Channel hii inahusika na utoaji wa mafunzo mbalimbali ya dini ya kiislamu ikiwemo Darasa(Durus) za masheikh mbalimbali ndani ya Tanzania na nje ya tanzani ,mawaidha, khutbah, fatawa za wanachuoni, Quran, na mashairi mbalimbali .
This channel engages in the delivery of various trainings in the Islamic religion, including Classes (Durus) of various sheikhs in Tanzania and outside Tanzania, admonitions, khutbahs, fatwas of scholars, Quran, and various poems.
Пікірлер
بارك الله فيك
جيداً
بارك الله فيك وجزاك الله خيرا شيخنا الفاضل
Wanazika wap
Allaah amuhifadhi sheikh wetu mbora Abuu Khawlah Albajouny Namuomba Allaah amlipe kheri na ampe umri mrefu kwenye twa'a
Baarakallah fiyka
Ilikuwa 2007?
balaka llahu fiyka shaykhuna
Kiarabu chenyewe cha pongwe yani yani kibaaaaao mkiambiwa mje tuwafundishe lugha sisi masuufiyya hamtaki
Mbona hamjib maswali mliyoulizwa na M,bacho au ndo kupotezea alaf huyo shekh naye anayakiwa ajib maswali kwa kusikiliz wengine kwasbb hayo maswali ni ya kujitakasa nyie vile mmeitwa majadida mnataka mpate fatwa ya kuwapa nguvu jibun maswali kwanza afu mdo mengine yaendelee sheikh rabii allah amhifadhi anatakiwa asikilize wote siyo atoe fatwa kwa sikiliz upande mmoja tu.
Sio kila mbwa anaebweka hurembewa jiwe Wengine huwa ni koko kwahiyo hekma yke ni kumuacha tu ikisha wende na shughuli zako za umuhimu yeye akichoka atanyamaza mwenyewee
Swali la ujanja ujanja acha talbiisi hapo hakuna swali bali nituhuma ili mtakaswe nyinyi majadida acheni ujanja dini haitaki ujanja
Inawezekana hata maana ya talbis hujui
Majadida bwana
@pavillioncry5241 Ndio manini hayo
Chanzo cha mizozo na watu wa sunna kukatana wenyewe kwa wenyewe Kama alivosema shekh bakri abuu zaidi
Naomba kujua maulamaa wangapi ambao wategemewa katika umma wa kiislam kwasasa maana namjua sheikh Fawzaani,Na wengine wachache kama Huyu sheikh Rabii Allah awahifadhi.Namaanisha waliohai
shaykh sulaymaan arruhayliiy, shaykh Abdullah albukhaariy,muhamman bin abdilwahhaabi alwuswabiy...nk ni wengi...
Yupo sheikh suleiman al ruhayli
Sheikh Abdul Muhsin Al Abbaad, Sheikh Abdul razzaaq albadriy,
Assuming alaykum warahmatullah wabarakatuh. Doctor tumia cheo chako kuwaeka kitako maduati wakisalafi wote uwaweke chini wawexe kuungana
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Masha allah. USHAURI WANGU KWA DOCTOR cheo chako ni kikubwa sana tena sana ila jitahidi kuwaunganisha watu hasahasa madughati wa kisalafi Tanzania usiwe na wewe pia upo kwenye jopo la watu fulani tumia cheo chako ma makarama yako kuwaeka kitako madughati wa kisalafi kwa Sasa Kisha tuone tunaenda wapi fitna inaiangamiza daawatu salafia Tanzania allah akubarik
Mngeweka Transmission ya Kiswahili
Ndo ujifunze kiarabu
Mashaallah nilikua nasubiri Al akhy apite na hiki kiraa
Inna lillahi waa inna ilayhi rajiuun
ما شاء الله
انا لله وانا اليه راجعون
غفر الله ورحمه
allah akuhifadh na akubarik
Mashaallah
Naaam mashaallah
ماشاء الله
بارك الله فيكم....
Hen hao.... Mashaallah
Wewe kwanza umefanya makosa makubwa kumponda na kumkosoa mwenzako katika mitandao. Wafaa kuleta istighfar na uache tabia hio
Kipozeo ni ULAMAA achaneni nae
Mashaallah
Jahili mkubwa kunamakosagani apo achachukiwewe
Tuanze na shekhe abul fadhl qasim mafuta
Maaaa shaaa allah
ماشاء الله
allah akimpenda mja wake na watu watampenda wewe usiokuwa na hekma atakupenda nani?labda sheitwaan
tapeli namba mmoja wewe kasome elmu kwanza wacha kusoma ubishi
tapeli namba mmoja wewe kasome elmu kwanza wacha kusoma ubishi
tapeli namba moja
Assalamalaikum warahmatullahi wabarakatu, Allahuma bareek I think we should just avoid the faces we only need the recitation If you insist in taking pictures only the back side will do in shaa Allah BarakAllahu fik
Maa shaa Allah Baarakallah fiika
Saudia fii quluubina
أسأل الله أن يحفظك
Sheikh Abul Abbaas wa zanzibar Muhammad Rashid
ماشاء الله
Masharti ya munakasha Abuu khaula kayatoa yatimizeni tufanye munakasha
Hakuna masherti aliyoyatoa ya kielimu ametoa masherti yakukimbia niqashi hafu namba katoa Bado mnaleta fitna mitandaoni na kushushana heshima mtume anasema sio kati sisi yule ambaye hawaheshimu wadoga wetu na sio kati sisi yule ambaye hawaheshimu wakubwa wetu
Hakuna masherti aliyoyatoa ya kie
Assalam alaykum mashallah pambanen vijan Atoe mas.hafu nzima Tupate wasimomaj wet 🇹🇿
Inshaallah
@@AlHilaalyOnlineTV allah atue baraka
Mashallah
Acha porojo tunataka mnakasha sio mbwembwe mitandaoni
Watu wa bidaa.mnaomaba munaqasha arafu hoja zenyewu hamna Ni watu wa kupindisha pindisha maneno ya Allah na mtume mmepotea xana
@@user-yj5on8cz3e nyie ndo mnapindisha wazushi wakubwa nyie 1300 zimepita mlikuwa hampo na mlifanya ufisadi sana huko nyuma 1880 miladiya baada ya Babu yenu Mohammad abdulwahabi kuwaua waislam akishirikiana na mmerekani baada ya hapo akakabiziwa ushekhe na Ali Saudi akawa mfalme na wakabadilisha na jina badala ya makk wakaita saudia jina la mfalme mpk sasa saudia unaongozwa na wazayuni ndo maana mmekaa kimya waislam wa Palestina wanauawa na nyie mmeshidwa hata kutoa tamko na ikitokea shekh anazungumzia Palestina wanamkamata na kumtia jela ama kweli uwahabi ni tawi la kiyahudi
Sheikh Abuu Ayman Ashirazy ALLAH AMUHIFADHI