE WA UPAKO...NAONA ELIMU YA BIBLIA TAKATIFU....INAKUPOTEA... SANA.... - UBORA WAKO UNAPOTEA...MPAKA UNAMKANA ,KRISTU SIO MUNGU....BASI WEWE SIO MKRISTU KABISA. -TAFAKARI SANA...
Mzee waupako sikuzake zaukuhesabika tuu mwongo sana hana jipya nani mwingine mimba yake nikwa uwezo wa Rohomtakati ispokuw Yesu .yohana mtakatifu 1:1-5 hapomwanzo kulikuwa na neno nayeneno alikuwa kwa naye neno alikuwa Mungu ambaye neno ni Yesu . Yesu anasema Baba natukuze mm kama uleutukufu tukiekuwanao kabla yaulimwengu kueko je hatoshi kumema Yesu ni mwana wa Mungu nani Mungu pia
aamen
Aminaaa
Barikiwa
Barikiwa sana
Karibuni sana Matui watu wa Mungu.Nawapenda upeo
MUNGU awabariki sana, mlikuwa Mbaraka mkubwa sana katika siku ya kufunga ndoa yangu Matui SDA CHURCH . HAMNA MARINGO,KIBURI WALA KUJIONA MTAENDELEA KUWA MBARAKA DAIMA KATIKA MAISHA YANGU. MUNGU AWABARIKI SANA
Aminaaaaaaaaaaaa
Amina barikiwa watumishi wa mfalme.
Amina mbarikiwe sana msakasaka
Be blessed you people bof God.
Bwana aiinue channel hii ya Marejeo Tv ili wengi tuzidi kubarikiwa.
Amina barikiwa mtumishi wa mfalme kwa ujumbe huu,Bwana azidi kukutumia ahsante.
Amen mbarikiwe sana, kwa ujumbe huu Bwana aendelee kuwatia nguvu
Barikiwa kwa watu wa Mungu kuwakarbisha kuna cku watajuja
amen
Mbarikiwe
Very true
Amina
Amen 🙏
Amina ubarikiwe mtu wa Mungu
Ubarikiwe pastor