Al Hilaaly Online TV

Al Hilaaly Online TV

Channel hii inahusika na utoaji wa mafunzo mbalimbali ya dini ya kiislamu ikiwemo Darasa(Durus) za masheikh mbalimbali ndani ya Tanzania na nje ya tanzani ,mawaidha, khutbah, fatawa za wanachuoni, Quran, na mashairi mbalimbali .


This channel engages in the delivery of various trainings in the Islamic religion, including Classes (Durus) of various sheikhs in Tanzania and outside Tanzania, admonitions, khutbahs, fatwas of scholars, Quran, and various poems.

Пікірлер

  • @salumhamed5074
    @salumhamed507414 сағат бұрын

    بارك الله فيك

  • @muhammedmpendu9626
    @muhammedmpendu962615 сағат бұрын

    جيداً

  • @AbdushakuruJaphari
    @AbdushakuruJaphari17 сағат бұрын

    بارك الله فيك وجزاك الله خيرا شيخنا الفاضل

  • @BakariOmari-tr8cy
    @BakariOmari-tr8cyКүн бұрын

    Wanazika wap

  • @saydsultan9499
    @saydsultan9499Күн бұрын

    Allaah amuhifadhi sheikh wetu mbora Abuu Khawlah Albajouny Namuomba Allaah amlipe kheri na ampe umri mrefu kwenye twa'a

  • @sharifgojo878
    @sharifgojo878Күн бұрын

    Baarakallah fiyka

  • @salafy3566
    @salafy3566Күн бұрын

    Ilikuwa 2007?

  • @ZuberiMohammed
    @ZuberiMohammed3 күн бұрын

    balaka llahu fiyka shaykhuna

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi24703 күн бұрын

    Kiarabu chenyewe cha pongwe yani yani kibaaaaao mkiambiwa mje tuwafundishe lugha sisi masuufiyya hamtaki

  • @WakaliFashionTz
    @WakaliFashionTz3 күн бұрын

    Mbona hamjib maswali mliyoulizwa na M,bacho au ndo kupotezea alaf huyo shekh naye anayakiwa ajib maswali kwa kusikiliz wengine kwasbb hayo maswali ni ya kujitakasa nyie vile mmeitwa majadida mnataka mpate fatwa ya kuwapa nguvu jibun maswali kwanza afu mdo mengine yaendelee sheikh rabii allah amhifadhi anatakiwa asikilize wote siyo atoe fatwa kwa sikiliz upande mmoja tu.

  • @AbuuSumayyah-rh7oi
    @AbuuSumayyah-rh7oi3 күн бұрын

    Sio kila mbwa anaebweka hurembewa jiwe Wengine huwa ni koko kwahiyo hekma yke ni kumuacha tu ikisha wende na shughuli zako za umuhimu yeye akichoka atanyamaza mwenyewee

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz3 күн бұрын

    Swali la ujanja ujanja acha talbiisi hapo hakuna swali bali nituhuma ili mtakaswe nyinyi majadida acheni ujanja dini haitaki ujanja

  • @khamisiabdallah8737
    @khamisiabdallah87372 күн бұрын

    Inawezekana hata maana ya talbis hujui

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52413 күн бұрын

    Majadida bwana

  • @AbrahamanSaidi-uf1dw
    @AbrahamanSaidi-uf1dw3 күн бұрын

    @pavillioncry5241 Ndio manini hayo

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52413 күн бұрын

    Chanzo cha mizozo na watu wa sunna kukatana wenyewe kwa wenyewe Kama alivosema shekh bakri abuu zaidi

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy3 күн бұрын

    Naomba kujua maulamaa wangapi ambao wategemewa katika umma wa kiislam kwasasa maana namjua sheikh Fawzaani,Na wengine wachache kama Huyu sheikh Rabii Allah awahifadhi.Namaanisha waliohai

  • @sadru5710
    @sadru57103 күн бұрын

    shaykh sulaymaan arruhayliiy, shaykh Abdullah albukhaariy,muhamman bin abdilwahhaabi alwuswabiy...nk ni wengi...

  • @user-tm2zk5gn4e
    @user-tm2zk5gn4eКүн бұрын

    Yupo sheikh suleiman al ruhayli

  • @almasisadick9719
    @almasisadick9719Күн бұрын

    Sheikh Abdul Muhsin Al Abbaad, Sheikh Abdul razzaaq albadriy,

  • @MALELEMBARIMO
    @MALELEMBARIMO3 күн бұрын

    Assuming alaykum warahmatullah wabarakatuh. Doctor tumia cheo chako kuwaeka kitako maduati wakisalafi wote uwaweke chini wawexe kuungana

  • @MALELEMBARIMO
    @MALELEMBARIMO3 күн бұрын

    Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Masha allah. USHAURI WANGU KWA DOCTOR cheo chako ni kikubwa sana tena sana ila jitahidi kuwaunganisha watu hasahasa madughati wa kisalafi Tanzania usiwe na wewe pia upo kwenye jopo la watu fulani tumia cheo chako ma makarama yako kuwaeka kitako madughati wa kisalafi kwa Sasa Kisha tuone tunaenda wapi fitna inaiangamiza daawatu salafia Tanzania allah akubarik

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv38463 күн бұрын

    Mngeweka Transmission ya Kiswahili

  • @sharifumussa6846
    @sharifumussa68463 күн бұрын

    Ndo ujifunze kiarabu

  • @abuuruwaydatvTz
    @abuuruwaydatvTz4 күн бұрын

    Mashaallah nilikua nasubiri Al akhy apite na hiki kiraa

  • @abulfidaamedia
    @abulfidaamedia5 күн бұрын

    Inna lillahi waa inna ilayhi rajiuun

  • @farajiismaili349
    @farajiismaili3496 күн бұрын

    ما شاء الله

  • @AsharsalimMhina
    @AsharsalimMhina10 күн бұрын

    انا لله وانا اليه راجعون

  • @tellackyabdul9312
    @tellackyabdul931211 күн бұрын

    غفر الله ورحمه

  • @TashreefuSulaymaani
    @TashreefuSulaymaani13 күн бұрын

    allah akuhifadh na akubarik

  • @NASURULLAHHABIBU-b9n
    @NASURULLAHHABIBU-b9n15 күн бұрын

    Mashaallah

  • @AbuuQataadah-w8b
    @AbuuQataadah-w8b15 күн бұрын

    Naaam mashaallah

  • @TwahirJamshidYusufuMashobe
    @TwahirJamshidYusufuMashobe15 күн бұрын

    ماشاء الله

  • @tellackyabdul9312
    @tellackyabdul931218 күн бұрын

    بارك الله فيكم....

  • @tellackyabdul9312
    @tellackyabdul931218 күн бұрын

    Hen hao.... Mashaallah

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish634619 күн бұрын

    Wewe kwanza umefanya makosa makubwa kumponda na kumkosoa mwenzako katika mitandao. Wafaa kuleta istighfar na uache tabia hio

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish634619 күн бұрын

    Kipozeo ni ULAMAA achaneni nae

  • @user-zm3zo8wv8t
    @user-zm3zo8wv8t19 күн бұрын

    Mashaallah

  • @AhmadiMadua
    @AhmadiMadua21 күн бұрын

    Jahili mkubwa kunamakosagani apo achachukiwewe

  • @omaribenjamini
    @omaribenjamini24 күн бұрын

    Tuanze na shekhe abul fadhl qasim mafuta

  • @imrammiraji9714
    @imrammiraji971425 күн бұрын

    Maaaa shaaa allah

  • @TwahirJYusufuMashobe
    @TwahirJYusufuMashobe26 күн бұрын

    ماشاء الله

  • @user-il5te5xd5y
    @user-il5te5xd5y26 күн бұрын

    allah akimpenda mja wake na watu watampenda wewe usiokuwa na hekma atakupenda nani?labda sheitwaan

  • @user-il5te5xd5y
    @user-il5te5xd5y26 күн бұрын

    tapeli namba mmoja wewe kasome elmu kwanza wacha kusoma ubishi

  • @user-il5te5xd5y
    @user-il5te5xd5y26 күн бұрын

    tapeli namba mmoja wewe kasome elmu kwanza wacha kusoma ubishi

  • @user-il5te5xd5y
    @user-il5te5xd5y26 күн бұрын

    tapeli namba moja

  • @FSK1611
    @FSK161128 күн бұрын

    Assalamalaikum warahmatullahi wabarakatu, Allahuma bareek I think we should just avoid the faces we only need the recitation If you insist in taking pictures only the back side will do in shaa Allah BarakAllahu fik

  • @rashidramadhani3142
    @rashidramadhani314229 күн бұрын

    Maa shaa Allah Baarakallah fiika

  • @JapharyMawanza-mj1fv
    @JapharyMawanza-mj1fv29 күн бұрын

    Saudia fii quluubina

  • @TwahirJYusufuMashobe
    @TwahirJYusufuMashobeАй бұрын

    أسأل الله أن يحفظك

  • @eshematran7206
    @eshematran7206Ай бұрын

    Sheikh Abul Abbaas wa zanzibar Muhammad Rashid

  • @TwahirJYusufuMashobe
    @TwahirJYusufuMashobeАй бұрын

    ماشاء الله

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721Ай бұрын

    Masharti ya munakasha Abuu khaula kayatoa yatimizeni tufanye munakasha

  • @YaziduIddy
    @YaziduIddyАй бұрын

    Hakuna masherti aliyoyatoa ya kielimu ametoa masherti yakukimbia niqashi hafu namba katoa Bado mnaleta fitna mitandaoni na kushushana heshima mtume anasema sio kati sisi yule ambaye hawaheshimu wadoga wetu na sio kati sisi yule ambaye hawaheshimu wakubwa wetu

  • @YaziduIddy
    @YaziduIddyАй бұрын

    Hakuna masherti aliyoyatoa ya kie

  • @MuhammedHassani-zc9ou
    @MuhammedHassani-zc9ouАй бұрын

    Assalam alaykum mashallah pambanen vijan Atoe mas.hafu nzima Tupate wasimomaj wet 🇹🇿

  • @AlHilaalyOnlineTV
    @AlHilaalyOnlineTVАй бұрын

    Inshaallah

  • @MuhammedHassani-zc9ou
    @MuhammedHassani-zc9ouАй бұрын

    @@AlHilaalyOnlineTV allah atue baraka

  • @MuhidiniMohamedi
    @MuhidiniMohamediАй бұрын

    Mashallah

  • @YaziduIddy
    @YaziduIddyАй бұрын

    Acha porojo tunataka mnakasha sio mbwembwe mitandaoni

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Watu wa bidaa.mnaomaba munaqasha arafu hoja zenyewu hamna Ni watu wa kupindisha pindisha maneno ya Allah na mtume mmepotea xana

  • @YaziduIddy
    @YaziduIddyАй бұрын

    @@user-yj5on8cz3e nyie ndo mnapindisha wazushi wakubwa nyie 1300 zimepita mlikuwa hampo na mlifanya ufisadi sana huko nyuma 1880 miladiya baada ya Babu yenu Mohammad abdulwahabi kuwaua waislam akishirikiana na mmerekani baada ya hapo akakabiziwa ushekhe na Ali Saudi akawa mfalme na wakabadilisha na jina badala ya makk wakaita saudia jina la mfalme mpk sasa saudia unaongozwa na wazayuni ndo maana mmekaa kimya waislam wa Palestina wanauawa na nyie mmeshidwa hata kutoa tamko na ikitokea shekh anazungumzia Palestina wanamkamata na kumtia jela ama kweli uwahabi ni tawi la kiyahudi

  • @abdirahmanshawkani
    @abdirahmanshawkaniАй бұрын

    Sheikh Abuu Ayman Ashirazy ALLAH AMUHIFADHI